KIBURI CHA UZIMA MWITA ISACK KWAYA YA KRISTO MFALME PAROKIA TEULE YA MSONGOLA DAR ES SALAAM

Sdílet
Vložit

Komentáře • 149

  • @geofreynyangoro5008
    @geofreynyangoro5008 Před 3 měsíci +2

    Hongera sana sana kwa kazi ya kitume

  • @alexanderchacha8585
    @alexanderchacha8585 Před 5 měsíci +5

    Kijana Isack Mwita umekuwa Sasa baba hongera Pokea Maua yako kaka❤❤❤❤ hongera waimbaji mmefanya vyema maneno na ujumbe umesikika vyema sauti nyororo Kama za Malaika keep going on ❤❤

  • @januarius-js2xl
    @januarius-js2xl Před rokem +4

    Naomba namba za simu ya mtunzi isack mwita 🔥🔥🔥🔥🔥... waimbaji wako 🔥🔥🔥🔥🔥

  • @theodorycharles
    @theodorycharles Před 10 měsíci +3

    Jaman mbona nyimbo tamu Sana huyumtunzi sijui Alifikilia nini maana Mimi naisikia inaoigia ndani ya moyo Wangu Hakika Mwenyezi Mungu Nimwema Sana

  • @user-oq9vc3zl5z
    @user-oq9vc3zl5z Před 6 měsíci +2

    ❤❤❤ isac wewe ni kiboko hongera sana despiner na washiliki wote

  • @stellahmnema9279
    @stellahmnema9279 Před 3 měsíci +2

    Amen... Amen.... Amen 🙏🙏🙏wimbo mzur san huu jmn. Mbarkiwe san

  • @johndgurty9011
    @johndgurty9011 Před 9 měsíci +2

    Ah ah!!! Hongera sana wakubwa afu the Galaxy mbon mmekuwa hivyo?? Mungu azidi kuwakirimia mara mia

  • @norbertsungu3922
    @norbertsungu3922 Před 8 měsíci +1

    Hongera dada despina na wanakwaya wote Hongera kwa mwalimu organist

  • @mussaananiasmyonga727
    @mussaananiasmyonga727 Před 2 měsíci +1

    Hongera Sana kwa utume wa uinjilishaji. Dada Despina na wanakwaya kwa ubora wenu, na mtunzi pia ni hatari!!

  • @ManyandaMalashi-uw3me
    @ManyandaMalashi-uw3me Před 11 měsíci +2

    congratulations imekaa vema naomba number za mtunzi mwita isack

  • @baremaleonard9980
    @baremaleonard9980 Před 5 měsíci +2

    Huu wimbo mzuri Sana,maneno, melody yake vimetufikishia ujumbe huu mzuri.Kinanda saaaafiiiiíi,free organ ingekua fupi kidogo

  • @kelvinmulingei1600
    @kelvinmulingei1600 Před 5 měsíci +2

    Good message. Hongereni😊
    Ubarikiwe sana Mwita

  • @MaryNgosse
    @MaryNgosse Před 3 měsíci +2

    Hakika huu wimbo ni mzuri sana unanibariki mno hongera sana mtunzi umefanya kazi kubwa Mungu akubariki

  • @NiccaSaua
    @NiccaSaua Před 2 měsíci +1

    Najivunia ukatoliki wangu mpaka kufa❤

  • @KWAYAYAMTCESILIAMANGOLACHINI

    Hongerenisana kwawimbo mzuri mmno
    Hongera kwa mtunzi pia

  • @user-io5cs1mb4d
    @user-io5cs1mb4d Před rokem +3

    Hongereni Sana Kwa uinjilishaji Mungu aendelee kuwabariki❤

  • @jonaskweyamba9747
    @jonaskweyamba9747 Před rokem +2

    Nawapenda kwa utume huo mwema na mzuri Sister Daspina hakika napenda uimbaji wako nyote kwa ujumla

