Shekh Kipozeo Kamfungukia WEMA SEPETU Bila Uoga

Sdílet
Vložit

Komentáře • 340

  • @saidrakwe8727
    @saidrakwe8727 Před 4 měsíci +2

    Allah akulinde shegh kufikisha ujumbe kwa busar ingekua wengine washawatukana wote hapo,kama dini ya kwao

  • @abaafarhat9191
    @abaafarhat9191 Před 3 lety +9

    Shehe kipoozeo muogope Allah usifurahishe watu eti unawaombea bongo movie waendelee yaani unawaombea waendelee kuonyesha uchi na kupotosha jamii asilimia kubwa ya vizazi vyetu vimeharibikia kwenye bongo movie kwa kuwatazama hao eti na waislam kabisa shehe uko vizuri sana nakukubali ukweli ni huu uislamu hauendi hivo hapo hakuna pazia ya kutazamana wanawake na wanaume wamechanganyikana wallah shehe anayejitambua hawez toa mawaidha hapo kwenye mchanganyiko kama kanisani tuisomeni dini ndugu zangu waislam

    • @angelamarlow510
      @angelamarlow510 Před 2 lety +2

      Ismail bhn we nawe umenena ila shekhe yeye ajawaombea wakae uchi
      Bali ile kazi aitende kiufasahaa
      Na Mungu aongeze vyema ili wasitekwe na Dunia akamsahau Allah na kutenda mabaya

    • @issasheikh2270
      @issasheikh2270 Před 2 lety

      @@angelamarlow510 kakosea sn coz anasema cc na wacristo ni ndugu wakati Mtume ametufundisha muislam ndugu yake ni muislam

    • @iddydawood2020
      @iddydawood2020 Před 2 lety +1

      @@issasheikh2270 acha mihimko.sheikh amebaisha kuwa wakristo na waislamu wote ni ndugu kwa nasaba ya Adamu.
      na Allah amelithibitisha hilo.
      YAA AYYUHA NNAS KULUKUM MIN AADAM WA AADAM MIN TURAAB=enyi watu nyinyi wote mnatokana na Adamu na Adamu anatokana na udogo.
      na mtume asema:
      ENYI UMATI WANGU,WATU NI WA AINA MBILI KWENU:
      1-ndugu yako ktk imaan
      2-ndugu yako kwa Adam
      NA WOTE HAO WANA HAKI ZAO

    • @issasheikh2270
      @issasheikh2270 Před 2 lety

      @@iddydawood2020 shukran

  • @husnatntalala6531
    @husnatntalala6531 Před 5 lety +51

    Ninapendaga mawaidha yako yanamafunzo Allah akupe umri mrefu inshaallah

  • @emmajux8505
    @emmajux8505 Před 4 lety +10

    😂😂😂oa alie muelewa camera man ana makusudi kwa wema...gonga like tusep zetu

  • @user-ox1md2jx9o
    @user-ox1md2jx9o Před 4 měsíci

    Sheikh ana fanya Sawa, nzuri Allah akuhifadhi inshallah sheikh

  • @mrishosalum799
    @mrishosalum799 Před 5 lety +13

    Allah akujaalie kila LA kheri sheikh na nyinyi wasanii amabao ni vioo vya jamii shikeni maneno hayo na myafanyie kazi

  • @muhammadali4394
    @muhammadali4394 Před 2 lety +3

    My favourite Sheikh Ma sha Allah...

  • @binurusm8886
    @binurusm8886 Před 5 lety

    Hongera Sheikh Kipozeo kwa kuelimisha jamii, ukikaa na Mchungaji Daniel Mgogo uelimishaji jamii utaimarika vema, Mungu awabariki Viongozi wetu wote katika imani, Mungu Ibariki Tanzania, Aamin.

  • @dallasme86
    @dallasme86 Před 2 lety

    Shekh ALLAH akupe umri na uzidikuelemisha na kusambaza Dini ya ALLAH INSH ALLAH

  • @mussaanthony7697
    @mussaanthony7697 Před rokem

    Hongera sana baba shekhe wetu kipozeo wapoze hao kinadada maana muuu sanyingine wanatatanisha kila lakheli inshallah

  • @innocentking8838
    @innocentking8838 Před 5 lety +35

    Mimi nimkristoo from Kenya ilaa mawadhii huwaa nayapendaa sana yaani ukiyaskilizaa kwa umakinii yanamaaanaa sana

  • @rajabuhondo4973
    @rajabuhondo4973 Před 3 lety +4

    Allah akuu zidishie kher shekhe wetu 🙏

  • @mohammedmatano6970
    @mohammedmatano6970 Před 4 lety +2

    Shekhe mawaidwa mmrwaa kabisa,Allah akijalie mema na akufanyie wepese penye na uzito inshallah.

