#ZaNdaaani
Vložit
- čas přidán 25. 07. 2023
- www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm - Sport
Mbona hawakumpigia Maxi Mpia Nzengeli Mkongo Mwenzao mwingine?
Mwendawazimu na utumbowakeeeee😃😂😂
Ngoma mwenzao anapiga maisha
Mchezaji aliamua mwenyewe, hapo kutekwa kuko wapi?
Club ambayo nikubwa hahahaaaaa SIMBA SPORT CLUB
Walimdanganya wenyewe wako wapi mpaka sasa wanahangaika kutafta timu
Ila unajichanganya broo maana nakumbuka wewe mwenyewe ulidele siku moja hapo nyuma kuwa Yanga walipata taarifa za umajeruhi wake wa mara kwa mara kutoka kwa Ibenge ambaye ni rafiki mkubwa wa Engineer. Kifupi unajichanganya na kutuchanganya sisi pia.
Ndio vzr uchanganyikiwe mbwa ww.
@@stn4873wewe Paka wa Muhimbili
Si hawana konteti
Usipohama huko utazidi kuchanganyikiwa.
anayumba sana
Noma
Bangala na shaban Djuma ndo walio mtia fitina ngoma akaikimbia yanga na kujiunga na simba, ndo maana kuna sintofahamu kati yao na uongozi wa yanga,
FABRICE NGOMA UYO 😂😂😂😂
Momo mjinga sana et walitapakaza sio kujisaidia hahahahahaah nimecheka sana,,,,😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄
Sisi tushazoea msimu fulani ni muda wa kuuza magazeti na kujitangaza kuwa me mchambuzi bora
Ricardo momo sikuelewi unajua Kuna kipindi ulisema mwamba wamemuacha Kwa sababu ya majeruhi imekuwaje Tena unasema wenzie wameharibu? Acha upotoshaji momo 😂😂😂
Hahhahahaaaa🤣🤣🤣🤣 Djuma shaban na Yanick bangala, walitapakaza hovyo habari za yanga.
Hapa sasa momo ameanza kutulisha matango poli mimi nimesoma hii ni tu zakuchangamsha genge maana sio zote za kweli hvy hakuna za ndan hapo
Kama ujaelewa uliza apa 🙌🙌🙌😆😆
Acha ujinga ww hakuna mtu anapotea Airport huu ni ushamba na ujinga yani team inamtaka mtu wasimfate
Mbuzi kafia Kwa muuza Supu
Mayele weli come Simba litakufa jitu Simba day
Kichwaaa kizito sana ichooo ujaelewaa
Fabrice ngoma
Momo alitumbia hakuna mchezaji aliyeibiwa ni janja tu za majirani. Baadae anatuambia mchezaji aliibiwa . Hapa kuna shida
Mzee unajichanganya mnoo
Sasa kwa nini hao walio tapakaza mbona sasa ivi wanaililia yanga usenge
👍✌️👊。
Uyu jamaa Leo nimegundua kumbe hajielewi na Huwa anatafuta chai tu
Tatizo uto wasanii xna wachezaji wenyewe wanajuana siku nyingi unazani watakubali kumuingiza mwenzao mkenge. Chama alienda zesco kuvuka Dili la Phili kuja Simba na asiende utopoloni kuishi vizuli na wachezaji aya ndio matunda yake na madhara yake
Mbona wengne wanakujaa😂😂😂unateseka ukiwa wapi kolo
Phili wanini kila siku anaugua bench
Wajifunze sasa
Chukuwa kombe
Si ulisemaga ni majeruhi
Haya sasa atakua anajuta mda huu
Uongoo utupu,mchambuzi uchwaraaa
Halafu kuna kamoja kanashadadia kumbe walimporaee kwenye hii story unaona kabisa hajaporwa mtu kama mchezaji alipiga simu kwa haohao viongozi waliomchukuwa sasa aliporwaje hapo.
Mwacheni akwende tutamuona kama nikweli yanga ipo itakuwepo akae huko huko na hawa kawasababishia kibarua chao yanga ipo itakuwepo
Acha uchawi 😂
Mmeanza kuishiwa kwa kua mnatoa taarifa ambazo zishapita,,maana za ndani..!!??zile ndani hazijulikani...sasa hizi story hata kipofu ashazasikia!!mnamuonaje max zingeli!???
Kakojoe ukalale
wanaume kama ma
We muongo wape faraja mikia wenzako kwann awasiliane nao hao wachezaji wakati yupo Airport wakati anafahamiana nao kabla.
😂😂😂😂😂😂 Uto
Tupe wewe ukweli basi!
Leo nimeamini hili demu Huwa linaongopa linafata mitandao hakuna ukweli wowote chizi wewe
Kama jamaa alibadili gear angani na kuomba mwenyewe kusajiliwa, basi kuna shida juu yake iliyojificha
Shida juu yake vp wakat ndugu zake wamemwambia shughuli hamna pale Yanga.
