Mkeo ni Malkia zingatia haya usije sema hukuonywa - Sheikh Othman Maalim

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 26. 08. 2024
  • Sheikh Othman Maalim akitoa nasaha kwa wanandoa ‪@kalamuMedia‬

Komentáře • 180

  • @allyngoda761
    @allyngoda761 Před 2 lety +57

    HUYU SHEIKH OTHMAN MAALIM HACHUJI KILA SIKU NI MPYA HAISHI RADHA KUMSIKILIZA MASHA ALLAH.. ALLAH AMPE UMRI MREFU ZAIDI TTUWEZE KUFAIDIKA

  • @abubakarially059
    @abubakarially059 Před 2 lety +12

    Allah akupe mwisho mwema shekhe wetu🙌🙌🙌🙏

  • @ivyroses9019
    @ivyroses9019 Před 2 lety +6

    Nakupenda,mimi mkristo,laah namiini kwenye Islamic na ukristo,niweke sawa hizi dini mbili naamini, kwenye ukweli,Napenda kusikia wakiabudu,hadithi na mawaidha,natamani kuilewa Quran na bible tena bila kubagua,nazipenda hizi dini mbili ,bila dharau wala kejeli,Namshukuru Mungu kwa dini ya Islamic na Christian's nawapenda wote 🙏🙏✍✍🙏🙏

    • @abassmohammedmohammed5948
      @abassmohammedmohammed5948 Před 2 lety

      labda nikupe wasia mzuri iwapo utatia akili katika maneno yangu...uisilamu ndilo dini pekee la haki mbele ya Allah. na Kwanini uamini Hilo kwasababu ukristo si dini ni jina ambalo walianza kuitwa miaka nyingi baada ya kufa yesu ambalo tena katika sehemu panapo itwa antokia yaani walikuwa ni watu wa yesu --kristo-- wakaitwa wakristo kama vile kusema watu wa Kenya tukawaita wakenya sijui unanielewa ila tangu kuanzia utume mpaka kukoma kwake Allah alikuwa ajawahi kulipa jina dini yake mpaka ilipofika mwisho wa utume ndio akasema katika qurani kuwa na nimewaridhia uisilamu kuwa ndilo dini lenu

    • @abassmohammedmohammed5948
      @abassmohammedmohammed5948 Před 2 lety

      pili... yesu nimtume aliyekuwa sahihi ila Sasa Hawa wanaoitwa watu wake yaani wakristo wametia mishkeli na makosa mengi katika dini Yao Kila siku ndio Kwa maana mpaka leo utaona wanatoa bibilia mpya ambalo Hilo mpya ni improved yaani emekuwa modernized imefanywa kuwa ya kisasa kwasababu Hilo zikawa bibilia Moja hutofautiana na nyingine katika baadhi ya mashala hivyo Sasa ndivyo wanavyo chafua mafundisho ya yesu mpaka wengine washa fikia kumfanya ni mungu wengine wamemfanya ni mtoto wake wengyaaniine wamemfanya ni mtume tu na wengine wamemfanya ni mungu na nimtoto wa mungu na nimtume

    • @abassmohammedmohammed5948
      @abassmohammedmohammed5948 Před 2 lety

      yaani hawaekeweki kwamsingi wa Imani Yao na Cha ajabu ukienda israil ambapo yesu alikuwa akiishi utawakuto wanao amini hakusulubiwa yesu nao pia niwakristo na wanao amini kuwa alisulubiwa Kwa msalaba na wengine wanaamini alisulubiwa Kwa mti straight tu lakini ukisoma historia hakuna watu walio wahi kuwa na Mila la kusulubisha watu Kwa msalaba kama + ilikuwa ni hivi tu | tu sijui wanielewa ila ishu ya msalaba huu ilianzia Rome mbalisana na Israel ajabu sana wakasema eti wameamisha administration ya wakristo mpaka Rome ndio kukaanza ukatoliki