  • @bizekago4060
    @bizekago4060 Před 2 lety +2

    Kama unatoa mawaidha kwa kukwepesha ukweli kumbuka kuna siku ya hesabu allah atakulipa

  • @mariamfritsi9761
    @mariamfritsi9761 Před 5 lety +29

    Sheikh huyu nampendaga sana kwa mawaidha yake ,yaani ana mawaidha mazuri na ana utani sana mtu huchoki kumsikiliza.15.04.19.

    • @abaafarhat9191
      @abaafarhat9191 Před 3 lety

      Dini haitaki utani mbele yake kuna wanawake wana vimini vichwa wazi hakuna dini ya hivi na anamsifia mwanamke mbele ya halaik hii sio dini aliyekuja nayo mtume shehe awe sirious sio bila kujali watu watachukia ushahid wa hayo nenda katika qur an surat Nuur aya ya 30-31 we unadhan mawaidha hayo mtu atakuwa sirious?

    • @fatumahassan1371
      @fatumahassan1371 Před 2 lety

      @@abaafarhat9191 hapo umesema

    • @sadaomar299
      @sadaomar299 Před 2 lety

      Ismail kaita hata mtume ktk kulingania kwake walikuwepo wanawake ambao walokuwa hawakujistir na wengine wamejistir na walimfata rasuli na kun walobaki ktk dini yao na wala hakukataza watu wasilinganie pia ww ukimuona mtu usimshangae kisa kavaa kisket mlinganie kwa iman mbn allah atambadilisha na ww siku ukimuona utafurah ko kumlingania mtu sio lazima ajistir

    • @sadaomar299
      @sadaomar299 Před 2 lety

      Vilevile hatukuambiwa tuwalinganie wanojistir tyu hawa wenzetu watalinganiwa na nani kutana nao uwalinganie tyu

  • @sheikhsharifmaduatz2871
    @sheikhsharifmaduatz2871 Před 5 lety +8

    #UNAJUA SISI WAISLAMU WENGI TUNAKUWA HATUWEZI KUENDELEA SABABU YA #CHUKI_HUSDA_FITINA NA ROHO MBAYA KWAIYO MLIKUWA MUNATAKA AZUNGUMZE WATU WAKIWA WAMEJISTIRI SWALI YEYE KAKA NANI NA WAKATI NI MGENI #MWALIKWAAAAAAA

    • @ibrahtibah
      @ibrahtibah Před 5 lety +3

      RAJABU WAHAJ wengi wana comment kwa jazba tu bila kuelewa mazingira Rajabu safi kwa kulitambua hilo

    • @sheikhsharifmaduatz2871
      @sheikhsharifmaduatz2871 Před 5 lety +1

      @@ibrahtibah watu wengi mm nawatizamaga yaaan mtu kazi kumtoa kasoro mwenzake inafikia hatu et anaitwa hana #akil mara #njaa #mara huyo sio shekhe wakati wanasahau #mazingira yamekaaaje

    • @lailakhalid9399
      @lailakhalid9399 Před 5 lety +1

      Kumlingania mtu ni sehemu yoyote na mahara yoyote na ktk mazingira yoyote Sema uwelewa ndio tatizo

    • @sheikhsharifmaduatz2871
      @sheikhsharifmaduatz2871 Před 5 lety

      @@lailakhalid9399 pamoja

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme Před 2 lety

      Kweli na ukiwa mbaguzi wakupitiliza Mungu lazima akutenge

  • @ismailjohn6108
    @ismailjohn6108 Před 5 lety +2

    sheghe kipozeo nakukubali sanaa Masha Allah in shaa Allah siku moja Allah ajaliee wepesii nikutane na ww In shaa Allah

  • @husseinkazungu5101
    @husseinkazungu5101 Před 2 lety +1

    MashaAllah shukran sheikh

  • @shanimpenike7568
    @shanimpenike7568 Před 5 lety +3

    SHEKH KIPOZEO UMEFIKISHA MUNGU AMEONA,MTUMEﷺAMEONA,WAUMIN TUMEONA.جزاك ﷲ خير

  • @omaridadi2130
    @omaridadi2130 Před 2 lety +1

    Ni mtihan kweli huu ndo maana Mimi nawakubali masheikh wa kisalaf yaan wanamsimamo kweli na Allah awaihifadhi.

