VIDEO: ULINZI NA MSAFARA WA RAIS SAMIA NCHINI MAREKANI, WATANZANIA WAJITOKEZA KUMPOKEA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 13. 04. 2022

Komentáře • 283

  • @ndiiyolazarolemoloo2164
    @ndiiyolazarolemoloo2164 Před 2 lety +62

    Watanzania maskini wanateseka kwa njaa wewe unasafiri yaani huyu mama simpendi wangap wananiunga mkono tujuane

    • @gracewilson6903
      @gracewilson6903 Před 2 lety +2

      Umeongea point

    • @gervasisaya4973
      @gervasisaya4973 Před 2 lety +1

      Mm wa kwanza

    • @tabuboone934
      @tabuboone934 Před 2 lety +4

      Yaani yeye nikitanua tu hana lolote nami smpendi!! Watanzia wanahotaji hizo hela anazotanulia kusafiri zinaweza jega shule au hospital ticket alotumia hela ni nying first class, hotel, chakula na usafiri. Shenzi taipu kbs

    • @ndiiyolazarolemoloo2164
      @ndiiyolazarolemoloo2164 Před 2 lety +2

      @@gervasisaya4973 pamoja san

    • @ndiiyolazarolemoloo2164
      @ndiiyolazarolemoloo2164 Před 2 lety +2

      @@tabuboone934 hio ni matumizi mabaya ya fedha za umma

  • @ssaa7495
    @ssaa7495 Před 2 lety +25

    Hatuna rais hapa ujinga mtupu 🗑 🚮

  • @leonelleo4425
    @leonelleo4425 Před 2 lety +26

    Mungu asaidie vizazi vyetu vya baadae viondokane na huu utumwa wa kifrika,umbumbumbu,na kupenda kuwa tegemezi.

    • @marysadiki1887
      @marysadiki1887 Před 2 lety +3

      Ushaambiwa ni ziara ya kikazi wataka nini pimbi sana wewe

    • @leonelleo4425
      @leonelleo4425 Před 2 lety

      @@marysadiki1887 nataka nikufire malaya mbovu wewe..
      Tuliza nyege mshindo.

    • @johnsonbagambi1908
      @johnsonbagambi1908 Před 2 lety

      Duni ni kijiji hacha uzwazwa

    • @piusmdoe8094
      @piusmdoe8094 Před 2 lety +4

      Huu ushamba wa kuponda kila kitu utaisha lini.Hivi rais gani asiyesafiri.

    • @elishakalengo6368
      @elishakalengo6368 Před 2 lety +2

      Well said bro

  • @joshuaemanuelishoo7031
    @joshuaemanuelishoo7031 Před 2 lety +11

    Kuleni tuu Ila yanamwisho

  • @tumainikomba9008
    @tumainikomba9008 Před 2 lety +7

    Hakika Mungu nipe moyo wa subra ...

  • @hamadsaburi3569
    @hamadsaburi3569 Před 2 lety +6

    Usi sahau kuna Safari ya akhera

  • @jumaally2469
    @jumaally2469 Před 2 lety +18

    Unakaz kubwa mnoo ya kutuaminsha kama kweli unaweza kwangu mm mpaka mda huu umeshindwa kusimamia nchi kila sectar imeoza

  • @davidmpiluka5224
    @davidmpiluka5224 Před 2 lety +6

    Mungu anatupitisha huku ili tumkumbuke JPM. Alisema" Siku moja mtanikumbuka kwa mazuri niliyoyafanya"
    Kwa hakika, sasa tunamkumbuka na ni vigumu sana kumsahau.

    • @malikajohnson8897
      @malikajohnson8897 Před 2 lety

      🙄😏

    • @stevengeorgetibenda1647
      @stevengeorgetibenda1647 Před 2 lety

      kuna wengi ambao hawataki kukumbuka mateso ya huyo unayemsema ambao kaharibu maisha yao kwa sera mbaya kwa waliofaidika nae watammisi lakini aliowaumiza hawatamkumbuka,kufungwa kwa viwanda kama mazava,tumbaku na kusababisha mamia ya wananchi masikini waliokuwa wanaendesha maisha yao na familia zao kwa zile ajira watamkumbukaje?

  • @sabasjacob9038
    @sabasjacob9038 Před 2 lety +18

    Raisi alikuwa JPM MAGUFURI Simba wavita Alie kuwa achezei Ela ya Uma R.I.P JPM MAGUFURI SHUJAA WETU WA TANZANIA NA AFRICAN.