    • @abassmohammedmohammed5948
      @abassmohammedmohammed5948 Před 2 lety

      ndio Sasa ukitaka kujua ukweli ulioko katika bibilia ukweli ambao haujatiwa nakshi yeyote ni Yale yanao afikiana na qurani tuna qurani imehifadhika na kutiwa dosari kwasababu jibril alipo muhifadhisha mtume nao waisilamu Waka ihifadhi Kwa kichwa Allah alijaalia hivi Ili iwemiongoni mwanjia ya kuitakasa qurani isije ikachafuliwa kama zilivyo chafuliwa vitabu vingine Sasa Leo hata herufi Moja tu ukiisoma sivyo Kila mwisilamu aliye hifadhi Hilo sura atakwambi koma Hilo umetia makosa

    • @abassmohammedmohammed5948
      @abassmohammedmohammed5948 Před 2 lety

      ila Sasa bibilia Zina mambo ya ajabu angalia bibilia ya wakatoliki Kuna vita takriban kumi na mbili za ziada
      .....na ukisoma king james bible historia yake ilipotungwa ilitungwa miaka zaidi ya saba tena na wasomi walugha sio wasomi wadini akiwa king huyu anawalipa Kila siku Kwa kazi Yao kwahiyo hapa lazima mapungufu yawepo

  • @ZuwenaAlvin
    @ZuwenaAlvin Před 3 měsíci +1

    Allah akupe umli mlefu sheikh othuman

  • @siwemangalunda4655
    @siwemangalunda4655 Před 6 měsíci +2

    Napenda. Sana mawaidhayako nilikuwa nimekata tamaa kwenye ndoa Allah atujalie mwisho mzuri ila ninamtianisana kwenyendoa

  • @mrboogie255-dr2kh
    @mrboogie255-dr2kh Před 2 lety +11

    MashaaAllah Darsah lipo vyema kwakwel may Allah blessings us and this media...TV

  • @sangokipozi4611
    @sangokipozi4611 Před 2 lety +27

    Ma shaa Allah! Mawaidha mazuri sana. Raha ilioje kwetu kuwemo ktk kundi hilo la wanawake. Lakini shekhe kuna wenzetu ambao hujitolea kwa hali na mali kutunza familia zao akiwemo mume. Mara nyingi waume kurudi nyumbani wakichunguza mezani kuna chakula gani ingawa yeye kwa kawaida haachi matumizi yoyote. Haya ni maisha ya kila siku kwa wanawake hao. Je, nini hukumu yao wanawake hawa kwa mola wao? Na hawa huwajali sana waume zao, wakiwatumikia kwa maisha yao yote. Kama kuna maelezo kuhusu wao, bila shaka watafurahi kusikia darsa linalohusu mchango wao huo. Jazaakumullahul kheir Shekhe wangu.

    • @fawziaabdurrahman2251
      @fawziaabdurrahman2251 Před 2 lety +6

      Ndio maana mwanamke anafaa akichagua mume aangalie tabia na dini. Zote mbili ziwe zimekuridhisha ndio posa ikubaliwe. Bila hivyo, wadada watajipata wameolewa na wanaume ambao wanafikiri kuwa mume ni kuvaa trouser hawajui kuleta chakula wala kuangalia familia na bado hao waume watarajia wewe dada Haki zao zote uwatimizie. Kuweni makini madada mnapo chagua waume

    • @faridamkwizu3333
      @faridamkwizu3333 Před 2 lety

      Mashallaah allaah akupe umri mrefu wa kheri uzidi kutunufaisha na elimu yako. Inshaallaah

  • @athmaniathmanisimba4976
    @athmaniathmanisimba4976 Před 6 měsíci +1

    Mawadha mazuri.sana.huwa ninapo sikiliza.nkua.katika utulivu.allh.akup.nuru.sgh

  • @TausiSinaela
    @TausiSinaela Před 3 měsíci +1

    Mashaallah mawaidha mazuri mungu akupe umri mrefu uzidi kutoa darasa maana wengi wetu hatujui majukumu yetu

  • @AbdallahHassan-hy2rm
    @AbdallahHassan-hy2rm Před 5 měsíci +1

    Asalam alaiqum mashallah hadithi nzur

  • @latifahnassoro17
    @latifahnassoro17 Před 2 lety +2

    Mie tangu nainukia naanza kusikiliza mawaidha namkubal mpk leo huyu shaikh jaman maa shaa Allah tabaraka rahman Allah akuweke shaikh quran yake sasa subhanallah akisoma

