UNATHAMANI Mwita Isack. MWITA ISACK & FRIENDS

Sdílet
Vložit

Komentáře • 216

  • @user-yi6ze8fh3h
    @user-yi6ze8fh3h Před 11 měsíci +21

    Nimesikiliza huu wimbo more than 10 times. Ujue katika ujana kuna mambo unapitia mpk unajiona huwez ata ingia malangoni mwa nyumba ya Bwana yani unajiona kama ata ukiomba Mungu hawezi kukusikia ila baada ya kusikiliza huu wimbo aloooh am so blessed na napata nguvu sana ya kumwambia shetani mm sio wa kwako kweli niliteleza ila mm nina baba yangu na anasubiri nirud kwake

    • @mwitaisack9582
      @mwitaisack9582 Před 11 měsíci +1

      Barikiwa sana 🙏

    • @ashrafmohamed7966
      @ashrafmohamed7966 Před 8 měsíci +1

      Nimeutafuta sana huu wimbo hatimaye nimeupata,,,,, wimbo mzuri sichoki kuusikiliza unanitia moyo na kujiona wa Thamani

    • @paulgatti21
      @paulgatti21 Před 6 měsíci

      Barikiwa zaidi na utunzi wa mwita isack hapa czcams.com/video/ZkqeC2bhzsk/video.html

    • @duobledrittedeoritte2787
      @duobledrittedeoritte2787 Před měsícem

      Wimbo unanitiaga moyo sana jaman mbarikiwe sana waimbaji pamoja na mtunz

  • @baremaleonard9980
    @baremaleonard9980 Před měsícem +2

    Isack Mwita nimekuelewa,nyimbo zako zinagusa sana,M/Mungu akutunze,

  • @timothychombo9489
    @timothychombo9489 Před rokem +23

    Kwa Kweli ukisikiliza vizuri wimbo huu, mambo 10 yanaweza kutokea:
    1. Machozi
    2. Tiba ya stress
    3. Dawa ya anaekaribia kujinyonga. Atapona
    4. Utaiona huruma ya Mungu
    5. Utajuta dhambi
    6. Utakusudia kuacha dhambi
    7. Utaungama dhambi zako
    8. Utaenda kanisani kila wakati
    9. Utajiona mwenye thamani kubwa
    10. Utarudia kuusikiliza.

  • @evalyneachieng-os3uu
    @evalyneachieng-os3uu Před 5 měsíci +2

    Nimejazwa na roho mtakatifu baada yakusikiza wimbo huu hongera kwa mtunzi.

  • @monicakaranja268
    @monicakaranja268 Před 9 měsíci +5

    "Ingawa nanguka dhambini kwa Mungu ninadhamani" huu wimbo unaniongelesha❤

  • @ElvisNacham-eg8ep
    @ElvisNacham-eg8ep Před měsícem +1

    Huu wimbo mzuri wakati upo chini kabisa unahisi mungu yupo karibu. Asanteni kwa wale walioimba mungu awabariki mguze nyoyo za watu

  • @anataliangalowoka3906
    @anataliangalowoka3906 Před 11 měsíci +2

    Mbarikiwe sana. Kazi ni nzuri mno

  • @thobiasluanda-mg4qf
    @thobiasluanda-mg4qf Před 10 měsíci +2

    Ni Mungu pekee aijuae thamani yako🙏🙏🙏

  • @Musadaniel-l7y
    @Musadaniel-l7y Před měsícem +1

    A very nice song, and it makes us feel God's endless mercy🙏

  • @lucasshirima2880
    @lucasshirima2880 Před rokem +16

    Usijishushe Dhamani yako kwa Mungu haiwezi kushushwa na Mwanadamu ...na wala hatukuumbwa kwa Bahati Mbaya...Asante sana kwa Zawadi ya Upendo.

  • @patricktuseko79
    @patricktuseko79 Před rokem +6

    Nauona uwepo wa Mungu kila Napo sikia Nyimbo hii. Hakika Mungu awabariki sana. Hio sauti ya tatu hapo mliniweza sanaaa. Be blessed

  • @christina40mwangosi97
    @christina40mwangosi97 Před 6 měsíci +1

    Hakika kwa Mungu Una Thamani. Mmetutafakarisha sana Wapendwa.

