#ZaNdaaani

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 18. 08. 2022
  • WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • Sport

Komentáře • 112

  • @johnndabazi2469
    @johnndabazi2469 Před rokem +4

    Umetisha sana mzee wa za ndanii kabsaaa

  • @godfreyndulu1764
    @godfreyndulu1764 Před rokem +10

    Namkubali sana mzee wa kudere 🙌🏾🙌🏾

  • @saidijafari2812
    @saidijafari2812 Před rokem +20

    Mi ni Simba ila ungozi wa yanga kwenye usajili upo vizur kwel yani hawataki pesa yao ipotee kilamchezaji wanamsajil wanahakikisha atafiti wapo tayar kutoa pesa nyingi ili tu wapate mchezaji wa uhakika kuliko wamajaribio .sio kama wanashindana bali wana uchungu na pesa yao ya usajili

    • @mwikamwika4851
      @mwikamwika4851 Před rokem +1

      Kwani umetumwa au umeagizwa? Nenda hukohuko Kwa utopolo

    • @faumahona5769
      @faumahona5769 Před rokem

      Unaliwa mkundu ww

    • @amanijtz4831
      @amanijtz4831 Před rokem +2

      Nakubali

    • @saidijafari2812
      @saidijafari2812 Před rokem +1

      @@mwikamwika4851 Kwan timu ya baba yako ulivyoambiwa , Kuna sehem viongozi wanazingua wanachofanya nisawa na kusema nabana baajeti sinunui chakula mchana leo nitakula andaz mwisho wasiku mpaka jion unaona gharama uliotumia imevuka hata ile ya kununua chakula ndio wanachofanya viongozi wetu . Unamkosa Adebayo kwasababu ya RS Berkane sawa unamkosa mchezaji uliemtaka kwasababu ya yanga ! Huu si upuuzi wakati sisi tulitakiwa tuoneshe umwamba tulitakiwa tukafumue kikosi pale pale tukamchukua mayele kesi ingekua ishaisha saa hizi .huoni warabu wanachofanya ukiimalika wakiona unawasumbua wanachukua wachezaji wenu wazur bc .

    • @saidijafari2812
      @saidijafari2812 Před rokem +1

      Sasa wewe Kama hujui mpira pesa zinaingiaje bora unyamaze tu naona hata hujui umuhimu wa mashabiki cjui we mwanachama upo upo tu!

  • @daudsimon5417
    @daudsimon5417 Před rokem +2

    Wa kudere na kuelewa sana

  • @godfreywebiro4058
    @godfreywebiro4058 Před rokem +7

    Yanga wapo vizuri kwenye usajiri kwakuwa msajili mkuu na mwenye maamuzi ya mwisho ya usajili anaujua mpira vzuri na yupo smart kwenye kila sajili na anaenda kwa target kwamba anasajili kwakuangalia nini anataka
    Ukija simba wanaosajili ni watu zaid ya wanne au yeyote mwenye uwezo wakusajili anajisajilia tu coz muda ujao mchezaji aliemleta ataweza kupanda dau na akauzwa bei kubwa na kurudisha faida ya aliemsajili
    Yule dada hana anachojua kuhusu mpira yeye yupo vizuri kwenye management & organisation na sio mpira kiujumla ndo mana sajiri za simba nizakufuata mkumbo na zisizo na tija hapo mbeleni
    Kiukweli simba saizi wanadevela sana ukiangalia sajili za mihemko, jezi kusuasua, kuanza msimu japo wameshinda lakini unaona kabisa hakuna future nzuri. vyote hivyo ni kutokana na kukosa kiongozi mwenye vision mwenye anaujua mpira na ubora wa uongozi, kiongozi asieyumbishwa na kiongozi mwenye final say
    Hersi miaka 4 amekuwa yanga lakini unaona kabisa improvement ya mipango yao hadi sasa kakabidhiwa rungu kwa 100% lakini kwa simba unaona kabisa wana drop dah🥲

    • @laqboe8067
      @laqboe8067 Před rokem

      Bigilimana 😅😂🤣

    • @herbertbathlomeo4650
      @herbertbathlomeo4650 Před rokem

      Kwani nani anasajili pale Yanga?

