Nakupenda,mimi mkristo,laah namiini kwenye Islamic na ukristo,niweke sawa hizi dini mbili naamini, kwenye ukweli,Napenda kusikia wakiabudu,hadithi na mawaidha,natamani kuilewa Quran na bible tena bila kubagua,nazipenda hizi dini mbili ,bila dharau wala kejeli,Namshukuru Mungu kwa dini ya Islamic na Christian's nawapenda wote 🙏🙏✍✍🙏🙏
labda nikupe wasia mzuri iwapo utatia akili katika maneno yangu...uisilamu ndilo dini pekee la haki mbele ya Allah. na Kwanini uamini Hilo kwasababu ukristo si dini ni jina ambalo walianza kuitwa miaka nyingi baada ya kufa yesu ambalo tena katika sehemu panapo itwa antokia yaani walikuwa ni watu wa yesu --kristo-- wakaitwa wakristo kama vile kusema watu wa Kenya tukawaita wakenya sijui unanielewa ila tangu kuanzia utume mpaka kukoma kwake Allah alikuwa ajawahi kulipa jina dini yake mpaka ilipofika mwisho wa utume ndio akasema katika qurani kuwa na nimewaridhia uisilamu kuwa ndilo dini lenu
pili... yesu nimtume aliyekuwa sahihi ila Sasa Hawa wanaoitwa watu wake yaani wakristo wametia mishkeli na makosa mengi katika dini Yao Kila siku ndio Kwa maana mpaka leo utaona wanatoa bibilia mpya ambalo Hilo mpya ni improved yaani emekuwa modernized imefanywa kuwa ya kisasa kwasababu Hilo zikawa bibilia Moja hutofautiana na nyingine katika baadhi ya mashala hivyo Sasa ndivyo wanavyo chafua mafundisho ya yesu mpaka wengine washa fikia kumfanya ni mungu wengine wamemfanya ni mtoto wake wengyaaniine wamemfanya ni mtume tu na wengine wamemfanya ni mungu na nimtoto wa mungu na nimtume
yaani hawaekeweki kwamsingi wa Imani Yao na Cha ajabu ukienda israil ambapo yesu alikuwa akiishi utawakuto wanao amini hakusulubiwa yesu nao pia niwakristo na wanao amini kuwa alisulubiwa Kwa msalaba na wengine wanaamini alisulubiwa Kwa mti straight tu lakini ukisoma historia hakuna watu walio wahi kuwa na Mila la kusulubisha watu Kwa msalaba kama + ilikuwa ni hivi tu | tu sijui wanielewa ila ishu ya msalaba huu ilianzia Rome mbalisana na Israel ajabu sana wakasema eti wameamisha administration ya wakristo mpaka Rome ndio kukaanza ukatoliki
ndio Sasa ukitaka kujua ukweli ulioko katika bibilia ukweli ambao haujatiwa nakshi yeyote ni Yale yanao afikiana na qurani tuna qurani imehifadhika na kutiwa dosari kwasababu jibril alipo muhifadhisha mtume nao waisilamu Waka ihifadhi Kwa kichwa Allah alijaalia hivi Ili iwemiongoni mwanjia ya kuitakasa qurani isije ikachafuliwa kama zilivyo chafuliwa vitabu vingine Sasa Leo hata herufi Moja tu ukiisoma sivyo Kila mwisilamu aliye hifadhi Hilo sura atakwambi koma Hilo umetia makosa
ila Sasa bibilia Zina mambo ya ajabu angalia bibilia ya wakatoliki Kuna vita takriban kumi na mbili za ziada .....na ukisoma king james bible historia yake ilipotungwa ilitungwa miaka zaidi ya saba tena na wasomi walugha sio wasomi wadini akiwa king huyu anawalipa Kila siku Kwa kazi Yao kwahiyo hapa lazima mapungufu yawepo
Ma shaa Allah! Mawaidha mazuri sana. Raha ilioje kwetu kuwemo ktk kundi hilo la wanawake. Lakini shekhe kuna wenzetu ambao hujitolea kwa hali na mali kutunza familia zao akiwemo mume. Mara nyingi waume kurudi nyumbani wakichunguza mezani kuna chakula gani ingawa yeye kwa kawaida haachi matumizi yoyote. Haya ni maisha ya kila siku kwa wanawake hao. Je, nini hukumu yao wanawake hawa kwa mola wao? Na hawa huwajali sana waume zao, wakiwatumikia kwa maisha yao yote. Kama kuna maelezo kuhusu wao, bila shaka watafurahi kusikia darsa linalohusu mchango wao huo. Jazaakumullahul kheir Shekhe wangu.