    • @ahmedmohd5507
      @ahmedmohd5507 Před 2 lety +1

      kipindi icho makamo wake alikuwa mamako mzazi mbwa ww...

    • @robertmwanakaya4233
      @robertmwanakaya4233 Před 2 lety

      😄😄😄

    • @hawahabibu3881
      @hawahabibu3881 Před 2 lety

      @@ahmedmohd5507 Mbwa ww usojitambua

    • @salumumakombo9136
      @salumumakombo9136 Před 2 lety +2

      @@ahmedmohd5507 hata kama umemtukana sabas lakin angalia komenti zote zina mdisi raisi wako..wwe ndo mbwa

    • @dorcaskidoti249
      @dorcaskidoti249 Před 2 lety +1

      @@ahmedmohd5507 huo ndo ukweli hata kama yeye ni mbwa kuzaliwa na mwanamke naww ni mbwa ulietoka kwa mwanamke

  • @joshuaemanuelishoo7031
    @joshuaemanuelishoo7031 Před 2 lety +6

    Hela zawavuja codi hizo. Zinatafunwa

  • @verdianabanabi2205
    @verdianabanabi2205 Před 2 lety +4

    hatuna shida navyo hali ya tz mbaya sana

  • @dhahabuonlinetv
    @dhahabuonlinetv Před 2 lety +4

    Nyinyi mnacho kinachowaumiza roho lakini hamsemi , mama nenda utakapo wasituzonge na kelele za o

    • @malikajohnson8897
      @malikajohnson8897 Před 2 lety

      Tenaaa. Roho zawauma lakini Mungu ndo mpangaji mkuu wa mambo

  • @gracegrace6200
    @gracegrace6200 Před 2 lety +8

    Namutafuta Mambe kimavi kimbelembele simuoni. Safari hii wamemukata mukia. Kuliweka na kulipaka matope jina la Hayati Magufuli haifanyi kazi kwa Watanzania. Nashukuru serikali ya Samia imetambuwa hivyo. Tanzania ilikuwa na Rais.

    • @raffeiystar2870
      @raffeiystar2870 Před 2 lety

      Mange haishi Washington DC bali anaishi Los Angeles, kwahy mama samia atapoenda LA mange atakuwepo pia maana huko ndiko kwenye hiko kilichompeleka marekan rais kipo LA na NYC

    • @gracegrace6200
      @gracegrace6200 Před 2 lety

      @@raffeiystar2870 wapinzani wa JPM wangeweza kumusafirisha POPOTE kule, ili tu kuonyesha yote ya JPM yalikuwa mabaya, na musaidizi wake ndiye bora. Yote hiyo ni chuki ya kufuta legacy yake. Watanzania hawatakubali ujinga huwo. JPM was just the best.

  • @mandelamandela3150
    @mandelamandela3150 Před 2 lety +3

    Waliomchukia Magufuri woote leo MUNGU anawaonyesha.

  • @jumajuma6782
    @jumajuma6782 Před 2 lety +1

    Imani.yangu.ina.sema.ukimombea.mwezio.mabaya.yaanaanza.kwako.kwanza

  • @salehkhamis8653
    @salehkhamis8653 Před 2 lety +3

    Mungu humpa amtakae na humnyima amtakae. piga kazi mamaa hizi ni zama zako na mungu amekuchaguwa wewe utuongoze.. siku zote anae pewa hapokonyeki.. waache wapige mazogo yao. watasema mchana usiku watalala maneno yao hayatasaidia kitu ndio sifa ya binaadam tunajijua binaadam ni dhaifu na dhalili kwa mungu wetu.kwaiyo hata umtendee jema binadam hatokushukuru kamwe ndio hao wenye choyo roho mbaya na chuki waache2 waumie wenye chuki watakufa kwa vijiba vya roho kwa husda zao mungu humchagua anae mtaka tunakupenda raisi wetu

  • @omarylukindo5306
    @omarylukindo5306 Před 2 lety +3

    Sis huku tunapambana na mifumoko ya bei

  • @zuberigwakula8531
    @zuberigwakula8531 Před 2 lety +4

    Safari yetu kama Taifa bado tupo mbali sana

  • @josephurupia4653
    @josephurupia4653 Před 2 lety +2

    Yani samia bwana hadi Marekani wanashangaa wanao ishi huko hawajavaa baracoa ila yeye na wasaidizi wake sasa😷😉😤🙌