  • @rosewanjiku267
    @rosewanjiku267 Před 11 měsíci +3

    ❤kazi nzuri sana God bless you all

  • @BethinaLeonardy
    @BethinaLeonardy Před 2 měsíci +1

    Nabalikiwa na huu wimbo barikiwa sanaaa

  • @christinaraymond1928
    @christinaraymond1928 Před 9 měsíci +2

    Yaaani kila nyimbo yako Mwl ni nzurii hutamani kukosa barikiwa Mtumishi Mungu akutunze

  • @adelinusacleus4237
    @adelinusacleus4237 Před rokem +2

    Barikiwa sana mtunzi/mtani Mwita na waimbaji Kwa ujumla mmenitafakarisha kukumbuka na kutenda yaliyo mema hongera sana

  • @MaryNgosse
    @MaryNgosse Před 2 měsíci

    Jamani cjui nisemeje huu wimbo unatukumbusha maisha tunayoishi kwa sasa hebu tubadilike Mungu peke yake anatosha katika maisha yetu asante mtunzi kwa kutukumbusha

  • @paulinaluambano9150
    @paulinaluambano9150 Před rokem +5

    Najivunia kuwa mkatoliki,Asante ndugu zangu wa Msongola kwa wimbo mzuri,tujiepushe na kiburi Cha uzima

  • @martinmhando8351
    @martinmhando8351 Před měsícem

    Hongereni sana kwa uimbaji mzuri. Despina na Mwl Mwita pamoja na organist Baraka haunaga kazi mbovu

  • @nyimbotamu
    @nyimbotamu Před rokem +14

    Yaani kama tungekua tunatafakari maneno haya mazito katika mioyo yetu Mungu ataturehemu, barikiwa sana Mwita Isaac, Mungu akukirimie neema sana, huwa unanibariki sana @franklinOrganist

  • @kasalakasala7417
    @kasalakasala7417 Před 5 měsíci +1

    Hakika nimebarikiwa kupitia wimbo huu mzuri. Hongera sana mtunzi

  • @user-lg8lq1jv7w
    @user-lg8lq1jv7w Před 6 měsíci +1

    Hakika wimbo mzuri sana na unaotafakisha, mbarikiwe wote

  • @juliusdanson225
    @juliusdanson225 Před 10 měsíci +2

    Jamani nafarijika sana kwa wimbo huu unanikumbusha kumrudia mungu nakujitahidi kutenda mwema, hongereni mungu awabariki❤❤

  • @immaoyugi1286
    @immaoyugi1286 Před 9 měsíci +1

    Wimbo mzuri wa kutafakari🙏

  • @cathywalwit5437
    @cathywalwit5437 Před rokem +2

    Mungu azidi kuwategemeza hakika mmeutendea haki wimbo huu sauti zenye utulivu hakika tumrudie Mungu tuachane na kiburi cha uzima mbarikiwe

  • @georgemhindi9961
    @georgemhindi9961 Před rokem +1

    Hongereni kwa wimbo mzuri na sauti tamu,pia organist punguza muda wa free organ,unakuwa mrefu

  • @marypirian4236
    @marypirian4236 Před 11 dny

    Daaaah...!
    Baba yetu aliye Mtakatifu sana aturehemu 🙏🙏🙏

  • @JustinMalipanga-wg6we
    @JustinMalipanga-wg6we Před 8 měsíci +1

    KAZI nzuri kila kitu ni bora hongereni sana

  • @user-fi5ml8th6w
    @user-fi5ml8th6w Před 9 měsíci +1

    Wimbi mzur sna unatugusa san

  • @edwinotieno9189
    @edwinotieno9189 Před 11 měsíci +1

    Mwenye alifanya utafsiri alikosea pakubwa.
    Wimbo tamu sana

  • @lilianalara8007
    @lilianalara8007 Před 10 měsíci +1

    Sauti nzuri God bless you for Good job🎉

  • @cosmasbarnabas4927
    @cosmasbarnabas4927 Před 10 měsíci +2

    Wimbo flani hivi wenye mguso wa tofauti.Hongera kwa mtunzi, mpiga kinanda, Waimbaji na timu nzima ya production kwa ujumla

