Mchungaji atapeliwa nyumba na mchungaji mwenzake

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 21. 01. 2018
  • Mchungaji wa Kanisa la Bishop Mji wa Bwana lililopo Mbezi kwa Msuguli jijini Dar es salaam amedai ametapeliwa nyumba na mchungaji mwenzake mkoani Morogoro. Mtumishi huyo wa Mungu aliyejitambulisha kwa jina la Jacob Jorum Swila alidai alimpangisha mchugaji huyo ambaye ni mwanafunzi wake wa zamani na yeye kuamua kuiuza.
  • Zábava

Komentáře • 35

  • @furahabeatrice2057
    @furahabeatrice2057 Před 3 lety +1

    Pole sana baba mtumishi wa MUNGU.
    Ulifanya kwa imani na upendo, lakini ukarudishiwa mabaya. Lakini MUNGU anajibu maombi. Barikiwa mcungaji

  • @gfydfdf8869
    @gfydfdf8869 Před 2 měsíci +1

    pole baba baadhi ya uchungaji nimatali vibaya mnoo,hii dunia pasta mimi nimempa mtu kazi yakujenga nyumba,alipo maliza kujenga tukabidi tupaue amekimbia na pesa yote, ya mabati mbao,kachukua hera ndevu,haki ya mtuhaipotei baba Mungu yupo haki yako itapatikana,sinaamini tena mtu , Dunia mapito bila msaada wa Mungu huwezi kushinda vita vya shetani.

  • @kusekwasimon5874
    @kusekwasimon5874 Před 5 lety +2

    Yeye mungu ni mwenye haki tu ndo tofauti ya Baba yetu wa mbinguni amina

  • @amaninaupendo.3539
    @amaninaupendo.3539 Před 5 lety

    Amen Amen. Watumishi wa Mungu mmemuweka wapi Mungu asieshindwa?. Aturusiwi kushitaki ninyi mnashitaki. Je Mungu wenu kashindwa?. Jaribuni Mungu ninae mwabudu Mungu wa Mbingu na nchi . amen.

  • @rammietv4907
    @rammietv4907 Před 4 lety +1

    ASTAGHAFIRULLAH hawa nao wanatapeliana ooh jaman ALLAH tujalie mwisho mwema

  • @dorahmushi-we6ts
    @dorahmushi-we6ts Před 2 měsíci

    Wachangaji / watumishi, mnatukatisha tamaa...sasa nyie mkifanya hayo cc tufanye nini jamani?

  • @dorahmushi-we6ts
    @dorahmushi-we6ts Před 2 měsíci

    Nimewahi kumpangishia mtumishi nyumba ya kuishi, nikamuazima baadhi ya vitu kwa kuwa alihamia kutoka mkoani, kwanza kabisa kunilipa kuanzia kodi ya pili ilikua ni usumbufu, ananiambia nikalidai kanisa, alipofikia kuhama kurudisha vitu vyangu ilikua ni vuta nikuvute.

  • @sebamrope7691
    @sebamrope7691 Před 6 lety

    afwande Robert 😁😁😂😂

  • @isackmodestus5935
    @isackmodestus5935 Před 6 lety

    pole

  • @wemamanikana9791
    @wemamanikana9791 Před 5 lety

    Wema ajali.

  • @kingbidder
    @kingbidder Před 5 lety

    Bongo 5 pls nisaidie promosheni ya nyimbo yangu. Uiweke kwenye community tab yenu. Pls contact me tuangalie tuta fanyaje WhatsApp yangu ni +447719640126 thnx

  • @davyadamsontz
    @davyadamsontz Před 5 lety

    Pole Baba lakini nadhani si sahihi wewe kwenda hapo, ungeenda mahakamani

    • @mijashushu9552
      @mijashushu9552 Před 4 lety

      Pole sana ndugu yangu mpenzi
      Hata nimeshangaa kuona kuwa mchungaji.
      Tulikua tukiishi wote Kirombero.
      Mimi nimama Mtaita nilikua naishi Tanesko kidatu. Ulikuwa rafiki yetu
      Mzuri sana katika familia yetu.
      Mungu akubariki sana.
      Naomba namba yako,
      Namba yangu ni hii +2557419464953.
      Naomba mawasiliano nawe
      Mchunga Swila.
      Mungu akubariki sana.

  • @martinchatila320
    @martinchatila320 Před 4 lety

    Wakati fulani wawe wanafikiria mambo ya kupeleka kwenye media kwasababu wenye imani haba hawawezi kutofautisha wakimbilie wapi kama viongozi wa dini wanakuwa si waminifu na wanaeleza hadharani

  • @zuberinyenzi1982
    @zuberinyenzi1982 Před 5 lety

    Afwande robat

  • @florangarondola249
    @florangarondola249 Před 5 lety

    Wachungaji sadaka nyie ndo yamewakuta nyie ka! Mnatia aibu

    • @anithabuberwa2253
      @anithabuberwa2253 Před 5 lety

      Sasa kama nyie watumishi wa Mungu munakuwa hivi wakati ndio vioo vyetu sisi waumini tutakuwaje?😂😂😂

  • @beatriceabeid9943
    @beatriceabeid9943 Před 6 lety

    Afwandwe Robert

  • @bernardkamungu1714
    @bernardkamungu1714 Před 6 lety

    Dhuh

  • @sankofa2231
    @sankofa2231 Před 6 lety +3

    Mungu hayupo, binadamu tuu ndio wamemtengeneza na sasa wanamtumia kupiga madili!

    • @christinabiyengo2955
      @christinabiyengo2955 Před 6 lety

      Ila shetani yupo?!

    • @sankofa2231
      @sankofa2231 Před 6 lety

      Hamna shetani. Hamna majini, uchawi, malaika, na hata roho. Hizo fikra zimepitwa na wakati. Si umeona mambo ya Loliondo yaliko ishia? If you are old enough utakumbuka Dar watoto wengi walkua wana vaa hirizi. Hayo sikuhizi nayo yapepitwa na wakati. anyway, bado tunasafari ndefu...

    • @sittaerasto1288
      @sittaerasto1288 Před 6 lety

      Sankofa du! Ni hatari

    • @paulmadeba8432
      @paulmadeba8432 Před 5 lety

      Mpumbavu husema moyoni mwake hamna Bwana!!!!! Ni huzuni maana hajui siku ya kujiliwa kwake
      Dunia na kila kiumbe hai na vyote viijazavyo vinadhihilisha uwepo wa Mungu

    • @yohannathobias4742
      @yohannathobias4742 Před 5 lety

      Hujielewi wewe