  • @khamisshee4706
    @khamisshee4706 Před 5 lety +5

    Swadaqtaà shekh wangu maneno mazuri na ya busara sana

  • @mariamlazizi8389
    @mariamlazizi8389 Před 5 lety +2

    Ma shaa Allah sheikh Allah akujalie maisha marefu

  • @bakarishwaibu4537
    @bakarishwaibu4537 Před 5 lety +1

    mashaallah allah atuongoze sote tuwe wasema kweli kama wewe sheikh bila ya haya mbele za watu ameen

  • @wilfredmremi8274
    @wilfredmremi8274 Před 5 lety

    Shehe wasema jambo muhimu sana na naamini kila aliyehudhuria watakuwa walimu inshalla

  • @geofreykitundu1326
    @geofreykitundu1326 Před 5 lety +7

    Shukrani sheikh kwa mawaidha mazuri

  • @laylayl5166
    @laylayl5166 Před rokem

    Shukrani sana ya sheikh sahihi kabisaa

  • @mkanduzmussaz2288
    @mkanduzmussaz2288 Před 5 lety +19

    Naona sheikhe kavaa tinted ili asione mizigo

  • @mutomubaya
    @mutomubaya Před 3 lety +3

    Shukrani Sheikh kwa kutaja umuhimu wa vijana. Lakini ni muhimu tujue takriban kila mmoja wetu kuna makosa anayafanya kwa sababu tumepatiwa ujumbe wa Allah kwamba (kusoma) masomo ya Qur'an ndio jambo muhimu zaidi kuliko kutafuta pesa. Kwa nini hatukai vikao tukajadiliana njia ya kuwasaidia vijana wapate elimu tangu ya msingi hadi ya upili na ya chuo kikuu?
    Kwa nini wengi wao wanapoteza muda kwa mambo yasiyokuwa ya kuwanufaisha? Tusiwe watu wa kuongea kwamba ilmu ni kabla ya maneno na vitendo kisha hatuweki mambo katika vitendo.

  • @khalifahmtata8659
    @khalifahmtata8659 Před 2 lety

    Wallah kiama kimefika dalili zote zimejitokeza mashekh wanasaport movie laanatullaah

  • @nassorothanksallotjuma3272

    Masha Allah Sheikh Maalim Kipozeo.

  • @wifematerial8943
    @wifematerial8943 Před 5 lety +2

    Mashaa ALLAH sheik mungu akupe umri tawilwi in shaa ALLAH... Umeniacha hoii ati nauza manii nauza manii 😅😅😅

  • @seifomar1148
    @seifomar1148 Před 2 lety

    Watu wapo vichwa wazi dahh njaa mbaya sana

  • @subirajohn728
    @subirajohn728 Před 5 lety +1

    Mwenyezimungu awape afya njema viongozi wetu wa dini

  • @mardinhalfany1413
    @mardinhalfany1413 Před 5 lety +3

    Sheikh jazzakallahair

  • @sabraham5308
    @sabraham5308 Před 5 lety +1

    Shukrani sheikh wangu kipozeo,najua elmu ipo hapo,tena bado nipo na wewe,lakini naona ni bora uachane na hayo.

  • @jumaidi3276
    @jumaidi3276 Před 5 lety +5

    Msiba huu kwa kweli

  • @zaiiomary8970
    @zaiiomary8970 Před 5 lety +12

    Kwan kamtaja wema hapo yeye ametowa som tuu kwawot walio shikliki hapo

  • @nassirmohamed7293
    @nassirmohamed7293 Před 5 lety +1

    sheikh yupo sahihi, ni kweli wakristo ni ndugu zetu wa damu ,hajasema ni ndugu zetu ktk iman ,