  • @user-xq9fw5rl5h
    @user-xq9fw5rl5h Před 7 měsíci +2

    Nikisikia wimbo huu huwa nafarijika sana,pia unanifanya nijitabue kuwa nami kwa mungu ninathamani

  • @jamesmwita2995
    @jamesmwita2995 Před rokem +9

    Moja Kati ya tungo bora uliotunga ni hii ,, hongera sana mtunzi na waimbaji pia mpiga kinanda ,mmefanya kazi nzuri sana

  • @GasperTarimo-j2w
    @GasperTarimo-j2w Před 17 dny

    Hii ndio zawadi pekee aliyonipa mungu kusikiliza nyimbo Kama hizi

  • @peterhaki3853
    @peterhaki3853 Před 4 měsíci +2

    Waimbaji wote hongoreni sana sauti pia Zina farijinsana

  • @tapindatapinda5043
    @tapindatapinda5043 Před 3 měsíci +1

    Mr Isaac this is hilarious, we are being blessed by your Melodies. Glory to our Lord and Saviour Yeshua 🎉

  • @user-mt7to9wj7u
    @user-mt7to9wj7u Před 4 měsíci +2

    Congratulations a beautiful song, indeed we precious before God amen.

  • @robertkyanzue9994
    @robertkyanzue9994 Před měsícem +1

    kwa Mungu una thamani🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰

  • @logasiabaltazary9424
    @logasiabaltazary9424 Před měsícem +1

    Naona uwepo wa Mungu kwangu mpaka Sasa hivi.

  • @bobrobert3374
    @bobrobert3374 Před rokem +4

    Hongera kwa tunzo na sauti nzuri

  • @stevennymichael4833
    @stevennymichael4833 Před měsícem +3

    huu wimbo jamani mbona ukitaka kudownload aupatikani

  • @aidandidace8207
    @aidandidace8207 Před rokem +5

    Ujumbe mzuri unatia Sana Moyo, hata video nzuri, Kazi nzuri Sana🔥🔥🔥

  • @jonaskweyamba9747
    @jonaskweyamba9747 Před 11 měsíci +2

    Binafsi nawapenda kwa utume wenu mwema napenda pia utume wangu wa uimbaji.

  • @ilingolefredrick2070
    @ilingolefredrick2070 Před 4 měsíci +1

    Ninasikilisa wimbo huu tamu kutoka parokia ya Augostino jimbo kuu la lodwar,,turkana county, Kenya❤❤

  • @EinothMollel-vb1tc
    @EinothMollel-vb1tc Před 6 měsíci +1

    Ujumbe mzuri

  • @janerosezanzibar5372
    @janerosezanzibar5372 Před rokem +4

    Shukrani sana mwl nimekuelewa maana nilikuwa najua kama mchezo." Hakika unathamani"🙏🙏

  • @PendoMakyao
    @PendoMakyao Před 5 měsíci +1

    Amina..wimbo unabariki sana

  • @restyammo-df2um
    @restyammo-df2um Před rokem +2

    Asante kwa wimbo mzur,,, Zaid Sana ashukuriwe aliye juu kwa sabb pamoja na mapungufu yetu lakini bado tunathamani ni wimbo ambao unatupa faraja kwa mapito tunayopitia katika ulimwengu huu nasema Tena Asante Mungu kwa thamani uliyotupa sisi binadamu sifa na utukufu zikurudie

  • @geofreydawa4399
    @geofreydawa4399 Před rokem +1

    Daaaaaaa hongera sana mtunzi pamoja na waimbaji

  • @user-xw4eb4ew9j
    @user-xw4eb4ew9j Před 5 měsíci +1

    congratulate to a good song

  • @AnethLebwanga
    @AnethLebwanga Před 9 měsíci +1

    Jamni mnaimba vizuri naomba kuimba pamoja nanyi

  • @user-yg2yy2es8d
    @user-yg2yy2es8d Před 7 měsíci +1

    Hakika kwa mungu ninathamani kubwa ,hili tungo limenipa moyo sana

  • @PeacefulDaisies-jk2xq
    @PeacefulDaisies-jk2xq Před 5 měsíci +1

    Hakika kwa Mungu nina thamani

  • @user-qv6jm6zp3n
    @user-qv6jm6zp3n Před rokem +2

    Wimbo mzuri sana

  • @user-le8cu1lz3y
    @user-le8cu1lz3y Před 9 měsíci +1

    Mungu akuzidishie kipawa mzee mwita ,,,Mimi na kwaya yangu tunakupenda bure❤❤❤❤

  • @dignakayombo74
    @dignakayombo74 Před 7 měsíci +1

    Hakika wimbo ni mzuri tena ubarikiwe sana mtunzi,kupitia wimbo huu nimefarijika sana kwa mapito ninayopitia