Ndio maana mwanamke anafaa akichagua mume aangalie tabia na dini. Zote mbili ziwe zimekuridhisha ndio posa ikubaliwe. Bila hivyo, wadada watajipata wameolewa na wanaume ambao wanafikiri kuwa mume ni kuvaa trouser hawajui kuleta chakula wala kuangalia familia na bado hao waume watarajia wewe dada Haki zao zote uwatimizie. Kuweni makini madada mnapo chagua waume
Mie tangu nainukia naanza kusikiliza mawaidha namkubal mpk leo huyu shaikh jaman maa shaa Allah tabaraka rahman Allah akuweke shaikh quran yake sasa subhanallah akisoma
Mashaalla Allah akupe umr shekhe wetu uzidi kutuelimisha inshaallah🤲🏼🤲🏼🤲🏼 ila sauti kdg imekua na kukwamakwama mamodereta hakikisheni mnaset speaker vzr plz ndio sauti tuiskie clear🙏🏼🙏🏼🙏🏼
Aslm alykm warahmatullah wabarakat mashallah hasbiyyallah Allah akujaze her na Imani na akupe umri mref wenye mwish mwema inshallah amn half shekh kama na mwanamke ana jitihada Kwa kila alivy pangiwa kwenye miongozo mema na lakin Bado hapati kizur kwa anae mtegemea zaid ya maumivu usiyo yategemea 💔
MASHALLAH 💯 jamani maneno ya ALLAH Msiandik kwa harufi ndog yandiken kwa herufi kubw mfn km INSHALL. N.K mshanielew ndg zanguni tn sehem yeyet panapo stahik
Aslm alkm ww... Haiwezekani mmeo akushughulikie na kukupenda alafu wewe ukose kumpenda mmeo Hilo haliwezekani sheikh. Ndoa za sikuhizi hazina mawadata Wala rahma. Mke anasubiri kifo, majuto na uvumilivu labda amezaa anahurumia watoto wake wasiteseke. Nabii Muhammad S. A .W . Alikaa na wakeze vizuri na lau wanaume wangeiga mfano wake, basi pepo ingewepo hapahap duniani. Ndoa ni pepo sheikh wangu. Lakini pole hakuna ndoa iliobaki ni ndoana. Shukran sana sheikh. Jazakallah kheir 🙏
BISMILLAAHH MAA SHAA ALLAH ALLAH AKUPE UMR WENYE KHEYR AKUWEZESHE KAMA ALIOWAWEZESHA AKUNYANYUWE KAMA ALIOWANYANYUA ATUPE MANUFAA KWA UWEPO WAKO TUNUFAIKE NA IL'MU YAKO NA MWISHO NAKUOMBEA KWA ALLAH AKUTUNUKIE JANNATUL FIRDAUS AAMIN
sasa hivi wanawake wasipotafyta watoto wafa njaa yaan imekuwa kazi ya wanaume zimekuwa za wanawake majukum tumebeba ss wanawake wao kaxi ni kubwa huwa ni kuongeza wake kuzalisha bila huduma mpaka kichefuchefu
Mashallaaah shekh ila sikuhizi wanaume hawajuwi thamani ya ubikra mume wangu wa1 aliniowa nikiwa bikra ila alinishika km mtumwa tuliishi kwa mwaka1na nusu nikizaa mtt1 ila Ndowa yangu ya2 naishi natamani tele ndo kaniowa na mtoto
Utandandawazi umeharibu utamaduni wa kidini,,,haki sawa ,,50kwa 50 ,,,mfumo wa maisha umetubadilisha ...mmebaki wachache ,,,kwa sasaa utasikia mwanamke kijishughulisha na sio kubweteka,,imebaki ni shidaaa!
