Video není dostupné.
Omlouváme se.

MBWADUKE: WHY YANGA INAANZIA AWALI CAF CL HUKU SIMBA IKILA POZI KUSUBIRI RAUNDI IJAYO CAF-CC?

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 19. 08. 2024
  • Usisahau ku-subscribe, ku-comment na ku-like...

Komentáře • 56

  • @yusufunguruko8080
    @yusufunguruko8080 Před měsícem +1

    The only soccer analyst in Tanzania - big up Mbwaduke !

  • @user-wk2bg8zf3l
    @user-wk2bg8zf3l Před měsícem +7

    SIMBA NI TIMU KUBWA TANZANIA ,🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤WAKALI WA KARIAKOO

  • @IsaacParuz
    @IsaacParuz Před měsícem +3

    Ubunifu Hadi Raha kaka mbwaduke hongera sana wote hapo na team yako

  • @assamkagila
    @assamkagila Před měsícem +9

    Namkubali sana huyu mwamba yuko vizur kweny uchambuzi wa soka

    • @MbwadukeStats
      @MbwadukeStats  Před měsícem +2

      Shukrani sana Mkuu. Ahsante kwa kuendelea kutuunga mkono!

    • @gasperelasto8842
      @gasperelasto8842 Před měsícem

      Tuchambulie match ya yanga vs kaizer chief

    • @dubo2010
      @dubo2010 Před měsícem

      @@MbwadukeStats formula karibia miaka yote ni (64 - idadi ya timu zinazoshiriki = idadi ya zitakazo anzia hatua ya kwanza)

    • @user-hn8vj1vn5y
      @user-hn8vj1vn5y Před 29 dny

      ​@@dubo2010 Good! Ahsante sana Mkuu!!

  • @salummohammed1176
    @salummohammed1176 Před měsícem +1

    Kweli kaka umechambua vizuri sana asioelewa atakua mburura Simba SC nitimu kubwa

  • @peterngatunga1527
    @peterngatunga1527 Před měsícem

    Samahani vijana wetu msiharibu lugha katika kujitambulisha hatusemi Kwa majina naitwa..... Bali Kwa jina naitwa naitwa.......... Asante sana

  • @gasperelasto8842
    @gasperelasto8842 Před měsícem +1

    Kaka asante sana kw kazi nzuri. Tunaomba utuchambulie match ya yanga dhidi kaizer chief

  • @user-wl4yo4zp9t
    @user-wl4yo4zp9t Před měsícem +1

    Mbwaduke uko vizuri

  • @Jaymedia16Tz
    @Jaymedia16Tz Před měsícem

    Kk uko vzr ninakufuatilia sana tena sanaa achana na hawa wachambuzi uchwara wanajisifu eti wachambuzi hongera sana bro

  • @DAVIDKISWAGA
    @DAVIDKISWAGA Před měsícem +2

    Uko vizuri sir mwanduke!

  • @user-uj5wg9mm2t
    @user-uj5wg9mm2t Před měsícem

    Simba nguv moja😂😂😂😂

  • @shabaniramadhani8026
    @shabaniramadhani8026 Před měsícem

    Uko vizuri brother

  • @ThuwaibaMkana
    @ThuwaibaMkana Před měsícem

    Nimekuelewa baba mbwaduke❤

  • @KASSIMSHEHEMBA
    @KASSIMSHEHEMBA Před měsícem

    Kimataifa huwezi kulinganisha Simba na Yanga Simba ipo nafasi ya 6 afrika Yanga 43 huoni Yanga ni kibonde

  • @YasiniJuma-rc9bb
    @YasiniJuma-rc9bb Před měsícem +1

    Nadhani we ndo mchambuzi bora Tz!!👏🏽👏🏽👏🏽

  • @jumaazuberi9317
    @jumaazuberi9317 Před měsícem

    Miaka 4 simba anaenda kimataifa na anafika robo yanga ndani ya miaka hiyo 4 hawafiki popote na kucheza makundi nibaada ya miaka 25 watafanana vipi na SIMBA.

  • @FedricMwikwabe
    @FedricMwikwabe Před měsícem

    Big up Mr mbwaduke

  • @rizikylaizer1602
    @rizikylaizer1602 Před měsícem +1

    Leo nina raha napenda data zako mbwaduke sana❤

  • @mwitamalwa2773
    @mwitamalwa2773 Před měsícem

    Simba ni simba tu so yakufananisha na team yoyote Tz😂😂😂😂😂😂😂

  • @orestonjalika632
    @orestonjalika632 Před měsícem

    Tatizo lako unajua sana boli wewe mbwaduke. umekuwa taa sana aise

  • @OGVIDEOPRODICTION-z2l
    @OGVIDEOPRODICTION-z2l Před měsícem

    asant

  • @User255tv
    @User255tv Před měsícem +1

    Noted. Kwa kutumia idadi ya 5 bora, hata makolo wangekuwepo CCL nao wangeanzia preliminary vilevile. Tukutane uwanjani.

