MAKALA: MABADILIKO YA JIJI LA DODOMA KWA SASA...DODOMA FAHARI YA WATANZANIA..

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 22. 02. 2024
  • Manyunyu TV ni channel ya CZcams ambayo inakuletea matukio mbalimbali kutoka kwenye jamii. Tunaangazia maisha ya kila siku ya watu wa kawaida, shughuli za kijamii, na matukio muhimu yanayohusu jamii yetu.
    Tunajitahidi kuleta vipindi mbalimbali vya burudani kama vile michezo, nyimbo, na vichekesho. Tunapenda kuwasiliana na watazamaji wetu, hivyo tunawakaribisha kutoa maoni yao na kuuliza maswali.
    Tunajitahidi kuwa bora katika kila kitu tunachofanya. Tuna ubunifu mkubwa na tunaonyesha ubora katika video zetu. Tunaamini katika upendo kwa jamii na tunataka kuwahamasisha wengine kufanya kazi kwa bidii na kufikia malengo yao.
    Karibu ujiunge na Manyunyu TV, mahali pazuri pa kujifunza, kuburudika na kujumuika na wengine. Asante kwa kuwa nasi!
    Tupigie: +255652730422

Komentáře • 30

  • @JosephMpangala-wd5mp
    @JosephMpangala-wd5mp Před 5 dny

    Ongela sana Dodoma.

  • @williamngochani7008
    @williamngochani7008 Před 5 měsíci +6

    It because of JPM

  • @alfinmbilinyi5985
    @alfinmbilinyi5985 Před 4 měsíci +3

    Yeah!Ila bado sijaona fly overs pale jamatini na magorofa marefu pale mji mkongwe.serikali ijenge majengo ya ghorofa ya kisasa hata 8 tu yabadili manzari ya jiji hili la Tanzania.pale uwanja wa ndege wa zamani air Tanzania wajenge jengo refu kabisa la makao makuu.Tenda wapewe wakorea au wajapan na wachina.ndiyo wataalamu wa kujenga gorofa za guides kuhimili tetemeko la ardhi kwani Dodoma ni bonde la ufa.Hata hivyo kazi nzuri.

  • @jamillahmujungu2253
    @jamillahmujungu2253 Před 4 měsíci

    Kazi nzuri sana sana. Hongera sana Mhe. Rais Dr. Samia Suluhu Hassan kwa kuendeleza kazi kubwa ya watangulizi wako na kuanzisha mipango mipya kwa maendeleo ya Tanzania na yote yanakwenda sambamba.
    Watu wengi sasa wanafurika kuja Dodoma kutafuta na kupata fursa mbalimbali.
    Hakika "Dodoma ya sasa si ya zamani".
    Kongole sana viongozi kwa kazi kubwa ya kutuletea maendeleo.

  • @seciliagodwin8495
    @seciliagodwin8495 Před 4 měsíci +1

    Waooo! Awesome 🎉

  • @JenifaMassawe-vu1nl
    @JenifaMassawe-vu1nl Před 4 měsíci +1

    Dodoma ya sasa si Dodoma ya zamani. DODOMA FAHARI YA WATANZANIA. KARIBU IDODOMYAAAAA❤

  • @ombenikichao
    @ombenikichao Před 4 měsíci +1

    Makala mzuri, shida mtangazaji hajui kbs matumizi ya R na L hii ni aibu kubwa, ajirekebishe.

  • @ludewayetutv
    @ludewayetutv Před 4 měsíci +2

    HONGERA SANA MANYUNYU TV HAKIKI MAKALA HII NI BORA SANA MWENYE NILIO NJE YA MKOA NAFURAHIA KUTAZAMA MAKALA HII MMEUPIGA MWINGI SANAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA SAUTI NZURI PICHA KALI UBUNIFU MKUBWA SAFIIII KEEP IT UP

    • @ManyunyuTv
      @ManyunyuTv  Před 4 měsíci

      Asante sana ndugu yangu 0652730422 tuwasiliane

  • @malkiarosemuhando3310
    @malkiarosemuhando3310 Před 4 měsíci +1

    Dodoma yetu ❤❤❤❤❤

  • @user-dj8xv6xf9h
    @user-dj8xv6xf9h Před 4 měsíci

    Nice

  • @Mnyatucomedytz
    @Mnyatucomedytz Před 4 měsíci +1

    🎉🎉🎉

  • @seciliagodwin8495
    @seciliagodwin8495 Před 4 měsíci

    Haichoshi kutazama Wala kusikiliza.Kazi nzuri sana

  • @bezalelmbijima8182
    @bezalelmbijima8182 Před 4 měsíci

    Ndiyo Dodoma ni kama Colorado Springs huko Marekani. Ambako nilitembelea na kujionea mwenyewe mwaka 2008, Jimbo la Colorado.

  • @farajakwilasa471
    @farajakwilasa471 Před 4 měsíci +1

    RIP JPM 😋😋✊🏿

  • @Nedjadist
    @Nedjadist Před 2 měsíci

    Nyerele basi? Shughuri za kiselikari? Na nwamuacha atangaze? Haya bana, amehonga kitu!

  • @augustinempule7385
    @augustinempule7385 Před 4 měsíci

    Kuzuri

  • @adamkapolo8817
    @adamkapolo8817 Před 4 měsíci +3

    Inafanana na Gaborone

  • @ColonelChanila-ur9zy
    @ColonelChanila-ur9zy Před 3 měsíci

    Nilifurai na hata Sasa makao makuu kuwa katikati yanchi

  • @petermganga4434
    @petermganga4434 Před 2 měsíci

    Umesahau chamwino

  • @Mpakauseme
    @Mpakauseme Před 4 měsíci +2

    Eti south 😂

  • @barakanatus5676
    @barakanatus5676 Před 4 měsíci

    Jpm

  • @msowamhokole7714
    @msowamhokole7714 Před 5 měsíci +1

    Aya bwana hii ndio idodomeya