Nimesikiliza huu wimbo more than 10 times. Ujue katika ujana kuna mambo unapitia mpk unajiona huwez ata ingia malangoni mwa nyumba ya Bwana yani unajiona kama ata ukiomba Mungu hawezi kukusikia ila baada ya kusikiliza huu wimbo aloooh am so blessed na napata nguvu sana ya kumwambia shetani mm sio wa kwako kweli niliteleza ila mm nina baba yangu na anasubiri nirud kwake
Kwa Kweli ukisikiliza vizuri wimbo huu, mambo 10 yanaweza kutokea: 1. Machozi 2. Tiba ya stress 3. Dawa ya anaekaribia kujinyonga. Atapona 4. Utaiona huruma ya Mungu 5. Utajuta dhambi 6. Utakusudia kuacha dhambi 7. Utaungama dhambi zako 8. Utaenda kanisani kila wakati 9. Utajiona mwenye thamani kubwa 10. Utarudia kuusikiliza.
Asante kwa wimbo mzur,,, Zaid Sana ashukuriwe aliye juu kwa sabb pamoja na mapungufu yetu lakini bado tunathamani ni wimbo ambao unatupa faraja kwa mapito tunayopitia katika ulimwengu huu nasema Tena Asante Mungu kwa thamani uliyotupa sisi binadamu sifa na utukufu zikurudie
nikijihisi kukata tamaa nasikiliza huu wimbo unanitia moyo sanaa na kunifanya nipate nguvu mpya. sijaja duniani kuzurula ni kusudi maalum la Mungu niwepo hapa hongereni kwa kazi njema
Tafakari kubwa sana, Hongera mtunzi kwa utunzi bora! Nackiliza kutokea Parokia ya Mt. Benedicto Peramiho, kigango cha Nguvumoja! Jimbo kuu katoliki la SONGEA
Mda mwingine mwanadam huonekana kama hastahiki kuwa mwanadam na wanadamu wenzake lakini Mungu aijuae tahamani ya mwanae hajawahi ithamanisha thamani ya mwanadamu na chochote kile alichokiumba, nizaidi ya dhahabu iliyoopolewa tanuruni thamani ya mwanadamu kwa Mungu wetu................
Dah, me Huwa ni mgumu sana kusifia kitu lakini hapa uzalendo umenishinda! Ndg hauimbwi sana Kwa watunzi lakin sijawahi ona kitu Cha bla bla Toka kwakotoka nianze kusikia nyimbo zako! Hii ni zawadi muhimu sana kwangu Kwa kipindi hiki Cha kuuaga mwaka 2022, hongereni sana Kwa kazi nzr, soprano mmeuaaaa, no comment
Nimesikiliza huu wimbo more than 10 times. Ujue katika ujana kuna mambo unapitia mpk unajiona huwez ata ingia malangoni mwa nyumba ya Bwana yani unajiona kama ata ukiomba Mungu hawezi kukusikia ila baada ya kusikiliza huu wimbo aloooh am so blessed na napata nguvu sana ya kumwambia shetani mm sio wa kwako kweli niliteleza ila mm nina baba yangu na anasubiri nirud kwake
Barikiwa sana 🙏
Nimeutafuta sana huu wimbo hatimaye nimeupata,,,,, wimbo mzuri sichoki kuusikiliza unanitia moyo na kujiona wa Thamani
Barikiwa zaidi na utunzi wa mwita isack hapa czcams.com/video/ZkqeC2bhzsk/video.html
Wimbo unanitiaga moyo sana jaman mbarikiwe sana waimbaji pamoja na mtunz
Isack Mwita nimekuelewa,nyimbo zako zinagusa sana,M/Mungu akutunze,
Kwa Kweli ukisikiliza vizuri wimbo huu, mambo 10 yanaweza kutokea:
1. Machozi
2. Tiba ya stress
3. Dawa ya anaekaribia kujinyonga. Atapona
4. Utaiona huruma ya Mungu
5. Utajuta dhambi
6. Utakusudia kuacha dhambi
7. Utaungama dhambi zako
8. Utaenda kanisani kila wakati
9. Utajiona mwenye thamani kubwa
10. Utarudia kuusikiliza.
Barikiwa sana kaka
@@mwitaisack9582 nimefulahia nikiwa zanzibar asante sana
Kwel kabisa nimejikuta nipenda no 9 najiona wa thaman Sana hasa nikiskiliza ubeti wa pili 🙏🙏
Toka nimeufahamu nasikiliza kila siku
Very true
Nimejazwa na roho mtakatifu baada yakusikiza wimbo huu hongera kwa mtunzi.
"Ingawa nanguka dhambini kwa Mungu ninadhamani" huu wimbo unaniongelesha❤
Huu wimbo mzuri wakati upo chini kabisa unahisi mungu yupo karibu. Asanteni kwa wale walioimba mungu awabariki mguze nyoyo za watu
Mbarikiwe sana. Kazi ni nzuri mno
Ni Mungu pekee aijuae thamani yako🙏🙏🙏
A very nice song, and it makes us feel God's endless mercy🙏
Usijishushe Dhamani yako kwa Mungu haiwezi kushushwa na Mwanadamu ...na wala hatukuumbwa kwa Bahati Mbaya...Asante sana kwa Zawadi ya Upendo.
