Yaani yeye nikitanua tu hana lolote nami smpendi!! Watanzia wanahotaji hizo hela anazotanulia kusafiri zinaweza jega shule au hospital ticket alotumia hela ni nying first class, hotel, chakula na usafiri. Shenzi taipu kbs
Mungu anatupitisha huku ili tumkumbuke JPM. Alisema" Siku moja mtanikumbuka kwa mazuri niliyoyafanya" Kwa hakika, sasa tunamkumbuka na ni vigumu sana kumsahau.
kuna wengi ambao hawataki kukumbuka mateso ya huyo unayemsema ambao kaharibu maisha yao kwa sera mbaya kwa waliofaidika nae watammisi lakini aliowaumiza hawatamkumbuka,kufungwa kwa viwanda kama mazava,tumbaku na kusababisha mamia ya wananchi masikini waliokuwa wanaendesha maisha yao na familia zao kwa zile ajira watamkumbukaje?
Namutafuta Mambe kimavi kimbelembele simuoni. Safari hii wamemukata mukia. Kuliweka na kulipaka matope jina la Hayati Magufuli haifanyi kazi kwa Watanzania. Nashukuru serikali ya Samia imetambuwa hivyo. Tanzania ilikuwa na Rais.
Mange haishi Washington DC bali anaishi Los Angeles, kwahy mama samia atapoenda LA mange atakuwepo pia maana huko ndiko kwenye hiko kilichompeleka marekan rais kipo LA na NYC
@@raffeiystar2870 wapinzani wa JPM wangeweza kumusafirisha POPOTE kule, ili tu kuonyesha yote ya JPM yalikuwa mabaya, na musaidizi wake ndiye bora. Yote hiyo ni chuki ya kufuta legacy yake. Watanzania hawatakubali ujinga huwo. JPM was just the best.
Mungu humpa amtakae na humnyima amtakae. piga kazi mamaa hizi ni zama zako na mungu amekuchaguwa wewe utuongoze.. siku zote anae pewa hapokonyeki.. waache wapige mazogo yao. watasema mchana usiku watalala maneno yao hayatasaidia kitu ndio sifa ya binaadam tunajijua binaadam ni dhaifu na dhalili kwa mungu wetu.kwaiyo hata umtendee jema binadam hatokushukuru kamwe ndio hao wenye choyo roho mbaya na chuki waache2 waumie wenye chuki watakufa kwa vijiba vya roho kwa husda zao mungu humchagua anae mtaka tunakupenda raisi wetu
Rais hamna hapa ....hafai kuongoza hata kijiji sijui ni ulimbukeni tu hayati JPM tutakukumbuka siku zote yaan ngozi nyeusi sijui tumelogwa wapi vichwa vyetu vimejaa dhana ya kwamba bila mzungu maisha hayaendi.....bure kabisa
Mwendazake alipingwa haswa Kwa mema yake,lakin ***£#*mkuu anatukuzwa Kwa kuruhusu kila mtu apandaishe bei vitu anavyotaka.naona amepeleka ripoti ya jinsi anavyotushikisha adabu
🤣🤣 I read some comments here and I wonder how some people think!! 🤔 . Some no body people think that they are the ones to order the president what to do, come on idiots, if you think you can do better than her why don't you stand and be elected president too? Please just because she is a lady, it doesn't mean u have the right to disrespect her, remember you are not the only Tanzanians. Here in the diaspora, the president represents us too. When she visits and hold business meetings with fellow presidents and foreign companies what's wrong with that? Isn't it development we need in Tanzania! . President samia has urged Tanzanians outside and foreigners to come and invest in the country and an idiot says she is spoiling our country's money, is it your personal money, do u know the work of the president? Ignorance and jerousy will kill your wicked souls. Let the president do her work, go do yours too.