  • @lileoh3893
    @lileoh3893 Před 3 lety +1

    Asalam alaykum shehe wambie wanahalibu vizazi

  • @omarjumanne4471
    @omarjumanne4471 Před 5 lety

    Kipozeo amewalingania watu anajua hilo nijambo jema.sana ujhmbe hmefika

  • @mimaakenirram1405
    @mimaakenirram1405 Před 5 lety +1

    nimekupenda shekhe kipozea kwa mawaiza yako mazuri

  • @rechorecho9430
    @rechorecho9430 Před 5 lety

    Nimekupenda buree

  • @asmabintikiwasha13
    @asmabintikiwasha13 Před 5 lety

    Nakupenda shekhe

  • @nasmafarmsltd9146
    @nasmafarmsltd9146 Před 5 lety

    Shekheh wa Mjin baba angu kuipa mgongo ďùñìà ñ kaz ñà ìmàñ yataka mòýò hv àñàè vaa kot wakhat wa joto na we ulye soma Đïñ bila kufanyia kaz Kuna utofaut gan nyìè ñďò mnao sababisha maas ñà uchafu nilikushusha Ťhàmàñ pìñď uzinduz wa jumba ĺà ìmàñ Kuna Shekhe alikua anasema KIPOZEO mtuu wà bid'ah nkawa ñà bisha

  • @iddydaruwesh8650
    @iddydaruwesh8650 Před 5 lety +2

    Ujumbe umewafikia japo wanacheka.

  • @crescentvscross1132
    @crescentvscross1132 Před 3 lety +1

    Kama vile utani lkn inatisha sheikh yuko makini kajaaliwa na Mola wake

  • @allysuleiman196
    @allysuleiman196 Před 5 lety +1

    hongera

  • @azzaalmaamry5817
    @azzaalmaamry5817 Před 3 lety

    Maashaallah

  • @saumusanjiama6991
    @saumusanjiama6991 Před 2 lety

    Wafundishe shk kipozeo

  • @nabillkhamis8188
    @nabillkhamis8188 Před 2 lety

    Ebwana shekhe gan uyo

  • @salimharrasy7047
    @salimharrasy7047 Před 2 lety

    Sheikh katoa maiwaidha kwa kutumia hikma na busara.
    Wale ambao wanamsema vibaya sheikh. Walitaka awaambie wasanii shikeni adabu zenu msiende utupu.
    Ile sifa na dua alowaombea ni njia ya kuwatulizanisha ili ujumbe uwafike.

  • @shariftwahir8493
    @shariftwahir8493 Před 2 lety

    Allah utuwongowe

  • @khalfanndomoro2292
    @khalfanndomoro2292 Před 5 lety

    Sub hanallah masheikh wa miaka hii wengi wanaangalia dunia kuliko akhera al muhim tuwakumbushe Mara unamuona kaalikwa na msanii ambae yupo nusu uchi si kwamba hawajui ila wanaangalia maslahi roho inauma kuona hivyo

    • @kheirmbarouk8373
      @kheirmbarouk8373 Před 5 lety +1

      Khalfan Ndomoro ha huyu kaona wapi alie muislam na asie muislam ni ndugu wa damu aa hapa ukakasi

    • @allymwene1567
      @allymwene1567 Před 5 lety +1

      Ndugu elimu n pana hii kabla ya kulaumu na kulaan tujitahd kufikir na kutafuta elimu zaid tucwe kat ya watu wanne ambao Hawajui ila hawajui kama hawajui tutakuwa mizigo,naomba niulize yy kaalikwa na taasisi co kikundi cha dini ya uislam wa ukiristo je angetoa mashariti ili nije niwakute watu wako hv na mtume tunaehtaji aya kwa hapa ndivo alivoagiza ukialikwa toa masharti,na kama angekuta watu wote wapo sawa angemfundisha nan hv darasan wanafunz 10 wote wamepata mia nan utamfundisha pia tunaona shughuli za kiserikar mashehe wanahutubia wote wanajifunika,swali n lingine shehe kasema waislam na wakiristo n ndugu wa damu akafafanua tumetokana na baba na mama mmoja nan haelew hilo kwa mfano ww ukizaliwa na dada au kaka baba na mama mmoja akabadili dini co ndugu yako wa damu? Tubadilike waislamu tuache kujua wakat hatujui

    • @khalfanndomoro2292
      @khalfanndomoro2292 Před 5 lety

      Ally Mwene kwaio angewakuta machangudoa wapo uchi angeendelea na darsa acha kuwa na mapenzi na sheikh wakat unapata hasara