Mashaallah shukran ya sheikh. Yaani mwanamke ukiwa na ilmu ya dini hakuchezei mwanaume au mumeo unamuweka sawa hadi anajiona bora atulie tu. Wanawake tafteni waume wasomi wa dini. Kisha nyie kazi ni kumpatia mahaba full full.
@@meandme3437 😂😂😂😂😂na bangi halafu wao wanataka au wanaambiwa waoe wenye dini kweli dini na pombe wapi na bangi kuswali kwenyewe Ramadhani hadi Ramadhani ssa hivi misikiti iko full subiri iishe 😂😂😂😂😂swafu tatu
Aslkm vp hali yako sheikh letu laukweli?alhmdllh mawaedha matamu sana mungu akupe umri mrefu uzidi kutuelimisha amiin..sasa niipi hukmu yamwanaume ambae mkewe yuwamtaka katika tendo la ndoa nayy hataki??yuwamkatalia?
kwa hiyo wasiozaa wasiolewe duh mtihan maana kuna wanaume uwezo wa kumpa mimba hana na wanawake wapo hawana uzazi jee hawapaswi kuolewa na kuolewa ni lazima shekhe watoto ni mpka mungu atake
@@Rydah389 pia kwenye kuridhika c mabikira pekee sasa hivi mabint wengi hawaridhiki kivyovyote aidha kipesa mpaka kimwili naweza kusema kuridhika inatengemea na mty mwenyewe tena binti usimwambie huna pesa ya kitu fulan atakuumbua ndugu ni kuomba ty umpate mwenza alokuwa mwema bac
Mbona wanaume wengi wamesoma dini ila wazifatilii wake zao uteseka kutwa nafamiliya kula kuvaa kulala kuu yote juu yamwanamke je awo wanaume wanayo yafanya nihaki?
HUYU SHEIKH OTHMAN MAALIM HACHUJI KILA SIKU NI MPYA HAISHI RADHA KUMSIKILIZA MASHA ALLAH.. ALLAH AMPE UMRI MREFU ZAIDI TTUWEZE KUFAIDIKA
Kweli kabisa maneno yako
Amin yarab
May Allah bless him Yarrab
Ameen
Ameen
Allah akupe mwisho mwema shekhe wetu🙌🙌🙌🙏
Nakupenda,mimi mkristo,laah namiini kwenye Islamic na ukristo,niweke sawa hizi dini mbili naamini, kwenye ukweli,Napenda kusikia wakiabudu,hadithi na mawaidha,natamani kuilewa Quran na bible tena bila kubagua,nazipenda hizi dini mbili ,bila dharau wala kejeli,Namshukuru Mungu kwa dini ya Islamic na Christian's nawapenda wote 🙏🙏✍✍🙏🙏
labda nikupe wasia mzuri iwapo utatia akili katika maneno yangu...uisilamu ndilo dini pekee la haki mbele ya Allah. na Kwanini uamini Hilo kwasababu ukristo si dini ni jina ambalo walianza kuitwa miaka nyingi baada ya kufa yesu ambalo tena katika sehemu panapo itwa antokia yaani walikuwa ni watu wa yesu --kristo-- wakaitwa wakristo kama vile kusema watu wa Kenya tukawaita wakenya sijui unanielewa ila tangu kuanzia utume mpaka kukoma kwake Allah alikuwa ajawahi kulipa jina dini yake mpaka ilipofika mwisho wa utume ndio akasema katika qurani kuwa na nimewaridhia uisilamu kuwa ndilo dini lenu
pili... yesu nimtume aliyekuwa sahihi ila Sasa Hawa wanaoitwa watu wake yaani wakristo wametia mishkeli na makosa mengi katika dini Yao Kila siku ndio Kwa maana mpaka leo utaona wanatoa bibilia mpya ambalo Hilo mpya ni improved yaani emekuwa modernized imefanywa kuwa ya kisasa kwasababu Hilo zikawa bibilia Moja hutofautiana na nyingine katika baadhi ya mashala hivyo Sasa ndivyo wanavyo chafua mafundisho ya yesu mpaka wengine washa fikia kumfanya ni mungu wengine wamemfanya ni mtoto wake wengyaaniine wamemfanya ni mtume tu na wengine wamemfanya ni mungu na nimtoto wa mungu na nimtume
yaani hawaekeweki kwamsingi wa Imani Yao na Cha ajabu ukienda israil ambapo yesu alikuwa akiishi utawakuto wanao amini hakusulubiwa yesu nao pia niwakristo na wanao amini kuwa alisulubiwa Kwa msalaba na wengine wanaamini alisulubiwa Kwa mti straight tu lakini ukisoma historia hakuna watu walio wahi kuwa na Mila la kusulubisha watu Kwa msalaba kama + ilikuwa ni hivi tu | tu sijui wanielewa ila ishu ya msalaba huu ilianzia Rome mbalisana na Israel ajabu sana wakasema eti wameamisha administration ya wakristo mpaka Rome ndio kukaanza ukatoliki