Hivi Sasa tuna rais wa ajabu haijawahi kutokea, yaan hana habar na wananchi wake kabisa, yani yeye maskio yake yote ni kwa wazungu na waarabu tu, mara uarabuni, mara ulaya, mara marekani, yaani huwez kuskia ameenda songea, kigoma, mbeya, Tanga wala tabora
Same jiko linapika nyama haramu Kama nguruwe so uisilamu gani huo?sama fridges zina kila vitu haramu. Wana kula tu shauri ya kutawala kusafiri, God help them
Katika Taifa letu la Tanzania Rais Samia na jakaya kikwete ni kitu kimoja ni Safari tuu ndo wanapenda Lakini kutatua matatizo ya Watanzani hawawezi enzi ya kikwete ni kusafiri safari na Samia ni ivo ivo Hawa Hakuna maendeleo watakayo Leta Bali watauza nchi yetu kwa Hali hiyo
Anaupiga mwingi sana mno kuelekea kwenye lango la adui .... Negativity in almost all economical affair practice...hence: Economical collapse Mtaa umekuwa mgumu mno mno mno Galama za vyakula vifaa vya ujnz zimekuwa doubled tripled... Okay "LET THEM EAT BROTHER, B'SE IS WHAT I CAN AFFORD TO BUY"
@@noxlosingida2369 😀😀🙆♀️ ila walidngany toka awe uongozin akiwa bado ajaingia urais na amesoma mbk bas ila bora yeye watu tuliinjoy san kipnd hiki mm naona tu mara movie mara safri,mara chin,mara uko sas kaz haifnyik naona safri tu marekan ndo usiseme mbon sjawahi sikia rais wa marekan amekuj Tanzanian au rais wa dubai uko dubai wanapiliya mapng y mamilion pes ingewez kufny cha maan 😄
Mama wa Bata... Mama wa starehe.. Mama wa matembezi.... Mama wa mikopo tu.... Raisi wa wenye nazo... Mpenda kuongea kingereza hata kama anaoongea nao hawakijui.... Mama wa michongo..... Unatuumiza watanzania na tumeshakuchokaaa!!!
Wote wanao muunga Samia mkono ni wale wapumbavu ambao hawaoni mbele Kuna nn na pia ndo wale hawataki kazi ata enzi ya hayati doctor John pombe Magufuli ndo wale wanalazimishwa kufanya kazi
Acheni chuki na roho mbaya na maroho ya husuda kila zama zinakuja na kitabu chake mmezidi kumuongelea vibaya samia wawatu mwachen nae afanye atapopaweza kama humpendi tulia hata wakwako kuna ambao walimchukia hizi n zama za samia suluhu hasan na atawakeraa saana
Upuzi mtupu sisi watanzania Wala hatupo nae kabisa Samia afanye yake kufurahisha mabeberu lakini ipo cku vizazi vyetu vitajikomboa kwenye huu utumwa wa fikila RIP JPM tutamkumbuka na wasaliti wako tumewaona kabla hata jogoo hajawika watanzania hawatakusahau
Akitulia home kunabaadhi ya mambo yatasimama Kalaga baho. Lazima kuwe na uhusiano na mataifa ya mbele Siku tusije kosa hata condom na madawa mwacheni huyo mama
Haki mm namuombea mabaya TU sina her nae Kuna wapumbavu humu eti oo aloopewa kapewa saw ila Mungu Hana hiana hatachiz anampa na wengine huwapa kama mtihan TU pia huwakosesha kama mtihani wengine Sasa tujiuloze huyu ni rais au nimtarii ? Mungu haongop mwanamke si kiongozi mwana mke ni mshaur TU hili ndiomtaamini Kwa wenye macho na akili nzur zenye fikla wanao mpenda wote niwale mafisad wapiga dir wauza unga majangili mafisad Mungu awaangamize tunateseka watuwahali yachini ges enzi ya mh Magufur ilikua kujaza 19 Sasa 24 umeme ulikua kuwekewa n27 elf Sasa kaki 3 vyakula vyote vuko juu na bado mnajadiliana muongeze naul daa hamna hata huruma nyie juen mnakula moto matumbin mwenu haki za Wana nchi zitawa laan et Rais mzima kajitokeza juz oo kulingana na mabaliko yanch vitu vitaendelea kupanda kwel mzima huyu Alafu unazunguka TU na Hela zetu malekan cijui Kannada why
