Bagia/ Bhajiya rahisi za kunde
Vložit
- čas přidán 3. 03. 2021
- MAHITAJI
Vikombe 2 kunde
Vitunguu maji 3 vya wastani
Vijiko 2 vya chakula maji ya limao (ukipenda)
Kijiko 1 cha chai baking powder
Kijiko 1 cha chakula tangawizi
1/2 kikombe majani ya giligilani
Chumvi kwa kuonja
Mafuta ya kukaangia - Jak na to + styl
Nakupenda jmn kwann sjakuona kitambo😢umenifunza
Asante kwa upishi huo
Safi sanaa
Kando na Dania(coriander)waeza Tumia mchicha(pig weed)....kunde nyeusi nzuri ..
😋😋😋😋cijawahi jutia kukutazama jmn unaniweza kwa jiko hatr vingi nafnya kama unavyoelekeza .
Hongera 👏 👏
Safi sana!:nimefurahi kujifunza mbadala wa kunde Asante sana nzuri sana!:
Pambe mamy ❤nmepnd
Asante sn maganda baada ya kuloweka yalikuwa yananikera now nimepata njia mpya thx
Aslm alkykm.vp hutii unga wa ngano
Asante Jeni bagiani nzuri
👍
Nlijaribu lakini hazishikani
nzuri sana shukran
Asante mpendwa nimeipenda hiyo
Asante kwa kiswahili
xo sweet badia
Ubarikiwe dada
Hongera Kwa pishi zuri
Nimependa sana
Àsante Sana dada
Asante sana mpenzi
Wow
Nice
Ni tamu sana
Asante nitajaribu
Nzur unaweza mashalah
Nimependa mafunzo ya video hii jane
SHUKRAAN SANA
Kazi nzuri cute Jane... Naanza kukufuatilia Sasa😍😍
Sio bagia ,nibajia😀
Yupo correct ni Bagia ndio zinaitwa love
Asante sana....nitazipika na maganda... maana maganda ni fibre.
Yanafanya pia zinakuwa more crunchy 😊
Vipi kuhusu moto uwe mdogo mdogo au saiz ya kati!?
❤❤❤❤❤
Majani ya giligilani si rahic kuyapata nafanyaje?
Asante kutuelimisha kipimo cha kunde sijakipata samahani.
Vikombe viwili
Asantee
Love you Jane. Your blessed. Am Naomi a new subscriber on your channel. Greetings from Tanzania. Love you. Hi to baby Mila
Jamani, ahsante sana my dear. Salamu zimefika, tunakutumia lots of love from
Berlin
Mashallah
Hohoo je na karoti
Ungeongeza kitunguu saumu na majani yauwatu bajia Zina kua Yammy
Hogrraa sana mungu akubariki
Samahan dada kama huna majan ya giligian utatumia nn
kama huna chakusagia unaweza kuzichemsha alafu ukaziponda ponda mpaka ziwe rain
Asante lazima nitengeneze pia haitumii muda mwingi
Kweli, ni rahisi sana😊
Baking powder na limau zina saidia nn
Bagia hiz napenda lakn napata San kiungulia SIJUI why
Sasa hapo kwenye kuroweka kunde,je unaroweka kwa muda gani!? Ili isagwe
Usiku kucha/ unaloweka asubuhi then joini unapika😂
Salam alekum uanasaga giligilàni nà vigiti vake
Mimi natoaga vijiti nasaga majani peke yake kama kwenye video
Mi nahitaji kujifunza za njegele
Naitwa kalunde kutoka Dodoma
Kunde kiasi Gani?
Nimipenda samahan eti Amira haiwekwi?
Blenda unaweza tumia ya juice
Ndiyo, mimi natumiaga ya juice
Hivi ukisaga unga was kunde mashineni kabisa
Maji ya limao yanasaidia nin
Yanaongeza flavor
Asnt
Mashine hiyo ya kusagia nafaka inauzwa shl ngp
Sipo tanzania, sijui kwa tanzania zinauzwa bei gani
@@jikonajane8459 na Kenya, haswa Nairobi naeza ipata wapi? Asante.
@@bellebellebelle5485 ulizia maduka ya vyombo wanaweza kuwa nazo
Unaitumia hamira au Baking powder? Maana sijaona
Baking powder, nimeweka mbona angalia vizuri
Aliweka bakin powder
Naomba uwiano wa bp na kiasi Cha kunde plz