Risasi zarindima Kinondoni/ mmoja auawa/ alipora simu

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 08. 2024
  • Dar es Salaam. Jeshi la Polisi Mkoa wa Kinondoni limemuua mtu mmoja anaedaiwa kuwa ni jambazi baada ya kumpora simu mama aliyekuwa akitembea kwa miguu.
    Akizungumza na Mwananchi Kamanda wa polisi Ramadan Kingai amesema tukio hilo limetokea leo saa Jumatatu Julai 19,2021 saa tatu kasoro wakati watu watu hao wakiwa na pikipiki eneo eneo la Kinondono jirani na Dar Free Market.
    Amesema baada ya tukio hilo watuhumiwa hao walianza kukimbia huku wakifyatua risasi bila kujua kama eneo hilo kulikuwa na askari jirani.
    "Walikuwa watu wawili kwenye pikipiki aina ya boxer baada ya kupora simu, walianza kukimbia huku wakifyatua risasi ovyo askari wetu waliwakimbiza na kufanikiwa kumpiga risasi mmoja wao ambaye alidondoka chini," amesema Kamanda Kingai.

Komentáře • 7

  • @timopanga5286
    @timopanga5286 Před 9 měsíci

    Wacha wafe

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 Před 9 měsíci

    Hata Akiwa Ajapga Risasi Kikubwa Yuko Na Bunduki Nisawa2 Kifo Chake Japo Ilitakiwa Abaki Hai Atoe Maelezo Yuko Na Akina Nani

  • @faharimovies
    @faharimovies Před 3 lety

    Sasa ndo Nini Sasa

  • @renatusmatungwa6506
    @renatusmatungwa6506 Před 3 lety

    Hao ni vibaka sio majambazi

  • @chalresmwita3486
    @chalresmwita3486 Před 3 lety

    Duuuuuuu kwahyo tufanyeje sasa mauwaji yaishe

    • @mataka-y5z
      @mataka-y5z Před 3 lety

      Wewe aulali leo unakesha?

    • @jumaradhm3926
      @jumaradhm3926 Před 3 lety

      Wauliwe tuu hawa MAJAMBAKUZI.
      Maana yanarudsha maendeleo y watu nyuma.