TAZAMA CHUO KIKUBWA CHA UFUNDI KILICHOJENGWA DODOMA..MAJENGO KUMI NA TISA NA FURSA ZAKE.
Vložit
- čas přidán 8. 09. 2024
- Manyunyu TV ni channel ya CZcams ambayo inakuletea matukio mbalimbali kutoka kwenye jamii. Tunaangazia maisha ya kila siku ya watu wa kawaida, shughuli za kijamii, na matukio muhimu yanayohusu jamii yetu.
Tunajitahidi kuleta vipindi mbalimbali vya burudani kama vile michezo, nyimbo, na vichekesho. Tunapenda kuwasiliana na watazamaji wetu, hivyo tunawakaribisha kutoa maoni yao na kuuliza maswali.
Tunajitahidi kuwa bora katika kila kitu tunachofanya. Tuna ubunifu mkubwa na tunaonyesha ubora katika video zetu. Tunaamini katika upendo kwa jamii na tunataka kuwahamasisha wengine kufanya kazi kwa bidii na kufikia malengo yao.
Karibu ujiunge na Manyunyu TV, mahali pazuri pa kujifunza, kuburudika na kujumuika na wengine. Asante kwa kuwa nasi!
Tupigie: +255652730422
Woooooiiiiii Gweeee!!! Dodoma yetu mungu ibariki tz ,mungu ibariki fodoma
Naomba form
Uhitaji wa vyuo ulitakiwa tokea miaka 60 nyumba.
Nashangaa mwamko unapatikana Sasa tunachelewa sana kujitambua..
Ubarikiwe sana Dada Rose tunakupenda
Na ninaposema tungejitambua mapema simaanishi majengo hapa!kwa mfano kulikuwa na wajuzi wengi miaka ya nyuma kama vile watengenezaji wa vyombo vya baharini(mashua,dau,nk)
Serikari haikuwatambua wamekufa na ujuzi wao hata kama wangelifundisha chini ya miti muhimu ni ujuzi na huu ni mfano Moja tu ila kulikuwa na mafundi seremala,wakulima stadi woote walitakiwa wawezeshwe na watambuliwe ili wangeeneza ujuzi wao 11:52 12:18
RIP Magufuri kwa vision yako ya kuibadili Dodoma na Tanzania kwa ujumla. Tutakukumbuka Daima!
Asante sana Dada Rose
Mahitaji namba za hio chuo nimlete mdogo angu aje asome