  • @ulaweboy3479
    @ulaweboy3479 Před 2 lety +2

    Jamani watanzania wenzangu nakiri hivi kwenye swala hili kwanini jeshi lisiingilie kati

  • @jamaltheonest9400
    @jamaltheonest9400 Před 2 lety +13

    Rais hamna hapa ....hafai kuongoza hata kijiji sijui ni ulimbukeni tu hayati JPM tutakukumbuka siku zote yaan ngozi nyeusi sijui tumelogwa wapi vichwa vyetu vimejaa dhana ya kwamba bila mzungu maisha hayaendi.....bure kabisa

  • @jebace
    @jebace Před 2 lety +2

    Hili ndio rais bwege kuwai kutokea ktk historia ya Tanzania

  • @shabanfitnesstv3977
    @shabanfitnesstv3977 Před 2 lety +1

    Ivi kwanini iko kufungu cha katiba, ati rais akifariki akiwa madarakani makamu awe rais kwa nini kisiondolewe?

  • @godlivingurassa5752
    @godlivingurassa5752 Před 2 lety +1

    Mwendazake alipingwa haswa Kwa mema yake,lakin ***£#*mkuu anatukuzwa Kwa kuruhusu kila mtu apandaishe bei vitu anavyotaka.naona amepeleka ripoti ya jinsi anavyotushikisha adabu

  • @matridawilium9945
    @matridawilium9945 Před 2 lety +1

    Nyie mnaotaka rais awape chakula je rais gani amewah kufañya hivo, njoo I rukwa ule usaze maana tunalima

  • @kassebo
    @kassebo Před 2 lety +1

    Duh!!!! Ifikapo 2023 mtakuja kuniambia?✍️✍️✍️✍️✍️

    • @robertmwanakaya4233
      @robertmwanakaya4233 Před 2 lety +1

      Kutakuwa hivi tu mbaka siku ya kufa hakuta kuwa na mabadiliko labda kitakacho ongezeka viumba vya madarasa

  • @Khamisimpizi1406
    @Khamisimpizi1406 Před 2 lety

    Dah rais unapokelewa na ubalozi sijui km Biden ana taarifa

  • @hassanlamata2312
    @hassanlamata2312 Před 2 lety +1

    😂😂😂😂😂😂😂😂hii ndo africa sasa nayoijuwa mm na viongozi wake ndo hao

  • @msomimosomy9812
    @msomimosomy9812 Před 2 lety +2

    Namuombamungu.aitie.itlafundege inayohusika.nafafali

  • @barakajkadu7089
    @barakajkadu7089 Před 2 lety +1

    Week 1 lut week 1 mbelee duuuh hii Tanzania 🇹🇿 Sasa sijui

  • @stevengeorgetibenda1647

    Naona full ulinzi wa usalama wa marekani wakimlinda kiongozi wetu kuliko hata tunavyomlinda sisi wenyewe

  • @martinmlewa445
    @martinmlewa445 Před 2 lety

    JPM mungu katufanyia mambo makubwa mazur nakupenda jpm.cjui kwann alimuweka makamu warahic huyu bibi cmpend zambi hiyo nnayo jaman mungu anisamehe

  • @lugwetunje3896
    @lugwetunje3896 Před 2 lety

    Magufuli hakusafiri inje lkn paka aliondoka panya hutawala rip magufuli kaburini anajigeuza

  • @josephguerino7416
    @josephguerino7416 Před 2 lety

    Let's wait and see

  • @yusufuheri6524
    @yusufuheri6524 Před 2 lety +3

    Kwakweli hii nchi yetu ilishajifia siku nyingi sana

  • @Kawumah
    @Kawumah Před 2 lety +2

    🤣🤣 I read some comments here and I wonder how some people think!! 🤔 . Some no body people think that they are the ones to order the president what to do, come on idiots, if you think you can do better than her why don't you stand and be elected president too? Please just because she is a lady, it doesn't mean u have the right to disrespect her, remember you are not the only Tanzanians. Here in the diaspora, the president represents us too. When she visits and hold business meetings with fellow presidents and foreign companies what's wrong with that? Isn't it development we need in Tanzania! . President samia has urged Tanzanians outside and foreigners to come and invest in the country and an idiot says she is spoiling our country's money, is it your personal money, do u know the work of the president? Ignorance and jerousy will kill your wicked souls. Let the president do her work, go do yours too.

