Sheikh KISHKI Amkumbusha MAGUFULI, Alichomfanyia Akiwa Waziri!

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 28. 08. 2024

Komentáře • 299

  • @imasimas4506
    @imasimas4506 Před 4 lety +1

    Mashaallah Shaikh Nurdeen Kishk hekima na busara mungu amekujaalia unajua kufikisha ujumbe. mungu akubariki na Ambariki Rais John Magufuli na Amuongoze katika njia njema Ameen. from Muscat Oman

  • @saidsahd1971
    @saidsahd1971 Před 5 lety +7

    Mheshimiwa Rais makufuli unapendwa sana na watanzania wengi sana hebu slimu Uwe. Muislam ili uwe juuu mpaka mbiguni upate ufalme wa bwana hicho ndio kilichobakia nna sasa wakatti umefiika wa kuwatooa mashehe wetu gerrezani. Jisafishie njia. Kwa unao waongoza na Kwa mwenyezimungu . Pia inshaalla mungu. Akuongoze

    • @smarty1064
      @smarty1064 Před 5 lety

      Said Sahd mashekh hawatoki leo maana kesi zao zimewekwa kisiasa na kesi wanazifanyia kusudi zibak chini ya mahakama ili rais asiweze kuingilia, wangetoa hukumu rais angetoa msamaha na kuwatoa - siasa chafu zilitumika kuwatia hatiani

  • @johnbanzi884
    @johnbanzi884 Před 5 lety +32

    Hongera waislam,hongera waheshimiwa marais wetu watanzania ni wamoja tudumishe amani,upendo na mshikamano

  • @binsultan5495
    @binsultan5495 Před 5 lety +3

    Qul yaa ayyuha lkaafiruun. Laa aabudu maataabuduni. Mtume alijua yatatokea. Mana sijamsikia shehe yoyote leo akitaja neno ALLAH. Mbeye ya mfalme kasema yake kasahau mashehe wa uamsho.

  • @luheyissa5247
    @luheyissa5247 Před 5 lety +20

    Mzee wetu magufuli mungu akuzidishie uende na moyo huohuo

  • @DottRoBroc
    @DottRoBroc Před 3 lety +3

    I am an italian man. I studied Magufuli, a politician I appreciated for his complaint against the effectiveness of tampons. He was a great and courageous president, an honest man who had reduced his salary (from $ 15,000 to $ 4,000) defended the interests of the people. I also appreciated his position on covid and against dangerous vaccines. In my opinion they killed him even though he officially died of heart problems. I agree about Magulification of Africa! So, absolute estimate for Magufuli who for me will remin alive for ever for his honesty

  • @myeukomaro329
    @myeukomaro329 Před 3 lety +3

    May the good Lord rest the soul of Magufuli in eternal peace.

  • @shimuld6721
    @shimuld6721 Před 5 lety +12

    Mwenye enzi Mungu amhidi Mh.rais JPM na atuhidi na sisi wote kwa jumla ameen Yaarabil Alameen jamian

  • @mohamedathuman2216
    @mohamedathuman2216 Před 5 lety +2

    Allah asema mbingu na arzi zinakaribia kupasuka kwa kuambiwa mungu anamtoto uyo raisi imaniyake inamuelekeza hivojamani mashee wadunia ifkisheni quraani kama alivoifkisha bwana mtume sws hiinidni siosiasa kfupi mnakera

    • @mohamedathuman2216
      @mohamedathuman2216 Před 5 lety

      Mashehe wote wameikumbatia dunia jamani kama Allah amgombesha mtume wake juuyakutomskilza kipofu kwaajili anakikao na matajiri wa maka sura tu abasa seuze wewekishki uyohana nyiemnampa pepo labda hapaduniani lakini ya Allah haingii kwaimani aliokuanayosasa labda aslimu awemuisilamu uondoukweli mkichukia ndoivo ndohaki inavotaka

