KINACHO ENDELEA KATIKA UJENZI WA FLYOVER ZANZIBAR

Sdílet
Vložit

Komentáře • 21

  • @Shdy2569
    @Shdy2569 Před 21 dnem +1

    Ahsante Raisi wetu Mungu akusimamie utuletee maendeleo usiwasikilize vipofu hawaoni usiwalaumu

    • @aliabdalla9297
      @aliabdalla9297 Před 17 dny

      Bora hao vipofu kuliko walorogwa aakili zao maenddleo fly over hiyo mwisho wake wapi

  • @harithwhite589
    @harithwhite589 Před 20 dny +3

    Mji hautoleta haiba kamwe kama hamtoamua kubomoa vibanda vibanda kando ya barabara kuu mnazozijenga

  • @sifuelinyaki3341
    @sifuelinyaki3341 Před 21 dnem +1

    Ati flying over zanzibar jamenii

  • @mohddelo
    @mohddelo Před 22 dny +1

    Safi

  • @najimmaalim976
    @najimmaalim976 Před 22 dny

    Nahutaona

  • @eddynaeem6708
    @eddynaeem6708 Před 22 dny

    Pemba hamna ata ground over panya nye

    • @keisRamadhan
      @keisRamadhan Před 21 dnem +1

      Pemba kuna uhaba wa watu huwezi kujenga km hiyo

    • @user-qv3rf9mc7g
      @user-qv3rf9mc7g Před 9 dny

      io ground over pemba hakuna Sawa ila mama ako a anayo inatosha 2ta2mia io io

  • @SalumJuma-iz2gj
    @SalumJuma-iz2gj Před 22 dny

    Raisi mwinyi oyeee na pemba utujengee

    • @cath-ef7wd
      @cath-ef7wd Před 22 dny

      Labda matako..angelijenga hizo barabara kwanza

  • @jituakilimali15
    @jituakilimali15 Před 22 dny

    Nafikiri mngefikiria kujenga kwanza miundo mbinu Ya maji taka ili iwe rahisi na kunusuru kila mwanchi kuchimba mashimo kila nyumba inapotokea mafuriko kipindupindu Kina kuwa hatari

  • @rajabmsinzia1715
    @rajabmsinzia1715 Před 22 dny

    Ondoeni Round about hiyo sijawahi ona Flyover chini kukiwa na Roundabout msituletee mapyoro bhana

    • @allymazrui9744
      @allymazrui9744 Před 21 dnem +1

      Tembea ndug mm spo upande wwt hule ila tembea utaona mingi

    • @rajabmsinzia1715
      @rajabmsinzia1715 Před 20 dny

      @@allymazrui9744 Yaani flyover chini kuna round about?wacha nitembee tu ndugu yangu

    • @saidkhatib9146
      @saidkhatib9146 Před 17 dny

      Tembea uone zipo nyng sana

    • @rajabmsinzia1715
      @rajabmsinzia1715 Před 17 dny

      @@saidkhatib9146 nitembee tu bro maana kiukweli sijaona ila nishashuhudia sehemu kuna round about the kuna kuja ujenzi wa Flyover ikimaliza na roundabout huwa haipo tena

  • @najimmaalim976
    @najimmaalim976 Před 22 dny

    Nahutaona