Ndo maana una njaa na hasira. Mdomo wako mchafu sishangai ndo maana hata kuandika vizuri hujui. Kufa basi nawe uende kwa huyo hnayemuona Rais 😏. Usimwombee mabaya mama wa watu
Hamna jinsi kaka acha tuumie tu muache aendelee kula maisha wenda Mungu katupatia ili tujue maisha yakoje??? Ila sio kwa hali ilivyotete kwasasa Mungu hatupe uvumilivu
Watanzania maskini wanateseka kwa njaa wewe unasafiri yaani huyu mama simpendi wangap wananiunga mkono tujuane
Umeongea point
Mm wa kwanza
Yaani yeye nikitanua tu hana lolote nami smpendi!! Watanzia wanahotaji hizo hela anazotanulia kusafiri zinaweza jega shule au hospital ticket alotumia hela ni nying first class, hotel, chakula na usafiri. Shenzi taipu kbs
@@gervasisaya4973 pamoja san
@@tabuboone934 hio ni matumizi mabaya ya fedha za umma
Hatuna rais hapa ujinga mtupu 🗑 🚮
Kwanini hatuna rais kwan amekosea nini??
Kamchonge wako wa jiti akuongoze
Mungu asaidie vizazi vyetu vya baadae viondokane na huu utumwa wa kifrika,umbumbumbu,na kupenda kuwa tegemezi.
Ushaambiwa ni ziara ya kikazi wataka nini pimbi sana wewe
@@marysadiki1887 nataka nikufire malaya mbovu wewe..
Tuliza nyege mshindo.
Duni ni kijiji hacha uzwazwa
Huu ushamba wa kuponda kila kitu utaisha lini.Hivi rais gani asiyesafiri.
Well said bro
Kuleni tuu Ila yanamwisho
Hakika Mungu nipe moyo wa subra ...
Usi sahau kuna Safari ya akhera
Unakaz kubwa mnoo ya kutuaminsha kama kweli unaweza kwangu mm mpaka mda huu umeshindwa kusimamia nchi kila sectar imeoza
kusafiri tuu ndio kafanikiwa 🤣🤣🤣
@@whatisthetruth.8793 Kwa safar tuu mama ni hodal
Mungu anatupitisha huku ili tumkumbuke JPM. Alisema" Siku moja mtanikumbuka kwa mazuri niliyoyafanya"
Kwa hakika, sasa tunamkumbuka na ni vigumu sana kumsahau.
🙄😏
kuna wengi ambao hawataki kukumbuka mateso ya huyo unayemsema ambao kaharibu maisha yao kwa sera mbaya kwa waliofaidika nae watammisi lakini aliowaumiza hawatamkumbuka,kufungwa kwa viwanda kama mazava,tumbaku na kusababisha mamia ya wananchi masikini waliokuwa wanaendesha maisha yao na familia zao kwa zile ajira watamkumbukaje?
Raisi alikuwa JPM MAGUFURI Simba wavita Alie kuwa achezei Ela ya Uma R.I.P JPM MAGUFURI SHUJAA WETU WA TANZANIA NA AFRICAN.
kipindi icho makamo wake alikuwa mamako mzazi mbwa ww...
😄😄😄
@@ahmedmohd5507 Mbwa ww usojitambua
@@ahmedmohd5507 hata kama umemtukana sabas lakin angalia komenti zote zina mdisi raisi wako..wwe ndo mbwa
@@ahmedmohd5507 huo ndo ukweli hata kama yeye ni mbwa kuzaliwa na mwanamke naww ni mbwa ulietoka kwa mwanamke
Hela zawavuja codi hizo. Zinatafunwa
hatuna shida navyo hali ya tz mbaya sana
Nyinyi mnacho kinachowaumiza roho lakini hamsemi , mama nenda utakapo wasituzonge na kelele za o
Tenaaa. Roho zawauma lakini Mungu ndo mpangaji mkuu wa mambo
Namutafuta Mambe kimavi kimbelembele simuoni. Safari hii wamemukata mukia. Kuliweka na kulipaka matope jina la Hayati Magufuli haifanyi kazi kwa Watanzania. Nashukuru serikali ya Samia imetambuwa hivyo. Tanzania ilikuwa na Rais.