  • @rithamalyagili127
    @rithamalyagili127 Před 3 lety +3

    Hakika mungu ampokee magufuri katika uzima wa milele

  • @bjzee1981
    @bjzee1981 Před 5 lety +42

    1998 Kishki alikua only 18 years . Lakini alikua anajua namna yaku tafutia haki Waislam na kusaidia yatima. Mashekhe mengine yame kaa kugombania misikiti na sadaka na ku eneza ushirikina na chuki na kutumia watoto wa watu kua wana mziki kwenye ma kaswida ilhali wao waki chukua pesa za CD

    • @smarty1064
      @smarty1064 Před 5 lety +2

      Hibo Muslima mioyo ya binadamu imetofautiana - wapo wanaona huruma kwa binadamu wenzao bila kujali dini zao na sisi jamii tunategemea kusaidiwa na watu wa dini (iwe wakristo au waislamu) lakini ni wachache wenye moyo huo, Mwenyez Mungu amfanyie wepesi aendelee na moyo huo pengine na viongozi wengine wa dini wataiga

    • @bjzee1981
      @bjzee1981 Před 5 lety

      Allahuma Aameen

  • @mirajihazard2117
    @mirajihazard2117 Před 5 lety +1

    kwa kweli nimeikubali sana hutba ya raisi na maneno ya sheikh kishki mungu awabariki sana watanzania na waislamu wote kwa ujumla amin

  • @mariamsuma3003
    @mariamsuma3003 Před 3 lety +3

    Daaa nalia sana kuona magufuli hayupo duniani

  • @sahyall3646
    @sahyall3646 Před 5 lety +5

    Mashaallah mungu amlinde atuongoze zaid waslam tufkie mbali zaid

  • @Nuurkhalif78
    @Nuurkhalif78 Před 4 lety +1

    Mungu amuongoze dini ya ki islamu mzee makufuli rais waa Tanzanian

  • @douglasvernon9492
    @douglasvernon9492 Před 2 lety +1

    We miss you magufuli always we remember you rest in peace❤️❤️❤️❤️

  • @Nuurkhalif78
    @Nuurkhalif78 Před 4 lety +1

    Masha Allah baraka Allah xayaka Allah jazaka Allah kheyran

  • @mustyboymaalim2070
    @mustyboymaalim2070 Před 4 lety +3

    MashaAllah namuombea rais maghufuli awe muislamu

    • @J4UPro
      @J4UPro Před 3 lety

      Maashaallah

    • @kshdbzjnxksksw6567
      @kshdbzjnxksksw6567 Před 3 lety

      Inaniliza sana kwanini hakufa akiwa kaslim ila Allah anajua zaid

  • @arafatsalehe6607
    @arafatsalehe6607 Před 5 lety +2

    mungu akulinde Shk wetu na akuhifadhi kila Mwenye zamila mbaya imkute mwenyewe Allah mlinde sky wetu kishki

    • @alhadhaji5086
      @alhadhaji5086 Před 5 lety

      Mwambie huyo Sheikh wako kuna Waislam wenzake miaka 8 sasa wanateseka na hao Rafiki zake. Angalau angalizungumzia na hilo au ndoo Ni Uwamsho anaogopa kuhojiwa na kuwakera Wakuu.

  • @abdullahifarahofficial5716

    Mungu amuhifadhi sheikh kishki na rais wake ameen....nawapenda kwa ajili ya ALLAH