    • @kelvingeorge8679
      @kelvingeorge8679 Před rokem

      Unavoongea utadhan kuna kitu unatoa tofauti kumbe ni ushabiki tena yanga kwa kusajili makapi ndo hawajambo kabisa timu unbeaten msimu mzima usajili wote ule unataka kubadilisha nn yan naona momo anaongea mapoint ila ww unataka kubishana na wapinzan ndo shida iliyopo haya kaa na hayo unayoona n miyeyusho ach inyeshe tuone panapovuja

  • @simbajumanne9718
    @simbajumanne9718 Před rokem +1

    Asante sana momo

  • @othmanjkamhanda4208
    @othmanjkamhanda4208 Před rokem +2

    Safi kabisa

  • @nuranzubail8134
    @nuranzubail8134 Před rokem +4

    ila akpan hajapewa milioni 200 , sio wa milioni 200 , coastal union wamepewa milioni 100 na akpan amepewa 50M kama signing fees

  • @saidsalum6101
    @saidsalum6101 Před rokem

    Kweli nimeona hayo sawa

  • @rehemaabdullah7606
    @rehemaabdullah7606 Před rokem +3

    Loooh kumbe nawao wanatoaga Mali kauli wanavojigamba basii🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @islamibrahim4525
    @islamibrahim4525 Před rokem +1

    Ni ya kweli kabisa

  • @rashidikawanga2941
    @rashidikawanga2941 Před rokem +9

    Imeisha hiyo sema kocha kenge sana 😢

  • @FRANSKALITUSI4937
    @FRANSKALITUSI4937 Před rokem

    Nakubr Sana

  • @slumujaibu7205
    @slumujaibu7205 Před rokem +1

    Daaaah jomba uyu mtata sana sijuh taarifa anapata wapi

  • @frankfelix3876
    @frankfelix3876 Před rokem +4

    Nikweli kabisa simba inahitaji washambuliaji wapya wenye manufaa makubwa sio kuleana wakati simba inahitaji mafanikio makubwa

  • @watch5380
    @watch5380 Před rokem +1

    Momo nomaaa

  • @joejux1380
    @joejux1380 Před rokem +6

    Shida kusajili bila kuwepo kocha sasa kocha akija anaona hawaingii kwenye mifumo yake sasa hata kama ww ndo kocha utafanyaje unadhani😂

  • @allychautundu6729
    @allychautundu6729 Před rokem

    sahihi asee

  • @burudanitiv324
    @burudanitiv324 Před rokem +3

    Broo umeongea point sanaa ndio maana soka letyu tuna feri sana duhhhhh

  • @TravellersTv1
    @TravellersTv1 Před rokem

    🔥

  • @daffangov6074
    @daffangov6074 Před rokem

    Nakuelewa sn mze

  • @flova7022
    @flova7022 Před rokem +3

    Shida ni kwamba tunasajili bila ma kocha

  • @maigathomas2353
    @maigathomas2353 Před rokem

    Mbona mzungu hawezi

  • @HafidhJuma-fg2nu
    @HafidhJuma-fg2nu Před 4 měsíci

    Dah

  • @yusuphjilala846
    @yusuphjilala846 Před rokem

    Weweeeee

  • @mecksonjoseph2522
    @mecksonjoseph2522 Před rokem +4

    Ukweli ndio huo.. Basi wata umia kuambiwa ukweli

  • @omarymlawa5221
    @omarymlawa5221 Před rokem

    Uyoo muongo sana tu

  • @ahmedysaidy9874
    @ahmedysaidy9874 Před rokem

    Umetisha momo mm kama msemaji wa wana thimbaaaa nashindwa ata kutoa maamuzi nawangalia tu watu wanavyopiga pesa sina nguvu ndio maana hata sauti yangu haitoki vizuri bajeti ya mshahara wangu tu watu wanakula asilimia zangu leo nimeona bora niseme ukwel nipo tayari kujutoa kwenye usemaje mwezangu manara kule anakula Bata tu.