    • @sheikhsharifmaduatz2871
      @sheikhsharifmaduatz2871 Před 5 lety

      @@khalfanndomoro2292 acha usenge ww elewa basi kumamamak

    • @yammuhamed736
      @yammuhamed736 Před 4 lety

      @@khalfanndomoro2292 kwahiyo alie kaa uchi asiambiwe na je ataambiawaje we unafikiri mawaidha ni msikitini tu unazani utamkuta wema msikitini kisha nikwamba wakristo ni ndugu zetu kutokana na Adam ndomana akasema ni ndugu zetu wa damu yaani kwamfano kaka yako akiwa Mkristo ni ndugu yako kwakuwa damu sjui unanielewa au uliza

  • @sheikhsharifmaduatz2871
    @sheikhsharifmaduatz2871 Před 5 lety +2

    #ALAFU KWA WALE AMBAO KAZI YAO KUWATOA WATU #KASORO KAMA WAO VILE WAMEKAMILIKA NA #KUWASEMA #MASHEKHE ET HAWANA ELIMU AU AKILI #SWALI WW AMBAE UNAJIFANYA UNA #ELIMU MBONA HATUJAWAI ONA AU KUSEMA #YESU SIO MUNGU AU KUWAMBIA KUWA WATU WASIABUDIE MASSANAMU #MKO KIMYA KAMA SIO NYIE ILA #AKIFANYA SHEKHE JAMBO #MSHAKUWA MASHEKHE #WAKUBWA #TENA MUNATOA #FATWA ACHENI UNAFKI NARUDIA TENA WAISLAMU #ACHENI UNAFIKI DAIMA HATUWEZI #ENDELEA KWA JAMBO LOLOTE SABABU YA UNAFIKI #MAPOVUUUUUU RUKSA NYAU #NYIE

    • @mozzasaif6634
      @mozzasaif6634 Před 5 lety

      Maneno yako fact kijana waambie hawajielewi

    • @suleimanjuma5830
      @suleimanjuma5830 Před 5 lety

      Kwan we wataka tuendelee tuwe wap? Kama utajir wapo waislam matajiri wakutupwa ...huwez kuendelea kwa kupindisha ukweli wewe...unajifunza dini mitandaoni....waislam na wakristo sio ndugu ...na wala huyo shekhe hayupo sahihi kusema maneno ya wema ni mazur wakat yeye kasema anakunywa pombe

    • @mozzasaif6634
      @mozzasaif6634 Před 5 lety

      @@suleimanjuma5830 Na wewe kwanini unasemea huku?huyo shekhe na Wema watajuaje kama wanamakosa?
      Nenda katoe mawaidha kuhusu wao misikitini ujumbe utawafikia sio humu kwenye mitandao sawa na mbuzi kumpigia gitaa umechemsha bro.

    • @sheikhsharifmaduatz2871
      @sheikhsharifmaduatz2871 Před 5 lety

      @@mozzasaif6634 safi sana brother mjitu mingine inakuwaga na jazba alafu hii bira ya shaka ni ile inayojita #Answarr sunnah kumbe ni #WAHABINAAAAA

    • @sheikhsharifmaduatz2871
      @sheikhsharifmaduatz2871 Před 5 lety

      @@suleimanjuma5830 kwa akili yako jinsi ilivyo inaonesha dini bado ww ndio huijui sisi waislamu udugu wetu sio wakuzaliwa tumbo.moja bali ni kwa iman hawa wakirsto wao na sisi baba mmoja na mama moja au unataka kusema hal wamezaliwa na nani ngombe au acha jazba brother

  • @mahamoudmasoud9196
    @mahamoudmasoud9196 Před 5 lety

    Naaam shekh wetu

  • @bibazanzibariyyah5043
    @bibazanzibariyyah5043 Před 5 lety +5

    Allahumusta'aan Allah amuhidi huyu mzee siwezi kumwita Sheikh Subhanallah anasahau aya hadithi kwa kulinda tonge yk
    Sheikh wa kweli hawezi kuhudhiria apo Abadankila maasi yapo kwanza mkusanyiko wa wanaume na wanawake haramu km hakuna hijab Allah atuongoze mzee kipozi Allah anakuona ooooh....!!!