  • @piusnjechele3815
    @piusnjechele3815 Před 5 lety +12

    M/Mungu bariki viongozi wetu wa dini

  • @omariadam8839
    @omariadam8839 Před 3 lety +6

    Daaa JPM umetuliza watanzania 😭😭😭

  • @shakirutimanyika6848
    @shakirutimanyika6848 Před 5 lety +1

    Mungu akujalie kwa ilo Rais wetu

  • @adamjuma4665
    @adamjuma4665 Před 5 lety +17

    Duh! Mashekh zetu n noma et! Serikali ya kkafir imekuwa tukufu, Subhanalah

    • @stevenclaud6648
      @stevenclaud6648 Před 5 lety +2

      Adam Juma wew ndio kafiri fara wew

    • @alhadhaji5086
      @alhadhaji5086 Před 5 lety +1

      Wengine hao watazameni tu ni hao hao

    • @user-ql2om7qj3v
      @user-ql2om7qj3v Před 5 lety

      Yes maneno mazito

    • @othumanmaulid7406
      @othumanmaulid7406 Před 5 lety

      Acha uchochezi na mawazofinyu. Kiongozi sikuzote hatakiwi kuwa mbaguzi au unataka kusema hawa mashekhe hawaijui dini.

    • @ayshahams7373
      @ayshahams7373 Před 5 lety

      Wasio kubali mungu mmoja ni kafiri tu mungu ni mmoja tu na dini ya kweli uislamu

  • @DerickSamweli-xv1lq
    @DerickSamweli-xv1lq Před 10 měsíci

    Mungu amuweke mahala peponi

  • @musamuntanz7187
    @musamuntanz7187 Před rokem +2

    Mashaallah 😭😭

  • @ramadhanimkwama8573
    @ramadhanimkwama8573 Před 4 lety +1

    Mungu ambarki magufur

  • @salumabdul9760
    @salumabdul9760 Před 4 lety +1

    Allah analipa amali aliyotendewa yeye tu jamani msijisahau saana mashekhe

  • @balkisamour5815
    @balkisamour5815 Před 3 lety +1

    Mashallah

  • @rahmashabani6483
    @rahmashabani6483 Před 5 lety +31

    Allah Akbar.namuombea rais wetu asilimu wallah

  • @josephfrank4446
    @josephfrank4446 Před rokem +1

    Ya Allah

  • @salumuhamissi3492
    @salumuhamissi3492 Před 5 lety +6

    Mmiliki wa radhi ya Tanzania mungu c magufuli huyu shekhe hajielewi

    • @user-us9gl8jg4l
      @user-us9gl8jg4l Před 5 lety +2

      Nenda basi nchi yoyote kama utapewa ardhi bila kupitia serikali za nchi acha ujinga

    • @mustafalada4976
      @mustafalada4976 Před 5 lety

      Njava mbaya

    • @calabash4221
      @calabash4221 Před 5 lety

      Kwa sheria ya Tanzania Rais ndio mmiliki kwa niaba ya wananchi..kasome sheria ya ardhi

    • @user-us9gl8jg4l
      @user-us9gl8jg4l Před 5 lety

      @@calabash4221 kuna watu wanajifanya wanajuwa sana sio tz tu aende nchi yoyote duniani aone kama anaweza kujenga tu au kumiliki ardhi bila kibali cha serikali husika hapa Oman ukiwa sio mwananchi wa hapa yaani hauna passport ya Oman huwezi kumiliki eneo wala kununua hata nyumba hata uwe una pesa vipi

  • @azizimuhibu7771
    @azizimuhibu7771 Před 5 lety +5

    Allah mzidishie nguvu rais wetu,,na waongozaji wote wa al hikma foundation

  • @bekososo9778
    @bekososo9778 Před 4 lety +2

    Ma’sha’Allah

  • @salimali7930
    @salimali7930 Před 4 lety +1

    Kenya yetu lnshaallah,Allah Bareek

    • @sherifaali7268
      @sherifaali7268 Před 3 lety

      Wewe hapa siyo kenya ni Tanzania toka zako hapa

  • @mwazaniiddisaidi8219
    @mwazaniiddisaidi8219 Před 5 lety +3

    Mungu akulendi makufuli

  • @jumaayubu
    @jumaayubu Před 3 lety +1

    Jana Kalala katika nyumba ya umati. Ee mwenyezi Mungu mtukufu kampunguzie adhabu ya kaburi na umlipe haki stahiki

