RC CHALAMILA ATINGA ENEO LA AJALI MTO MZINGA KUWATULIZA WANANCHI WENYE HASIRA, ATOA MAAGIZO TANROAD

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 16. 05. 2024

Komentáře • 40

  • @gauchogaucho7583
    @gauchogaucho7583 Před 21 dnem +6

    Daah mdgoo wangu umeongeaa point sanaa

  • @azzaalhabsi1505
    @azzaalhabsi1505 Před 21 dnem +5

    Mi nafikiri hata hilo jina la mzinga bridge mgebalisha ndio maana watu na magari wanapata mizinga. Jina nalo linachangia ajali.poleni sana wote wafiwa.

  • @user-dt7ec3tr2v
    @user-dt7ec3tr2v Před 14 dny

    Poleni kwa majanga Allah awafanyie wepsi pia hongereni kwakupaza sauti

  • @user-dt7ec3tr2v
    @user-dt7ec3tr2v Před 14 dny

    Hongera sanaaa👏👏👏👏 mkuu kwa kutoa ushilikiano wako kwa wananchi kiongozi bora ni anaetekereza majukumu yake

  • @betrackjasson6698
    @betrackjasson6698 Před 21 dnem +1

    Polen sana ndugu na jamaa mlipatwa na Ilo tatizo

  • @omarylukindo5306
    @omarylukindo5306 Před 21 dnem +1

    Hiyo sehemu inauwa sana watu,mm mwenyew nishashuhudia mara kadhaa ajali hapo,ila serikali km hawalioni vile.watengeneze barabara ya subway ili kuepusha ajali, barabara nyembamba mlima mkubwa ila watu wako kimy na madhara yanatokea kila baada ya muda

  • @Lodrickmwambene
    @Lodrickmwambene Před 14 dny

    Huyu jamaa Dar es salaam haiwezi

  • @maribaisack2097
    @maribaisack2097 Před 21 dnem

    Safi sana wananchi....pazeni sauti

  • @Niika870
    @Niika870 Před 14 dny

    Barabara nyembamba sana ,sio msada wajenge barabara,huyu mkuu wa mkoa shida maigizo mengi sio mtu wa kazi kabisaaa

  • @HamisMghuna-fj3vz
    @HamisMghuna-fj3vz Před 14 dny

    Dar salaam n city,ina wt kuliko Washington,na Dubai, peopletion n kbw,

  • @dorahmushi-we6ts
    @dorahmushi-we6ts Před 21 dnem

    Poleni sana wafiwa....

  • @mohamedkitemwe3569
    @mohamedkitemwe3569 Před 21 dnem +1

    Tanueni barabara ni nyembamba sana iyo

  • @allymohamedclaud7626
    @allymohamedclaud7626 Před 14 dny +1

    Akili yangu inauma😂😂😂😂😂

  • @husseinremmy5762
    @husseinremmy5762 Před 21 dnem

    Sehemu mbaya sana hio mzinga

  • @beatricefelix1271
    @beatricefelix1271 Před 14 dny

    HIYO KAULI YA "LIMKOA LENU LIKUBWA" HAITAKIWI KUTOKA KWA KIONGOZI KAMA WEWE, Hii ndio CCM iliyofeli

  • @michaelsairamagafu
    @michaelsairamagafu Před 21 dnem

    nguzo za daraja la mto mzinga kuliko tokea ajali zina hatari ya kuvunjika . wahusika tanroad washughulikie mapema... mkuu wa mkoa ameona lakini hakutilia maanani

  • @AjabuMnyandwa
    @AjabuMnyandwa Před 14 dny

    Polen sana

  • @salminwamu2297
    @salminwamu2297 Před 14 dny

    Hii ni barabara kubwa ya kilwa ndio inaunganisha kusini na nchi za jirani, haipaswi kuwa jambo la kisiasa.

  • @darweshk7342
    @darweshk7342 Před 21 dnem

    mzinga ni.mtihani kiukweli gari likifa njiani mtihan mawasiliano.hamna

  • @adamkapolo8817
    @adamkapolo8817 Před 21 dnem

    Dar es salaam bado sana kuwa jiji barabara duni sana sehemu kama hio ni sehemu muhimu sana kuwa na barabara ya kizamani hivo tena line moja tu