    • @rehemaabdullah7606
      @rehemaabdullah7606 Před rokem

      Sasa shidann pole maana unapoteza hata Nuru vumilia yatakuwa Sawa tuu

  • @plumbingandtilesservce5271

    Kwel izo zandani kaka

  • @zuli.comedy.
    @zuli.comedy. Před rokem

    Topsella tv

  • @yoanadaudi4907
    @yoanadaudi4907 Před rokem

    Mzee wa kuderee unajua

  • @mohamedsalum3112
    @mohamedsalum3112 Před rokem +7

    anaongea sanaa , ila kama yanaingia akilini hasa hasa hii point ya mwisho

  • @prosperjuma905
    @prosperjuma905 Před rokem +1

    Ukweli mtupu

  • @titobernard383
    @titobernard383 Před rokem

    🤣🤣 🗣️ zaaandaaaaniii !!!!😂

  • @yohanalukindo3737
    @yohanalukindo3737 Před rokem +2

    Kocha anataka alete wazungu wengine nini

  • @issamsangi1887
    @issamsangi1887 Před rokem

    Ila nimekuelewa broo

  • @yusuphjilala846
    @yusuphjilala846 Před rokem

    Kiongo hichooooo

  • @jacksonmofulu9336
    @jacksonmofulu9336 Před rokem +2

    Simba tunapigwa sana

  • @festovenas502
    @festovenas502 Před rokem +1

    Nime kuelewa mzee wa kudere viongoz wa Simba waaache ushamba

  • @othmanjkamhanda4208
    @othmanjkamhanda4208 Před rokem +1

    Mzee wa kudere wachane

  • @athumanjafar2776
    @athumanjafar2776 Před rokem

    Aa nimekuelewa sana umeongea sana wakudele

  • @ChikwendeNde
    @ChikwendeNde Před měsícem

    Simba iyooo

  • @lamecanton7523
    @lamecanton7523 Před rokem

    Hapa anamzungunzia kocha zoran kipindi kile anapewa mkataba alitoa masharti na alisema wazi boco, chama, phili, onyango alisema kabisa hawa siyo

  • @abiboseleman1649
    @abiboseleman1649 Před rokem

    Momo watakuteka ooooooh

  • @mahengomwenyewe4204
    @mahengomwenyewe4204 Před rokem +1

    Simba inahujumiwa na viongozi wake nishasema zamani sana

  • @gaudinamosnchobe4909
    @gaudinamosnchobe4909 Před rokem

    Nakuunga mkono momo

  • @MrInno-fk8th
    @MrInno-fk8th Před rokem

    hahahaha huyu mkuda kwel yan

  • @raphaelkyando1094
    @raphaelkyando1094 Před rokem +1

    Tatizo ni hansipope kufa

  • @chuchumeta8374
    @chuchumeta8374 Před rokem +2

    Momo, Momo uongezewe ulinzi

  • @kemmyelisha695
    @kemmyelisha695 Před rokem +2

    Ukweli mtupu wanasimba tuamke 😭 hadi Yanga watatupita

  • @pesangwasalim5258
    @pesangwasalim5258 Před rokem

    Mm

  • @assadyabdull5146
    @assadyabdull5146 Před rokem

    Poit muhimu ni ya mwisho

  • @decomarcos7458
    @decomarcos7458 Před rokem

    Imeisha iyo momo

  • @godfreybitakama9845
    @godfreybitakama9845 Před rokem

    Kama nimekuelewa

  • @handgodmunuo6602
    @handgodmunuo6602 Před rokem

    Vp

  • @raro5506
    @raro5506 Před rokem +2

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣mkataba wa ZORAN kama wa pikipiki....😢🤣🤣

  • @rehemaabdullah7606
    @rehemaabdullah7606 Před rokem +1

    Hahahahaaaaaaa

  • @edwardkongo1599
    @edwardkongo1599 Před rokem

    K kubwa wote hao

  • @husseinmasangya1272
    @husseinmasangya1272 Před rokem +2

    Momo 😂😂😂😂

  • @erickdioniz8277
    @erickdioniz8277 Před rokem +2

    Kocha ana akili sana huwezi ukampa masharti ya nusu fainali shirikisho halafu wachezaji utumbo

  • @edgarayubu2077
    @edgarayubu2077 Před rokem

    Naitwa edger natokea mbeya grean city bana timu yangu ya simba atup raha kama turivo zoea yan kwa kipind hk tunapata shida t

  • @florianscarion5085
    @florianscarion5085 Před rokem +1

    Huyu taarifa zake huwa ni za uongo, yani kinachomjia kichwani analileta kwenye radio, huyu si ndo alitwambia Sakho Hana mkataba na Simba.