ndio Sasa ukitaka kujua ukweli ulioko katika bibilia ukweli ambao haujatiwa nakshi yeyote ni Yale yanao afikiana na qurani tuna qurani imehifadhika na kutiwa dosari kwasababu jibril alipo muhifadhisha mtume nao waisilamu Waka ihifadhi Kwa kichwa Allah alijaalia hivi Ili iwemiongoni mwanjia ya kuitakasa qurani isije ikachafuliwa kama zilivyo chafuliwa vitabu vingine Sasa Leo hata herufi Moja tu ukiisoma sivyo Kila mwisilamu aliye hifadhi Hilo sura atakwambi koma Hilo umetia makosa
ila Sasa bibilia Zina mambo ya ajabu angalia bibilia ya wakatoliki Kuna vita takriban kumi na mbili za ziada
.....na ukisoma king james bible historia yake ilipotungwa ilitungwa miaka zaidi ya saba tena na wasomi walugha sio wasomi wadini akiwa king huyu anawalipa Kila siku Kwa kazi Yao kwahiyo hapa lazima mapungufu yawepo
Allah akupe umli mlefu sheikh othuman
Napenda. Sana mawaidhayako nilikuwa nimekata tamaa kwenye ndoa Allah atujalie mwisho mzuri ila ninamtianisana kwenyendoa
MashaaAllah Darsah lipo vyema kwakwel may Allah blessings us and this media...TV
Ma shaa Allah! Mawaidha mazuri sana. Raha ilioje kwetu kuwemo ktk kundi hilo la wanawake. Lakini shekhe kuna wenzetu ambao hujitolea kwa hali na mali kutunza familia zao akiwemo mume. Mara nyingi waume kurudi nyumbani wakichunguza mezani kuna chakula gani ingawa yeye kwa kawaida haachi matumizi yoyote. Haya ni maisha ya kila siku kwa wanawake hao. Je, nini hukumu yao wanawake hawa kwa mola wao? Na hawa huwajali sana waume zao, wakiwatumikia kwa maisha yao yote. Kama kuna maelezo kuhusu wao, bila shaka watafurahi kusikia darsa linalohusu mchango wao huo. Jazaakumullahul kheir Shekhe wangu.
Ndio maana mwanamke anafaa akichagua mume aangalie tabia na dini. Zote mbili ziwe zimekuridhisha ndio posa ikubaliwe. Bila hivyo, wadada watajipata wameolewa na wanaume ambao wanafikiri kuwa mume ni kuvaa trouser hawajui kuleta chakula wala kuangalia familia na bado hao waume watarajia wewe dada Haki zao zote uwatimizie. Kuweni makini madada mnapo chagua waume
Mashallaah allaah akupe umri mrefu wa kheri uzidi kutunufaisha na elimu yako. Inshaallaah
Mawadha mazuri.sana.huwa ninapo sikiliza.nkua.katika utulivu.allh.akup.nuru.sgh
Mashaallah mawaidha mazuri mungu akupe umri mrefu uzidi kutoa darasa maana wengi wetu hatujui majukumu yetu
Asalam alaiqum mashallah hadithi nzur
Mie tangu nainukia naanza kusikiliza mawaidha namkubal mpk leo huyu shaikh jaman maa shaa Allah tabaraka rahman Allah akuweke shaikh quran yake sasa subhanallah akisoma
Mashaalla Allah akupe umr shekhe wetu uzidi kutuelimisha inshaallah🤲🏼🤲🏼🤲🏼 ila sauti kdg imekua na kukwamakwama mamodereta hakikisheni mnaset speaker vzr plz ndio sauti tuiskie clear🙏🏼🙏🏼🙏🏼
Mashallah shekhe wetu m mungu akuweke akujaalie afya njema uendelee kutupa elmu ishaallah
Mwenyezi Mungu akujaalie umri na afya njema shekhe wetu Inshaallah
Aaamin
Aameen🤲🏾
Amiiiina
Wanaume hao hawapo ukae yeye akahangaike mmh! utasimbuliwa mpaka ujute kuzaliwa Allah atujalie mwisho mwema yarabi
Wapo ikiwa wewe hukujaaliwa kumpata mume wa namna hiyo si wote
Masha Allah mwenyezy mungu hawungoze mwanaume
Mashallah.maana kuna wanaume hawajitambui kutwa kutesa wake zao.
