MBWADUKE: STRATEGIC SIGNING! DUBE ATUA YANGA KUIPA MAKALI LIGI KUU, CAF CL/PACOME, KI, MAXI, CHAMA..

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 5. 07. 2024
  • Usisahau kusubscribe, ku-comment na ku-like...

Komentáře • 56

  • @Stevmwamba2090
    @Stevmwamba2090 Před 8 dny +14

    Mbwaduke king of football statistics ,, talks by data and facts 🎉🎉

  • @User255tv
    @User255tv Před 8 dny +16

    Huyu ndiye mrithi halisi wa Mayele. Apewe jezi namba 9.

  • @OS-pf6op
    @OS-pf6op Před 8 dny +6

    Yaani kwa shot accuracy hizi za Baleke na Dube. Dhuu ni balaaa tupu!

  • @MartinMgogo
    @MartinMgogo Před 8 dny +6

    Yes dube ni mtu na nusu

  • @ShafiiHungo
    @ShafiiHungo Před 8 dny +6

    A a dube atakuwa bora zaidi ya mayele

  • @sallyeliya5213
    @sallyeliya5213 Před 8 dny +4

    Toa shule🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @AmanaAmos-hv3yz
    @AmanaAmos-hv3yz Před 8 dny +6

    Yani guede ❤❤❤ akiondoka😂😂

  • @mrishojuma4695
    @mrishojuma4695 Před 8 dny +4

    Huyu ndiye mchambuzi halisi sio wengine mifuzi tu

  • @BedictoPetroKazumba
    @BedictoPetroKazumba Před 8 dny

    #Mwaduke respect sana Mzee wangu hunaga mambo mengi na uko making sana na kazi Yako. Allah aendelee kukujalia na kukulinda Mzee wangu🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @user-yn6wf7qq7s
    @user-yn6wf7qq7s Před 7 dny

    💚💚Yang aaaaa

  • @jacksontanda5431
    @jacksontanda5431 Před 8 dny +3

    Welcome at House of cups DUBE

  • @raikamsela
    @raikamsela Před 8 dny +2

    Young African 💛💚🔰💪

  • @charlesroswe
    @charlesroswe Před 7 dny

    dube yupo vzr👍👍👍👍👍

  • @MozesKalikumbi
    @MozesKalikumbi Před 7 dny

    Prince Dube ni mtu sahihi kwa Yanga kwenye eneo la ushambuliaji na ufungaji , congrats to Young Africans

  • @ImanuelMwaipaja-wf7xq
    @ImanuelMwaipaja-wf7xq Před 8 dny +3

    Kwaiyo una watishia makolo

  • @KarokiaNdirango-lj3wf

    Mbeduke mchambuzi bola kwenye nchi hii 🎉🎉🎉

  • @JacksonKadwela-cb6sq
    @JacksonKadwela-cb6sq Před 6 dny

    ❤yanga tuna chukua vikombe vyote ata vya chai

  • @user-wl7zm5vj7v
    @user-wl7zm5vj7v Před 7 dny +1

    Hivi watu kama Jemedari na Jeff Leah Huwa wakisikia hizi Nondo sijui kama wanajifunza ,hivi Huyu Mbwaduke unaanzaje kumkosoa na hizi data😂😂

  • @michaelnkobi2201
    @michaelnkobi2201 Před 8 dny +2

    Saaaafiii

  • @emanuelsamwel999
    @emanuelsamwel999 Před 7 dny

  • @GibsonNtamamilo
    @GibsonNtamamilo Před 8 dny

    Kwa Dube yeye hakuna tumesajiri jina. Dogo hapambani majeruhi sana.

  • @user-ce8wc9te7y
    @user-ce8wc9te7y Před 8 dny +3

    Vizuriiiiiy

  • @jacksontanda5431
    @jacksontanda5431 Před 8 dny +2

    Ngoja 2one

  • @malietamalieta9658
    @malietamalieta9658 Před 8 dny +3

    mimi nimefurahi usajil wa dube akibaki na aziz ki inshallah tutakua tymemaliza kazi ila baleke mm walai sitaki aje yanga

  • @gasperelasto8842
    @gasperelasto8842 Před 7 dny +1

    Kaka hivi namba zlzoandikwa kwny jezi za wachezaj huwa wanazipataje, ni nani huzipendekeza, kw kigezo gani?