  • @lugwetunje3896
    @lugwetunje3896 Před 2 lety

    Watanzania no man is an island ati Tanzania ijitenge uongo magufuli alikua sawa lkn binadamu si kamili mama licha ya yote ambambane na ruswa Tanzania

  • @oscarsabin3561
    @oscarsabin3561 Před 2 lety +2

    Eee kumbe kaenda tena

  • @ladislausngoyinde4384
    @ladislausngoyinde4384 Před 2 lety +3

    Hivi Sasa tuna rais wa ajabu haijawahi kutokea, yaan hana habar na wananchi wake kabisa, yani yeye maskio yake yote ni kwa wazungu na waarabu tu, mara uarabuni, mara ulaya, mara marekani, yaani huwez kuskia ameenda songea, kigoma, mbeya, Tanga wala tabora

    • @onesmoelias2285
      @onesmoelias2285 Před 2 lety

      Hahahahahahahahah et songea kigoma Yani hana habar SS tulioko mikoani huku maisha yetu nikama ya ngedele

    • @raffeiystar2870
      @raffeiystar2870 Před 2 lety

      Kaenda mikoa kibao tena had barabarani kasimama

    • @hildantandu5909
      @hildantandu5909 Před 2 lety

      @@raffeiystar2870 labda kwako

  • @Adeen.1
    @Adeen.1 Před 2 lety +2

    Mama kashuka kwenye escalade afu kuna mpuuzi aliwadanganya wenzie kisa yupo huku akiwambia ni gari za kawaida fala kweli

    • @kambamazig02024
      @kambamazig02024 Před 2 lety

      Escalade ni gari za kawaida, mbona unakuwa kama hujui magari ndugu yangu?

    • @raffeiystar2870
      @raffeiystar2870 Před 2 lety

      Gari hzo ndizo anazotembea had rais wa marekan mwenyew miaka yote, ni escalade na Chevrolet

  • @philiponyangusi9579
    @philiponyangusi9579 Před 2 lety +2

    Mama anaupiga mwingi

  • @deomdolo5049
    @deomdolo5049 Před 2 lety

    Kwahy hana kazi ingne zaid ya kusafr

  • @saidmussa9587
    @saidmussa9587 Před 2 lety

    Na mumubie huyu mama hatumpendi Wala hatutaki hats sauti yake najua mkiona hiz comment hamumunyesh Kwa ufisad mlonao

  • @j4ally534
    @j4ally534 Před 2 lety +1

    DAAAA

  • @adam-saffi211
    @adam-saffi211 Před 2 lety

    Same jiko linapika nyama haramu Kama nguruwe so uisilamu gani huo?sama fridges zina kila vitu haramu. Wana kula tu shauri ya kutawala kusafiri, God help them

  • @manchalijob9600
    @manchalijob9600 Před 2 lety +1

    Watanzania tumeriwa wamarekan sio watu wazuri

  • @samwelilaizer661
    @samwelilaizer661 Před 2 lety

    Katika Taifa letu la Tanzania Rais Samia na jakaya kikwete ni kitu kimoja ni Safari tuu ndo wanapenda Lakini kutatua matatizo ya Watanzani hawawezi enzi ya kikwete ni kusafiri safari na Samia ni ivo ivo Hawa Hakuna maendeleo watakayo Leta Bali watauza nchi yetu kwa Hali hiyo

  • @machilijuma8203
    @machilijuma8203 Před 2 lety

    Milad uctumage clip znatkmbsha mbali@

  • @muhammedsuleyman6501
    @muhammedsuleyman6501 Před 2 lety

    Nchi umeiweza samia 🤝

  • @pascalkingu9570
    @pascalkingu9570 Před 2 lety

    Yaaniiiii

  • @saudaumar3354
    @saudaumar3354 Před měsícem

    mama hijab hairidhishi shusha tini ya kifua.na usivae nguo ya kubana nakupenda nikukumbushana tu

