#ZaNdaaani

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 07. 2023
  • www.youtube.com/@Wasafi_Media...
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • Sport

Komentáře • 97

  • @VIPSwahili
    @VIPSwahili Před 11 měsíci +2

    Mbona hawakumpigia Maxi Mpia Nzengeli Mkongo Mwenzao mwingine?

  • @YusuphJilala-it9bo
    @YusuphJilala-it9bo Před 11 měsíci +2

    Mwendawazimu na utumbowakeeeee😃😂😂

  • @user-up4kd4di7h
    @user-up4kd4di7h Před 6 dny

    Ngoma mwenzao anapiga maisha

  • @checkchannel3876
    @checkchannel3876 Před 11 měsíci +4

    Mchezaji aliamua mwenyewe, hapo kutekwa kuko wapi?

  • @FaridiMohamed-dd4hr
    @FaridiMohamed-dd4hr Před 11 měsíci +2

    Club ambayo nikubwa hahahaaaaa SIMBA SPORT CLUB

  • @user-up4kd4di7h
    @user-up4kd4di7h Před 6 dny

    Walimdanganya wenyewe wako wapi mpaka sasa wanahangaika kutafta timu

  • @tabumayuhana47
    @tabumayuhana47 Před 11 měsíci +8

    Ila unajichanganya broo maana nakumbuka wewe mwenyewe ulidele siku moja hapo nyuma kuwa Yanga walipata taarifa za umajeruhi wake wa mara kwa mara kutoka kwa Ibenge ambaye ni rafiki mkubwa wa Engineer. Kifupi unajichanganya na kutuchanganya sisi pia.

  • @tumpemsyani-io7pv
    @tumpemsyani-io7pv Před 11 měsíci

    Noma

  • @georgesamwelihuri7562
    @georgesamwelihuri7562 Před 11 měsíci +1

    Bangala na shaban Djuma ndo walio mtia fitina ngoma akaikimbia yanga na kujiunga na simba, ndo maana kuna sintofahamu kati yao na uongozi wa yanga,

  • @rogersiddy
    @rogersiddy Před 11 měsíci +2

    FABRICE NGOMA UYO 😂😂😂😂

  • @azamtwahili6620
    @azamtwahili6620 Před 11 měsíci +1

    Momo mjinga sana et walitapakaza sio kujisaidia hahahahahaah nimecheka sana,,,,😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄

  • @mokassimkassim9353
    @mokassimkassim9353 Před 11 měsíci +1

    Sisi tushazoea msimu fulani ni muda wa kuuza magazeti na kujitangaza kuwa me mchambuzi bora

  • @juliusmlungu1505
    @juliusmlungu1505 Před 11 měsíci

    Ricardo momo sikuelewi unajua Kuna kipindi ulisema mwamba wamemuacha Kwa sababu ya majeruhi imekuwaje Tena unasema wenzie wameharibu? Acha upotoshaji momo 😂😂😂

  • @musamwakalibule3383
    @musamwakalibule3383 Před 8 měsíci

    Hahhahahaaaa🤣🤣🤣🤣 Djuma shaban na Yanick bangala, walitapakaza hovyo habari za yanga.

  • @modriface
    @modriface Před 11 měsíci

    Hapa sasa momo ameanza kutulisha matango poli mimi nimesoma hii ni tu zakuchangamsha genge maana sio zote za kweli hvy hakuna za ndan hapo

  • @festovenas502
    @festovenas502 Před 11 měsíci

    Kama ujaelewa uliza apa 🙌🙌🙌😆😆

  • @ManzabaySalim
    @ManzabaySalim Před 11 měsíci +1

    Acha ujinga ww hakuna mtu anapotea Airport huu ni ushamba na ujinga yani team inamtaka mtu wasimfate

  • @user-px4sx2bk5h
    @user-px4sx2bk5h Před 11 měsíci

    Mbuzi kafia Kwa muuza Supu

  • @user-zg3lt1gr9o
    @user-zg3lt1gr9o Před 11 měsíci +1

    Mayele weli come Simba litakufa jitu Simba day

    • @salim02tv24
      @salim02tv24 Před 11 měsíci +1

      Kichwaaa kizito sana ichooo ujaelewaa

  • @husseinmillinga1920
    @husseinmillinga1920 Před 11 měsíci +1

    Fabrice ngoma

  • @hamissmatata8780
    @hamissmatata8780 Před 11 měsíci

    Momo alitumbia hakuna mchezaji aliyeibiwa ni janja tu za majirani. Baadae anatuambia mchezaji aliibiwa . Hapa kuna shida