    • @muhammadymanzi3815
      @muhammadymanzi3815 Před 5 lety

      Hamna shekh hapo kwanz mpak uitwe shekhe ufanye kaz hapo alipo Wala juuzu 5 Hana kichwan yaan kaongea upuuz mtup الله amuongoze awez kuon haki

    • @sheikhsharifmaduatz2871
      @sheikhsharifmaduatz2871 Před 5 lety +3

      #Yaaan nyie wasenge kwel inamaana mawaidha yatolewe kwa #Waislamu tyu wasiokuwa waislamu wasiambiwe achen usenge

    • @muhammadymanzi3815
      @muhammadymanzi3815 Před 5 lety

      Allah akusamehe kwanza kwa kuwatukana walioelew kuwa kipozeo kakosea alafu huu Ni uislaam sio dini ya matusi pia tujitahidi kusoma ili tuelewe dini inataka nn sio kila aliye simama mbele za watu kuzungumza kasom au anajua huyu Ni zero brain pia allah akuongoze uelewe uache matux pia Amiin سبحان الله unatetea hizi pumba ama kweli zama za mwisho alizosema mtume محمد رسول الله ndo hizi

    • @sheikhsharifmaduatz2871
      @sheikhsharifmaduatz2871 Před 5 lety

      Pengine we ndio unamdhambi mengi kushinda hata huyo aliesimaa hapo achen uzwzwa

    • @sheikhsharifmaduatz2871
      @sheikhsharifmaduatz2871 Před 5 lety

      #Kwaiyo unatak kusema Kama yet hajasoma WW uliesoma to basi cd zako za mawaidha tukujue hujatoa hebu tuacheni unafk hata Kama amekosea lakin we unaejua to #cd zako tuone

  • @fakihassan1369
    @fakihassan1369 Před 5 lety +1

    ibilisi anapenda wote

  • @aidanbugufi6200
    @aidanbugufi6200 Před 5 lety +6

    Unahekima sana

  • @ramadhaniselemanichalachal6622

    Hapo hakuna Sheikh kuna Sheikhena

  • @faridabakari8511
    @faridabakari8511 Před 5 lety

    Nkweli shekh letu

  • @user-lg1pc3gy6w
    @user-lg1pc3gy6w Před 11 měsíci

    Kopozeo siamini kama ndowewe ulikuaga na sheikh umar bashir duu jitathmin

  • @mwastimsingi9373
    @mwastimsingi9373 Před 2 lety

    Maashaallah

  • @khubeybjandal7435
    @khubeybjandal7435 Před 2 lety

    Makafiri hupendana wao kwa wao, nyote ni makafir hapo

  • @alhajwaupe6452
    @alhajwaupe6452 Před 2 lety

    Natamani nimuone sheokh kipozeo live nimzawadi

  • @NurdinKishik
    @NurdinKishik Před 5 lety

    yaallaah

  • @sakeenakenya6110
    @sakeenakenya6110 Před 5 lety

    Hutba ya huyu sheikh hunifurahisha sana, yani anatoa neno kwa Quran, but inafurahisha tu

  • @abaafarhat9191
    @abaafarhat9191 Před 2 lety

    Hakuna shekh hapo shekh anayejielewa hawezi kwenda kufanya commedy hapo kwenye watu walio nusu uchi wamechanganyika wake kwa waume nk

  • @muksinsaidi4892
    @muksinsaidi4892 Před rokem

    mashaallah

  • @athumanimcharo5904
    @athumanimcharo5904 Před 2 lety

    Inavyoonyesha huyu shkh apenda mademu xanaa

  • @ramamchina4730
    @ramamchina4730 Před 2 lety

    Din hii mashekhe zaifu njaa iz mbaya firamu ni halamu

  • @kadijahajali3918
    @kadijahajali3918 Před rokem

    Hii

  • @salhinaselemani9780
    @salhinaselemani9780 Před 5 lety +1

    Innalinlahi wainnailah rajiuun

  • @ismailjohn6108
    @ismailjohn6108 Před 5 lety

    nimependa somo la aoo watu wanne semaa nashindwa kuelewa wanne n yupi
    ikiwa 1. anajua na anajua kua anajua
    2.ajui na ajui kua ajui
    3. anajua lakni ajui kua anajua
    4. .....!!? sas

  • @sheikhsharifmaduatz2871
    @sheikhsharifmaduatz2871 Před 5 lety +1

    #JAMBO LINGINE MBONA HIVYO WAKATI WENGINE MASHEKHE WETU WA MIKOA WANAZUNGUMZA KATIKA MKITUNAO YA #SIASA NA WATU WAKO KICHWA WAZI HIVI YALE HAMUYAONI🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔

