Mwenye_enzi mungu akupe maisha marefu yenye negma uzidi kutukumbusha mengi zaidi ya aya inshaallah, mungu akujengee nyumba duniani na aghera inshaallah
Asalaam aleikum Sheikh Muhammad May Allah bless you 😊..thanks for the Mawaidha and May Allah forgive our past mistakes and also guide us to the right path🙏
Imam Ghazali alijua anakufa alfajiri hio siku anakufa kabla hajafa aliandaa barua kwa watu wake ilisema hivi "waambieni marafiki zangu, watakaponiona, nimekufa, Wakilia kwa ajili yangu na kunihuzunikia, 'Msiamini mwili huu mliouona kuwa ni mimi, Kwa jina la Mungu, nawahakikishia, si mimi, Mimi ni roho, na hiki ni kiwiliwili tu, kilikuwa makao yangu na nguo yangu kwa muda. Mimi ni hazina, iliyofichwa, Iloundwa na mavumbi, ambayo yalinitumikia kama hekalu, Mimi ni lulu, ambayo imeacha gamba lake kuwa pweke, Mimi ni ndege, na mwili huu ulikuwa kifungo changu, Ambapo sasa nimeondoka, na umeachwa kama ishara, Sifa ziwe kwa Mungu, ambaye sasa ameniweka huru.'" Maneno mazito kwa wenye hekima.
Mashaallah allah akulipe kheri nyingi natamani watoto wangu wote watatu Allah awajalie wapate elimu kama yakwako natamani nijue vyuo ulivyosoma ili nijiandae kuwapeleka watoto kwani elimu ya akhera ndio elimu bora.allah akulipe kheri zaidi inshaallah s
Mashallah Allah atujaliee mwisho mwema na atusamehe madhambi yetu😭😭😭🙏
ALLAH akuhifafhi n azidi kukupa Ilmu yenye Kheri INSHA ALLAH
amiiin ya rabb
Mwenye_enzi mungu akupe maisha marefu yenye negma uzidi kutukumbusha mengi zaidi ya aya inshaallah, mungu akujengee nyumba duniani na aghera inshaallah
Mwenyezi Mungu atujalie mwisho mema.Ameen🤲
Amiin
Subhanallah Wa Alhamdulillah Walaa Hawla Walaa Quwwata illa Billah! Allah atujaalie mwisho mwema.
Amini.inshaallaa shehe Allaah.atuongoze.na.rehma.zake
Masha Allah mawaidha mazuri Allah akuhifadhi 🤲
Ewe wa wa!! Wa wa thanks amina sinaa chakusema mbali ni kwokoka ama kusilimu
Alhamdulillah rabbil alaamiin for your reminding.
Asalaam aleikum Sheikh Muhammad
May Allah bless you 😊..thanks for the Mawaidha and May Allah forgive our past mistakes and also guide us to the right path🙏
Alhamdulliah nashukuru kwa ukumbusho wako sheikh
Allah atujalie mwisho mwem😢kwahurum wak
Maashallah Allah akuzidishie ilmu na atukinaishe na dunia aamiyn
Mashaallah tabaraka Allah , asante sheikh
SUBHAANA Llah Yaa Rabbi Alhamdulillahi Rabbil'Alaamina kwa hii Neema MOLA WANGU Allahu Akbar, Shukran kwa mawaidha sheikh wangu
Subhanallah
Jazakumullah kheir
Mungu akupe maisha malefu
Shukran 💙""💙""Nakupenda kwajili Allah 💙"""💙mungu akupe afya njema kwakazi yadawa 💙""👍👍👍
Yaarabbi tujaalie mwisho mwema
Allah atujalie mema hapa duniani na kesho akhera na atujalie makaburi yetu owe miongoni mwa waja wema dhuma amiin
shukran kwa mawaidha mazuri sana sheikh wetu mungu akujaze kheri
Allah akuzidishie kher
SubhannAllah jazaak Allahu khayr
Jazaakallahul khaira shekh
جزاك الله خيرا وبارك الله فيك
الله 😭
اللهم إنا نسألك حسن الخاتمة وتوفنا مسلمين وأنور قبورنا ونعوذ بك من عذاب القبر وفتنته يا رب 😔😔
اللهم آمييين يا رب العالمين
Mashallah tabarakalah!Allah atujalie mwisho mwema sisi zote waislamu InshaAllah.
MashaAllah Allah atujaliee mwisho mwema na atusamehe. 🙏
Shukraan kwa ukumbusho wenye manufaa,,inshaallahu nyoyo zibadilike zifanye yenye kumpendeza Allah s.w,Allah akuzidishie imani Zaid..
Amiiiin ya rabb
Amiin
Shukran sheikh kifo ni darsa
Asante mwenyezmungu akulinde mpaka sikuya mwisho ostaz
Hakika mauti ni mawaidha Allah akuhifadhi Sheikh Muhammad
Alhamdulillah teach Muhammad about everything that's why you going to be believer don't smoke don't drink 🙏👑
What????