Mange haishi Washington DC bali anaishi Los Angeles, kwahy mama samia atapoenda LA mange atakuwepo pia maana huko ndiko kwenye hiko kilichompeleka marekan rais kipo LA na NYC
@@raffeiystar2870 wapinzani wa JPM wangeweza kumusafirisha POPOTE kule, ili tu kuonyesha yote ya JPM yalikuwa mabaya, na musaidizi wake ndiye bora. Yote hiyo ni chuki ya kufuta legacy yake. Watanzania hawatakubali ujinga huwo. JPM was just the best.
Waliomchukia Magufuri woote leo MUNGU anawaonyesha.
Imani.yangu.ina.sema.ukimombea.mwezio.mabaya.yaanaanza.kwako.kwanza
Mungu humpa amtakae na humnyima amtakae. piga kazi mamaa hizi ni zama zako na mungu amekuchaguwa wewe utuongoze.. siku zote anae pewa hapokonyeki.. waache wapige mazogo yao. watasema mchana usiku watalala maneno yao hayatasaidia kitu ndio sifa ya binaadam tunajijua binaadam ni dhaifu na dhalili kwa mungu wetu.kwaiyo hata umtendee jema binadam hatokushukuru kamwe ndio hao wenye choyo roho mbaya na chuki waache2 waumie wenye chuki watakufa kwa vijiba vya roho kwa husda zao mungu humchagua anae mtaka tunakupenda raisi wetu
Maneno kuntu
Sis huku tunapambana na mifumoko ya bei
Safari yetu kama Taifa bado tupo mbali sana
taifa ombaomba
Yani samia bwana hadi Marekani wanashangaa wanao ishi huko hawajavaa baracoa ila yeye na wasaidizi wake sasa😷😉😤🙌
🤣🤣🤣Labda hajapata chanjo
Jamani watanzania wenzangu nakiri hivi kwenye swala hili kwanini jeshi lisiingilie kati
Kwenye swala gani??
Rais hamna hapa ....hafai kuongoza hata kijiji sijui ni ulimbukeni tu hayati JPM tutakukumbuka siku zote yaan ngozi nyeusi sijui tumelogwa wapi vichwa vyetu vimejaa dhana ya kwamba bila mzungu maisha hayaendi.....bure kabisa
Hili ndio rais bwege kuwai kutokea ktk historia ya Tanzania
Ivi kwanini iko kufungu cha katiba, ati rais akifariki akiwa madarakani makamu awe rais kwa nini kisiondolewe?
Mwendazake alipingwa haswa Kwa mema yake,lakin ***£#*mkuu anatukuzwa Kwa kuruhusu kila mtu apandaishe bei vitu anavyotaka.naona amepeleka ripoti ya jinsi anavyotushikisha adabu
Nyie mnaotaka rais awape chakula je rais gani amewah kufañya hivo, njoo I rukwa ule usaze maana tunalima
Duh!!!! Ifikapo 2023 mtakuja kuniambia?✍️✍️✍️✍️✍️
Kutakuwa hivi tu mbaka siku ya kufa hakuta kuwa na mabadiliko labda kitakacho ongezeka viumba vya madarasa
Dah rais unapokelewa na ubalozi sijui km Biden ana taarifa
😂😂😂😂😂😂😂😂hii ndo africa sasa nayoijuwa mm na viongozi wake ndo hao
Namuombamungu.aitie.itlafundege inayohusika.nafafali
🤣🤣
Week 1 lut week 1 mbelee duuuh hii Tanzania 🇹🇿 Sasa sijui
Zuchu kasema Tanzania ya sasa mama ...
