MashaaAllah MashaaAllah asante sana na hizo ingredients ni chache sana mm kiukweli yangu nitaeka ladha 😂😂😂shukran nitamjaribia mwanangu wa 2yrs mwanzo🙏
you prolly dont care but does anyone know a way to get back into an Instagram account..? I stupidly lost the login password. I would appreciate any help you can give me!
@Trent Miles i really appreciate your reply. I got to the site through google and I'm trying it out atm. Looks like it's gonna take a while so I will get back to you later when my account password hopefully is recovered.
Asanteee Dada Ila mie ninaswali eti vile vifaa vya kutengenezea fondant vyauzwa WAP? Piaa na zile box za duara zakubebeshea keki naweza zipata maduka gani ziwe zimekatwa kabisa kabisa
Napenda
Asante mziwanda kwa madarasa yako ,❤
Mashaallah mwenyenzimungu akuzidishie zaidi
Barikiwaga tu
Shukran sana mpendwa kwa moyo wk❤
Asante dada 🙏
Ni nzr Sana nilikua cjui kutengeneza
Masha Allah shukran da
😘🙏
MashaaAllah MashaaAllah asante sana na hizo ingredients ni chache sana mm kiukweli yangu nitaeka ladha 😂😂😂shukran nitamjaribia mwanangu wa 2yrs mwanzo🙏
Hahahahaa haya dear
Thanx my love
ahasante sana kwa mafudisho , Nipo Dar naomba unielekeze maduka ya kununu vifaa vya kupikia keki kam whipin cream powder na overlatte
nice
Asante kwa somo zuri nina swali hapo whipping poda umesema kikombe kimoja na nusu lakin mbona kama umeweka kikombe kimoja!!
Unapofundisha ujue kuna wapishi ambao ni wapya kabisa
asanteee dada
Karibu dear
Asante sana dada🙏🏾🙏🏾
Karibu dear
Shukran sana, nitajaribu inshallah 😍
Karibu sana
Tanxy Nipo Iramba Singida
Ni nzuri sana, wapi zinapatikana hizo piping bag? Maana huwa napata zile za kupasuka tu
Hiyo wiping inauzwa maduka ya cake
Wewe huwa ni mwalimu wangu Asante
Amiin my dear karibu sana
Thanks dear
Karibu
Thanks dear 💓
You are welcome
Jamani muziwanda hiyo wiping cream yauzwa wapi???
Cornflour ninayo maji yapo sasa iyo wiping cream naphtali wapi
Hayi curuziki
Wow! nzuri Mashaallah
you prolly dont care but does anyone know a way to get back into an Instagram account..?
I stupidly lost the login password. I would appreciate any help you can give me!
@Nathaniel Bode Instablaster ;)
@Trent Miles i really appreciate your reply. I got to the site through google and I'm trying it out atm.
Looks like it's gonna take a while so I will get back to you later when my account password hopefully is recovered.
@Trent Miles It did the trick and I now got access to my account again. I'm so happy!
Thanks so much, you saved my ass :D
@Nathaniel Bode glad I could help =)
Napenda sana masomo yako hongera sana nataka kuuliza corn flour huu wa kupikia ugali au?
Ipo very soft madukani
Thanks cissy♥️
Karibu dear
@@mziwandabakers8297 Madam umetumia maji ya kawaida au ya kwenye friji!???
Maji ulotumia ni ya baridi kutoka ktk friji au ya kawaida??
Hapo mimi sijaelewa hujaiweka kweny fridge au uliweka??
Haikai kwa fridge
Utufundishe na hile ambayo icing ngumu ambayo ya biashara❤️
Unamaanisha fondant? Ile kama chapati?
Shukran sana kwa funzo la Leo dear? Je, ikiwa unatumia whipping cream ya maji,utaweka corn flour pia kwasababu haiwi stable.
Unaweka pia inakuwa nzuri tu
Shukran sana dear, nilijaribu ika work! Ubarikiwe zaidi
Thanx
😘
My dear hongera unaweza kuweka kwny redvelvet katikati
Inakauka vizuri mana wipingrem aikauki vizuri
Haikauki kabisa ndo asili yake
Hi nakuliza hio nozol yako ni no ngapi pliz
nauliza naweza tumia whipping kufunika keki
Asanteee Dada Ila mie ninaswali eti vile vifaa vya kutengenezea fondant vyauzwa WAP? Piaa na zile box za duara zakubebeshea keki naweza zipata maduka gani ziwe zimekatwa kabisa kabisa
Kwa vifaa check namba hii
Hello dada waweza kuweka maziwa badili ya maji
Ndio waweza pia
Hellow.dada inakaa nje masaa mangap bila ya kuyayuka
Haiyayuki hii dear ikikaa nje inakauka
Maji ya kawaida au baridi?
Na inaweza kaa muda gan nje ya fridge
Maji yakawaida tu,yangu inakaa kwa 24hrs
Vp sis nauliza kama watumia whipping cream ya maji waeza kutia corn flour au mpaka iwe ya unga
Unatia hakuna tatizo
@@mziwandabakers8297 shukran sana
Naeza kutumia maziwa fresh?
Ndio lakini haitodumu
Hiyo whipping powder yapatikana wapi?
Maduka ya vifaa vya keki pia kwangu zipo
Kama huna whippping cream powder je unaweza ukatumia maziwa ya mtindi ?
Hapana dear
Zingine sina sukari kabisa nmeona iyo umeongeza sukari
Sukari inayo pia ila recipe inahitaji icing more
Maji umetumia ya baridi au ya kawaida? Na hio whppd cream powder uliyotumia ni aina gani kwasababu nyingine naona zinasukar kbsa...
Ata hii inasukari,maji ya kawaida sio ya baridi
Hiyo whipping cream ikoje na inapatikana wapi
Naomba unielekeze
1 and a half cup of whipping cream powder
1/2cup of icing sugar
Cornflower 1tsp
1/4cup of water
Iyo whipping cream inapatikana wapi?
@@LuckydahilouAll supermarkets zipp
Ila whiping cream s n gharama?
Sio ghali dear
Aksante dada na je? Maji yanakuwa ya baridi au
Bila kuweka radha itakua very boring
Ni kweli dear
Thanks dear
Namba yako dada naipatajee ?
0768859358