Tunateswa jaman
Allah akujaze kheri sheikh wetu, pia akupe mwisho Mwema Aaamin 🤲
Amiin 🤲
Aslm alykm warahmatullah wabarakat mashallah hasbiyyallah Allah akujaze her na Imani na akupe umri mref wenye mwish mwema inshallah amn half shekh kama na mwanamke ana jitihada Kwa kila alivy pangiwa kwenye miongozo mema na lakin Bado hapati kizur kwa anae mtegemea zaid ya maumivu usiyo yategemea 💔
MASHAALLAH nampenda sana othaman maalim kwa ajili ya ALLAH kila ninaposikiliza mawaidha ya SHEIKH Othman maalim lazima nibubujike na machozi
MASHALLAH 💯 jamani maneno ya ALLAH Msiandik kwa harufi ndog yandiken kwa herufi kubw mfn km INSHALL. N.K mshanielew ndg zanguni tn sehem yeyet panapo stahik
Inshaallah tumekuelewa
Maneno mazuri sana. Allah atujaliye wanawake wema
🙏Amiin
Sheikh napenda sana kusikiza mawaida yako
Jamanii kumbesisi tuna thamani lakini waume wengine hawaiyoni thamani yetuu wanatufanya kama watumwa waoo
😁
ulikuwa hujui
sasa hivi ni utumwa kwa kwenda mbele au ukae kisela 😂😂😂
Wapi
Ndio mana tunashauriwa tuolewe na wanaoijua Dini na c wenye magari na maghorofa mengi.
Aslm alkm ww... Haiwezekani mmeo akushughulikie na kukupenda alafu wewe ukose kumpenda mmeo Hilo haliwezekani sheikh. Ndoa za sikuhizi hazina mawadata Wala rahma. Mke anasubiri kifo, majuto na uvumilivu labda amezaa anahurumia watoto wake wasiteseke. Nabii Muhammad S. A .W . Alikaa na wakeze vizuri na lau wanaume wangeiga mfano wake, basi pepo ingewepo hapahap duniani. Ndoa ni pepo sheikh wangu. Lakini pole hakuna ndoa iliobaki ni ndoana. Shukran sana sheikh. Jazakallah kheir 🙏
Allah alete kheri zake in sha Allah
We Acha tu ndugu yangu hata ujishushe aje atakupelekeasha tu
ALLAH ATUJAALIE TUPATE RADHI ZA WAUME ZETU INSHALLAH
Sheikh Othman Maalimu nakupenda sn yani Nakupenda kwaajili ya ALLAH,huwa unazungumza kwa upole sn jmn Duh yani unaeleweka
Machalaa cheik weitu ntukufu
Maa shaa Allah darsa nzuri sana
RABBY TUWEKEE vipenz vyetu walimu wetu masheykh wetu wallahy tunanufaika Allah atukutanishe peponi na Sheykh WETU aamin
Amyn yaarabbbiy
Amiin 🤲🏾
Amiin 🤲
BISMILLAAHH MAA SHAA ALLAH ALLAH AKUPE UMR WENYE KHEYR AKUWEZESHE KAMA ALIOWAWEZESHA AKUNYANYUWE KAMA ALIOWANYANYUA ATUPE MANUFAA KWA UWEPO WAKO TUNUFAIKE NA IL'MU YAKO NA MWISHO NAKUOMBEA KWA ALLAH AKUTUNUKIE JANNATUL FIRDAUS AAMIN
Amyn
بارك الله فيك شيخ
Swadakta sheikh uthman maalim Allah akulipe inshaallah
Jamani mm nampenda sana huyu sheikh saaa dooo natamani nikutane nae live doooo ♥️
Mashalla .mungu akupe mwisho nzuri inshallah
Sichokag kumsiliza na wala sijawahi kuwa mvivu kumsikiliza allha akupe maisha marefu 🙏
Alhamdullilah Najivunia kua muisilam Maana Elimu yote duniani ipo katika Qur'an 🙏
insha'Allah god bless you maalim os
Swadakta 💯
Ma sha Allah
Mawaidha mazuri japo yameegea sana kwa wanawake...lkn wanaume wa siku hizi pasua kichwa hawawajibiki ktk familia.ni chanzo cha kuvuruga ndoa zao.