  • @lugembesweya3288
    @lugembesweya3288 Před 2 lety

    Anashindwa kusaidia masikini anaswampa tu

  • @silvertv8083
    @silvertv8083 Před 2 lety

    Hapo bibi Kijicho anaona kapatiaaaaa😳

  • @jacksongidion5170
    @jacksongidion5170 Před 2 lety +1

    7

  • @capteinchuimchafu7894
    @capteinchuimchafu7894 Před 2 lety

    🤔🤔🤔🤔

  • @gloryemmanuel9511
    @gloryemmanuel9511 Před 2 lety

    Anaupiga mwingi sana mno kuelekea kwenye lango la adui ....
    Negativity in almost all economical affair practice...hence:
    Economical collapse
    Mtaa umekuwa mgumu mno mno mno
    Galama za vyakula vifaa vya ujnz zimekuwa doubled tripled...
    Okay
    "LET THEM EAT BROTHER, B'SE IS WHAT I CAN AFFORD TO BUY"

  • @lucylucy3678
    @lucylucy3678 Před 2 lety +4

    Mange kimambi mbon sikuoni utaki salamu ya mheshimiwa,🤔 ila hizi safar haziishi kila siku safari tu

    • @noxlosingida2369
      @noxlosingida2369 Před 2 lety

      Kikwete na group lake nao wapo Uingereza

    • @lucylucy3678
      @lucylucy3678 Před 2 lety +3

      @@noxlosingida2369 magufuli alikuwa anafnya safari kweny nchi yake ila mwendo huu kama siuwelewi hata kidog

    • @noxlosingida2369
      @noxlosingida2369 Před 2 lety +2

      @@lucylucy3678 walisema eti hakupenda kwenda nchi za nje kwa kuwa hajui kuongea kiingereza wao wanajua ndiyo maana wanazurula ovyo

    • @lucylucy3678
      @lucylucy3678 Před 2 lety +1

      @@noxlosingida2369 😀😀🙆‍♀️ ila walidngany toka awe uongozin akiwa bado ajaingia urais na amesoma mbk bas ila bora yeye watu tuliinjoy san kipnd hiki mm naona tu mara movie mara safri,mara chin,mara uko sas kaz haifnyik naona safri tu marekan ndo usiseme mbon sjawahi sikia rais wa marekan amekuj Tanzanian au rais wa dubai uko dubai wanapiliya mapng y mamilion pes ingewez kufny cha maan 😄

    • @bensonfrancis5599
      @bensonfrancis5599 Před 2 lety +1

      Muacheni asafiri shida iko wap

  • @gracewilson6903
    @gracewilson6903 Před 2 lety +2

    Mh! Kazi ipo tutafika kweri ? Nyumbani kwako Hali mgumu Ww kila siku safari? ee mungu tusaidie

  • @elvianludovick7428
    @elvianludovick7428 Před 2 lety

    Watanzania mlioko marekani, ngoja niishie apo

  • @mathiasmichael1778
    @mathiasmichael1778 Před 2 lety

    Mama wa Bata... Mama wa starehe.. Mama wa matembezi.... Mama wa mikopo tu.... Raisi wa wenye nazo... Mpenda kuongea kingereza hata kama anaoongea nao hawakijui.... Mama wa michongo..... Unatuumiza watanzania na tumeshakuchokaaa!!!

  • @samwelilaizer661
    @samwelilaizer661 Před 2 lety

    Wote wanao muunga Samia mkono ni wale wapumbavu ambao hawaoni mbele Kuna nn na pia ndo wale hawataki kazi ata enzi ya hayati doctor John pombe Magufuli ndo wale wanalazimishwa kufanya kazi

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga2513 Před 2 lety +1

    Kumbe marekani sio mbAli kaondoka Jana Tu kafika

  • @michaelmaziku991
    @michaelmaziku991 Před 2 lety

    Kwa ziara tu za nje mama unaupiga mwingi.

  • @innobenzol4119
    @innobenzol4119 Před 2 lety

    Anatumia hela zetu badala ya kukaa nchin na kutatua matatizo yetu

  • @yahayasaidi3951
    @yahayasaidi3951 Před 2 lety +2

    Kwa kusafir tu mama anaupiga mwing Sana

  • @deviemahala8308
    @deviemahala8308 Před 2 lety

    Msafara ni kama me nimeenda kumsalimia mjomba wangu simiyu....
    Wenyeji hata hawashituki kukuona

  • @babajohn8308
    @babajohn8308 Před 2 lety

    Tunaomba kwenye uchagzi 25 aje hyu mama

  • @adam-saffi211
    @adam-saffi211 Před 2 lety

    Tourists?