  • @fauziaabdalla7925
    @fauziaabdalla7925 Před 2 lety +4

    Mashaalla Allah akupe umr shekhe wetu uzidi kutuelimisha inshaallah🤲🏼🤲🏼🤲🏼 ila sauti kdg imekua na kukwamakwama mamodereta hakikisheni mnaset speaker vzr plz ndio sauti tuiskie clear🙏🏼🙏🏼🙏🏼

  • @mwanayamumambo2837
    @mwanayamumambo2837 Před 2 lety +8

    Mashallah shekhe wetu m mungu akuweke akujaalie afya njema uendelee kutupa elmu ishaallah

  • @malombemunyithya9341
    @malombemunyithya9341 Před rokem +2

    Mwenyezi Mungu akujaalie umri na afya njema shekhe wetu Inshaallah

  • @aaliyahholden9282
    @aaliyahholden9282 Před 2 lety +4

    Wanaume hao hawapo ukae yeye akahangaike mmh! utasimbuliwa mpaka ujute kuzaliwa Allah atujalie mwisho mwema yarabi

    • @mirajiissa4603
      @mirajiissa4603 Před 4 měsíci

      Wapo ikiwa wewe hukujaaliwa kumpata mume wa namna hiyo si wote

  • @jimilamuzanga2551
    @jimilamuzanga2551 Před 2 lety +9

    Masha Allah mwenyezy mungu hawungoze mwanaume

  • @zubedamselem7217
    @zubedamselem7217 Před 2 lety +5

    Mashallah.maana kuna wanaume hawajitambui kutwa kutesa wake zao.

  • @bilalybarisesa5206
    @bilalybarisesa5206 Před 2 lety +12

    Allah akujaze kheri sheikh wetu, pia akupe mwisho Mwema Aaamin 🤲

  • @yusraabdullhaji7923
    @yusraabdullhaji7923 Před 6 měsíci +1

    Aslm alykm warahmatullah wabarakat mashallah hasbiyyallah Allah akujaze her na Imani na akupe umri mref wenye mwish mwema inshallah amn half shekh kama na mwanamke ana jitihada Kwa kila alivy pangiwa kwenye miongozo mema na lakin Bado hapati kizur kwa anae mtegemea zaid ya maumivu usiyo yategemea 💔

  • @armankassim5906
    @armankassim5906 Před 2 lety +2

    MASHAALLAH nampenda sana othaman maalim kwa ajili ya ALLAH kila ninaposikiliza mawaidha ya SHEIKH Othman maalim lazima nibubujike na machozi

  • @mukreemhassan7347
    @mukreemhassan7347 Před 2 lety +6

    MASHALLAH 💯 jamani maneno ya ALLAH Msiandik kwa harufi ndog yandiken kwa herufi kubw mfn km INSHALL. N.K mshanielew ndg zanguni tn sehem yeyet panapo stahik

  • @bushraaljadidi7747
    @bushraaljadidi7747 Před 2 lety +8

    Maneno mazuri sana. Allah atujaliye wanawake wema

  • @user-lt4db8df6e
    @user-lt4db8df6e Před 6 měsíci +1

    Sheikh napenda sana kusikiza mawaida yako

  • @hafswaomar2841
    @hafswaomar2841 Před 2 lety +13

    Jamanii kumbesisi tuna thamani lakini waume wengine hawaiyoni thamani yetuu wanatufanya kama watumwa waoo

  • @afric01
    @afric01 Před rokem +1

    Aslm alkm ww... Haiwezekani mmeo akushughulikie na kukupenda alafu wewe ukose kumpenda mmeo Hilo haliwezekani sheikh. Ndoa za sikuhizi hazina mawadata Wala rahma. Mke anasubiri kifo, majuto na uvumilivu labda amezaa anahurumia watoto wake wasiteseke. Nabii Muhammad S. A .W . Alikaa na wakeze vizuri na lau wanaume wangeiga mfano wake, basi pepo ingewepo hapahap duniani. Ndoa ni pepo sheikh wangu. Lakini pole hakuna ndoa iliobaki ni ndoana. Shukran sana sheikh. Jazakallah kheir 🙏