Kweli kabisa
sasa hivi wanawake wasipotafyta watoto wafa njaa yaan imekuwa kazi ya wanaume zimekuwa za wanawake majukum tumebeba ss wanawake wao kaxi ni kubwa huwa ni kuongeza wake kuzalisha bila huduma mpaka kichefuchefu
MashaAllah...ila waume wengi wa kiislamu siku hizi wame fail katika majukumu..ila wana weka uzito katika ruhusa ya kuoa zaidi ya mmoja..
Macha Allahu
Masha Allah shekhe wetu
MashaAllah Allah akujaze🤲
Mashallaaah shekh ila sikuhizi wanaume hawajuwi thamani ya ubikra mume wangu wa1 aliniowa nikiwa bikra ila alinishika km mtumwa tuliishi kwa mwaka1na nusu nikizaa mtt1 ila Ndowa yangu ya2 naishi natamani tele ndo kaniowa na mtoto
جزاك الله خير
MashaAllah Shukran jazakAllahu kheir
MASHAALAH
Mungu amuhifadhi shekhe wetu huyu
Ma Shaa Allah darsa zuri sana
Maashallah sheikh mungu akutunze kwa. Ajil yetu amiiin
Mashaallah sheikh Othman Maalim
Mashallah mashallah mashallah.Allah akuzidishie hapa na pengine
Sikuhizi wanaumme hawataki wake waloshika dini, wanataka mvaa uchi ukiwa unajistiri unaonekana sio mke so naona shekhe wangu hao enzi za Mitume waumme hao hamna kabisa waumme hao
Nikweli kabisa
Ma sha allah
Marshall mungu atuongoze sote kwa ujumla
MASHA ALLAH
Namuelewa sana
Masha Allah sherkh othman kweli kabisa
Utandandawazi umeharibu utamaduni wa kidini,,,haki sawa ,,50kwa 50 ,,,mfumo wa maisha umetubadilisha ...mmebaki wachache ,,,kwa sasaa utasikia mwanamke kijishughulisha na sio kubweteka,,imebaki ni shidaaa!
Kwa sababu wanaume hawataki kubeba majukumu yao
Mashallah
Mashaallah shukran ya sheikh. Yaani mwanamke ukiwa na ilmu ya dini hakuchezei mwanaume au mumeo unamuweka sawa hadi anajiona bora atulie tu. Wanawake tafteni waume wasomi wa dini. Kisha nyie kazi ni kumpatia mahaba full full.
wanaume wenye dini wako wapi pombe tupu
@@heyumi2340 🤪🤪😬😬
@@meandme3437 😂😂😂😂😂na bangi halafu wao wanataka au wanaambiwa waoe wenye dini kweli dini na pombe wapi na bangi kuswali kwenyewe Ramadhani hadi Ramadhani ssa hivi misikiti iko full subiri iishe 😂😂😂😂😂swafu tatu
Msiba fauka muswiba.