  • @saidijafari2812
    @saidijafari2812 Před rokem

    Viongoz bure kabisa hawa

  • @saidijafari2812
    @saidijafari2812 Před rokem

    Yani viongozi kujikubali saana Kama wanafanya kwa weled Ila huo weled hauna uhalisia , imagine unamuacha AZIZ ki mchezaji abaejituma ambae unajua kabisa Kama atafiti kwenye eti unamuacha sababu kataka pesa nyingi halafu unamsajir mchezaji kwa pesa nyingi Kisha hamumtumii hiyo pesa c bora mungeongezea kidogo tu na nyengine ingebaki mukamchukua azizi ki

  • @fressoj-mova5686
    @fressoj-mova5686 Před rokem +2

    Akpan

  • @magneticofficialtz
    @magneticofficialtz Před rokem

    czcams.com/video/Rrtc4BO-RTA/video.html mdada wa kazi kafumaniwa wakifanya mapenzi na mlinzi jikoni duh dunia imevaa chupi

  • @donmoofmmawaidhaaudio4508

    Angalia Nasheed Nzuri 👇❤🤍
    czcams.com/video/keekDotg4uM/video.html

  • @damarygaratulu9135
    @damarygaratulu9135 Před rokem +2

    Huyu nae porojo tu mdomo du kama herufi za mwisho za jina lake

  • @faustinombilinyi9809
    @faustinombilinyi9809 Před rokem

    Kudere leo umeongea point kidogo biashara za watu wajinga SN sio kwa NN wanakuwepo Simba pale

  • @ibrahmmgaya312
    @ibrahmmgaya312 Před rokem +1

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @chollejr_
    @chollejr_ Před rokem

    Ila ila jamaaa .😂😂😂😂

  • @costantinopaul4887
    @costantinopaul4887 Před rokem

    Kocha wa simba hatufai haendan na las na uzito wa lig yetu tunaomba uchebe waturudishie klabuni

    • @salim02tv24
      @salim02tv24 Před rokem +1

      Si mlisemaaa bonge la kochaa

    • @titobernard383
      @titobernard383 Před rokem

      Si tuliambiwa ni kocha wa vikombe huyu au tumepigwa hapa ?

  • @ayoubmbwambo9604
    @ayoubmbwambo9604 Před rokem

    Hhhhhhhhhhh

  • @jonathansirkintungi3440

    Wapigaji wapo Kwa boss wako gsm Kwa mo hayo hayapo. Sasa tuone Kama utadhubutu kumsema utakosa bahasha kenge wewe usituletee vurugu msimbazi.

    • @rehemaabdullah7606
      @rehemaabdullah7606 Před rokem

      Tulia ww mkiambiwa ukweli mnanunaa umeona Yanga asahv Wana sajili kihoreraa kama zaman? Mtaumbuka mwaka huu

    • @jacksonnchimbi1966
      @jacksonnchimbi1966 Před rokem

      GSM alikuwa anapigwa zamani sasahivi kazi za usajili zinafanywa na rais enginer hersi said habahatishi anawapandia mwenyewe usibishe watu wanapiga mpunga sana hapo simba wameanzisha kamtindo hako wanamleta mchezaji hata wa majaribio baadae anasepa wewe unafikiri ghalama za kuwaleta nani anahusika yaani Barbra sikuhizi kanenepa sio miss tena anapiga mpunga na ahmedy Ally wake sikuhizi kanenepa hela za michango pia

  • @hdmsasa3355
    @hdmsasa3355 Před rokem

    Gusa maandish ya blue ukatazame Video nilivyomfunika DOGO BALAA czcams.com/video/ZXoVZuZFMy8/video.html

  • @azizihfarijala5307
    @azizihfarijala5307 Před 4 měsíci

    huyi hana jipya muongo kweli

  • @thabitngangila8562
    @thabitngangila8562 Před rokem +2

    Mambo yake kama joti!!!