    • @adilaibrahim2069
      @adilaibrahim2069 Před 7 měsíci +1

      Allah alete kheri zake in sha Allah

    • @user-jv1ch4tr8q
      @user-jv1ch4tr8q Před 3 měsíci

      We Acha tu ndugu yangu hata ujishushe aje atakupelekeasha tu

  • @hamidamhanaya8126
    @hamidamhanaya8126 Před 2 lety +9

    ALLAH ATUJAALIE TUPATE RADHI ZA WAUME ZETU INSHALLAH

  • @samirasadasalum5974
    @samirasadasalum5974 Před 2 lety +1

    Sheikh Othman Maalimu nakupenda sn yani Nakupenda kwaajili ya ALLAH,huwa unazungumza kwa upole sn jmn Duh yani unaeleweka

  • @InssasulaiRachide
    @InssasulaiRachide Před 2 měsíci +1

    Machalaa cheik weitu ntukufu

  • @bushraaljadidi7747
    @bushraaljadidi7747 Před 2 lety +5

    Maa shaa Allah darsa nzuri sana

  • @rayasaid7400
    @rayasaid7400 Před 2 lety +2

    RABBY TUWEKEE vipenz vyetu walimu wetu masheykh wetu wallahy tunanufaika Allah atukutanishe peponi na Sheykh WETU aamin

  • @rayasaid7400
    @rayasaid7400 Před 2 lety +1

    BISMILLAAHH MAA SHAA ALLAH ALLAH AKUPE UMR WENYE KHEYR AKUWEZESHE KAMA ALIOWAWEZESHA AKUNYANYUWE KAMA ALIOWANYANYUA ATUPE MANUFAA KWA UWEPO WAKO TUNUFAIKE NA IL'MU YAKO NA MWISHO NAKUOMBEA KWA ALLAH AKUTUNUKIE JANNATUL FIRDAUS AAMIN

  • @bushraaljadidi7747
    @bushraaljadidi7747 Před 2 lety +6

    بارك الله فيك شيخ

  • @fatumaabdallah7541
    @fatumaabdallah7541 Před 2 lety +3

    Swadakta sheikh uthman maalim Allah akulipe inshaallah

    • @marygoshashy9954
      @marygoshashy9954 Před 2 lety

      Jamani mm nampenda sana huyu sheikh saaa dooo natamani nikutane nae live doooo ♥️

    • @suzanokila3612
      @suzanokila3612 Před 2 lety

      Mashalla .mungu akupe mwisho nzuri inshallah

  • @user-xy2qj1gc9p
    @user-xy2qj1gc9p Před rokem

    Sichokag kumsiliza na wala sijawahi kuwa mvivu kumsikiliza allha akupe maisha marefu 🙏

  • @sergemassamba5677
    @sergemassamba5677 Před 2 lety +1

    Alhamdullilah Najivunia kua muisilam Maana Elimu yote duniani ipo katika Qur'an 🙏
    insha'Allah god bless you maalim os

  • @MwakishaStella
    @MwakishaStella Před 8 měsíci +1

    Ma sha Allah

  • @asiaswedi8945
    @asiaswedi8945 Před 2 lety +12

    Mawaidha mazuri japo yameegea sana kwa wanawake...lkn wanaume wa siku hizi pasua kichwa hawawajibiki ktk familia.ni chanzo cha kuvuruga ndoa zao.

    • @hamidamhanaya8126
      @hamidamhanaya8126 Před 2 lety +1

      Kweli kabisa

    • @heyumi2340
      @heyumi2340 Před 2 lety

      sasa hivi wanawake wasipotafyta watoto wafa njaa yaan imekuwa kazi ya wanaume zimekuwa za wanawake majukum tumebeba ss wanawake wao kaxi ni kubwa huwa ni kuongeza wake kuzalisha bila huduma mpaka kichefuchefu

  • @swaummukonjero7352
    @swaummukonjero7352 Před rokem

    MashaAllah...ila waume wengi wa kiislamu siku hizi wame fail katika majukumu..ila wana weka uzito katika ruhusa ya kuoa zaidi ya mmoja..

