Kijana Isack Mwita umekuwa Sasa baba hongera Pokea Maua yako kaka❤❤❤❤ hongera waimbaji mmefanya vyema maneno na ujumbe umesikika vyema sauti nyororo Kama za Malaika keep going on ❤❤
Jamani cjui nisemeje huu wimbo unatukumbusha maisha tunayoishi kwa sasa hebu tubadilike Mungu peke yake anatosha katika maisha yetu asante mtunzi kwa kutukumbusha
Yaani kama tungekua tunatafakari maneno haya mazito katika mioyo yetu Mungu ataturehemu, barikiwa sana Mwita Isaac, Mungu akukirimie neema sana, huwa unanibariki sana @franklinOrganist
Mungu tuondolee kiburi Cha uzima, tujalie kukutambua na kukupenda na tuufuate yenye kukupendezeza, hongera sana Regina na wote mloshiriki, God bless you all
Naamini Mungu anamimina baraka tele kwako Mwita Isack kwa tungo hizi.Tangu ule wimbo wa ''Una thamani...'' hakika umeonesha kuwa una utulivu wa nafsi kila unapotunga wimbo
Hakika huu wimbo umetungwa na kutungika. Hongera walimu na waimbaji wa wimbo huu. Umeimba kwa hisia kubwa Kama malaika. Hakika Mungu awainue. Pia tumejifunza kuuimba huu wimbo ni wiki Sasa. Yani huu wimbo unaleta muamsho mkubwa Sana wa kuishi Mbinguni.
Mtunzi wewe kiwango chako sitaki hata kukizungumzia, maana sijui umeutoa wapi huu utamu hebu ona "namaagiiiizo yako hataki" sauti ya 4 umetupa Raha Sana. Naomba namba yako. Sio kwa kuupiga mwingi huko
Wapendwa Wanakwaya kwa wimbo huu mnaingia vizuri katika maisha yetu ambayo wakati fulani yanagubikwa na kiburi kitokacho katika tukiwazacho au tulichonacho na hivi kumweka kando Muumbaji. Heko shime songa mbele ktk kutangaza Injili. Wimbo tafakarisha Sana!
Hongera sana sana kwa kazi ya kitume
Kijana Isack Mwita umekuwa Sasa baba hongera Pokea Maua yako kaka❤❤❤❤ hongera waimbaji mmefanya vyema maneno na ujumbe umesikika vyema sauti nyororo Kama za Malaika keep going on ❤❤
Naomba namba za simu ya mtunzi isack mwita 🔥🔥🔥🔥🔥... waimbaji wako 🔥🔥🔥🔥🔥
Jaman mbona nyimbo tamu Sana huyumtunzi sijui Alifikilia nini maana Mimi naisikia inaoigia ndani ya moyo Wangu Hakika Mwenyezi Mungu Nimwema Sana
❤
Amina dadangu Mungu ni mwema
❤❤❤ isac wewe ni kiboko hongera sana despiner na washiliki wote
Amen... Amen.... Amen 🙏🙏🙏wimbo mzur san huu jmn. Mbarkiwe san
Ah ah!!! Hongera sana wakubwa afu the Galaxy mbon mmekuwa hivyo?? Mungu azidi kuwakirimia mara mia
Hongera dada despina na wanakwaya wote Hongera kwa mwalimu organist
Hongera Sana kwa utume wa uinjilishaji. Dada Despina na wanakwaya kwa ubora wenu, na mtunzi pia ni hatari!!