INADHAMANI.
Nauona uwepo wa Mungu kila Napo sikia Nyimbo hii. Hakika Mungu awabariki sana. Hio sauti ya tatu hapo mliniweza sanaaa. Be blessed
Hakika kwa Mungu Una Thamani. Mmetutafakarisha sana Wapendwa.
Nikisikia wimbo huu huwa nafarijika sana,pia unanifanya nijitabue kuwa nami kwa mungu ninathamani
Moja Kati ya tungo bora uliotunga ni hii ,, hongera sana mtunzi na waimbaji pia mpiga kinanda ,mmefanya kazi nzuri sana
Hii ndio zawadi pekee aliyonipa mungu kusikiliza nyimbo Kama hizi
Waimbaji wote hongoreni sana sauti pia Zina farijinsana
Mr Isaac this is hilarious, we are being blessed by your Melodies. Glory to our Lord and Saviour Yeshua 🎉
Congratulations a beautiful song, indeed we precious before God amen.
kwa Mungu una thamani🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰
Naona uwepo wa Mungu kwangu mpaka Sasa hivi.
Hongera kwa tunzo na sauti nzuri
huu wimbo jamani mbona ukitaka kudownload aupatikani
Ujumbe mzuri unatia Sana Moyo, hata video nzuri, Kazi nzuri Sana🔥🔥🔥
Binafsi nawapenda kwa utume wenu mwema napenda pia utume wangu wa uimbaji.
Ninasikilisa wimbo huu tamu kutoka parokia ya Augostino jimbo kuu la lodwar,,turkana county, Kenya❤❤
Ujumbe mzuri
Shukrani sana mwl nimekuelewa maana nilikuwa najua kama mchezo." Hakika unathamani"🙏🙏
Amina..wimbo unabariki sana
Asante kwa wimbo mzur,,, Zaid Sana ashukuriwe aliye juu kwa sabb pamoja na mapungufu yetu lakini bado tunathamani ni wimbo ambao unatupa faraja kwa mapito tunayopitia katika ulimwengu huu nasema Tena Asante Mungu kwa thamani uliyotupa sisi binadamu sifa na utukufu zikurudie
Daaaaaaa hongera sana mtunzi pamoja na waimbaji
congratulate to a good song
Jamni mnaimba vizuri naomba kuimba pamoja nanyi
Hakika kwa mungu ninathamani kubwa ,hili tungo limenipa moyo sana
Hakika kwa Mungu nina thamani
Wimbo mzuri sana
Mungu akuzidishie kipawa mzee mwita ,,,Mimi na kwaya yangu tunakupenda bure❤❤❤❤
Amina 🙏 sana
Hakika wimbo ni mzuri tena ubarikiwe sana mtunzi,kupitia wimbo huu nimefarijika sana kwa mapito ninayopitia
Mmeupiga mwingi, hongera kwa mtunzi, tungo iko njema na waimbaji pia mmeutendea haki
Asante kwa wimbo huu ina nipa nguvu
Ahsanteni kwa wimbo huu wenye kutibu mioyo iliyovunjika.
Asante Mungu Kwa wimbo huu mzuri. Unatukumbusha thamani yetu wanadamu.
🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🎙️🥰
Despina, hatuwaoni siku hizi, nini changamoto. Tumezimis kazi zenu takatifu
Kwa kweli hongera sana mtunzi nimebarikiwa sana na huu wimbo🙏🙏🙏
Amina sifa na utukufu vimrudie aliyetupatia hizi talanta
So Nice...Hatukuumbwa kwa Bahati Mbaya...
Mungu anaijua dhamani yako.
Hongera sana mwalimu
Bonge moja la song. Mwita weee unajua aisee. Hizi ndio nyimbo sasa za kikatoliki
❤❤❤❤tumeupiga mwingi
Nyimbo ni nzuri sana kupita kiasi waimbaji wameimba vizuri sauti IPO standard na HD video. KWA MUNGU UNATHAMANI
nikijihisi kukata tamaa nasikiliza huu wimbo unanitia moyo sanaa na kunifanya nipate nguvu mpya. sijaja duniani kuzurula ni kusudi maalum la Mungu niwepo hapa
hongereni kwa kazi njema
Have been blessed. Kwa Mungu nina dhamani .Barikiweni sana . I love 😍 this song.
Kazi nzuri Sana barikiwa kwa hilo
Kazi Safi sana
#Hongera sana Kaka Mwita Kwa Utunzi Mzurii..