  • @salehkhamis8653
    @salehkhamis8653 Před 2 lety

    Huyu sheikh simkubali hata kidogo mawaidha Yake mengi ni mtu wa kusifu sifu hususan kusifu maumbile ya wanawake sioni kama jamii inafaidika

  • @focustz4408
    @focustz4408 Před 5 lety +3

    Tumewasoma

  • @emmanuelahmedbyona2353
    @emmanuelahmedbyona2353 Před 5 lety +1

    Na weye she Kipozeo, mbona huezeki???????????????? ddoooooooooooooooooooooooooo

    • @sakeenakenya6110
      @sakeenakenya6110 Před 5 lety +1

      Sio yy tu, mwalimu sheikh yeyote, ambayo ameshika dini ki ukweli, hua hazeeki, hata akizeeka yy hua strong, ni neema yake Allah

    • @emmanuelahmedbyona2353
      @emmanuelahmedbyona2353 Před 5 lety

      Kabsaaaaaa

  • @ghhhhh303
    @ghhhhh303 Před 2 lety +1

    Kutoa darsa kwa wenzetu wakiristo ni sawa lakini lazima usemi haki na usigope

  • @dazzwazenji6719
    @dazzwazenji6719 Před 5 lety

    shekhe inatakiwa akitoa mawaiza wafuas wake wamfuate ila uyoo wema ndo kwanza anazdi kua mkorof

  • @karanisalim601
    @karanisalim601 Před 4 lety

    SHEE muogope muumba maksito siondugu zetu

  • @kiluviasamia6328
    @kiluviasamia6328 Před 5 lety +2

    Hata Mtume s.a.w alkaa na makarf na kuwalingania ili waingii ktk dn ya haki na kweli bla kukaa nao na kuwalingania hawataingia ktk uislamu .Wakrsto na waislima tumetoka kwa Adamu na Hawa .

  • @prosperkonokono5716
    @prosperkonokono5716 Před 2 lety

    Nitaanzisha biashara ya kuuza manii 😀😀😀

  • @othmanmasoud1672
    @othmanmasoud1672 Před 7 měsíci

    Sauti bhn mbona kama hakuna fundi mitambo

  • @lovenessnazareth752
    @lovenessnazareth752 Před 5 lety +1

    PATA UBUYU KWA BEI NAFUU KUTOKA ZANZIBAR
    NDOO KUBWA SH 60000
    NDOO NDOGO SH 37000
    KISADO SH 16000
    MAWASILIANO 0672526851

  • @rukaka_jr4514
    @rukaka_jr4514 Před 2 lety +1

    Shekh tumbo

  • @urbandigitaltz
    @urbandigitaltz Před 5 lety

    Hapandipo utakapojuwa nini uchamungu nanini imani

  • @ayunramadhan3104
    @ayunramadhan3104 Před 5 lety

    Mda mwingine shekhe unakera unatoa nasaha kwawatu wasiyemjua mungu wa kazi gani kwenda kusimama sehem kama hiyo

    • @cornelyakatangwa489
      @cornelyakatangwa489 Před 5 lety

      Kaka toka lini mtume aliwaendea watenda mema? Tuu walio wabaya ndo wanahitajika kuokolewa ....amini nakuambia imani yako ni haba sanaaaaa

    • @saudamdoe1348
      @saudamdoe1348 Před 5 lety

      Sasa hapo sindio anawanasihi taratibu ili wamjue Mungu. Kuna nafsi zingine kuzibadilisha zinahitaji nguvu nyingi ikiwemo mawaidha na kadhalika, natumai wengi wetu kupitia mkutano nafsi zetu zitabadilika Inshaallah

  • @hamismohamed3541
    @hamismohamed3541 Před 4 lety

    Shekhe ungewapa nondo mpaka wapoteane hapo

  • @idrissasalumu9810
    @idrissasalumu9810 Před 5 lety +1

    Ata ivo hajawai kutoa mawaidha,alikua comedian just,kwa udhwaif huo,sidhan atakutubu utaweza,

  • @bintomar7025
    @bintomar7025 Před 2 lety +1

    Kwan kipozeo nae ni shekhe?