  • @user-yj8xx4we1s
    @user-yj8xx4we1s Před 4 měsíci +1

    Kweli ni meukubali

  • @FelisterKazimili-lk3qo
    @FelisterKazimili-lk3qo Před 10 měsíci +1

    Kwakweli tukiacha kiburi Cha uzima tutaishi maisha Yale yampendezayo mungu na mwanadam

  • @jamesmwita2995
    @jamesmwita2995 Před 11 měsíci +1

    Tafakari nzui sana hongren waimbaji na mtunzi pia

  • @JOHNMAGEZI-er6pl
    @JOHNMAGEZI-er6pl Před 4 měsíci +1

    Nimeipenda

  • @herrykifikilo7821
    @herrykifikilo7821 Před 11 měsíci +1

    hakikaa ujumbee mzitoo

  • @user-ex1nd6so6d
    @user-ex1nd6so6d Před 11 měsíci +1

    Hongereni sana wanakwaya wetu

  • @shayobeatuscasmiri2981
    @shayobeatuscasmiri2981 Před 10 měsíci +1

    Good message. Mbarikiwe

  • @irenekibaho4549
    @irenekibaho4549 Před 11 měsíci +1

    Dada mungu awabarikiri

  • @runyankolecatholictv8227
    @runyankolecatholictv8227 Před 9 měsíci +2

    nice...my favourite Despina love you

  • @dokctv_dokccatholic
    @dokctv_dokccatholic Před 11 měsíci +2

    🙏

  • @menancemhombwe2267
    @menancemhombwe2267 Před 11 měsíci

    Naweza changiaje kazi nzuri kama hii. Dah Despina kama kawaida yako

  • @AloyceMdollo
    @AloyceMdollo Před 11 měsíci +1

    Mungu awabariki sana

  • @justinekereri7445
    @justinekereri7445 Před 4 dny

    MUNGU WA HURUMA AWATUNZE SANA.MNA UJUMBE KIKWELIKWELI.

  • @rahmapanga8845
    @rahmapanga8845 Před 11 měsíci +1

    Mungu tuondolee kiburi Cha uzima, tujalie kukutambua na kukupenda na tuufuate yenye kukupendezeza, hongera sana Regina na wote mloshiriki, God bless you all

  • @januarius-js2xl
    @januarius-js2xl Před rokem +1

    Hongera sana...Kama kawaida Dada despina Huwa haniangushi... nawapenda sana..sauti 🔥🔥🔥🔥🔥

  • @andrewngatunga7837
    @andrewngatunga7837 Před rokem +1

    Ukatoliki imara mbarikiwa sana🎉🎉🎉🎉

  • @simonthongori8586
    @simonthongori8586 Před rokem +1

    Kiburi kwa kweli ni adui kwa roho zetu Mungu tipe ujasiri wa kutenda mema. Barikiweni sana , Wimbo unao nena na nyoyo zetu kweli .

  • @revaniakataga8070
    @revaniakataga8070 Před rokem +1

    Hongereni sana wanakwaya kwa kazi nzuri sana Mungu awabariki sana

  • @user-ii5qn4cp1u
    @user-ii5qn4cp1u Před rokem +1

    Hongeleni Sana wanakwaya wetu

  • @ExaveryNgonji-hl6ym
    @ExaveryNgonji-hl6ym Před rokem +1

    Hii ni hatali ngoma kali sana mmbalikiwe sana

  • @laurianntuja5507
    @laurianntuja5507 Před rokem +1

    Jaman mm nimebarikiwa mno na wimbo huu dah naombeni copy

  • @erickmomanyi9644
    @erickmomanyi9644 Před rokem +1

    Napenda, good job.