    • @MbwadukeStats
      @MbwadukeStats  Před 6 dny

      Yeye mchezaji na timu anayohamia. Ikiwa haina mtu inakuwa rahisi zaidi kuipata. Vinginevyo mchezaji hulazimika kutaja chaguo la pili, la tatu...alimradi kupata namba isiyokluwa na mwenyewe,

  • @AndrewFilemon
    @AndrewFilemon Před 8 dny +1

    Baleke wanini? bhn, mshambuliaj gani anafunga magoli ya piga nikupige

  • @EdgarAlphonce
    @EdgarAlphonce Před 7 dny

    Hapa kwenye asilimia ni 36% na siyo 26%

    • @MbwadukeStats
      @MbwadukeStats  Před 6 dny

      Okeee. Shukrani kwa kugundua kama kuna mahala Mzee wa Data kateleza. Ahsante sana kwa kuendelea kutuunga mkono!

  • @Ba63828
    @Ba63828 Před 7 dny

    Can you explain to me sir kwanini wamempa byebye Guede?

    • @MbwadukeStats
      @MbwadukeStats  Před 6 dny

      Pengine yeye ndiye ameipa Yanga byebye baada ya mkataba wake mfupi kumalizika na kisha kupata sehemu yenye malisho mazuri zaidi kwake!

  • @amaniomar1755
    @amaniomar1755 Před 8 dny

    Safi 🎉🎉🎉

  • @abdallahakida7908
    @abdallahakida7908 Před 8 dny +3

    Ngoja tuone mara baleke mzuri mara chama mara dube mara mayele mmechanganyikiwa mtaipoteza timu na mwaha huu mtafanya vibaya zaidi mpaka ligikuu kwa sababu ya over confidence

    • @Mobmob2013
      @Mobmob2013 Před 8 dny +2

      Kolo unateseka Ukiwa wapi

    • @RashidKaoneka-bj8mm
      @RashidKaoneka-bj8mm Před 8 dny +2

      Kolo unawivu usije ukajinyonga

    • @bsmonline8482
      @bsmonline8482 Před 8 dny +5

      Kijana wala haihitaji nguvu kubwa Usajili wa Yanga Ni hatari sana hasa ukizingatia waliotupiga 5 wakageuka wakatupiga 2 bado wapo. Tunajifariji tuu ila Yanga gari likishika njia ni hatari sana msimu huu kuliko uliopita

    • @user-ox3ij7ki3t
      @user-ox3ij7ki3t Před 8 dny +3

      Maana uliskia kocha anapanga kikosi kwa kusikiliza sifa za wachezaji kwa wachambuz na mashabik et??? Ukweli ndo huo ni wazuri kweli ila kocha ndo anajua namn ya kuwachezesha

    • @fredyjunior6961
      @fredyjunior6961 Před 8 dny

      DUA LA KUKU HALIMPATI MWEWE

  • @FabianDasson
    @FabianDasson Před 8 dny

    Akiwa fiti tutafrahi sana ila shida ni utimam wa afya yake
    7:40

  • @juliusejulius6704
    @juliusejulius6704 Před 8 dny +2

    mchambuzi uliyemkweli Tanzania umebakia wewe tu

  • @abdallahakida7908
    @abdallahakida7908 Před 8 dny

    Sasa huyu si alikua azam kipi kikubwa alichofanya ama kweli mfamaji heshi kutapatapa.

    • @omarydaudy3744
      @omarydaudy3744 Před 8 dny +2

      Hata mudathiri alikuwa azam

    • @Mobmob2013
      @Mobmob2013 Před 8 dny

      ​@@omarydaudy3744 umemjibu kolo vizuri

    • @user-ox3ij7ki3t
      @user-ox3ij7ki3t Před 8 dny +3

      Alikuwa anazungukwa na nani kwanza akiwa azam alikuwa hana furah tim ilikuwa haina malengo ndo unambiwa ukifunga tim flani viongozi wanakukasirikia na si ajabu maan mfadhili wa azam ni mwanachama hai wa makolo

    • @fatmaally7252
      @fatmaally7252 Před 8 dny +1

      😂😂😂😂😂 unakufa ukiwa wapi

    • @mrishojuma4695
      @mrishojuma4695 Před 8 dny

      Roho mbaya inajulikana tu sasa nyie mnanini?