  • @mickeymabula8957
    @mickeymabula8957 Před rokem +3

    Mmeupiga mwingi, hongera kwa mtunzi, tungo iko njema na waimbaji pia mmeutendea haki

  • @nellyogwang6320
    @nellyogwang6320 Před 10 měsíci +1

    Asante kwa wimbo huu ina nipa nguvu

  • @LudvicNgugi-kx5xb
    @LudvicNgugi-kx5xb Před 8 měsíci +1

    Ahsanteni kwa wimbo huu wenye kutibu mioyo iliyovunjika.

  • @despinae.mdende
    @despinae.mdende Před rokem +8

    Asante Mungu Kwa wimbo huu mzuri. Unatukumbusha thamani yetu wanadamu.

    • @benardlameck7340
      @benardlameck7340 Před rokem

      🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🎙️🥰

    • @norberttwamba8467
      @norberttwamba8467 Před rokem

      Despina, hatuwaoni siku hizi, nini changamoto. Tumezimis kazi zenu takatifu

  • @IGNASMBILINYI-tl3mp
    @IGNASMBILINYI-tl3mp Před rokem +2

    Kwa kweli hongera sana mtunzi nimebarikiwa sana na huu wimbo🙏🙏🙏

    • @mwitaisack9582
      @mwitaisack9582 Před 11 měsíci +1

      Amina sifa na utukufu vimrudie aliyetupatia hizi talanta

  • @kwayamalaikagabrielparokia506

    So Nice...Hatukuumbwa kwa Bahati Mbaya...

  • @peterhaki3853
    @peterhaki3853 Před rokem +1

    Hongera sana mwalimu

  • @menancemhombwe2267
    @menancemhombwe2267 Před 10 měsíci +1

    Bonge moja la song. Mwita weee unajua aisee. Hizi ndio nyimbo sasa za kikatoliki

  • @ernesthaonga7640
    @ernesthaonga7640 Před 6 měsíci +1

    ❤❤❤❤tumeupiga mwingi

  • @stephanomacomputerstatione520

    Nyimbo ni nzuri sana kupita kiasi waimbaji wameimba vizuri sauti IPO standard na HD video. KWA MUNGU UNATHAMANI

  • @edithamakanzo6023
    @edithamakanzo6023 Před rokem +1

    nikijihisi kukata tamaa nasikiliza huu wimbo unanitia moyo sanaa na kunifanya nipate nguvu mpya. sijaja duniani kuzurula ni kusudi maalum la Mungu niwepo hapa
    hongereni kwa kazi njema

  • @janemusyoki5218
    @janemusyoki5218 Před 8 měsíci +1

    Have been blessed. Kwa Mungu nina dhamani .Barikiweni sana . I love 😍 this song.

  • @michaelmaige9300
    @michaelmaige9300 Před rokem +1

    Kazi nzuri Sana barikiwa kwa hilo

  • @ephraimkashusha3987
    @ephraimkashusha3987 Před rokem +3

    Kazi Safi sana
    #Hongera sana Kaka Mwita Kwa Utunzi Mzurii..

  • @augustinotanda6349
    @augustinotanda6349 Před rokem +3

    Broo nimekuelewa ila hiyo nyimbo na ihitaji nakala yake kama hautajali

  • @lilianwillium8381
    @lilianwillium8381 Před 9 měsíci

    Kiukweli ubarikiwe mtunzi na waimbaji wote nimefarijika mno hongera sana

  • @user-ci6xt6ru3x
    @user-ci6xt6ru3x Před 2 měsíci

    Mungu ni mwema kila wakati kwa Mungu kila mtu ana thamani kwake

  • @user-po5ll5iu9b
    @user-po5ll5iu9b Před rokem +1

    Hongereni sana waimbaji 👏👏👏

  • @eliudlucas5342
    @eliudlucas5342 Před rokem +1

    Hongereni kwa kazi nzuri

  • @benomahema3011
    @benomahema3011 Před 10 měsíci +1

    Kongole kwao kazi nzuri inatutia matumaini.

