Mi nafikiri hata hilo jina la mzinga bridge mgebalisha ndio maana watu na magari wanapata mizinga. Jina nalo linachangia ajali.poleni sana wote wafiwa.
Hiyo sehemu inauwa sana watu,mm mwenyew nishashuhudia mara kadhaa ajali hapo,ila serikali km hawalioni vile.watengeneze barabara ya subway ili kuepusha ajali, barabara nyembamba mlima mkubwa ila watu wako kimy na madhara yanatokea kila baada ya muda
nguzo za daraja la mto mzinga kuliko tokea ajali zina hatari ya kuvunjika . wahusika tanroad washughulikie mapema... mkuu wa mkoa ameona lakini hakutilia maanani
Daah mdgoo wangu umeongeaa point sanaa
Mi nafikiri hata hilo jina la mzinga bridge mgebalisha ndio maana watu na magari wanapata mizinga. Jina nalo linachangia ajali.poleni sana wote wafiwa.
Poleni kwa majanga Allah awafanyie wepsi pia hongereni kwakupaza sauti
Hongera sanaaa👏👏👏👏 mkuu kwa kutoa ushilikiano wako kwa wananchi kiongozi bora ni anaetekereza majukumu yake
Polen sana ndugu na jamaa mlipatwa na Ilo tatizo
Hiyo sehemu inauwa sana watu,mm mwenyew nishashuhudia mara kadhaa ajali hapo,ila serikali km hawalioni vile.watengeneze barabara ya subway ili kuepusha ajali, barabara nyembamba mlima mkubwa ila watu wako kimy na madhara yanatokea kila baada ya muda
Huyu jamaa Dar es salaam haiwezi
Safi sana wananchi....pazeni sauti
Barabara nyembamba sana ,sio msada wajenge barabara,huyu mkuu wa mkoa shida maigizo mengi sio mtu wa kazi kabisaaa
Dar salaam n city,ina wt kuliko Washington,na Dubai, peopletion n kbw,
Poleni sana wafiwa....
Tanueni barabara ni nyembamba sana iyo
Akili yangu inauma😂😂😂😂😂
Sehemu mbaya sana hio mzinga
HIYO KAULI YA "LIMKOA LENU LIKUBWA" HAITAKIWI KUTOKA KWA KIONGOZI KAMA WEWE, Hii ndio CCM iliyofeli
nguzo za daraja la mto mzinga kuliko tokea ajali zina hatari ya kuvunjika . wahusika tanroad washughulikie mapema... mkuu wa mkoa ameona lakini hakutilia maanani
Polen sana
Hii ni barabara kubwa ya kilwa ndio inaunganisha kusini na nchi za jirani, haipaswi kuwa jambo la kisiasa.
mzinga ni.mtihani kiukweli gari likifa njiani mtihan mawasiliano.hamna
Dar es salaam bado sana kuwa jiji barabara duni sana sehemu kama hio ni sehemu muhimu sana kuwa na barabara ya kizamani hivo tena line moja tu