  • @ibruzlee9188
    @ibruzlee9188 Před 3 lety +2

    Hakika Atapatikana kama yeye tena😥🇰🇪♥️

  • @jokhagadafy2144
    @jokhagadafy2144 Před 3 lety +2

    Allahu Aqbar😭😭😭😭😭

  • @alhadhaji5086
    @alhadhaji5086 Před 5 lety +3

    Sheikh Unakosea Rejea aya zinazopatilana ktk surat Touba uone Muislaam anakuwa juu ama Chini wacha Sifa za kujipendekeza. Kishki Unajishushia hadhi. Na ww jiandae kwenda kuungana nao wakikuita mm napata Mashaka sana na ww Sheikh kishki

    • @ramanhoibrahim3383
      @ramanhoibrahim3383 Před 5 lety

      Mwacheni aongee..

    • @azizikeya8314
      @azizikeya8314 Před 5 lety

      Unatakiwa kuisoma dini si kukosoa tu mtume alimsifu mfalme anajashi na Qur'an ilisomwa jafar tena swahaba alikuwa muislam yule

    • @alhadhaji5086
      @alhadhaji5086 Před 5 lety +1

      Jee Alishirikiana nae ktk ibada ww hujielewi ngoja simbali Mutaenda kanisani kushiriki kama wao wanavyoshiri na Masheikh wa aina hii ya kujipendekeza kwa Makafir ndio Chanzo cha kuuharibu Uislaam.Ujue uislaam hauhitaji Ushirika na dini nyengine.Ndio maana Allah akashusha Sura mzima kumkataza Mtume wetu Asijeakajaribu kushirikiana na Makafir ktk Kuabudu na Ktk surat Touba ndio akamaliza haswa.Ww kama ni marafiki zako endelea nao tu Mtume amesema mtu Atafufuluwa na yule ampebdae Allah atuepushe kuwapenda Makafir.Emu mfuatilie Sheikh Ponda utafahamu ubaya wa hao Usione wanacheka na kukuonyesha uso bashasha Yaliomo moyoni mwao ni Mabaya zaidi kuliko wayadhihirishayo Allah anasema hivyo.

    • @annassuleiman4508
      @annassuleiman4508 Před 5 lety

      @@alhadhaji5086 wewe ndiyo hujielewi kabsaaa yani hata dini huijui inavyoonesha. ivi kumuita kafiri msikitini aje apate mawaidha na kumualika uwanjani ni ipi ina hatari zaidi?? sasa kwa taarifa yako mtume alikuwa akiwaalika msikitini kabsa na walikuwa wanajaa kwa ajili yake kwenda kupata neno la mungu. sasa hapo ni wapi wamechanganya ibada??? bakwata wanafahamika kuwa wana mushkira wao kokote wanaingia na

    • @annassuleiman4508
      @annassuleiman4508 Před 5 lety

      @@alhadhaji5086 swali nakuuliza je kishki alishawahi kuingia 5kanisani kufanya ibada??? ikiwa hapana mbona unamlaani?? Tatu Embu Jifunze ilmu ya hikma ndiyo utajua kama kishki anapatia au anakosea. kifupi ngoja nikufundishe, Magufuli ni Raisi na vitabu vya dini vinatufundisha kuwatii viongozi wetu. haijalishi awe ni muislamu au mkristo maadam ni kiongozi wako basi huna budi kumtii. hiyo Ndiyo Nidhamu. kumsifu mtawala kwa nia ya kuepukana na madhara hiyo inaruhusiwa maadam usivuke mipaka kwa kumuita mungu au mtume au kumsifu kwa ajili ya kudai haki pia inajuzu. kwahiyo kwamimi sioni kishki kama amekosea, asingefanya hivyo huenda hayo aliyoyataka asingeyapata. kwahiyo jaribu kuwa na adabu.

  • @sihamjuma6734
    @sihamjuma6734 Před 4 lety +1

    Allah awape mwisho mwema AMMIN

  • @nyokasr3103
    @nyokasr3103 Před 4 lety +1

    Mwenyi mungu awabariki washiriki wote.