congratulations imekaa vema naomba number za mtunzi mwita isack
Huu wimbo mzuri Sana,maneno, melody yake vimetufikishia ujumbe huu mzuri.Kinanda saaaafiiiiíi,free organ ingekua fupi kidogo
Good message. Hongereni😊
Ubarikiwe sana Mwita
Hakika huu wimbo ni mzuri sana unanibariki mno hongera sana mtunzi umefanya kazi kubwa Mungu akubariki
Najivunia ukatoliki wangu mpaka kufa❤
Hongerenisana kwawimbo mzuri mmno
Hongera kwa mtunzi pia
Hongereni Sana Kwa uinjilishaji Mungu aendelee kuwabariki❤
Nawapenda kwa utume huo mwema na mzuri Sister Daspina hakika napenda uimbaji wako nyote kwa ujumla
❤kazi nzuri sana God bless you all
Nabalikiwa na huu wimbo barikiwa sanaaa
Yaaani kila nyimbo yako Mwl ni nzurii hutamani kukosa barikiwa Mtumishi Mungu akutunze
Barikiwa sana mtunzi/mtani Mwita na waimbaji Kwa ujumla mmenitafakarisha kukumbuka na kutenda yaliyo mema hongera sana
Jamani cjui nisemeje huu wimbo unatukumbusha maisha tunayoishi kwa sasa hebu tubadilike Mungu peke yake anatosha katika maisha yetu asante mtunzi kwa kutukumbusha
Najivunia kuwa mkatoliki,Asante ndugu zangu wa Msongola kwa wimbo mzuri,tujiepushe na kiburi Cha uzima
Hongereni sana kwa uimbaji mzuri. Despina na Mwl Mwita pamoja na organist Baraka haunaga kazi mbovu
Yaani kama tungekua tunatafakari maneno haya mazito katika mioyo yetu Mungu ataturehemu, barikiwa sana Mwita Isaac, Mungu akukirimie neema sana, huwa unanibariki sana @franklinOrganist
M
Kuyatafakari na kuyatenda maelezo ya wimbo huu.
Hakika nimebarikiwa kupitia wimbo huu mzuri. Hongera sana mtunzi
Hakika wimbo mzuri sana na unaotafakisha, mbarikiwe wote
Jamani nafarijika sana kwa wimbo huu unanikumbusha kumrudia mungu nakujitahidi kutenda mwema, hongereni mungu awabariki❤❤
Bravo,bravo,bravo❤❤❤
Wimbo mzuri wa kutafakari🙏
Mungu azidi kuwategemeza hakika mmeutendea haki wimbo huu sauti zenye utulivu hakika tumrudie Mungu tuachane na kiburi cha uzima mbarikiwe
Hongereni kwa wimbo mzuri na sauti tamu,pia organist punguza muda wa free organ,unakuwa mrefu
Daaaah...!
Baba yetu aliye Mtakatifu sana aturehemu 🙏🙏🙏
KAZI nzuri kila kitu ni bora hongereni sana
Wimbi mzur sna unatugusa san
Mwenye alifanya utafsiri alikosea pakubwa.
Wimbo tamu sana
Sauti nzuri God bless you for Good job🎉
Wimbo flani hivi wenye mguso wa tofauti.Hongera kwa mtunzi, mpiga kinanda, Waimbaji na timu nzima ya production kwa ujumla
Kweli ni meukubali
Kwakweli tukiacha kiburi Cha uzima tutaishi maisha Yale yampendezayo mungu na mwanadam
Tafakari nzui sana hongren waimbaji na mtunzi pia
Nimeipenda
hakikaa ujumbee mzitoo
Hongereni sana wanakwaya wetu
Good message. Mbarikiwe
Dada mungu awabarikiri
nice...my favourite Despina love you
🙏
Naweza changiaje kazi nzuri kama hii. Dah Despina kama kawaida yako
Mungu awabariki sana
MUNGU WA HURUMA AWATUNZE SANA.MNA UJUMBE KIKWELIKWELI.
Mungu tuondolee kiburi Cha uzima, tujalie kukutambua na kukupenda na tuufuate yenye kukupendezeza, hongera sana Regina na wote mloshiriki, God bless you all
Hongera sana...Kama kawaida Dada despina Huwa haniangushi... nawapenda sana..sauti 🔥🔥🔥🔥🔥
Ukatoliki imara mbarikiwa sana🎉🎉🎉🎉
Kiburi kwa kweli ni adui kwa roho zetu Mungu tipe ujasiri wa kutenda mema. Barikiweni sana , Wimbo unao nena na nyoyo zetu kweli .
Hongereni sana wanakwaya kwa kazi nzuri sana Mungu awabariki sana
Hongeleni Sana wanakwaya wetu
Hii ni hatali ngoma kali sana mmbalikiwe sana
Jaman mm nimebarikiwa mno na wimbo huu dah naombeni copy
Napenda, good job.