Inshallah akupe mwisho mwema
Subhannallah mashaallah shukuran jaziran kwa mawaiza mazuri kira rahery kwako
Maashl,ostaz mungu akuzidishie kher uishi maisha malef uendelee kutuamsha tunapo lala nakupotelea katk maovu iamin
TABARAKAALLH sheikh letu mohammad baheroooo
😅😅😅😅 hio baroooo ni baro
Mwenyezi mungu tujalie mwisho mwema mimi pamoja na wazazi wangu wawili inshaallah
Subhanallah alllah ukupe afya uendelee kutunasihi
Mungu akupe umri mrefu shekh wangu nakupenda sana kiukweli umenilizaa sana tena sana
Darsa nzur allah akuzidishie ilmu
Mashallah Allah akujaalie shifaa na uzidi kutoka mawaidha yako lnshallah 👍
Mashalah jazakallahu ghair
Mashallaha mungu atupe mwesho mwema😢😢😢
Mashaallah ustadh mung akupe umri mref❤
JAZZA KALLAH KHAYRI .CHEH WETU ALLAH AKULIPE KILA LAKHERI
Allahumma amiiin Yarabb, Allah akuhifadhi sheikh
Allaah tupe mwisho mwema
Mashaallah allah atujaalie mwisho mwema
Mwenyezi mungu atujalie mwisho mwema😢😢
Allah atupe mwisho mwema
Ee mwenyezi mungu nisamehe mm na familia yangu 🤲🤲🤲
allahumah barick ya sheikh
Masha ALLAH mawaidha mazur
Mawaidha yako alhamdhulilah
Insha Allah 🙏🙏 Allah akuweke uzidi kuwaamsha wengi Insha Allah 🕊️🕊️
Mash-Allah,mawaidh mazuri sukuran shk
Allah Akbar 😭😭🤲🤲
Jazaaqallahu kher
Mwenyezi mungu akujaalie khotba nyingi
Jaazaka Allah inshalla mungu atukinaaishe na dunia
MashaAllah jazakaAllah kheir.. sheikh
Am a revert, how can I reach you
MashaaAllah mawaidha mazur
Mgu ata tubriki sote inchallah
Allah akuzidshie sheikh uzidi kutupa elmu inshaallah
Jazzakallahu khyr ya ustadh
mashaAllah mawaidha imenifunza ki2
Amina
I always listen to this khotba over and over again ❤❤❤❤❤
😭😭😭😭😭😭😭😭😭tumuombe MUNGu akuepushie na moto 🔥 Ameen yarab
Allahumma Amiiin yarab
Naam😢😢
Allah akupe umri mrefu
Subhanalllah
Allah atupe mwish mwema 🙏🙏🙏
Imam Ghazali alijua anakufa alfajiri hio siku anakufa kabla hajafa aliandaa barua kwa watu wake ilisema hivi "waambieni marafiki zangu, watakaponiona, nimekufa,
Wakilia kwa ajili yangu na kunihuzunikia,
'Msiamini mwili huu mliouona kuwa ni mimi,
Kwa jina la Mungu, nawahakikishia, si mimi,
Mimi ni roho, na hiki ni kiwiliwili tu, kilikuwa makao yangu na nguo yangu kwa muda.
Mimi ni hazina, iliyofichwa,
Iloundwa na mavumbi, ambayo yalinitumikia kama hekalu,
Mimi ni lulu, ambayo imeacha gamba lake kuwa pweke,
Mimi ni ndege, na mwili huu ulikuwa kifungo changu,
Ambapo sasa nimeondoka, na umeachwa kama ishara,
Sifa ziwe kwa Mungu, ambaye sasa ameniweka huru.'"
Maneno mazito kwa wenye hekima.
Wallahi nasikiya woga sana😭😭😭😭
Mimi pia 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭🥱😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
SHUKRAN FOR YOUR DARSA
Mashaallah
Yarabi tunaomba utupe mwisho mwema
Shukruni 😢😢😢❤
Allah Akbar
Masha Allah mawaidha mazur
Allah barik
Kumbusha ukumbusho unawafaa wenye kuamin
may ALLAH bless you
Mashaallah Allah akulpe
😭😭😭😭😭😭😭😭
جزاك الله خير
Nikwel hakika
Maa shaa Allah
Ameen thummah Ameen
Maea
Barakallah
Shukran
SubhnaAllah
Mungu akuzidishie maisha marefu
Yaa Rabbil alaamin
Mashaallah allah akulipe kheri nyingi natamani watoto wangu wote watatu Allah awajalie wapate elimu kama yakwako natamani nijue vyuo ulivyosoma ili nijiandae kuwapeleka watoto kwani elimu ya akhera ndio elimu bora.allah akulipe kheri zaidi inshaallah s
أنا أسأل عن أرقام WSP الخاصة بك، وأنا لست في تنزانيا
Allah akibar
Mash Allah 😭😭😭😭
Thanks shaikh
ماشاءالله
MashaAllah
❤❤❤❤❤❤❤❤
mashala