  • @jumajaffary9698
    @jumajaffary9698 Před 5 lety +11

    Allahu Akbar Insha Allah atamfunua macho ajiunge kwenye dini ya haki

  • @salumkhamis7818
    @salumkhamis7818 Před 5 lety +20

    Nachukia sana nikiona masheikh wako magerezani wanateseka,kisha mnasema ALLAH amemleta si umwambie kuna waislam wanateseka huko au hayawahusu ya waliopo magerezani eti atakuwa juu mbinguni,ALLAH anawaona

    • @chidiberbatov3613
      @chidiberbatov3613 Před 5 lety +3

      Baba hapa umenena neno,,mh!!!!

    • @ramanhoibrahim3383
      @ramanhoibrahim3383 Před 5 lety +1

      Mie napingana na wewe waache wakae tu..

    • @salumkhamis7818
      @salumkhamis7818 Před 5 lety +2

      Ramanho Ibrahim namuomba ALLAH awahifadhi masheikh wanaoteseka magerezani, ila usiombe yakukute na wewe

    • @mohamedothman9769
      @mohamedothman9769 Před 5 lety +2

      @@ramanhoibrahim3383 kwa kuwa ww uko uraiani unakula ugali unalala na kujamba ukiwa huru.

    • @alhadhaji5086
      @alhadhaji5086 Před 5 lety +1

      Huyo niadui wa Uislam musimshangae akisema wakae hukohuko Masheikh

  • @sarahabdulatif7391
    @sarahabdulatif7391 Před 4 lety +1

    YESU nimfalime watanzania

  • @shabanimohamedijafar8142
    @shabanimohamedijafar8142 Před 5 lety +6

    Eti mwenyezi mungu amekuchagua huyu shekhe wetu sijamuelewa hapa

    • @kwisa4899
      @kwisa4899 Před 5 lety +1

      Shaban mohamed Jafar sasa ulifiri kachaguliwa na nani ?

    • @mohamedothman9769
      @mohamedothman9769 Před 5 lety

      Hamna shekh hapo. Mashekh waliobaki ni kina Issa Ponda tu

    • @alhadhaji5086
      @alhadhaji5086 Před 5 lety +1

      Naam Ponda Ndio mtetezi pekeake hao wengine wamenunuliwa kimya chao ngojeni tu simbali Mutaambiwa inafaa kushirikiana na Makafir ktk ibada kwa Masheikh wa aina hii ya kuwasifu na kuwapandisha juu makafir Allah anSema WAKUUDU LAKU KULA MARSADA

    • @abuunusayba525
      @abuunusayba525 Před 5 lety

      Alafu anasema anachukia rushwa toka alivyo umbwa sijui alikuwepo

    • @ebrahimshamos4696
      @ebrahimshamos4696 Před 4 lety

      Sasa kachakuliwa na shetani au vipi si wewe ungechaguliwa bacy

  • @ahdahmed8383
    @ahdahmed8383 Před 4 lety +1

    Shukurani sana kishiki mungu akulinde sana

  • @abaafarhat9191
    @abaafarhat9191 Před 3 lety +1

    Wallah nakupinga hapo kishki eti tunakupigia dua uwe juu juu kabisa mbinguni da yaani hajaingia kwenye uislamu unambashiria pepo awe juu kabisa na wewe ni shehe kioo cha jamii

  • @kyaro5945
    @kyaro5945 Před 4 lety +1

    woe until i got goose bump

  • @bosheabdiproductionmediace3653

    I rly love makufuli i salute you sir

  • @salumabdul9760
    @salumabdul9760 Před 4 lety +1

    Ikumbukwe kuwa kuna hadithi inayosema mwana wa chuoni aliekwenda kwa mfalme ambae sio muislamu na akamnynyekea amepoteza nusu ya elimu yake muwe makini sana mashekhe..