  • @thejoeclassicsoldier
    @thejoeclassicsoldier Před 11 měsíci

    Mzee unajichanganya mnoo

  • @aishafranco1055
    @aishafranco1055 Před 11 měsíci +1

    Sasa kwa nini hao walio tapakaza mbona sasa ivi wanaililia yanga usenge

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Před 11 měsíci

    👍✌️👊。

  • @raphaelmkuwa4791
    @raphaelmkuwa4791 Před 11 měsíci

    Uyu jamaa Leo nimegundua kumbe hajielewi na Huwa anatafuta chai tu

  • @hamishatibu699
    @hamishatibu699 Před 11 měsíci +2

    Tatizo uto wasanii xna wachezaji wenyewe wanajuana siku nyingi unazani watakubali kumuingiza mwenzao mkenge. Chama alienda zesco kuvuka Dili la Phili kuja Simba na asiende utopoloni kuishi vizuli na wachezaji aya ndio matunda yake na madhara yake

  • @maistorydavies1246
    @maistorydavies1246 Před 11 měsíci +1

    Si ulisemaga ni majeruhi

  • @isacksospeter2240
    @isacksospeter2240 Před měsícem

    Haya sasa atakua anajuta mda huu

  • @simonpetershauri2968
    @simonpetershauri2968 Před 29 dny

    Uongoo utupu,mchambuzi uchwaraaa

  • @ezekielerasto8776
    @ezekielerasto8776 Před 11 měsíci

    Halafu kuna kamoja kanashadadia kumbe walimporaee kwenye hii story unaona kabisa hajaporwa mtu kama mchezaji alipiga simu kwa haohao viongozi waliomchukuwa sasa aliporwaje hapo.

  • @stevenemwakasimba-pt8er
    @stevenemwakasimba-pt8er Před 11 měsíci +4

    Mwacheni akwende tutamuona kama nikweli yanga ipo itakuwepo akae huko huko na hawa kawasababishia kibarua chao yanga ipo itakuwepo

  • @aminahkhuzwayo-iv1wl
    @aminahkhuzwayo-iv1wl Před 11 měsíci +4

    Mmeanza kuishiwa kwa kua mnatoa taarifa ambazo zishapita,,maana za ndani..!!??zile ndani hazijulikani...sasa hizi story hata kipofu ashazasikia!!mnamuonaje max zingeli!???

  • @issahamis581
    @issahamis581 Před 6 měsíci

    wanaume kama ma

  • @selemanmcharazo
    @selemanmcharazo Před 11 měsíci +1

    We muongo wape faraja mikia wenzako kwann awasiliane nao hao wachezaji wakati yupo Airport wakati anafahamiana nao kabla.

  • @ashuramhandoashuramhando6798
    @ashuramhandoashuramhando6798 Před 11 měsíci

    Leo nimeamini hili demu Huwa linaongopa linafata mitandao hakuna ukweli wowote chizi wewe

  • @kaisarimbisso5011
    @kaisarimbisso5011 Před 11 měsíci +1

    Kama jamaa alibadili gear angani na kuomba mwenyewe kusajiliwa, basi kuna shida juu yake iliyojificha

    • @amoji126
      @amoji126 Před 11 měsíci +1

      Shida juu yake vp wakat ndugu zake wamemwambia shughuli hamna pale Yanga.

    • @kaisarimbisso5011
      @kaisarimbisso5011 Před 11 měsíci

      @@amoji126 ndio maana.kuna.agents

    • @rehemaabdullah7606
      @rehemaabdullah7606 Před 11 měsíci +1

      ​@@amoji126wanahak waseme hivo coz asahv wameyakanyaga wenyewee kilichobak kuchafua mamaeeee

  • @rogersiddy
    @rogersiddy Před 11 měsíci +5

    😂😂Hapa sasa nimeelewa vzr kbs BANGALA na DJUMA SHABANI ndo waliotoa sili ya FABRICE NGOMA kuwa majeruhi sana wasimchukue na ndo hao hao waliozinguana nao sasaivi hawapo Yanga yaan dunia hii aisee 😂😂

    • @jwisetv4833
      @jwisetv4833 Před 11 měsíci +1

      Ndio walimpa fabrice ngoma taarifa kuwa yanga hawawajali wachezaji wao kila siku kesi mahakaman

