JEAN-MOREL POE | GOALS, SKILLS & ASSISTS | KARIBU SIMBA SPORTS CLUB
Vložit
- čas přidán 6. 12. 2022
- JEAN-MOREL POE | GOALS, SKILLS & ASSISTS | KARIBU SIMBA SPORTS CLUB
.
🎥 Jisajili kwetu kwenye CZcams:
📸 Tufuate kwenye Instagram: / simba_fan_tv
👤 Tufuate kwenye Facebook:
💬 Tufuate kwenye Twitter:
📲 Tufuate kwenye TikTok:
🛍 Nunua Bidhaa za Simba Fan TV:
🖥 Tembelea tovuti yetu:
🔴 SimbaFanTV ndio mtandao mkubwa zaidi wa mashabiki wa soka Tanzania! Kwa upendeleo kuelekea Klabu ya Soka ya Simba Sports Club, sisi ndio mahali ambapo maoni ya shabiki ambayo hayajadhibitiwa yanaweza kusikilizwa kabla, wakati na baada ya filimbi kupulizwa. Jiunge nasi na utufuate kwa muhtasari wa kandanda, mechi mubashara, mawazo ya mashabiki, podikasti na zaidi. Hapa ndipo sauti ya shabiki inasikika!
🙋 Je, una pendekezo la maudhui ambayo ungependa kuona kwenye SIMBA FAN TV?
➡️
⚠️ KANUSHO: Kandanda ni mchezo mzuri na mashabiki wana shauku. Lugha ya rangi wakati mwingine hutumiwa, na maoni yenye utata yanatolewa. Maudhui mara nyingi hutiririshwa moja kwa moja, na huwa hatuwezi kuhariri au kuhakiki nyenzo mapema. BUSARA YA MTAZAMAJI INASHAURIWA. Mawazo, maoni na maoni yaliyotolewa ni ya wachangiaji na si lazima yawe au kuakisi yale ya SimbaFanTV.
#SimbaFanTV #SimbaSportsClub #Soka - Zábava
Jaman fanya km kwel nimeipenda sana
Big up sana Mo na Bench lako
Saluti kwa raisi wa heshima moo
Uyu mwamba kweli kweli nimbavu ya maana
Anajua booi
Wachezaji wazuri kama hawa atuwapat bosi abana pesa
Huu ndio usajili hakika kuliko mpanzu fanyen kwel ss tumechoka na 7 zao
Hivi mnaona yawezekana huyu atoke ismaily aje Simba????! Jamaa ni Ivorian
Mhh mbona sijamuona
Siasa atutaki kwenye mpira adi tumuone tetesi ziwe kweli
Ngoja tukuongezee comment to mchezaji huyu hawez kuja bongo
Sidhani km nikweli Ila huyu nifundi haswaa
Tumeonyeshwa wachezaji wazuri mwisho yanasajiliwa akina akpani,okwa
Mbona unasahau Phiri na Okrah. Na Okwa hajapewa muda wa kucheza kuonyesha ya kwake.
Kama ni kweli msajilini hataka sana
Ngoja tuone maana viongozi hatuwaelewi
TUTASHANGAA TUNALETEWA BUMUNDA
Kama ndivyo alivyo atakuwa mzr anafaa
Anachezea klabu gani kwa sasa
Tunadanganywa tu huyu anacheza Ismail ya Egypt tuna hela gan ya kutoa mchezaji kwa Mwarabu?
Mh sijui kama atakuja simba huyu mwambia sounds tu haya tunashukulu ila kwa unyonge simba tumeshuka viwango mno sijui mchawi nani
Kama ndio kweli bas achukuliwe haraka
Saluti kwa raisi wa heshima moo
Tunaitaji mtu saihi kwenye eneo saihi simba nguvu moja🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Hizo saluti tuzitoe wakifanikisha maana sikuizi usajili mkubwa ni tetes tuu Kama watafanikisha utakuwa pia sana