  • @HOLYTRINITYSTUDIOS
    @HOLYTRINITYSTUDIOS Před rokem +1

    Hongera Galaxy Pro

  • @plannerkasina488
    @plannerkasina488 Před rokem +1

    Wimbo una ujumbe mzito kweli. Asanteni sana

  • @ericluminator
    @ericluminator Před 4 měsíci +1

    Nice message

  • @Valerie365
    @Valerie365 Před rokem +1

    Achana kabisa na kiburi cha uzima. 🔥🔥🔥

  • @cosmasbarnabas4927
    @cosmasbarnabas4927 Před 10 měsíci +2

    Naamini Mungu anamimina baraka tele kwako Mwita Isack kwa tungo hizi.Tangu ule wimbo wa ''Una thamani...'' hakika umeonesha kuwa una utulivu wa nafsi kila unapotunga wimbo

    • @mwitaisack9582
      @mwitaisack9582 Před 10 měsíci

      Amina kaka Mungu ni mwema.

    • @pirminmbawala8454
      @pirminmbawala8454 Před 5 měsíci

      Hakika huu wimbo umetungwa na kutungika. Hongera walimu na waimbaji wa wimbo huu. Umeimba kwa hisia kubwa Kama malaika. Hakika Mungu awainue. Pia tumejifunza kuuimba huu wimbo ni wiki Sasa. Yani huu wimbo unaleta muamsho mkubwa Sana wa kuishi Mbinguni.

    • @pirminmbawala8454
      @pirminmbawala8454 Před 5 měsíci

      Mtunzi wewe kiwango chako sitaki hata kukizungumzia, maana sijui umeutoa wapi huu utamu hebu ona "namaagiiiizo yako hataki" sauti ya 4 umetupa Raha Sana. Naomba namba yako. Sio kwa kuupiga mwingi huko

  • @magrethmdemu3985
    @magrethmdemu3985 Před 11 měsíci +1

    Umenigusa sana .Mungu Akubariki Mtunzi 🎉

  • @amambiastephen178
    @amambiastephen178 Před rokem +1

    Kila kitu kizuri! Baraka tele!

  • @deokessy6596
    @deokessy6596 Před 5 měsíci +1

    Evangelical voice

  • @olivernyakiage954
    @olivernyakiage954 Před rokem +1

    Hongera wanakwaya, Mwita hukosei hata big up bro.

  • @JacksonKanzira-wp3wt
    @JacksonKanzira-wp3wt Před rokem +2

    Hongereni sana wote mlioshiriki kuikamilisha kazi nzuri hii (Mtunzi, waimbaji, Studio audio-video, organist...). Mungu awabariki !

  • @JOHNMAGEZI-er6pl
    @JOHNMAGEZI-er6pl Před 4 měsíci +1

    Mwimb huh umenifanya nifikirie mamb meng xana

  • @despinae.mdende
    @despinae.mdende Před rokem +1

    Hongeren sana Wana kwaya,hongera Sana Mwalimu Mwita Kwa wimbo huu Mzuri .Hongera The Galaxy pro Kwa kazi Bora zaid.

  • @blandinabugomba9226
    @blandinabugomba9226 Před 10 měsíci +1

    Hongera sana ❤❤❤

  • @richardtiganya9559
    @richardtiganya9559 Před 10 měsíci

    Wapendwa Wanakwaya kwa wimbo huu mnaingia vizuri katika maisha yetu ambayo wakati fulani yanagubikwa na kiburi kitokacho katika tukiwazacho au tulichonacho na hivi kumweka kando Muumbaji. Heko shime songa mbele ktk kutangaza Injili. Wimbo tafakarisha Sana!

  • @yorandayorandan4018
    @yorandayorandan4018 Před 11 měsíci

    Mmejua kunibariki sana mm mtoto wa kichaka nibarikiwa mno sio siri

  • @josephmunene4010
    @josephmunene4010 Před rokem +1

    Nyimbo zenu hubariki. Asanteni.