Broo nimekuelewa ila hiyo nyimbo na ihitaji nakala yake kama hautajali
Kiukweli ubarikiwe mtunzi na waimbaji wote nimefarijika mno hongera sana
Mungu ni mwema kila wakati kwa Mungu kila mtu ana thamani kwake
Hongereni sana waimbaji 👏👏👏
Hongereni kwa kazi nzuri
Kongole kwao kazi nzuri inatutia matumaini.
Daaah brother mmeupiga mwing all the Best kwa KAZI zingingine
🙏
Ni mungu pekee,hakuna zaid mungu baba,,
Ninayo dhamani Kwa kweli mbele yako ewe mungu...hutachoka kuniongoza mungu wangu Kwa kuwa upendo wako hauna masharti.Amina
The greatest hit from Mwita....the harmony is so sweet
Tafakari kubwa sana, Hongera mtunzi kwa utunzi bora! Nackiliza kutokea Parokia ya Mt. Benedicto Peramiho, kigango cha Nguvumoja! Jimbo kuu katoliki la SONGEA
Amina 🙏
Nasikiliza kutoka kigango Cha Mt Petro ibulyu parokia ya Mt john Bariadi
Mtunzi hongera sana sana
Mda mwingine mwanadam huonekana kama hastahiki kuwa mwanadam na wanadamu wenzake lakini Mungu aijuae tahamani ya mwanae hajawahi ithamanisha thamani ya mwanadamu na chochote kile alichokiumba, nizaidi ya dhahabu iliyoopolewa tanuruni thamani ya mwanadamu kwa Mungu wetu................
Nice song
Safi sana wapendwa,wimbo mzuri na mmeutendea haki
Mungu awabariki mno, kazi nzuri
True. Kwa Mungu kila mtu anathamani. Asante Mungu.
Mmeimba vizur Sana mbarikiwa Sana, Ila kwa video aliesolo kaimba vizur Sana Ila hafungui midomo
Pamoja na udhaifu wa kininadamu, kwa mungu unathani,ingawa wa angular dhambini kwa mungu unathamani❤my favorite song ❤❤
Dah, me Huwa ni mgumu sana kusifia kitu lakini hapa uzalendo umenishinda!
Ndg hauimbwi sana Kwa watunzi lakin sijawahi ona kitu Cha bla bla Toka kwakotoka nianze kusikia nyimbo zako!
Hii ni zawadi muhimu sana kwangu Kwa kipindi hiki Cha kuuaga mwaka 2022, hongereni sana Kwa kazi nzr, soprano mmeuaaaa, no comment
Thanks broo na Mungu atukuzwe
Kiukwel mwimbo mtam Sana narudia kila Mara 🙏🙏🙏
Najisikia amani kubwa sana moyoni wimbo huu unanifariji
Beautiful song and voices🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Kamwe ulisilie na Usikate Tamaa..Mungu anaijua Dhamani yako..
Tujinasua kuanguka dhambini
Bless song much i love it
Kaka, wimbo nzuri sana na utunzi mahiri kweli..
Asante sana mkuu
Asante kwa nyimbo nzuri zinautukufu mnoo barikiwa sana Mwl
Amina 🙏
Wimbo mnzur Sana.... hongereni
A very nice song
Wow ❤ I love your song
Keep it up
Nimeipenda Sana hii wimbo mungu azidi kukuzidishia katika utunzi wako🎉
Hakika kwa MUNGU Kuna thamani 🙏🙏🙏🙏
Mungu awabariki sana kwa wimbo huu
Naipenda huu wimbo jaman mpaka nasisimka mwili na roho
Amina Amina Amina!!!
sichoki kusikiliza huu wimbo
Barikiwa sana
Super song
Wimbo mzuri sana una ujumbe mzuri sana
Kaka Isack huu wimbo ufungue ufae kuudaunload.acha uchoyo. Kwa Nia njema kaka.
Bravo 👏🏽 asante eeeeee kubwaaaa
mmmhh kaka isack umeupiga mwingii ni hongeraaa xanaa
Mungu awabariki sana mwimbo mzur sana
Amina
i never get tired to listen this beautiful song & its tone
Amen 🙏
Nice 👍 strong message
Awesome..
Mr Mwita Isack can you share a copy of this beautiful music?
Sasa pdf ya huo wimbo unapatikana swahilimusicnote
@@mwitaisack9582 nimejarbu kudowload video sipati kaka please
Asante sana nimebalikiwa na wimbo huu asubuhi ya leo nimekutana nao facebook kupitia sister akiwa anaimba Mungu awabaliki sana. Kalibuni Zanzibar
Mungu nasema asante kwa zawadi kwa ya upendo wa khali ya juu🙌🏻🤲🏼
I feel touched....wimbo wa kupendeza na wa kutia moyo 🙏🙏🙏be blessed for the good work 🌹♥️🌹👌
Huwa nafarijika sana nikisikiliza hii song.Much blessings to you all ❤
Hakika huu wimbo ni mzuri mnoo umenipa tafakari kubwa sana hadi nmetokwa na machozi. Mbarikiwe sana
This song has really blessed me alot