  • @m2pc
    @m2pc Před 2 lety

    hao wanaoshangiria nahisi kuna ka posho wamepewa mana huku tuu hatushangilii hivyo

  • @bajagihaji8923
    @bajagihaji8923 Před 2 lety

    mama samia piga kazi

  • @lazarofidelis346
    @lazarofidelis346 Před 2 lety +4

    Acheni chuki na roho mbaya na maroho ya husuda kila zama zinakuja na kitabu chake mmezidi kumuongelea vibaya samia wawatu mwachen nae afanye atapopaweza kama humpendi tulia hata wakwako kuna ambao walimchukia hizi n zama za samia suluhu hasan na atawakeraa saana

  • @alhamihamisi7635
    @alhamihamisi7635 Před 2 lety

    Kwakwer hii nchi imerongwa nani

  • @ahmadlahe3996
    @ahmadlahe3996 Před 2 lety

    Mmh nin tena

  • @barakajkadu7089
    @barakajkadu7089 Před 2 lety

    Mama lut zimekua nying Sana

  • @kalumbugideon4159
    @kalumbugideon4159 Před 2 lety +1

    Mama Songa mbele Usiogope chochote Mungu ameruhusu Uongozi huu utuongoze Wewe....Songa mbele.

  • @fahmaabel1414
    @fahmaabel1414 Před 2 lety

    Yani wangejua huyu mama asivyopendwa na wananchi wa hali ya chini??

    • @malikajohnson8897
      @malikajohnson8897 Před 2 lety

      Na ndo maana haki yao ya chini. Roho mbaya ni kazi kupata neema.

  • @samwelipima3795
    @samwelipima3795 Před 2 lety

    Upuzi mtupu sisi watanzania Wala hatupo nae kabisa Samia afanye yake kufurahisha mabeberu lakini ipo cku vizazi vyetu vitajikomboa kwenye huu utumwa wa fikila RIP JPM tutamkumbuka na wasaliti wako tumewaona kabla hata jogoo hajawika watanzania hawatakusahau

  • @adam-saffi211
    @adam-saffi211 Před 2 lety

    Mwislamu gani anaishi kwenye hotel? Lazima awe anakula nguruwe huyo. Same cooking utensils zinatumika kupitia pork, bacon etc Huyu mama is a lost case

    • @mzeerajab9154
      @mzeerajab9154 Před 2 lety +1

      Wewe inaonekana hujatembea duniani upo hapo hapo tuu kama jiwe.Tembea kama una uwezo,kama huna bora kukaa kimya.

  • @pascalkingu9570
    @pascalkingu9570 Před 2 lety

    Kila siku marekani mbona wa hi uko haji huku upigaji 2

  • @afrikidoonlinetv7600
    @afrikidoonlinetv7600 Před 2 lety

    Hapo wanajua tu kua kaja kukopa tena duuuuh

  • @eliaskahory7116
    @eliaskahory7116 Před 2 lety

    Yan huyo mama yenu huyo

  • @priscarkandonga4062
    @priscarkandonga4062 Před 2 lety

    Huyu mbwa anahangaika tyu anaacha kutuliza matako nchini kwake afanye maendeleo ananenge'ka tu

  • @ceciliaonyango5367
    @ceciliaonyango5367 Před 2 lety

    Tulia nyumbani hao sio watu mwishowe watakutungua kwani unashida gani nao?

    • @robertmwanakaya4233
      @robertmwanakaya4233 Před 2 lety +1

      Akitulia home kunabaadhi ya mambo yatasimama
      Kalaga baho. Lazima kuwe na uhusiano na mataifa ya mbele
      Siku tusije kosa hata condom na madawa mwacheni huyo mama

  • @mariammduri2755
    @mariammduri2755 Před 2 lety

    Ni jambo la kujivunia kwa ziara ya rais wetu nchini marekani.Tumeona watanzania wenzetu walivyo mpokea kwa furaha kweli ni mama.

    • @leahbujaga2854
      @leahbujaga2854 Před 2 lety

      Ujivunie nn bana ubwehe tu u aona rais yupo tunamrenda tu

    • @kambamazig02024
      @kambamazig02024 Před 2 lety

      Je ziara ina tija ipi wakati umeme nyumbani majenereta yamerudi tena na rushwa imerudi kwa kisasi?