  • @suleimanjuma5830
    @suleimanjuma5830 Před 5 lety

    Wakristo na waislamu sio ndugu...shehe anajipendekeza ...muangalieni sura yake wakati anaposema hilo neno la udugu ..hakutoa hoja yoyote

    • @allymwene1567
      @allymwene1567 Před 5 lety

      Waislam wametokana na nan na wakiristo wametokana na nan jaribu kufikir unapockia kitu kabla ya kuropoka tusiufanye uislam kuwa mgumu ndugu zangu amesema ni ndugu katika damu inamaana tumetokana na baba,mama mmoja au ww kaka yako akibadili dini co ndugu yako

    • @suleimanjuma5830
      @suleimanjuma5830 Před 5 lety

      Dini haisomwi mitandaoni wewe ...halafu uislam sio mgumu ndio lakini pia sio mrahisi kama kumvua dadapoa chupi..unasheria zake na taratibu..mtume s.a.w asema:almuslim akhu muslim ...muislam ndug yake ni muislam...sote tumetokana na Adam hilo halifany tuwe ndugu...mimi na anae abudu ng'ombe anaeabudu miti ni ndugu pia? Unakichaaa nini wewe..acha kushoboka ...mungu asema"antum tuhibunahum walakin la tuhibunakum ...nyie mnawapenda hao lakin wao hawawapendi nyie..acha kushoboka ...dini unaisomea mitandaoni

    • @marijanihasan2407
      @marijanihasan2407 Před 5 lety

      Kk Suleiman uislam unakataza kuongelea Mambo usiyoyajua kwa kuchelea kukufuru bila kukusudia Sasa wewe Jambo hili huna elemu nalo liache au tafuta shehe uelimishwe vizuri wasaalam

    • @suleimanjuma5830
      @suleimanjuma5830 Před 5 lety

      @@marijanihasan2407 elimu ninayo ...na sijajifunza mitandaoni

    • @suleimanjuma5830
      @suleimanjuma5830 Před 5 lety

      @@marijanihasan2407 kama wakristo ni ndugu kisa tunatokana nao na adam na hawa ..basi hata wanao abudu mutu , mizimu, masanamu pia ni ndugu? Mtume alichokisema kweny hadithi sahihi "almuslim akhuu muslim" muislam ndug yake ni muislam...uislam unakwenda kwa dilili yani facts za kitabu na sunna...huyo shehe wenu aliposema hilo haku toa aya wala hadithi yoyote ....kwasababu haipo...hakuna udugu kati ya waislam wanao abudu mungu mmoja na wanaosema yesu ni mungu...honestly hakuna ..ni shobo tu za hyo shehe

  • @mwigaali9780
    @mwigaali9780 Před 5 lety +1

    Sheikhe gni ww unae sapoti hururi za dunia ikiwemo zinaa

  • @ramadhantahila9131
    @ramadhantahila9131 Před 2 lety

    Ujumbe umefikaa sio lazima utoe ukali

  • @mwacitywakanay2101
    @mwacitywakanay2101 Před 3 lety

    Uuuwii

  • @samirybinaliy2564
    @samirybinaliy2564 Před 3 lety

    mh

  • @mavunofamily1993-bt3tm

    Kweri vijana tunaandamwa sana na shetani hivyo yatupaswa tuwe makini na tumuludie Allah atunusuri na mambo Haram yasituerekee

  • @thabitally9216
    @thabitally9216 Před 5 lety +2

    We nenda katubie shekh ww n mnafki tyuuu huna elimu wew una palilia tumbo tu shenz taip

    • @muhammadymanzi3815
      @muhammadymanzi3815 Před 5 lety

      Niko pamoja na wewe kbsa

    • @aminhassan8594
      @aminhassan8594 Před 5 lety

      Sheikh mistari ya kur an na hadithi unazowatolea hao hawakuelewi ni boraa ungeliwambia promotion za konky liquid. Kuliko kujidhalilisha hivyo njaaa haiuwi mjomba

    • @kamandaafande766
      @kamandaafande766 Před 5 lety

      Sheikh katumia hekma kubwa ndugu usimkufurisha sheikh wetu wee vp

    • @idrissasalumu9810
      @idrissasalumu9810 Před 5 lety

      Thabit Ally

    • @azizaswaleh8306
      @azizaswaleh8306 Před 5 lety

      @@kamandaafande766 true MashaAllah antumia hikma Kubwa

  • @mdathirhassan2187
    @mdathirhassan2187 Před 2 lety

    Sarakasi jukwaani

  • @hajiabdalla5772
    @hajiabdalla5772 Před 2 lety

    Tumbo

  • @mohamedkisoma3492
    @mohamedkisoma3492 Před 5 lety

    duu