@@amoji126 ndio maana.kuna.agents
@@amoji126wanahak waseme hivo coz asahv wameyakanyaga wenyewee kilichobak kuchafua mamaeeee
😂😂Hapa sasa nimeelewa vzr kbs BANGALA na DJUMA SHABANI ndo waliotoa sili ya FABRICE NGOMA kuwa majeruhi sana wasimchukue na ndo hao hao waliozinguana nao sasaivi hawapo Yanga yaan dunia hii aisee 😂😂
Ndio walimpa fabrice ngoma taarifa kuwa yanga hawawajali wachezaji wao kila siku kesi mahakaman
@@jwisetv4833 Iyo taarifa yako wewe lkn maelezo yanayotolewa hapo tofauti jitahidi kuchunguza ndoa za watu yako hatujui inaendeleaje uko🤣🤣🤣
@@rogersiddy Asa kwa mawazo yako unafikiri walimwambiaje mpaka akaacha kusajiliwa yanga
@@jwisetv4833 Hayo yako ila bila kuambiwa tu kuwa NGOMA majera yanamuandama mara kwa mara mfuatilie kuanzia alipotoka Vita Club alipokuwa uwarabuni adi anaenda AL HILALI amecheza msimu mmoja mmoja tu mingine nje ya uwanja mechi kadhaa uwanjani mechi kadhaa nje ya uwanja sasa kama unataka kujifanya wewe ndo mjuaji kuliko wengine baki na ujuaji wako ivyo ivyo maana wabongo ushabiki maandazi wingi kuliko kuongea ukweli hata kikiwa kibovu hukubali kuwa kibovu🤣🤣🤣
Kumbe hao vijana wanaroho mbaya kiasi hicho! Looh!😈
Kina nani hao
Lakin haikuwa sabab ya kuacha maana wanamsaada kimataifa ila wameyakoroga wananchi sasa watayanywa 😂😂
Muongo ww sana
Mayele
Huyu jamaa anafanya kazi ili alipwe mshahara na ndugu yake isionekane anapewa bure. Ni zuzu sijawahi kumuelewa.
😂😂😂
Mnafiq sana wewe si ulikataa kuhusu hee ishuu
Imekuuma eh
@@benjaminchakwe9815 haija niuma maana simba kwako wewe siyo ndugu yako na mm yanga si ndugu yangu mm kinacho niuma ni huyu momo analeta stori ambayo alisha ikataa
We momo si ulikuja apa ukasema sio kweli au ndy ugali tuh dadeki tumewapora kweli sio uongo
kwa hiyo chaguo namba 2 hawana weledi wa kutafuta wachezaji wazuri mpaka wapore. Sasa yule mtaala wa scouting walimuajiri wa nini? Ni mtaalam wa scouting au mwizi?
Kolo bhana!! Yaani Mchezaji anawapia simu uongozi wa Makolo kwamba anakuja halafu unasema "mmepora"?! Mmepora nini wakati kaja mwenyewe tena baada ya kuwapigia simu kwamba mumpokee?!
@@terrence9477tangia lin mbumbumbuu akawa na akili😂😂😂😂wanashindwa kutafuta mchezaji mpaka watafutiwe wao wawe wanaiba
Sasa kama alijua anakwenda Simba how uje useme aliporwa?
Wapuuzi hao!!
Kama kweli yanga hawajali mapro wao nakuaje wachezaji wa asec mimosa wanakuja jangwani na aziz ki yupo?
Kwann Aziz ki asiwashtue wsnzake kwamba huku kuna matatizo?
Unataka kutuaminisha kuwa Mchezaji mkubwa kama huyo Hana Wakala hadi akaweza KUBADILI maamuzi angani?
Nami ninajiuliza hivyo hivyo😢
Nami ninajiuliza hivyo hivyo😢
Momo mnafki mwanzon alisema vingne Leo anatulea mwengne kabla Huja Sema chunguza kwanza kiundan zahd alafu ndo useme
Wakala anamskiliza mchezaji maana ni mteja wake
Kwan Mikel Obi hakuwa na wakala Hadi akaibiwa na Chelsea airport wakati alikuwa anaenda Man utd
Mwenye akili hawezi kubali haya maneno ya kijinga mtu atoke huko kute hajui aenda wapi aibiwe airport?
Sasa ametekwa kivipi wakati umeshasema wakati anatoka alikotoka alishawapigia simu Makolo kwamba anakuja?! Yaani kwa akili yako unaamini kabisa alikuja cku ambayo Yanga walitarajia angekuja au alikuja siku nyingine kabisa?!
Yanga walikuwepo wanamsubiri
hahahah utopolo na migogoro na wachezaji ni hivii
Mgogoro dhidi ya Wachezaji gani?! Umeshawahi kusikia Wachezaji wakilalamikia jambo lolote?!
@@mygulio
Hyo kolo achana nae
yanga kama konde genge tuuuuu🤣😂😂🤣🤣
NYIE ENDELEENI KUBWEKA NDANI YA FENSI HAMUWEZI KUMNG'ATA MTU ANAETEMBEA NJE YA FENSI,😂😂😂😂
@@godlistengodlisten7552Sawa dogo mmelipa pesa zake? Kwenu unawaka moto ila mnajitahd kuuzima😂😂😂😂😂😂pumbuvuu zenu mfyuuuuu
Daa kwa hy Djuma na Bangala ndo wamepakaza noma
Mchezaji mzuri na anaejitambua hawezi kupadili mawazo Airport
Ronaldo alichukuliwa airport na Manchester 😂
Alikuwa anaenda Timu gani mpaka Manchesrer wakamchukua Airport
Willian to Chelsea
Obi Mikel to Chelsea
Wote hao walitekwa uwanjani
We mbea mpuuzi mjinga usie kumbuka mwanzo uliongea kua yanga waligundu kua mchezaji no majerui mara kwamara auji lolote nilichogundu unafanya kubaatisha uongowako