MAKALA: MABADILIKO YA JIJI LA DODOMA KWA SASA...DODOMA FAHARI YA WATANZANIA..
Vložit
- čas přidán 22. 02. 2024
- Manyunyu TV ni channel ya CZcams ambayo inakuletea matukio mbalimbali kutoka kwenye jamii. Tunaangazia maisha ya kila siku ya watu wa kawaida, shughuli za kijamii, na matukio muhimu yanayohusu jamii yetu.
Tunajitahidi kuleta vipindi mbalimbali vya burudani kama vile michezo, nyimbo, na vichekesho. Tunapenda kuwasiliana na watazamaji wetu, hivyo tunawakaribisha kutoa maoni yao na kuuliza maswali.
Tunajitahidi kuwa bora katika kila kitu tunachofanya. Tuna ubunifu mkubwa na tunaonyesha ubora katika video zetu. Tunaamini katika upendo kwa jamii na tunataka kuwahamasisha wengine kufanya kazi kwa bidii na kufikia malengo yao.
Karibu ujiunge na Manyunyu TV, mahali pazuri pa kujifunza, kuburudika na kujumuika na wengine. Asante kwa kuwa nasi!
Tupigie: +255652730422
Ongela sana Dodoma.
It because of JPM
Yeah!Ila bado sijaona fly overs pale jamatini na magorofa marefu pale mji mkongwe.serikali ijenge majengo ya ghorofa ya kisasa hata 8 tu yabadili manzari ya jiji hili la Tanzania.pale uwanja wa ndege wa zamani air Tanzania wajenge jengo refu kabisa la makao makuu.Tenda wapewe wakorea au wajapan na wachina.ndiyo wataalamu wa kujenga gorofa za guides kuhimili tetemeko la ardhi kwani Dodoma ni bonde la ufa.Hata hivyo kazi nzuri.
Kazi nzuri sana sana. Hongera sana Mhe. Rais Dr. Samia Suluhu Hassan kwa kuendeleza kazi kubwa ya watangulizi wako na kuanzisha mipango mipya kwa maendeleo ya Tanzania na yote yanakwenda sambamba.
Watu wengi sasa wanafurika kuja Dodoma kutafuta na kupata fursa mbalimbali.
Hakika "Dodoma ya sasa si ya zamani".
Kongole sana viongozi kwa kazi kubwa ya kutuletea maendeleo.
Waooo! Awesome 🎉
Dodoma ya sasa si Dodoma ya zamani. DODOMA FAHARI YA WATANZANIA. KARIBU IDODOMYAAAAA❤
Makala mzuri, shida mtangazaji hajui kbs matumizi ya R na L hii ni aibu kubwa, ajirekebishe.
Tunashukuru kwa maoni yako
HONGERA SANA MANYUNYU TV HAKIKI MAKALA HII NI BORA SANA MWENYE NILIO NJE YA MKOA NAFURAHIA KUTAZAMA MAKALA HII MMEUPIGA MWINGI SANAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA SAUTI NZURI PICHA KALI UBUNIFU MKUBWA SAFIIII KEEP IT UP
Asante sana ndugu yangu 0652730422 tuwasiliane
Dodoma yetu ❤❤❤❤❤
Nice
🎉🎉🎉
Haichoshi kutazama Wala kusikiliza.Kazi nzuri sana
Asante sana
Ndiyo Dodoma ni kama Colorado Springs huko Marekani. Ambako nilitembelea na kujionea mwenyewe mwaka 2008, Jimbo la Colorado.
RIP JPM 😋😋✊🏿
Nyerele basi? Shughuri za kiselikari? Na nwamuacha atangaze? Haya bana, amehonga kitu!
Kuzuri
Inafanana na Gaborone
Gaborone imepagwa vizuri na majengo ni marefu
sio kweli kuhusu magorofa marefu
Nilifurai na hata Sasa makao makuu kuwa katikati yanchi
Umesahau chamwino
Eti south 😂
Nakwambia ukijichanganya kidogo unapoteza muelekeo 😂
Jpm
Aya bwana hii ndio idodomeya
Fungua bomba ya maji sasa😂