Mbona kama hawa wakandarasi ni wa mchongo? Inakuwa aje hawana caution bord ⚠️ maelekezo kwa wasafiri na wapita njia ?mbona wapo kizamani sana?nimeanza kuwa na mashaka na hawa wakandarasi ,,,kwenye ujenzi kama huo kisheria huwa Safety first, inavyoonyesha hawapo serious na Usalama wao na wa raia pia
Barabara iyo mumeacha uturn nyingi, izo uturn ambazo hazina traffic lights ni ajali
Kuhusu kivuko cha daraja ilo ni sawa
Yaani Apo kwenye icho kiungo ni manyago matupu dahh
Mbona kama hawa wakandarasi ni wa mchongo? Inakuwa aje hawana caution bord ⚠️ maelekezo kwa wasafiri na wapita njia ?mbona wapo kizamani sana?nimeanza kuwa na mashaka na hawa wakandarasi ,,,kwenye ujenzi kama huo kisheria huwa Safety first, inavyoonyesha hawapo serious na Usalama wao na wa raia pia