    • @rogersiddy
      @rogersiddy Před 11 měsíci +1

      @@jwisetv4833 Iyo taarifa yako wewe lkn maelezo yanayotolewa hapo tofauti jitahidi kuchunguza ndoa za watu yako hatujui inaendeleaje uko🤣🤣🤣

    • @jwisetv4833
      @jwisetv4833 Před 11 měsíci

      @@rogersiddy Asa kwa mawazo yako unafikiri walimwambiaje mpaka akaacha kusajiliwa yanga

    • @rogersiddy
      @rogersiddy Před 11 měsíci +1

      @@jwisetv4833 Hayo yako ila bila kuambiwa tu kuwa NGOMA majera yanamuandama mara kwa mara mfuatilie kuanzia alipotoka Vita Club alipokuwa uwarabuni adi anaenda AL HILALI amecheza msimu mmoja mmoja tu mingine nje ya uwanja mechi kadhaa uwanjani mechi kadhaa nje ya uwanja sasa kama unataka kujifanya wewe ndo mjuaji kuliko wengine baki na ujuaji wako ivyo ivyo maana wabongo ushabiki maandazi wingi kuliko kuongea ukweli hata kikiwa kibovu hukubali kuwa kibovu🤣🤣🤣

  • @fatmasuleiman3885
    @fatmasuleiman3885 Před 11 měsíci +4

    Kumbe hao vijana wanaroho mbaya kiasi hicho! Looh!😈

  • @AhmedAli-ur9kd
    @AhmedAli-ur9kd Před 11 měsíci

    Kina nani hao

  • @kingofrich6813
    @kingofrich6813 Před 11 měsíci +1

    Lakin haikuwa sabab ya kuacha maana wanamsaada kimataifa ila wameyakoroga wananchi sasa watayanywa 😂😂

  • @josephmhagama6768
    @josephmhagama6768 Před 11 měsíci

    Muongo ww sana

  • @user-zg3lt1gr9o
    @user-zg3lt1gr9o Před 11 měsíci +1

    Mayele

  • @CharlesLeoMgaya
    @CharlesLeoMgaya Před 11 měsíci

    Huyu jamaa anafanya kazi ili alipwe mshahara na ndugu yake isionekane anapewa bure. Ni zuzu sijawahi kumuelewa.

  • @user-pl3du3jf8s
    @user-pl3du3jf8s Před 11 měsíci +1

    Mnafiq sana wewe si ulikataa kuhusu hee ishuu

    • @benjaminchakwe9815
      @benjaminchakwe9815 Před 11 měsíci

      Imekuuma eh

    • @user-pl3du3jf8s
      @user-pl3du3jf8s Před 11 měsíci +1

      @@benjaminchakwe9815 haija niuma maana simba kwako wewe siyo ndugu yako na mm yanga si ndugu yangu mm kinacho niuma ni huyu momo analeta stori ambayo alisha ikataa

  • @user-yi6hi2er1v
    @user-yi6hi2er1v Před 11 měsíci

    We momo si ulikuja apa ukasema sio kweli au ndy ugali tuh dadeki tumewapora kweli sio uongo

    • @terrence9477
      @terrence9477 Před 11 měsíci

      kwa hiyo chaguo namba 2 hawana weledi wa kutafuta wachezaji wazuri mpaka wapore. Sasa yule mtaala wa scouting walimuajiri wa nini? Ni mtaalam wa scouting au mwizi?

    • @mygulio
      @mygulio Před 11 měsíci

      Kolo bhana!! Yaani Mchezaji anawapia simu uongozi wa Makolo kwamba anakuja halafu unasema "mmepora"?! Mmepora nini wakati kaja mwenyewe tena baada ya kuwapigia simu kwamba mumpokee?!

    • @rehemaabdullah7606
      @rehemaabdullah7606 Před 11 měsíci

      ​@@terrence9477tangia lin mbumbumbuu akawa na akili😂😂😂😂wanashindwa kutafuta mchezaji mpaka watafutiwe wao wawe wanaiba

  • @thobiasbukali9008
    @thobiasbukali9008 Před 11 měsíci

    Sasa kama alijua anakwenda Simba how uje useme aliporwa?

    • @mygulio
      @mygulio Před 11 měsíci

      Wapuuzi hao!!

  • @omaribrahim9143
    @omaribrahim9143 Před 11 měsíci +1

    Kama kweli yanga hawajali mapro wao nakuaje wachezaji wa asec mimosa wanakuja jangwani na aziz ki yupo?
    Kwann Aziz ki asiwashtue wsnzake kwamba huku kuna matatizo?