Naona full ulinzi wa usalama wa marekani wakimlinda kiongozi wetu kuliko hata tunavyomlinda sisi wenyewe
JPM mungu katufanyia mambo makubwa mazur nakupenda jpm.cjui kwann alimuweka makamu warahic huyu bibi cmpend zambi hiyo nnayo jaman mungu anisamehe
Magufuli hakusafiri inje lkn paka aliondoka panya hutawala rip magufuli kaburini anajigeuza
Let's wait and see
Kwakweli hii nchi yetu ilishajifia siku nyingi sana
🤣🤣 I read some comments here and I wonder how some people think!! 🤔 . Some no body people think that they are the ones to order the president what to do, come on idiots, if you think you can do better than her why don't you stand and be elected president too? Please just because she is a lady, it doesn't mean u have the right to disrespect her, remember you are not the only Tanzanians. Here in the diaspora, the president represents us too. When she visits and hold business meetings with fellow presidents and foreign companies what's wrong with that? Isn't it development we need in Tanzania! . President samia has urged Tanzanians outside and foreigners to come and invest in the country and an idiot says she is spoiling our country's money, is it your personal money, do u know the work of the president? Ignorance and jerousy will kill your wicked souls. Let the president do her work, go do yours too.
*ukiandika maneno mengi hivi unajisumbua hakuna mtanzania anayesoma*
*wavivu wa kusoma see* 😎🙏
🤣🤣
Watanzania no man is an island ati Tanzania ijitenge uongo magufuli alikua sawa lkn binadamu si kamili mama licha ya yote ambambane na ruswa Tanzania
Eee kumbe kaenda tena
Hivi Sasa tuna rais wa ajabu haijawahi kutokea, yaan hana habar na wananchi wake kabisa, yani yeye maskio yake yote ni kwa wazungu na waarabu tu, mara uarabuni, mara ulaya, mara marekani, yaani huwez kuskia ameenda songea, kigoma, mbeya, Tanga wala tabora
Hahahahahahahahah et songea kigoma Yani hana habar SS tulioko mikoani huku maisha yetu nikama ya ngedele
Kaenda mikoa kibao tena had barabarani kasimama
@@raffeiystar2870 labda kwako
Mama kashuka kwenye escalade afu kuna mpuuzi aliwadanganya wenzie kisa yupo huku akiwambia ni gari za kawaida fala kweli
Escalade ni gari za kawaida, mbona unakuwa kama hujui magari ndugu yangu?
Gari hzo ndizo anazotembea had rais wa marekan mwenyew miaka yote, ni escalade na Chevrolet
Mama anaupiga mwingi
Upinga ndo nn
Kwahy hana kazi ingne zaid ya kusafr
Na mumubie huyu mama hatumpendi Wala hatutaki hats sauti yake najua mkiona hiz comment hamumunyesh Kwa ufisad mlonao
DAAAA
Same jiko linapika nyama haramu Kama nguruwe so uisilamu gani huo?sama fridges zina kila vitu haramu. Wana kula tu shauri ya kutawala kusafiri, God help them
Watanzania tumeriwa wamarekan sio watu wazuri
Katika Taifa letu la Tanzania Rais Samia na jakaya kikwete ni kitu kimoja ni Safari tuu ndo wanapenda Lakini kutatua matatizo ya Watanzani hawawezi enzi ya kikwete ni kusafiri safari na Samia ni ivo ivo Hawa Hakuna maendeleo watakayo Leta Bali watauza nchi yetu kwa Hali hiyo
Milad uctumage clip znatkmbsha mbali@
Nchi umeiweza samia 🤝
Yaaniiiii
mama hijab hairidhishi shusha tini ya kifua.na usivae nguo ya kubana nakupenda nikukumbushana tu
Anashindwa kusaidia masikini anaswampa tu
Hapo bibi Kijicho anaona kapatiaaaaa😳
7
🤔🤔🤔🤔
Anaupiga mwingi sana mno kuelekea kwenye lango la adui ....