  • @christinetushemereirwe8468

    Daaah brother mmeupiga mwing all the Best kwa KAZI zingingine

  • @user-ks5it6uq9r
    @user-ks5it6uq9r Před 21 dnem

    Ni mungu pekee,hakuna zaid mungu baba,,

  • @benardettemuthama6046
    @benardettemuthama6046 Před rokem +1

    Ninayo dhamani Kwa kweli mbele yako ewe mungu...hutachoka kuniongoza mungu wangu Kwa kuwa upendo wako hauna masharti.Amina

  • @waromokello
    @waromokello Před 2 měsíci

    The greatest hit from Mwita....the harmony is so sweet

  • @raymondmvula5407
    @raymondmvula5407 Před 10 měsíci +2

    Tafakari kubwa sana, Hongera mtunzi kwa utunzi bora! Nackiliza kutokea Parokia ya Mt. Benedicto Peramiho, kigango cha Nguvumoja! Jimbo kuu katoliki la SONGEA

  • @joeljustas3935
    @joeljustas3935 Před rokem

    Mda mwingine mwanadam huonekana kama hastahiki kuwa mwanadam na wanadamu wenzake lakini Mungu aijuae tahamani ya mwanae hajawahi ithamanisha thamani ya mwanadamu na chochote kile alichokiumba, nizaidi ya dhahabu iliyoopolewa tanuruni thamani ya mwanadamu kwa Mungu wetu................

  • @user-hg1bb4my1h
    @user-hg1bb4my1h Před 10 měsíci +1

    Nice song

  • @pollejilala8903
    @pollejilala8903 Před rokem +1

    Safi sana wapendwa,wimbo mzuri na mmeutendea haki

  • @LucyNyeura-op6mg
    @LucyNyeura-op6mg Před rokem +1

    Mungu awabariki mno, kazi nzuri

  • @annanyaguthii4325
    @annanyaguthii4325 Před rokem +1

    True. Kwa Mungu kila mtu anathamani. Asante Mungu.

  • @paulinamgalla5348
    @paulinamgalla5348 Před rokem +1

    Mmeimba vizur Sana mbarikiwa Sana, Ila kwa video aliesolo kaimba vizur Sana Ila hafungui midomo

  • @yesunimwema4497
    @yesunimwema4497 Před 10 měsíci +1

    Pamoja na udhaifu wa kininadamu, kwa mungu unathani,ingawa wa angular dhambini kwa mungu unathamani❤my favorite song ❤❤

  • @martinsherembi2586
    @martinsherembi2586 Před rokem +1

    Dah, me Huwa ni mgumu sana kusifia kitu lakini hapa uzalendo umenishinda!
    Ndg hauimbwi sana Kwa watunzi lakin sijawahi ona kitu Cha bla bla Toka kwakotoka nianze kusikia nyimbo zako!
    Hii ni zawadi muhimu sana kwangu Kwa kipindi hiki Cha kuuaga mwaka 2022, hongereni sana Kwa kazi nzr, soprano mmeuaaaa, no comment

  • @jacklinebarthazary6278
    @jacklinebarthazary6278 Před rokem +1

    Kiukwel mwimbo mtam Sana narudia kila Mara 🙏🙏🙏

  • @estaodasi-bg6om
    @estaodasi-bg6om Před 11 měsíci

    Najisikia amani kubwa sana moyoni wimbo huu unanifariji

  • @shepherdhermas6763
    @shepherdhermas6763 Před rokem +6

    Beautiful song and voices🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @lucasshirima2880
    @lucasshirima2880 Před rokem +4

    Kamwe ulisilie na Usikate Tamaa..Mungu anaijua Dhamani yako..

  • @SirJames065
    @SirJames065 Před rokem +4

    Kaka, wimbo nzuri sana na utunzi mahiri kweli..