  • @InssasulaiRachide
    @InssasulaiRachide Před 2 měsíci +1

    Macha Allahu

  • @saumusanjiama6991
    @saumusanjiama6991 Před 2 lety +3

    Masha Allah shekhe wetu

  • @fatmamasafu8606
    @fatmamasafu8606 Před 2 lety +4

    MashaAllah Allah akujaze🤲

  • @user-jv1ch4tr8q
    @user-jv1ch4tr8q Před 3 měsíci

    Mashallaaah shekh ila sikuhizi wanaume hawajuwi thamani ya ubikra mume wangu wa1 aliniowa nikiwa bikra ila alinishika km mtumwa tuliishi kwa mwaka1na nusu nikizaa mtt1 ila Ndowa yangu ya2 naishi natamani tele ndo kaniowa na mtoto

  • @ummiali1208
    @ummiali1208 Před 2 lety +4

    جزاك الله خير

  • @bammboomm7763
    @bammboomm7763 Před 2 lety +3

    MashaAllah Shukran jazakAllahu kheir

  • @user-ge6gu4fh7x
    @user-ge6gu4fh7x Před 4 měsíci +1

    MASHAALAH

  • @saidimkopi9273
    @saidimkopi9273 Před 2 lety

    Mungu amuhifadhi shekhe wetu huyu

  • @salimmariga149
    @salimmariga149 Před 2 lety +2

    Ma Shaa Allah darsa zuri sana

  • @asmaanassoro7842
    @asmaanassoro7842 Před rokem

    Maashallah sheikh mungu akutunze kwa. Ajil yetu amiiin

  • @universitylink
    @universitylink Před 2 lety +2

    Mashaallah sheikh Othman Maalim

  • @aseefpa1461
    @aseefpa1461 Před 2 lety

    Mashallah mashallah mashallah.Allah akuzidishie hapa na pengine

  • @kamilyaibrahim9784
    @kamilyaibrahim9784 Před 2 lety +3

    Sikuhizi wanaumme hawataki wake waloshika dini, wanataka mvaa uchi ukiwa unajistiri unaonekana sio mke so naona shekhe wangu hao enzi za Mitume waumme hao hamna kabisa waumme hao

  • @kulthumally881
    @kulthumally881 Před 2 lety +2

    Ma sha allah

  • @dallamanzanzibar8685
    @dallamanzanzibar8685 Před rokem

    Marshall mungu atuongoze sote kwa ujumla

  • @SANATVTZ
    @SANATVTZ Před 2 lety +3

    MASHA ALLAH

  • @mallulu9086
    @mallulu9086 Před 2 lety

    Masha Allah sherkh othman kweli kabisa

  • @jenifamtima9325
    @jenifamtima9325 Před rokem

    Utandandawazi umeharibu utamaduni wa kidini,,,haki sawa ,,50kwa 50 ,,,mfumo wa maisha umetubadilisha ...mmebaki wachache ,,,kwa sasaa utasikia mwanamke kijishughulisha na sio kubweteka,,imebaki ni shidaaa!

  • @juneithartony9543
    @juneithartony9543 Před 2 lety +3

    Mashallah

  • @meandme3437
    @meandme3437 Před 2 lety +1

    Mashaallah shukran ya sheikh. Yaani mwanamke ukiwa na ilmu ya dini hakuchezei mwanaume au mumeo unamuweka sawa hadi anajiona bora atulie tu. Wanawake tafteni waume wasomi wa dini. Kisha nyie kazi ni kumpatia mahaba full full.

    • @heyumi2340
      @heyumi2340 Před 2 lety

      wanaume wenye dini wako wapi pombe tupu

    • @meandme3437
      @meandme3437 Před 2 lety

      @@heyumi2340 🤪🤪😬😬

    • @heyumi2340
      @heyumi2340 Před 2 lety

      @@meandme3437 😂😂😂😂😂na bangi halafu wao wanataka au wanaambiwa waoe wenye dini kweli dini na pombe wapi na bangi kuswali kwenyewe Ramadhani hadi Ramadhani ssa hivi misikiti iko full subiri iishe 😂😂😂😂😂swafu tatu

    • @meandme3437
      @meandme3437 Před 2 lety

      Msiba fauka muswiba.

