JINSI YA KUPIKA RED VELVET LAINI
Vložit
- čas přidán 27. 12. 2019
- Mahitaji
Unga wa ngano vikombe 3/grams 350
Vijiko 3 vikubwa coco powder
Baking soda kjk 1 kidogo
Baking powder kjk 1 ½ kidogo
Sukari vikombe 2/grams 250
Mafuta ya kupikia ½ kikombe /ml 125
Siagi ½ kikombe /gram 100
Mayai 4
Butter milk kikombe 1/ 236ml
Kahawa imoto ¼ kikombe/59ml
Vanilla
Siki nyeupe kjk 1 ½ kidogo
Cream Cheese Buttercream
Pakti 2 za cream cheese (08 oz kila pakti)
Siagi nusu kikombe /gram 100
Sukari ya unga kikombe 1 ½
Vanilla
Cream cheese zaidi
Pakti 3 za cream cheese ( 08 oz kila pakti)
Siagi kikombe 1
Sukari ya unga ( icing sugar ) vikombe 2
Vanilla
Aroma of Zanzibar social media
/ fathiya.ismail
/ aromaofzanzibar
Video intro Zanzibar Spice Market by Farhat Abbas czcams.com/users/results?searc...
Video Intro Mombasa spice market by Chef Farouk Amboka
faroukambok...
Music courtesy / contemplative-middle-e...
This is English and Kiswahili channel where you will find cuisine from around the world - Jak na to + styl
IF YOU WISH TO WATCH THIS RECIPE IN ENGLISH KINDLY FOLLOW THIS LINK czcams.com/video/2v20Zy7jnNg/video.html
MashaAllah Zanzibar Aroma
Mashaallah Allah bless u
Mashallah asante san Dada Aroma jazakallahukher
MashaAllah TabarakaAllah will try this In Shaa Allah
Masha Allah ...shukraan habibty you are amazing 👌😍 😍
Mashallah shukran sana😍😋
MashaAllah aunt
MashaAllah habbty hii inanihusu mara hii Inshaallah
Mashallah
Allah akubarik
Ohhhhh my gosh I like it
MashaAllah
Keki ya kupendeza sana Shukran
Mashallah unatufunza vingi mummy 😘😘
Alhamdulilah
Asante ntaijaribu
Mashaallah imetokea zury jazzy Allah bi aroma
Shukran
I like it 👌👌
Mashallah keki nzur na iko simple kufanya
Alhamdulilah
Mashallah habibty
Alhamdulilah
Mashallah my habibty
Alhamdulilah
Mashaallah nzuri sana. Mungu akupe kher
Amin kwetu sote
Mashalah amazing cake
Shukaran
Wooow!!!!👌👌👌
MashaAllah looks so yummy and good tips.baraka Allahu fiiy
Shukran, AMin
Mashallah keki inavutia Allah akubarik
Ahsante sana
mashaallah asante sana ninavyopenda redvelvet daah😘🎂❤
Basi ushafika hapa
Thankyou looks delicious
Most welcome
MashaAllah nimejaribu imetoka👌
Hongera
❤😋😋😋😋❤To Yummy
Waoooooooow😍😍😍❤
Mashallah Dada ake haukoseagi🙌😘
Ahsante, najitahidi
Nice sana nzuri
Shukran
Afwan habibty
Thx🙏
Thank you for your support dear
Ok,thanks
Welcome
@@aromaofzanzibar Asante Kwa mafunzo ubarikiwe
Maashallah Allah hiyo butter milk ni maziwa ya maji au
Nimeonyesha hapo jinsi ya kutengeneza butter milk vidoe inaanza na hiyo
Asante kwa recipe yako.swali langu ni naweza bake hiyo cake na 7 inch cake tin kwa pamoja?