  • @shabanikamchacho1949
    @shabanikamchacho1949 Před 11 měsíci

    Unataka kutuaminisha kuwa Mchezaji mkubwa kama huyo Hana Wakala hadi akaweza KUBADILI maamuzi angani?

    • @kaisarimbisso5011
      @kaisarimbisso5011 Před 11 měsíci

      Nami ninajiuliza hivyo hivyo😢

    • @kaisarimbisso5011
      @kaisarimbisso5011 Před 11 měsíci

      Nami ninajiuliza hivyo hivyo😢

    • @rehemaabdullah7606
      @rehemaabdullah7606 Před 11 měsíci

      Momo mnafki mwanzon alisema vingne Leo anatulea mwengne kabla Huja Sema chunguza kwanza kiundan zahd alafu ndo useme

    • @FaridiMohamed-dd4hr
      @FaridiMohamed-dd4hr Před 11 měsíci

      Wakala anamskiliza mchezaji maana ni mteja wake

    • @josephmasenga7718
      @josephmasenga7718 Před 11 měsíci

      Kwan Mikel Obi hakuwa na wakala Hadi akaibiwa na Chelsea airport wakati alikuwa anaenda Man utd

  • @shafisaggaf1889
    @shafisaggaf1889 Před 11 měsíci +3

    Mwenye akili hawezi kubali haya maneno ya kijinga mtu atoke huko kute hajui aenda wapi aibiwe airport?

  • @mygulio
    @mygulio Před 11 měsíci +2

    Sasa ametekwa kivipi wakati umeshasema wakati anatoka alikotoka alishawapigia simu Makolo kwamba anakuja?! Yaani kwa akili yako unaamini kabisa alikuja cku ambayo Yanga walitarajia angekuja au alikuja siku nyingine kabisa?!

    • @Mumewangu
      @Mumewangu Před 11 měsíci

      Yanga walikuwepo wanamsubiri

  • @geofreysolomon3728
    @geofreysolomon3728 Před 11 měsíci +1

    hahahah utopolo na migogoro na wachezaji ni hivii

    • @mygulio
      @mygulio Před 11 měsíci +1

      Mgogoro dhidi ya Wachezaji gani?! Umeshawahi kusikia Wachezaji wakilalamikia jambo lolote?!

    • @femidayahaya4882
      @femidayahaya4882 Před 11 měsíci

      ​@@mygulio
      Hyo kolo achana nae

    • @juliusmethod6380
      @juliusmethod6380 Před 11 měsíci

      yanga kama konde genge tuuuuu🤣😂😂🤣🤣

    • @godlistengodlisten7552
      @godlistengodlisten7552 Před 11 měsíci +1

      NYIE ENDELEENI KUBWEKA NDANI YA FENSI HAMUWEZI KUMNG'ATA MTU ANAETEMBEA NJE YA FENSI,😂😂😂😂

    • @rehemaabdullah7606
      @rehemaabdullah7606 Před 11 měsíci

      ​@@godlistengodlisten7552Sawa dogo mmelipa pesa zake? Kwenu unawaka moto ila mnajitahd kuuzima😂😂😂😂😂😂pumbuvuu zenu mfyuuuuu

  • @dollovictor
    @dollovictor Před 11 měsíci

    Daa kwa hy Djuma na Bangala ndo wamepakaza noma

  • @ip_header
    @ip_header Před 11 měsíci

    Mchezaji mzuri na anaejitambua hawezi kupadili mawazo Airport

    • @IsaacJoel-fv8df
      @IsaacJoel-fv8df Před 11 měsíci +1

      Ronaldo alichukuliwa airport na Manchester 😂

    • @saidsuleiman1753
      @saidsuleiman1753 Před 11 měsíci

      Alikuwa anaenda Timu gani mpaka Manchesrer wakamchukua Airport

    • @charlesjames5493
      @charlesjames5493 Před 11 měsíci +1

      Willian to Chelsea
      Obi Mikel to Chelsea
      Wote hao walitekwa uwanjani

    • @EdsonMagreth
      @EdsonMagreth Před 11 měsíci

      We mbea mpuuzi mjinga usie kumbuka mwanzo uliongea kua yanga waligundu kua mchezaji no majerui mara kwamara auji lolote nilichogundu unafanya kubaatisha uongowako