😂😂😂 Geff anajibagalaguaaa .....ila coasta na madunduka ni kesi itakayoamuliwa na bwana Heri ...maaana shamba ni la bwana heri , ngo'mbe wa bwana heri na mahindi pia ya bwana Heri ......kwaiyo madunduka tumieni ile kanuni ya Ubuntu botho kuweka sawa iyo ishuu 😂😂😂😂
Geoff Lea usiweke virusi vya efm hapo crown, kusaini simba ni mchezaji mwenyewe,je ameshauzwa?mchezaji ana release letter?some one some where kuna tatizo kwenye hii deal ambayo ni lazima ufumbuzi upatikane,Lawi yuko kambini Coastal, je hajui kama amesaini simba?
Geoff ni mweupe asee!
Usanii siku hizi haupo ila Shamba la bwana kheri na mbuzi wa bwana kheri SS acha maisha Mwengine yaendelee
Hans anaongea vzr sana
Lazima Coast wawe wamesain pia, wao hawajasain. Kolo kamsainisha chini chini
HANS kuna kitu hakiko sawaaa hapo km angekamilisha usajili Simba asingerudi coastal kuna sehemu hapakukaaa sawa na Sasa mchezaji yupo maxoezini cost
Huu ndiy mpir wa tanzania yaan haw viongoz wa mpir wa tanzania kam vil wanavut bang daah
😂😂😂 Geff anajibagalaguaaa .....ila coasta na madunduka ni kesi itakayoamuliwa na bwana Heri ...maaana shamba ni la bwana heri , ngo'mbe wa bwana heri na mahindi pia ya bwana Heri ......kwaiyo madunduka tumieni ile kanuni ya Ubuntu botho kuweka sawa iyo ishuu 😂😂😂😂
Ukweli wote utajulikana tarehe ya mwisho ya usajili
Jef.huwa hueleweki mkataba unavunjwa kama vipengele havijakamilishwa shida yako jambo la simba hata wakosee ww kwako ni sahihi tu
COSTO ACHENI ROHO MBAYA MWACHENI KIJANA AENDE SIMBA
Nyie mna piga tu kelele ita julikana mna tichosha na mikilele yenu
Twaomba picha alivo Sain wacheni umbea kijana Yuko vijana vya tff Tanga Na timu yake ya coastal Union pole yenu😂
MIKIA FC WAHUNI TU,WANAJIFANYA KULIPA MISHAARA MIKUBWA KUMBE WAHUNI TU..MTOTO KIWANGO KIKUBWA VILE MNAMLIPA MIL.4??
Geoff Lea usiweke virusi vya efm hapo crown, kusaini simba ni mchezaji mwenyewe,je ameshauzwa?mchezaji ana release letter?some one some where kuna tatizo kwenye hii deal ambayo ni lazima ufumbuzi upatikane,Lawi yuko kambini Coastal, je hajui kama amesaini simba?
Kosto acheni tamaa
😂😂😂 Nyie si ndo mlisema mlimteka mchezaji airport ?? Mbona kama mnateswa na issue ndogo kama hiyo ..... Au hamana umafia Tena ??
Tumieni hata akiri huo ni mkataba wa awali
Akiri ndo nini?