AMUENI (Official video) - KWAYA YA MOYO MTAKATIFU WA YESU (SHJC - UDSM)
Vložit
- čas přidán 20. 11. 2021
- KWAYA YA MOYO MTAKATIFU WA YESU (SHJC)
PAROKIA YA CHUO KIKUU, DAR ES SALAAM
WIMBO: Amueni
MTUNZI: Dietrick Nyoni
ORGANIST: Tumaini Swai
AUDIO & VIDEO: Holy Trinity Studios
VIDEO BY: Holy Trinity Studios
#KwayaKatolikiTanzania #NeemayaMungu #nineema #fumbuenivinywavyenu #JinalakoMaria #HolyTrinityStudios #Tafakari #Joshua24:14
Reach us through:
Email: kwaya.moyomtakatifu@gmail.com
Instagram: @kwaya_moyomtakatifu_udsm
Facebook: Kwaya ya Moyo Mtakatifu wa Yesu - UDSM
Mob: +255746547169/ +255754818559/ +255784165119
Hivyo ndivyo mungu anafanya sasa, amina, barikiweni sana, a special song❤❤❤❤
hongereni sana kwa wimbo mzuri wenye ujumbe ulioshiba.
mbarikiwe sana
Ahsante sana
Swa
Safi sana
Hiii ni nyimbo nzuri sana
Director wavideo kafanya kazi nzur
🙏🙏🙏🙏
Amina sana, daima tuchague uzima🔥🔥🥳🌹
Mbarikiwe Sana
Amina.
Mungu ni mwema
Mungu azidi kuwabariki na kuwalinda mitunze imani. Mpendeza toka sauti hadi mavazi
Amina.
Mungu awabariki sana nmeupenda huu wimbo hakika Mungu n mwema sana
Ahsante. Ubarikiwe pia Tedy James
Safee sanaaa...
best always..........
Thanks @Klaud Kiswaga.
Wakuu hongereni. Wimbo safi sana
Ahsante sana Frt. Tesha. Mungu atukuzwe daima.
Amina Sana🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Safii sana Nawapendeni sana kwaya yangu
Mungu atukuzwe daima...
Wonderful 🎹🎶❤️
Mungu awajalie zaidi na zaidi,, katika roho na kweli mkilisifu jina lake takatifu.
Wonderful voices. Lakini mimi na nyumba yangu tutamtumikia Bwana. May God bless you!
Hongereni ndugu zetu........kazi nzuri from MUST mbeya
Asante. Wasalimu MUST Mbeya. Mnakaribishwa pia Parokia ya Chuo Kikuu, Dar es Salaam.
@@kwayayamoyomt.wayesu-udsm6005 tutakaribia MUNGU akipenda
Good music since day one
Organist amefanya kazi kubwa saana,, hongereni nyote kwa pamojaa kazi nzurii mnooo
Asante sana mkuu
Kazi nzuri Sana Hongera Kubwa SHJC Udsm
Hongereni sana kwaya yangu ya zamani. Nawapenda. Mungu mwenyezi azidi kuwabariki.
Tunakumiss kaka, siku moja uje utusalimie
Ahsante sana mwalimu Mwanahanja. Tunashukuru. Karibu sana kila upatapo nafasi. Moyo Mt. wa Yesu, UDSM ni nyumbani kwako kabisa.
Ni kazi zuri
"Amueni leo ninyi wenyewe, Ni Mungu yupi mtakayemtumikia?" ... Lakini, Mimi na nyumba yangu tutamtumikia Bwana.
Mungu awabariki sana kwa Kazi nzuri🔥🙏
Ķwaresma RC
Mungu aibariki sana kazi ya mikono yenu kwa ajili ya sifa na utukufu wake mwenye 👏👏🌹🌹💞💘
Aisee nabarikiwa na huu wimbo 🙏🙏
Keep it up.....God bless you
hongereni sana mmeimba vizuri 🔥🔥🔥
Asante sana.
Hongeren Sana wimbo mzur San unanibariki vilivyoo Mungu azid kutukuzwa kwa ajili ya utume wenu wapendwa 💕💕💕💕💕
Nabarikiwa sana kwa utume huu uliotukuka..
Kwaya yangu❤
👏👏
Kwa maombezi ya Mama Bikira Maria msaada wetu wa Daima, Azidi kuwapa nguvu ya kumwimbia kila siku bila kuchoka na kuwajalia kila neema na Baraka zake kwenye maisha Yenu kupitia utume huu🙏
Amina.
Mungu awabariki sana
Amina sana
Amina sana 🙏
Amina sana🙏
nice song
Hongereni sana sana ..hakika Mungu pia ameona na amewasikia...👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏🙏
Kazi nzuri
Mungu awabariki mno.
Wanachoir hoiyee!wimbo mzuri na melody yake ni nzuri,na message ni very clear,MUNGU azindi kuwabariki.
Amina. Tumrudishie yeye sifa na shukrani.
Hongereni Sana kwa wimbo mnzuri hakika unanibariki
Tunakushukuru sana. Tunafurahi ikiwa unabarikiwa kwa utume huu.
Mungu ni mwema ❤️❤️❤️
Kila wakati! Na hiyo ndio asili yake
Hongerenii sanaaa
Hongera Sana wimbo umenibariki🥰🥰
Hongereni sana wapendwa
Mungu awabarik
Hongereni sana...wimbo unanipa nguvu sana
Huu wimbo haipiti siku sijautizama😊😊😊hongereni sana🥰🥰🥰
❤👍👍
Nimebarikiwa Sanaa
Hongereni kwa kazi nzuri Sanaa. Mbarikiwe🙏☺️
Ahsante. Ubarikiwe pia.
Wimbo ulojaa baraka..mtulivu kikweli,ubunifu wa kiwango Cha juu.. mungu awabariki sana waimbaji.. I am blessed..niamue mwenyewe ni Mungu yupi. Asanteni
Great .......,🥳🥳❤️
Amen.
Mungu ni mwema, mbarikiwe sana
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Amina. Ubarikiwe pia kaka Marcus.
Waoooooooh
MUNGU anayekaa katika sifa awpandishe mpaka hatua nyingne?
Wimbo mzurii...
💯💯💯 that's SHJC 🔥
Udsm ❣️❣️❣️❣️❣️❣️
Glory to God
❤️🥰
Hongereni sana wimbo mzuri
Asante sana Glory
Mambo ni 🔥🔥🔥congrats to you 🤗🤗🤗
Wow, Groly to God
The creativity is of highest quality
Mariana nakuona classmate
Hongereni kwa kaz ya Bwana
Nice song with blessings 🙏🙏
Great One🙏🏾🙏🏾
Asante #Studio iRis Pro
💕💕🥳👏
Nice
Nice song
I hv no prob with your dancing styles,God bless you all.
Amen. Thank you. Karibu sana
Waooooh❤️❤️such an amaizing song
Amaizing 😊😍😍🔥
You did better Guys💯💯
Mimi na nyumba yangu tutamikia Mungu,, tafakari nzuri
Just a good song
Wow wonderful the song is very nice I like and play it everyday continue with the same Spirit and I request you at least to translate into English also for better understandable to us who doesn't know Kiswahili well thanks 👍👍
Nice song
Glory to God