  • @sniper93999
    @sniper93999 Před 2 lety +1

    😥😥mungu akusameh makosa yako JPM😥😥

  • @michaelthobias9967
    @michaelthobias9967 Před rokem +1

    Mwenye akili hataweka udini kwa huyu baba hakika mungu akulinde magufuri

  • @mariammdoe8045
    @mariammdoe8045 Před 5 lety +2

    Maashaallah

  • @salumabdul9760
    @salumabdul9760 Před 4 lety +1

    Sheikh kishki usijisahau saana..

  • @abdulkarimkipngeno2597
    @abdulkarimkipngeno2597 Před 5 lety +1

    Mashaa Allah

  • @mwajayshekallaghe568
    @mwajayshekallaghe568 Před 5 lety +3

    Takbiiiir

  • @anafisuleimani7083
    @anafisuleimani7083 Před 5 lety +2

    Masha allah

  • @mohamedothman9769
    @mohamedothman9769 Před 5 lety +2

    Subhanallah

  • @hamismanili3800
    @hamismanili3800 Před 5 lety +15

    ah anakumbusha anataka sifa taja mashekh wanodhalilishwa magerezan fursa ishatokea mnashindwa kusema viongoz gan nyny mnosahau ndugu zenu wa kiislam unakumbuka scholl 2007

    • @naamohamed9964
      @naamohamed9964 Před 5 lety

      Hilo neno ndugu wallah mtihan

    • @ausihaji2398
      @ausihaji2398 Před 5 lety +1

      Mwaka 8 wa nanee sasa wapenzi wetu wapo MAGEREZANI .Jamaa amebakia kumfagilia mtawalatu

    • @naamohamed9964
      @naamohamed9964 Před 5 lety

      @@ausihaji2398 tena sijawahi kusikia hilo likiongelewa naona leo wamekumbusha eneo la kujenga tu badala hata huyo muft angewakilisha hata barua mhhhj ila bora tukae kimnya jamana mana dunia ina mambo mengi

    • @IBRAHIMELSUBHY
      @IBRAHIMELSUBHY Před 5 lety

      Tusiwe wavivu wa kufatilia mambo tukabaki kutoa lawama tu sheikh kishk alishaliongelea jambo hilo hata miezi mitatu haijafika nyuma na alimtumia RAIS hayo malalamiko kuhusu masheikh

    • @raymondabunuas58
      @raymondabunuas58 Před 5 lety +1

      muwapiganie mashehe wanaofanywa mabibi katika vituo vya pls nyinyi ndio Kwanza munaongelea shule

  • @Ali2023T
    @Ali2023T Před 5 lety +1

    Allahu Akbar

  • @mariamkasekwa6601
    @mariamkasekwa6601 Před 4 lety +1

    Mashaallah

  • @aishahamismabugmashaalluh3255

    Jamani tunaomba mumfikishie rais Wetu kuwa mashehe Wetu wasameheeni Jamn miaka saba so kidog 😭😭😭

  • @kercynshimirimana3022
    @kercynshimirimana3022 Před 4 lety +1

    Manshaallh

  • @shd12m55
    @shd12m55 Před 5 lety +5

    Inna lillah wainna ilaih raajiun.....

  • @mbidadaud1256
    @mbidadaud1256 Před 5 lety +1

    excelent Point

  • @abdulukwachu4447
    @abdulukwachu4447 Před 5 lety +1

    Sheikh Kishk wakati natazama Mashindano live kupitia zbc2 nilikuwa na Raia wa Gana amesema katika ile bendera ya Gana aliepanda nayo muwakilishi wa Gana imekosewa Rangi ,inshaallah mwakani hili swala lifatiliwe vizur

  • @naasorzuber442
    @naasorzuber442 Před 5 lety +2

    innalillahiiii,,,,,,,,,,,,,,,

  • @paschalmashimba3584
    @paschalmashimba3584 Před 4 lety +1

    Safi sana rais

  • @fatmaabdallah5870
    @fatmaabdallah5870 Před 3 lety +1

    Shehe usishtuke kwa matusi yao hata mtume makafiri walimpinga japo kafiri ndio asipewe cifa zake