Hongera Galaxy Pro
Wimbo una ujumbe mzito kweli. Asanteni sana
Nice message
Achana kabisa na kiburi cha uzima. 🔥🔥🔥
Naamini Mungu anamimina baraka tele kwako Mwita Isack kwa tungo hizi.Tangu ule wimbo wa ''Una thamani...'' hakika umeonesha kuwa una utulivu wa nafsi kila unapotunga wimbo
Amina kaka Mungu ni mwema.
Hakika huu wimbo umetungwa na kutungika. Hongera walimu na waimbaji wa wimbo huu. Umeimba kwa hisia kubwa Kama malaika. Hakika Mungu awainue. Pia tumejifunza kuuimba huu wimbo ni wiki Sasa. Yani huu wimbo unaleta muamsho mkubwa Sana wa kuishi Mbinguni.
Mtunzi wewe kiwango chako sitaki hata kukizungumzia, maana sijui umeutoa wapi huu utamu hebu ona "namaagiiiizo yako hataki" sauti ya 4 umetupa Raha Sana. Naomba namba yako. Sio kwa kuupiga mwingi huko
Umenigusa sana .Mungu Akubariki Mtunzi 🎉
Amina 🙏
Kila kitu kizuri! Baraka tele!
Evangelical voice
Hongera wanakwaya, Mwita hukosei hata big up bro.
Hongereni sana wote mlioshiriki kuikamilisha kazi nzuri hii (Mtunzi, waimbaji, Studio audio-video, organist...). Mungu awabariki !
Mwimb huh umenifanya nifikirie mamb meng xana
Hongeren sana Wana kwaya,hongera Sana Mwalimu Mwita Kwa wimbo huu Mzuri .Hongera The Galaxy pro Kwa kazi Bora zaid.
Hongera sana ❤❤❤
Wapendwa Wanakwaya kwa wimbo huu mnaingia vizuri katika maisha yetu ambayo wakati fulani yanagubikwa na kiburi kitokacho katika tukiwazacho au tulichonacho na hivi kumweka kando Muumbaji. Heko shime songa mbele ktk kutangaza Injili. Wimbo tafakarisha Sana!
Mmejua kunibariki sana mm mtoto wa kichaka nibarikiwa mno sio siri
Nyimbo zenu hubariki. Asanteni.
Awesome ❤
Barikiweni sana,kazi nzuri
So proud to be Catholic,
Wimbo mzuri..
Kazi nzuriii mbarikiwe sanaaa❤❤❤❤
Kazi na ibarikiwe 🙏🙏
Nice piece with good message and creativity ❤❤
Kazi nzuri sana kaka Mungu aendelee kukuinua zaid na zaidi lakini naomba namba yako mtunzi wa huu wimbo
Wooooow wooo huu wimbo ndo nilikuwa nausubiri kwa Hama ❤❤❤
Ujumbe mzur Mungu awbariki sana ndg zangu 🙏
Kazi njema ✔️
Kazi zuri mno ya kupendeza. That's why i love @Galaxy pro🔥. Clear production. Instrumentals are best
Mungu azidi kuinua kipaji chako,, nyimbo nzuri sana,,,#unadhaman na huu wimbo huu nk. Nsiku nikija Dr nitakutafuta. Mungu akubariki sana
Amina sana
Wimbo una maneno ya ushauri🙏🙏🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Wimbo mzuri kuanzia maudhui hadi sauti na mpangilio mzima. Hongereni sana😊
Safi sana kazi nzuri sana hio❤❤
Aloo ❤
What a sweet music 🎶, am blessed a lot. Asante sana Galaxy pro, waimbaji, mtunzi.Naomb kwa mwenye huu utukufu (music notes) wakuu anisaidie ..🙏🙏
❤ Safi san
inagusa sana what a song #nzuri mnoo #we are blessed
Eeh.. maneno yaliyo na mashiko sana na tafakari...Mungu awabariki🥲😢😥❤❤
Tumwombe Mungu aendelee kuwatia nguvu na kutuepusha na kiburi cha uzima
Bravo 🎉,🇰🇪🇰🇪🇰🇪 Beautiful song
I love this song it the best
Finally despina ♥️