Unweza kama unacho chombo cha ku bake utapunguza moto na kubakr mda mrefu zaidi
Ma Sha Allah 👌
Hayo mabati ya inchi ngapi?
inchi 8
Shukran 🤲
Assalam alaykum unaweza kuibadilisha kuwa chocolate cake badala ya kutia rangi ukatia cocoa
Hamna Coco ya kutosha kufanya.chocolaze.cake.ipo recipe ya.chocolate cake.nimetoa tumia hiyo
Barikiwa mno dada angu maana umenisaidia mno pia ningeomba unisaidie vipimo vya cupcakes za biashara pls dada Aroma
Ahsante, vipimo ni recipe na unataka kufanya cupcakes ngapi kila recipe ni tofauti
a.alaykum nlikua naomba kama ungetuekea playlist ya cake mbali na vitu vyengine inakua wepes kutizaama tunapohitaj, jazakallah kheir
Hamna tabu I will work on it dear
Jamani naomba kuuliza kitu sijaelewa kinachofanya Cake iwe red velvet ni nini? Ni rangi ya chakula? Au
Red velvet ni ladha amabayo inatokana na unga wa cocoa yaani chocolate amabayo ni kidogo tu sio kama chcocolate cake hasa na inapochananyika na yogurt, kwa kiasili hiyo rangi nyekundu walikua wanatumia sugar beet ambayo ndio ladha halisi. Sikuhizi zipo green velevt, blue velvet pia ladha ndio hiyo hiyo isipokua rangi ni tofauti
Asante kwa mafunzo ila nauliza kama nina cream cheese ya maji nafanyaje ?
Cream cheese ya maji haiwezikani ni nyepesi sana
A.Alykm
Samahani cream cheese inasaidia nn kwenye icing
Cream cheese inatumika sana kwa ladha tofauti hasa kwa cake kama hii au carrot cake na cake za matunda
Assalam a'laykum ukhty mie napika keki nzuri sana na inachambuka ma sha Allah lkn tatizo linakuja pale nikishaitowa ndani ya oven kukaa baada ya muda inanywea na kurudi haibaki kama vile ilivokuwa ndani ya oven vile ilivopanda vizur. Nakosea wapi my cheaf
Keki ya aina gani na recipe za aina gani, sababu zinaweza kuwa nyingi tu, moto mkali sana , au baking powder nyingi sana, au chombo kidogo , au umechanganya kwa mda mrefu ndio maan ni vizuri kufuata recipe maalum
Cake ya maziwa
Vipimo roborobo Ila maziwa vijiko vinne na mayai manne.
butter milk , ni whipping cream au maziwa yap?
Butter milk sio whipping cream nimeonyesha jinsi ya kutengeneza hapo mwanzo
What can I use instead of vinegar
If you want authentic flavors of redvelvet you have to use vinegar there's a chemistry that takes place between the chocolate and vinegar that gives that unique taste
Thank you
If huna cream cheese sis
Kma huna tumia buttercream lakini haitkupa ladha sahihi, nimefundisha jinsi ya kuatengeneza cream cheese ni rahisi sana
Hizo pan ulochomea ni za inc ngapi juu na chini
8 na juu 2
Aslaam alaykum baking soda ndo ile simba
Mimi siishi Tanzania ulizia huko nini baking soda sijui Simba ndio kitu gani
Mummy nitumie jina la hiyo kahawa
Kahawa ya ian yoyote instant , nescafe, africafe
Napenda kujaribu but sad ivyo vifaa sina
pole sana.Mungu akujaalie na wewe upate
My dear mbona mi nikipika inakua kama ina kaukakasi au ni hiyo baking soda kwan lazima kuiweka
Jee umetume recipe hii!
My dear cake niliiweka kwenye friji tu leo ndo nimeionja tena ule ukakasi sijausikia nimesikia tamu hatariiii
je unaeza kufanya recipe in half?
Yes unaweza
@@aromaofzanzibar 😍😍😍
Mashallah
MashaAllah
Alhamdulilah
Allah azidi kukupa ujuzi wa mapishi mazuri nasi tufaidike