Negativity in almost all economical affair practice...hence:
Economical collapse
Mtaa umekuwa mgumu mno mno mno
Galama za vyakula vifaa vya ujnz zimekuwa doubled tripled...
Okay
"LET THEM EAT BROTHER, B'SE IS WHAT I CAN AFFORD TO BUY"
Mange kimambi mbon sikuoni utaki salamu ya mheshimiwa,🤔 ila hizi safar haziishi kila siku safari tu
Kikwete na group lake nao wapo Uingereza
@@noxlosingida2369 magufuli alikuwa anafnya safari kweny nchi yake ila mwendo huu kama siuwelewi hata kidog
@@lucylucy3678 walisema eti hakupenda kwenda nchi za nje kwa kuwa hajui kuongea kiingereza wao wanajua ndiyo maana wanazurula ovyo
@@noxlosingida2369 😀😀🙆♀️ ila walidngany toka awe uongozin akiwa bado ajaingia urais na amesoma mbk bas ila bora yeye watu tuliinjoy san kipnd hiki mm naona tu mara movie mara safri,mara chin,mara uko sas kaz haifnyik naona safri tu marekan ndo usiseme mbon sjawahi sikia rais wa marekan amekuj Tanzanian au rais wa dubai uko dubai wanapiliya mapng y mamilion pes ingewez kufny cha maan 😄
Muacheni asafiri shida iko wap
Mh! Kazi ipo tutafika kweri ? Nyumbani kwako Hali mgumu Ww kila siku safari? ee mungu tusaidie
Watanzania mlioko marekani, ngoja niishie apo
Mama wa Bata... Mama wa starehe.. Mama wa matembezi.... Mama wa mikopo tu.... Raisi wa wenye nazo... Mpenda kuongea kingereza hata kama anaoongea nao hawakijui.... Mama wa michongo..... Unatuumiza watanzania na tumeshakuchokaaa!!!
Wote wanao muunga Samia mkono ni wale wapumbavu ambao hawaoni mbele Kuna nn na pia ndo wale hawataki kazi ata enzi ya hayati doctor John pombe Magufuli ndo wale wanalazimishwa kufanya kazi
Kumbe marekani sio mbAli kaondoka Jana Tu kafika
Kwa pipa Karbu tu saa24
Kwa ziara tu za nje mama unaupiga mwingi.
Anatumia hela zetu badala ya kukaa nchin na kutatua matatizo yetu
Kwa kusafir tu mama anaupiga mwing Sana
Msafara ni kama me nimeenda kumsalimia mjomba wangu simiyu....
Wenyeji hata hawashituki kukuona
Tunaomba kwenye uchagzi 25 aje hyu mama
Tourists?
hao wanaoshangiria nahisi kuna ka posho wamepewa mana huku tuu hatushangilii hivyo
mama samia piga kazi
Acheni chuki na roho mbaya na maroho ya husuda kila zama zinakuja na kitabu chake mmezidi kumuongelea vibaya samia wawatu mwachen nae afanye atapopaweza kama humpendi tulia hata wakwako kuna ambao walimchukia hizi n zama za samia suluhu hasan na atawakeraa saana
Kwakwer hii nchi imerongwa nani
Mmh nin tena
Mama lut zimekua nying Sana
Mama Songa mbele Usiogope chochote Mungu ameruhusu Uongozi huu utuongoze Wewe....Songa mbele.
Una uhakika na unayoyasema???
Yani wangejua huyu mama asivyopendwa na wananchi wa hali ya chini??
Na ndo maana haki yao ya chini. Roho mbaya ni kazi kupata neema.
Upuzi mtupu sisi watanzania Wala hatupo nae kabisa Samia afanye yake kufurahisha mabeberu lakini ipo cku vizazi vyetu vitajikomboa kwenye huu utumwa wa fikila RIP JPM tutamkumbuka na wasaliti wako tumewaona kabla hata jogoo hajawika watanzania hawatakusahau
Mwislamu gani anaishi kwenye hotel? Lazima awe anakula nguruwe huyo. Same cooking utensils zinatumika kupitia pork, bacon etc Huyu mama is a lost case
Wewe inaonekana hujatembea duniani upo hapo hapo tuu kama jiwe.Tembea kama una uwezo,kama huna bora kukaa kimya.