  • @charleznicholas416
    @charleznicholas416 Před měsícem

    Mbwaduke namkubali sana huyu jamaa anachambuwa kwa akili

  • @silasjacob-j2l
    @silasjacob-j2l Před měsícem

    watabakia kujifananisha na mnyama caf wenyewe simba yani hapo formula zitabadilika sana imradi2 mtoto asifanane na baba

  • @user-yr8eq7rr1z
    @user-yr8eq7rr1z Před měsícem +1

    Huyu ndo mchambuz, cyo wale kina ambokile ushenz mtupu

  • @augustinokibena8387
    @augustinokibena8387 Před měsícem

    Kuhusu pot Yanga atakuwa pot ipi

  • @labramsalum976
    @labramsalum976 Před měsícem

    Nakubaliiiii

  • @Kabeya410
    @Kabeya410 Před měsícem

    Bahati mbaya kwetu bahati nzuri kwao wangekua huku nao wangekua hawao wao wa 6 na zimetengwa 5 simba nae angeanza kama Yanga tu kule shirikisho ni mkurulo yaani 12 unakosaje hata yanga angekua kule asingecheza mwanzo Asante Mbwaduke hawa makolokolo wasitambe ni mfumo tu 😅

    • @abdallahmzee4335
      @abdallahmzee4335 Před měsícem

      Ucjifariji kwani hukuwahi kuwa huko mbona ukupata hiyo nafasi ya kuanza awamu ya pili,Kubali tu Simba ni kubwa kwani ukikubali utakufa

    • @Kabeya410
      @Kabeya410 Před měsícem

      @@abdallahmzee4335 angalia kabla hapo nilikua sina point za kunibeba baada kufika fainali na kufika Robo niliyodhulumiwa ningekua huko timu 12 nayo unajisifu mkurulo huku kwetu ni timu 5 mimi wa saba ingekua kumi bora au saba bora nimo ningeanza mbele ila kwangu faida napata mazoezi mazuri we subiri hiyo raundi unaishia hapo hapo mwaka huu hata makundi hufiki Yanga kafika fainali shirikisho na mechi ugenini nimeshinda pamoja na figisu zote kanuni ndo imenitoa Sasa kama Mwanaume kweli fika fainali na ushinde fainali ugenini NIKO PALE NIITE MBWA

    • @abdunnurahmedsilim7456
      @abdunnurahmedsilim7456 Před měsícem

      Siku zenu zinahesabika za kujiita eti ni wakubwa!​@@abdallahmzee4335

  • @ibrahmsimai
    @ibrahmsimai Před měsícem

    .saw

  • @nahimanafiston6518
    @nahimanafiston6518 Před měsícem

    Wawuuu

  • @sweetbertrwiza5982
    @sweetbertrwiza5982 Před měsícem

    Hata kama kichwa chako kigumu kama jiwe lazima utaelewa tu!

  • @khadijamisayo7476
    @khadijamisayo7476 Před měsícem

    Simba ni Simba tu

  • @YunusHaji-i8i
    @YunusHaji-i8i Před měsícem

    Apewe tunzo na mauwa🎉🎉🎉🎉 yake Kwa kiwango chake jamaaa

  • @user-wn4qu9yu7n
    @user-wn4qu9yu7n Před měsícem

    Huwa nafurahishwa na data zako

  • @user-tr8kz6wc1j
    @user-tr8kz6wc1j Před měsícem

    Wasifosi tufanane

  • @Bashirusalum
    @Bashirusalum Před měsícem

    Simba sio paka hata alowe vipi

  • @brunoh_bx
    @brunoh_bx Před měsícem

    Salma Hamidu naomba naomba yake me bado sijaoa jama😂😂 Nakukubal sana kaka Mbwaduke👏👏🔥🔥🔥

    • @emmanuelibrahim8159
      @emmanuelibrahim8159 Před měsícem

      Umalaya tuu kuoa aaaaah😮

    • @brunoh_bx
      @brunoh_bx Před měsícem

      @@emmanuelibrahim8159 😀😀 si ndo natak kuoa sasa jaman

  • @amidanjalle3468
    @amidanjalle3468 Před měsícem

    Sis ni simba

  • @evansmoshi1923
    @evansmoshi1923 Před měsícem

    Maswali ya wanafunzi mashabiki wa utopolo

  • @user-tc7fh1mv8f
    @user-tc7fh1mv8f Před měsícem

    Brother mm swali langu nikuwa mbona bala laAfrica ina nchi 54 afu kuna timu 52 ,59 afu mda huo kuna nchi zimepeleka timu mbili hii imekaaje?je kuna nchi hazishiliki michezo kabisa au