  • @saidmussa9587
    @saidmussa9587 Před 2 lety +9

    Haki mm namuombea mabaya TU sina her nae Kuna wapumbavu humu eti oo aloopewa kapewa saw ila Mungu Hana hiana hatachiz anampa na wengine huwapa kama mtihan TU pia huwakosesha kama mtihani wengine Sasa tujiuloze huyu ni rais au nimtarii ? Mungu haongop mwanamke si kiongozi mwana mke ni mshaur TU hili ndiomtaamini Kwa wenye macho na akili nzur zenye fikla wanao mpenda wote niwale mafisad wapiga dir wauza unga majangili mafisad Mungu awaangamize tunateseka watuwahali yachini ges enzi ya mh Magufur ilikua kujaza 19 Sasa 24 umeme ulikua kuwekewa n27 elf Sasa kaki 3 vyakula vyote vuko juu na bado mnajadiliana muongeze naul daa hamna hata huruma nyie juen mnakula moto matumbin mwenu haki za Wana nchi zitawa laan et Rais mzima kajitokeza juz oo kulingana na mabaliko yanch vitu vitaendelea kupanda kwel mzima huyu Alafu unazunguka TU na Hela zetu malekan cijui Kannada why

    • @malikajohnson8897
      @malikajohnson8897 Před 2 lety

      Ndo maana una njaa na hasira. Mdomo wako mchafu sishangai ndo maana hata kuandika vizuri hujui. Kufa basi nawe uende kwa huyo hnayemuona Rais 😏. Usimwombee mabaya mama wa watu

    • @venancendembo7976
      @venancendembo7976 Před 2 lety

      Hi

    • @philemonmagesa5548
      @philemonmagesa5548 Před 2 lety

      Hamna jinsi kaka acha tuumie tu muache aendelee kula maisha wenda Mungu katupatia ili tujue maisha yakoje??? Ila sio kwa hali ilivyotete kwasasa Mungu hatupe uvumilivu

    • @salmamakweta1198
      @salmamakweta1198 Před 2 lety +3

      DUA LA KUKU HALIMPATI MWEWE

    • @rajabrukonge580
      @rajabrukonge580 Před 2 lety +1

      Unachuki za kimaskini sana

  • @engineerb292
    @engineerb292 Před 2 lety

    Mama mama uyo mda utaisha tu

  • @kondosmsisi1690
    @kondosmsisi1690 Před 2 lety

    Watanzania tusiraramike ccm iwe basi

  • @gabrielzakaria2810
    @gabrielzakaria2810 Před 2 lety

    pamoka na huo ulinzi hatumpendi

  • @geofreysenka7091
    @geofreysenka7091 Před 2 lety

    Hapa Ni kumaliza mb tu

  • @modestwenceslaus9
    @modestwenceslaus9 Před 2 lety

    Blame Gang hawataki kuona haya.

    • @ramsomarusu4507
      @ramsomarusu4507 Před 2 lety

      Unajifany unamuelewa kumbe unajuwa maisha yanavyo kupiga ww mwenyew ila wabongo wakuda😂

  • @hallin9561
    @hallin9561 Před 2 lety

    #Kumamake

  • @luhindakanige2987
    @luhindakanige2987 Před 2 lety

    Haaaaa akuna kitu apo

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga2513 Před 2 lety

    Mama ya kejelii haitoki rohoni

  • @stephensandiko6049
    @stephensandiko6049 Před 2 lety

    Tunasafari ndefu Sana

  • @salmaathuman9156
    @salmaathuman9156 Před 2 lety

    Ndo anachokiweza basi

  • @cathbertmpepo5587
    @cathbertmpepo5587 Před 2 lety

    Mama anaupiga mwingi😂

  • @finalbreezer571
    @finalbreezer571 Před 2 lety

    Hamna kitu cha maana asee

  • @selemanimasatu2421
    @selemanimasatu2421 Před 2 lety

    WAP AFANDE SELE TUSIKILIZE NYIMBO YAKE KWANZA HARAFU NDO TUCOMMENT (BILA MAREKANI)..........

  • @pendoogolla2811
    @pendoogolla2811 Před 2 lety

    Madhara ya juice kiwandan

  • @albertinamichael6123
    @albertinamichael6123 Před 2 lety

    Ki guu na njia mwisho watakuchoka.