Kila siku marekani mbona wa hi uko haji huku upigaji 2
Hapo wanajua tu kua kaja kukopa tena duuuuh
Yan huyo mama yenu huyo
Huyu mbwa anahangaika tyu anaacha kutuliza matako nchini kwake afanye maendeleo ananenge'ka tu
Mbwa Mama yako we, em kuwa na adabu pig 🐖 wewe
Tulia nyumbani hao sio watu mwishowe watakutungua kwani unashida gani nao?
Akitulia home kunabaadhi ya mambo yatasimama
Kalaga baho. Lazima kuwe na uhusiano na mataifa ya mbele
Siku tusije kosa hata condom na madawa mwacheni huyo mama
Ni jambo la kujivunia kwa ziara ya rais wetu nchini marekani.Tumeona watanzania wenzetu walivyo mpokea kwa furaha kweli ni mama.
Ujivunie nn bana ubwehe tu u aona rais yupo tunamrenda tu
Je ziara ina tija ipi wakati umeme nyumbani majenereta yamerudi tena na rushwa imerudi kwa kisasi?
Haki mm namuombea mabaya TU sina her nae Kuna wapumbavu humu eti oo aloopewa kapewa saw ila Mungu Hana hiana hatachiz anampa na wengine huwapa kama mtihan TU pia huwakosesha kama mtihani wengine Sasa tujiuloze huyu ni rais au nimtarii ? Mungu haongop mwanamke si kiongozi mwana mke ni mshaur TU hili ndiomtaamini Kwa wenye macho na akili nzur zenye fikla wanao mpenda wote niwale mafisad wapiga dir wauza unga majangili mafisad Mungu awaangamize tunateseka watuwahali yachini ges enzi ya mh Magufur ilikua kujaza 19 Sasa 24 umeme ulikua kuwekewa n27 elf Sasa kaki 3 vyakula vyote vuko juu na bado mnajadiliana muongeze naul daa hamna hata huruma nyie juen mnakula moto matumbin mwenu haki za Wana nchi zitawa laan et Rais mzima kajitokeza juz oo kulingana na mabaliko yanch vitu vitaendelea kupanda kwel mzima huyu Alafu unazunguka TU na Hela zetu malekan cijui Kannada why
Ndo maana una njaa na hasira. Mdomo wako mchafu sishangai ndo maana hata kuandika vizuri hujui. Kufa basi nawe uende kwa huyo hnayemuona Rais 😏. Usimwombee mabaya mama wa watu
Hi
Hamna jinsi kaka acha tuumie tu muache aendelee kula maisha wenda Mungu katupatia ili tujue maisha yakoje??? Ila sio kwa hali ilivyotete kwasasa Mungu hatupe uvumilivu
DUA LA KUKU HALIMPATI MWEWE
Unachuki za kimaskini sana
Mama mama uyo mda utaisha tu
Watanzania tusiraramike ccm iwe basi
pamoka na huo ulinzi hatumpendi
Hapa Ni kumaliza mb tu
Blame Gang hawataki kuona haya.
Unajifany unamuelewa kumbe unajuwa maisha yanavyo kupiga ww mwenyew ila wabongo wakuda😂
#Kumamake
Haaaaa akuna kitu apo
Mama ya kejelii haitoki rohoni
Tunasafari ndefu Sana
Ndo anachokiweza basi
Mama anaupiga mwingi😂
Hamna kitu cha maana asee
WAP AFANDE SELE TUSIKILIZE NYIMBO YAKE KWANZA HARAFU NDO TUCOMMENT (BILA MAREKANI)..........
Madhara ya juice kiwandan
Ki guu na njia mwisho watakuchoka.