Risasi zarindima Kinondoni/ mmoja auawa/ alipora simu
Vložit
- čas přidán 25. 08. 2024
- Dar es Salaam. Jeshi la Polisi Mkoa wa Kinondoni limemuua mtu mmoja anaedaiwa kuwa ni jambazi baada ya kumpora simu mama aliyekuwa akitembea kwa miguu.
Akizungumza na Mwananchi Kamanda wa polisi Ramadan Kingai amesema tukio hilo limetokea leo saa Jumatatu Julai 19,2021 saa tatu kasoro wakati watu watu hao wakiwa na pikipiki eneo eneo la Kinondono jirani na Dar Free Market.
Amesema baada ya tukio hilo watuhumiwa hao walianza kukimbia huku wakifyatua risasi bila kujua kama eneo hilo kulikuwa na askari jirani.
"Walikuwa watu wawili kwenye pikipiki aina ya boxer baada ya kupora simu, walianza kukimbia huku wakifyatua risasi ovyo askari wetu waliwakimbiza na kufanikiwa kumpiga risasi mmoja wao ambaye alidondoka chini," amesema Kamanda Kingai.
Wacha wafe
Hata Akiwa Ajapga Risasi Kikubwa Yuko Na Bunduki Nisawa2 Kifo Chake Japo Ilitakiwa Abaki Hai Atoe Maelezo Yuko Na Akina Nani
Sasa ndo Nini Sasa
Hao ni vibaka sio majambazi
Duuuuuuu kwahyo tufanyeje sasa mauwaji yaishe
Wewe aulali leo unakesha?
Wauliwe tuu hawa MAJAMBAKUZI.
Maana yanarudsha maendeleo y watu nyuma.