Waweza kumpata wa hvyo lakin kutwa msktin hatoki kutafuta ridhki
MàshaAllah jazakallahu khayr
Aslkm vp hali yako sheikh letu laukweli?alhmdllh mawaedha matamu sana mungu akupe umri mrefu uzidi kutuelimisha amiin..sasa niipi hukmu yamwanaume ambae mkewe yuwamtaka katika tendo la ndoa nayy hataki??yuwamkatalia?
Sasa vipi kuhusu wanawaje wanapowafanyia waume zao mazuri nahuku tunaitwa washenzi na huku twawapikia
Wallahi naam maneno kuntu👌
Asante shekh othaman
Mashaallah💓
Masha Allah mawaiza mazur sanna tungepata namba yake kwakweli tunamaswala mengi kukuuliza
Shukran shekhe
MashaaAllah walhadulilah ❤️😘
Alhamdulilahi mawaidha mazr sn shee mungu akuzidishie inshaa allah
@@halimamnyati9311 amiiiin 👏 wajina wa mie
Allah barik
Hakika mwenyezi mungu ampe nuru
Alláâh akuhifadhi
kwa hiyo wasiozaa wasiolewe duh mtihan maana kuna wanaume uwezo wa kumpa mimba hana na wanawake wapo hawana uzazi jee hawapaswi kuolewa na kuolewa ni lazima shekhe watoto ni mpka mungu atake
Nmekua na swali hilo ila mola ndo ajuae zaidi maana c maneno ya shekh hayo
@@Rydah389 pia kwenye kuridhika c mabikira pekee sasa hivi mabint wengi hawaridhiki kivyovyote aidha kipesa mpaka kimwili naweza kusema kuridhika inatengemea na mty mwenyewe tena binti usimwambie huna pesa ya kitu fulan atakuumbua ndugu ni kuomba ty umpate mwenza alokuwa mwema bac
Hii generation tulio sasa mambo yanaenda speed sana kila gender imejisahau....mola atufanyie wepesi tukae kwnye mipaka ya dini
Shukran sheikh
mashallaH
🕌
Assalaam aleikum warahmatullahi,, naomba mnijuze Ndungu zangu in Islam,,, niwakati gani unaofaa kustarehe na mkeo, katika Usiku WA Ramadhan? Swaum maqbul
Ikisomwa adhana tu hata kama wataka umfuturie yy ruksa hadi kabla ya adhana ya mwanzo aallahuaalam
MashAllah, Shukrani @ munira
Wee munira hhhhh daah
Visa nyie 🤣🤣
Wakti wa usku na hatkama itawafikia asbh mnaog Josh alfu mnaendlea n funga mashallh
Mashallahحفظهلله
Alhamdulillah 😊
Mashaallah
mashaAllah
Mbona wanaume wengi wamesoma dini ila wazifatilii wake zao uteseka kutwa nafamiliya kula kuvaa kulala kuu yote juu yamwanamke je awo wanaume wanayo yafanya nihaki?
2024🙏
Kwa nini ndoa ya kwanza huwa na migogoro
❤❤❤❤💖💖💖💖💯
INSHALLAH
Sheikh #Othman neste vídeo muito agressivo, será é por caso do assunto, meus irmãos constataram isto?
Yeah!! Tumeliona mashallh❤
Nini hukumu ya mwanaume kumhama mke wake chumba
Hachuji kwa kuwa sio mvivu wa kusoma,wengine wamechanganya na mambo yao ndio maana Mungu nae huwashusha
me juzi nilimuona na mvii nyingi, nilingia huzni kdg.
Hata kama anaziniwa nje, 😂
Nawale tusie zaa hatuta olewa na utajuaje kama nikfa
Assalam alykum. Ya lini haya mawaidha
Assallam alley kum, 6 days ago (Siku sita zilizopita).
🤌💚
Ya Arab tujalie mwisho mwema
Usicheze na mwanamke, hebu muulize yeye mwenyewe Sheikh kashaoa akiacha wangapi?
Kwa hiyo???
Mungu akulinde.
Hayatuhusu
Masha Allāah...Shkh Othman Maalim bado Wamoto... mawaidha mazuri alhamdulillah... shukran
MASHA ALLAH
Mashaallah darsa nzuriii
Mashaallah
Mashaallah