  • @ShakiraHamisi-qp6ll
    @ShakiraHamisi-qp6ll Před 5 měsíci +1

  • @luheyissa5247
    @luheyissa5247 Před 5 lety +2

    Nakupenda Sanaa rais wangu

  • @omaratik2778
    @omaratik2778 Před 5 lety +7

    Hongera wa Tanzania huu ni umoja

  • @rukayyawendo1268
    @rukayyawendo1268 Před 3 lety +1

    😭😭😭😭😭

  • @mariamabdull4134
    @mariamabdull4134 Před 5 lety +1

    Aisee tumuombee duwa kiongozi kiongozi wetu

  • @farhiyachina6308
    @farhiyachina6308 Před 5 lety +1

    Masha Allah shaikh nuradiin kishki

  • @binsultan6981
    @binsultan6981 Před 4 lety +1

    Abdallah bin ubaida

  • @mohamedshaaban3297
    @mohamedshaaban3297 Před 5 lety +1

    Tatizo la nchi ya Tanzania hakuna uhuru kuhusu uislam,,,, ukitaka kwenda jela ungoleya uislamu husikilizwi wla kutekelezwa na Ndiyo maana mashekhe na waislamu tunakuwa wanafiki,,,, Qur-an inasema musiwachukiye makafiri ila musiwaamini mana watakufateni ili na wao muwafate ndiyo mana mungu alimwambiya mtume Muhammad awambiye makafiri nyinyi mna dini yenu na mi nna dini yangu.

  • @saumuseif9189
    @saumuseif9189 Před 4 lety +1

    Mashaallah huyo yabidi asilim kwakweli

  • @robertmanase6423
    @robertmanase6423 Před 4 lety +1

    Hii ndio Tanzania, daima umoja

  • @sophiaally7433
    @sophiaally7433 Před 5 lety +1

    Taqbiiiirr

  • @muhamadusi4969
    @muhamadusi4969 Před 5 lety +7

    Sheikh Kishki hajielewi ww kumuita Magu maana yeye ndiye anawapiga vita masheikh na wingine amewatia ndani mpaka leo hii. jitambue hadhi yako ww.

    • @Damarry-FX
      @Damarry-FX Před 5 lety

      Acha uchokozi ndugu.

    • @IBRAHIMELSUBHY
      @IBRAHIMELSUBHY Před 5 lety

      Usiongee usiyoyajua ndugu yangu moto wa Allah ni mkubwa una hakika yeye magufuli ndo aliyewatia magerezani hao masheikh

    • @frankassey5971
      @frankassey5971 Před 5 lety

      Mashekhe walifungwa uongoz wa kikwete na shein

    • @zuheorsalim7759
      @zuheorsalim7759 Před 5 lety

      @@IBRAHIMELSUBHY
      Lakin yeye ndo rais kwann asiwatoe!????

  • @lenniefei6710
    @lenniefei6710 Před 5 lety +1

    Hiki ndicho kipimo cha Taqwa kwa mwanadamu,awe shekhe awe maamuma! Kiyama kutakua na mambo makubwa!

  • @hamisimtwana7778
    @hamisimtwana7778 Před 4 lety

    mashaallah

  • @nelsonandanyi
    @nelsonandanyi Před 5 lety

    Takbr

  • @halfanmundo282
    @halfanmundo282 Před 5 lety +3

    kishk anaongea kisom sana mbele ya watu ,sio mtu unapata dakika tano kuongea na rais unamwambia ilove you yaan unaleta michezo yako ya pwan. hapa

