ABIRIA wa MBAGALA WAILILIA SERIKALI, BAADA ya STENDI ya MAGARI KUSINI KUHAMISHIWA KIJICHI..
Vložit
- čas přidán 12. 09. 2024
- ABIRIA wa MBAGALA WAILILIA SERIKALI, BAADA ya STENDI ya MAGARI KUSINI KUHAMISHIWA KIJICHI..
Abiria mbali mbali katika stendi ya mabasi ya Mbagala rangi tatu jijini Dar es Salaam wametoa kero yao mara baada ya leo asubuhi kukosa usafiri wa magari ya kwenda kusini na kudai kuambiwa waende eneo jipya lilopo Kijichi ambapo wakiongea na Global tv wamedai imewapa usumbufu mkubwa na kuomba serikali iwasogezee muda ili waweze kujipanga kwa hilo.
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 657 693 210), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...
Kwa kupeleka kijichi wamechemka sana, kule kumekaa vibaya,kwanza kumejificha sna,pili vinjia vya kijichi vyembamba sana, nikuwatesa abilia tu, bola wange sogeza hata mwandege, lakini kijichi wamekulupuka sana,
Sasa mbona kijichi na sitendi ya kusini wapinawapi kwani awaonikamatofauti bolawangepeleka mwandege aukongowe
Selkali walicho kufanya Sicho kabisa wameenda kuweka stendi maeneo ya ndani Sana.....stendi inatakiwa iwe karibu na Barbara kubwa .....iwe rahisi Kwa mgeni yeyote Yule bt KIJICHI wame yumba sana
Poleni sana
KUTOA TAARIFA, WATU WAKAFAMU MAPEMA NAYO SHIDA,WATOE BASI LIWACHUE LIWAPELEKE HUKO KIJICHI,POLENI SANA NDUGU ZETU.
nchi hii kila mtu ana fanya kazi kwa kujiangalia maslah yake serikali zetu za ki maslahi tuu
Mkiyambiwa msipigiye kura ccm sema wabishi ngoja tuwone kupigakura
Serikali imefeli sana yaani ni changamoto kubwa sana
Atakama wabadilushe au waludishe apo apo ndio palikua pazuli MTU akikosausafili temeke anawaimbagala
mbona haya mambo watu wa kusini tu mbona kaskazini wanajengewa kando za barabara .ushauri watu wa kusini musahau maendeleo mpk dunia itaisha
SERIKALI YA WAPIGA , WANAWAZA NAMNA YA kupiga pesa nyingi kwa wanachi tu, siyo kuwarahisishia wananchi
Hivi huwa wanawaza Nini?
Serekali ya wafanya biashara hii
Majaliwa uko wapi au na ww umemsaliti magufuli😭😭😭😭
Mbona Mbezi tunakwenda?
Tatizo sio kwenda, watu wangejurishwa mapema, mwananchi hawezi kupinga, hapo watu wa nalia na kipato pesa hakuna.
@@aishaamwalimu2887 Madame sasa hivi tunakwenda mbezi nini hapo kijichi
@@jumakapilima7295 kumekaa kinyume bora waweke, Kongowe au Mwandege, wakate msitu kiasi, Mtu anaenda kusini, safari ikaanzie kijichi😂🙏.
Barabara ya kijichi ni nyembamba sana wangetafuta eneo ambalo lipo karibu na barabara ama kule kijichi wangeanza na ujenzi WA miundombinu ya barabara pana n
@@aishaamwalimu2887 kwahiyo Mbezi na ubungo wapi kumekaa kinyume?
I. R.p magufuli 😭😭
akili una
Serekali ya machizi
Tmk tumezidi ushamba usikilizi radio waongo sana kutoka rangi tatu mpaka kijichi 500 ikizidi buku serikali fanyeni kazi wamakonde acheni kulalamika ovyo
Kinacho ongelewa ni kweli ...Mimi nakujua vzr Sana mbagara kuu ikijumuisha KIJICHI....kila panapo tokea uhitaji ndio watu wanalo angalia pesa ...kitendo cha kumpeleka stendi KIJICHI usafiri umeongezwa bei ......hlo utake usitake jua hlo.......
Mbona sisi tunatoka mkuranga mpaka mbezi. Mama samia piga kazi.
Acha unazi ww unawapa pesa ya kuwalipa hapo elfu 2 hadi kijichi