  • @christinaraymond1928
    @christinaraymond1928 Před 9 měsíci

    Asante kwa nyimbo nzuri zinautukufu mnoo barikiwa sana Mwl

  • @NazaGoefrey-pr5il
    @NazaGoefrey-pr5il Před rokem +1

    Wimbo mnzur Sana.... hongereni

  • @stephenklambati8669
    @stephenklambati8669 Před rokem +1

    A very nice song

  • @estherwanjiru6001
    @estherwanjiru6001 Před 5 měsíci +1

    Wow ❤ I love your song

  • @ngeikyalaani
    @ngeikyalaani Před rokem +1

    Nimeipenda Sana hii wimbo mungu azidi kukuzidishia katika utunzi wako🎉

  • @MHOZYAKILIGI
    @MHOZYAKILIGI Před 2 měsíci

    Hakika kwa MUNGU Kuna thamani 🙏🙏🙏🙏

  • @estaodasi-bg6om
    @estaodasi-bg6om Před rokem +1

    Mungu awabariki sana kwa wimbo huu

  • @fridaernestmkedege900
    @fridaernestmkedege900 Před rokem +2

    Amina Amina Amina!!!

  • @mgonasipapune1383
    @mgonasipapune1383 Před rokem +1

    sichoki kusikiliza huu wimbo

  • @mcfrazachar2300
    @mcfrazachar2300 Před rokem +3

    Super song

  • @richardcharles-xt5xo
    @richardcharles-xt5xo Před rokem +1

    Wimbo mzuri sana una ujumbe mzuri sana

  • @JonasMjema
    @JonasMjema Před 5 měsíci

    Kaka Isack huu wimbo ufungue ufae kuudaunload.acha uchoyo. Kwa Nia njema kaka.

  • @camilomassao8971
    @camilomassao8971 Před rokem

    Bravo 👏🏽 asante eeeeee kubwaaaa

  • @isackrenatus3167
    @isackrenatus3167 Před rokem +1

    mmmhh kaka isack umeupiga mwingii ni hongeraaa xanaa

  • @victoriaerenest6528
    @victoriaerenest6528 Před rokem +1

    Mungu awabariki sana mwimbo mzur sana

  • @williamlucas434
    @williamlucas434 Před rokem +3

    i never get tired to listen this beautiful song & its tone

  • @esthermichael7874
    @esthermichael7874 Před rokem +1

    Amen 🙏

  • @camilomassao8971
    @camilomassao8971 Před rokem +1

    Nice 👍 strong message

  • @kennethndayala1892
    @kennethndayala1892 Před rokem +2

    Awesome..
    Mr Mwita Isack can you share a copy of this beautiful music?

    • @mwitaisack9582
      @mwitaisack9582 Před rokem

      Sasa pdf ya huo wimbo unapatikana swahilimusicnote

    • @BakanaStationary
      @BakanaStationary Před 8 měsíci

      @@mwitaisack9582 nimejarbu kudowload video sipati kaka please

  • @geraldkishenyi5786
    @geraldkishenyi5786 Před rokem

    Asante sana nimebalikiwa na wimbo huu asubuhi ya leo nimekutana nao facebook kupitia sister akiwa anaimba Mungu awabaliki sana. Kalibuni Zanzibar

  • @lilianalara8007
    @lilianalara8007 Před rokem +1

    Mungu nasema asante kwa zawadi kwa ya upendo wa khali ya juu🙌🏻🤲🏼

  • @bomjidiana1975
    @bomjidiana1975 Před rokem +1

    I feel touched....wimbo wa kupendeza na wa kutia moyo 🙏🙏🙏be blessed for the good work 🌹♥️🌹👌

  • @sarahnyamayagwa4807
    @sarahnyamayagwa4807 Před 11 měsíci +1

    Huwa nafarijika sana nikisikiliza hii song.Much blessings to you all ❤

  • @sarahsangija864
    @sarahsangija864 Před rokem

    Hakika huu wimbo ni mzuri mnoo umenipa tafakari kubwa sana hadi nmetokwa na machozi. Mbarikiwe sana

  • @essykemmy9997
    @essykemmy9997 Před 8 měsíci +2

    This song has really blessed me alot