  • @mbodzebemasika7477
    @mbodzebemasika7477 Před 5 lety +2

    Wallahi

  • @rehemaradhid5716
    @rehemaradhid5716 Před 5 lety +1

    MUNGU mpe afya njema isiyokuwa na marathi Magufuli tunakuenjoy sana mkuu

  • @hundamaniamania872
    @hundamaniamania872 Před 5 lety +12

    Muombeni pia atoe magerezani masheikh wanabambikiwa kesi ooh

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 Před 5 lety +9

    Magufuli jembe kitambo jaman kwa Hali hi anko yupo juu kilelen

  • @zuberramadhan3267
    @zuberramadhan3267 Před 5 lety +6

    hayo maneno mengine muogopeni Alla

  • @ismailsharif59
    @ismailsharif59 Před 5 lety +1

    Big up rais

  • @mariammuscat4300
    @mariammuscat4300 Před 3 lety +1

    😭😭😭😭💔💔

  • @binsultan5495
    @binsultan5495 Před 5 lety +13

    Mtume katuusia tuwe makini na wanfiki kwan wamo katika ss

    • @Mohamed-wt8tw
      @Mohamed-wt8tw Před 5 lety +1

      Kweli sheikh kishki amefeli kama hajavuka mipaka, anasema "muheshimiwa rais utakuwa juu mpaka mbinguni" astaghfiru Llah

    • @gracemwanyinga5000
      @gracemwanyinga5000 Před 4 lety

      Kaarib

    • @almasisadick8901
      @almasisadick8901 Před 4 lety

      Yafikia hatua waislamu kuwafanya maadui wa Allah kuwa ndiyo vipenzi wao ni alama ya unafiki

  • @emmanueljohn8970
    @emmanueljohn8970 Před 5 lety +2

    Jamani Mwenye sifa mpeni Sifa,... JPM ni Hatari Sana, sio wa level za Tanzania....

  • @zuheorsalim7759
    @zuheorsalim7759 Před 5 lety +4

    Hebu angalieeni huyu anavyo jidhalilisha na kua mdogo sana

    • @fahimally3923
      @fahimally3923 Před 5 lety +1

      zuheor salim mm simkubali kishkii kbs na tabia zake yuko ananyeyekea kama vile hatuna hatia ktk nchi yetu

  • @ibrahimaziz7158
    @ibrahimaziz7158 Před 5 lety +8

    Tumegundua target yako sh kishk na wenzako kumualika rais dah kumbe mna shida kubwa sana hampaswi kulaumiwa

    • @clqudiaemmanuel7740
      @clqudiaemmanuel7740 Před 5 lety +1

      Ni wivu Kwan mheshimiwa kawakosea nin mtu akifanya vyema mpongeze Kwan shida nin hongera rais wangu

    • @mohamedothman9769
      @mohamedothman9769 Před 5 lety +2

      Hata mm kama muislam sijaona faida ya kumualika rais, wameshindwa hata kumuomba awaachie mashekh wetu..

    • @binrashid8671
      @binrashid8671 Před 5 lety +1

      @@mohamedothman9769 wameomba walicho omba na wewe kaombe hayo mengine tatzo liko wapi?

    • @inocentbartholomew7696
      @inocentbartholomew7696 Před 5 lety

      njaa tu na unafki anamuita rais mtukufu na mungu je

    • @mohamedothman9769
      @mohamedothman9769 Před 5 lety +1

      @@inocentbartholomew7696 umeona eeh..

  • @salumabdul9760
    @salumabdul9760 Před 4 lety +1

    Hatusemi kwa ubaya lkn.

  • @sarahabdulatif7391
    @sarahabdulatif7391 Před 4 lety

    Kiasi MAGUFULI asomeshe mana ANAANDAA VIJANA WATAKAO PEPERUSHA BENDERA YAINJILI KATIKA DUNIA NZIMA YESU ANASOMESHA VIJANA KIARABU ILI WAJE WAMTUMIKIE

  • @Apeacfulguy
    @Apeacfulguy Před 5 lety +2

    Kamkumbushe nyerere alichokifanya mwaka 1964 yale mauwaji ya waislam elfu 20000 hayo ndo yakumkumbusha ambacho hicho hicho chama alungano nacho yeye huyo anoitwa rais wa tanzania