  • @tempochoir
    @tempochoir Před 6 měsíci +1

    Awesome ❤

  • @mercywakola
    @mercywakola Před rokem +1

    Barikiweni sana,kazi nzuri

  • @alfredandunguru4505
    @alfredandunguru4505 Před 10 měsíci +3

    So proud to be Catholic,

  • @SirJames065
    @SirJames065 Před rokem +1

    Wimbo mzuri..

  • @TanasBall
    @TanasBall Před 2 měsíci

    Kazi nzuriii mbarikiwe sanaaa❤❤❤❤

  • @josminimsigwa5146
    @josminimsigwa5146 Před rokem +1

    Kazi na ibarikiwe 🙏🙏

  • @user-bv9or2lo2w
    @user-bv9or2lo2w Před 5 měsíci +1

    Nice piece with good message and creativity ❤❤

  • @mathayolameck6461
    @mathayolameck6461 Před 4 měsíci +1

    Kazi nzuri sana kaka Mungu aendelee kukuinua zaid na zaidi lakini naomba namba yako mtunzi wa huu wimbo

  • @benyjoseph949
    @benyjoseph949 Před rokem +1

    Wooooow wooo huu wimbo ndo nilikuwa nausubiri kwa Hama ❤❤❤

  • @HeriusMatiku-kp9iy
    @HeriusMatiku-kp9iy Před rokem +1

    Ujumbe mzur Mungu awbariki sana ndg zangu 🙏

  • @veronicangota3532
    @veronicangota3532 Před 8 měsíci

    Kazi njema ✔️

  • @TM.254
    @TM.254 Před rokem +1

    Kazi zuri mno ya kupendeza. That's why i love @Galaxy pro🔥. Clear production. Instrumentals are best

  • @user-ov5fj9vl7i
    @user-ov5fj9vl7i Před 11 měsíci

    Mungu azidi kuinua kipaji chako,, nyimbo nzuri sana,,,#unadhaman na huu wimbo huu nk. Nsiku nikija Dr nitakutafuta. Mungu akubariki sana

  • @mercymburu8227
    @mercymburu8227 Před 10 měsíci +1

    Wimbo una maneno ya ushauri🙏🙏🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @odettevianney3026
    @odettevianney3026 Před rokem +1

    Wimbo mzuri kuanzia maudhui hadi sauti na mpangilio mzima. Hongereni sana😊

  • @heavenlymusicproduction4360

    Safi sana kazi nzuri sana hio❤❤

  • @fabiansululi7511
    @fabiansululi7511 Před 7 měsíci +1

    Aloo ❤

  • @fumeme0991
    @fumeme0991 Před rokem +2

    What a sweet music 🎶, am blessed a lot. Asante sana Galaxy pro, waimbaji, mtunzi.Naomb kwa mwenye huu utukufu (music notes) wakuu anisaidie ..🙏🙏

  • @TheopisterAlfledy
    @TheopisterAlfledy Před měsícem

    ❤ Safi san

  • @wise_d_tz
    @wise_d_tz Před 11 měsíci

    inagusa sana what a song #nzuri mnoo #we are blessed

  • @patrickorganist8554
    @patrickorganist8554 Před rokem

    Eeh.. maneno yaliyo na mashiko sana na tafakari...Mungu awabariki🥲😢😥❤❤

  • @MasindePeter-tm1qk
    @MasindePeter-tm1qk Před rokem

    Tumwombe Mungu aendelee kuwatia nguvu na kutuepusha na kiburi cha uzima

  • @christinekimani7738
    @christinekimani7738 Před 11 měsíci +2

    Bravo 🎉,🇰🇪🇰🇪🇰🇪 Beautiful song

  • @user-xz4sm7qn5l
    @user-xz4sm7qn5l Před 10 měsíci +1

    I love this song it the best

  • @sheilajepkorir2386
    @sheilajepkorir2386 Před 8 měsíci

    Finally despina ♥️