    • @aasiyaasia338
      @aasiyaasia338 Před 2 lety

      Waweza kumpata wa hvyo lakin kutwa msktin hatoki kutafuta ridhki

  • @user-dp3cu8dv3y
    @user-dp3cu8dv3y Před 9 měsíci

    MàshaAllah jazakallahu khayr

  • @sharifshek7240
    @sharifshek7240 Před 2 lety +1

    Aslkm vp hali yako sheikh letu laukweli?alhmdllh mawaedha matamu sana mungu akupe umri mrefu uzidi kutuelimisha amiin..sasa niipi hukmu yamwanaume ambae mkewe yuwamtaka katika tendo la ndoa nayy hataki??yuwamkatalia?

  • @mahramarswad6041
    @mahramarswad6041 Před 2 lety +3

    Sasa vipi kuhusu wanawaje wanapowafanyia waume zao mazuri nahuku tunaitwa washenzi na huku twawapikia

  • @binthamoudshariff5492
    @binthamoudshariff5492 Před 2 lety +3

    Wallahi naam maneno kuntu👌

  • @shefumasanja-wn6lj
    @shefumasanja-wn6lj Před rokem

    Asante shekh othaman

  • @abubakarially059
    @abubakarially059 Před 2 lety +2

    Mashaallah💓

  • @jumamohammed1818
    @jumamohammed1818 Před rokem

    Masha Allah mawaiza mazur sanna tungepata namba yake kwakweli tunamaswala mengi kukuuliza

  • @halimasaid4977
    @halimasaid4977 Před 2 lety +1

    Shukran shekhe

  • @halimahalima1488
    @halimahalima1488 Před 2 lety +3

    MashaaAllah walhadulilah ❤️😘

    • @halimamnyati9311
      @halimamnyati9311 Před 2 lety

      Alhamdulilahi mawaidha mazr sn shee mungu akuzidishie inshaa allah

    • @halimahalima1488
      @halimahalima1488 Před 2 lety

      @@halimamnyati9311 amiiiin 👏 wajina wa mie

  • @yasminjuma9146
    @yasminjuma9146 Před 2 lety +1

    Allah barik

  • @karimukoriwa6520
    @karimukoriwa6520 Před rokem

    Hakika mwenyezi mungu ampe nuru

  • @rashidimatogwa-rr3rj
    @rashidimatogwa-rr3rj Před rokem

    Alláâh akuhifadhi

  • @heyumi2340
    @heyumi2340 Před 2 lety +1

    kwa hiyo wasiozaa wasiolewe duh mtihan maana kuna wanaume uwezo wa kumpa mimba hana na wanawake wapo hawana uzazi jee hawapaswi kuolewa na kuolewa ni lazima shekhe watoto ni mpka mungu atake

    • @Rydah389
      @Rydah389 Před 2 lety

      Nmekua na swali hilo ila mola ndo ajuae zaidi maana c maneno ya shekh hayo

    • @heyumi2340
      @heyumi2340 Před 2 lety

      @@Rydah389 pia kwenye kuridhika c mabikira pekee sasa hivi mabint wengi hawaridhiki kivyovyote aidha kipesa mpaka kimwili naweza kusema kuridhika inatengemea na mty mwenyewe tena binti usimwambie huna pesa ya kitu fulan atakuumbua ndugu ni kuomba ty umpate mwenza alokuwa mwema bac

    • @Rydah389
      @Rydah389 Před 2 lety

      Hii generation tulio sasa mambo yanaenda speed sana kila gender imejisahau....mola atufanyie wepesi tukae kwnye mipaka ya dini

  • @fitness8330
    @fitness8330 Před 2 lety

    Shukran sheikh

  • @AbdulazizJuma-qu2tk
    @AbdulazizJuma-qu2tk Před 9 měsíci

    mashallaH
    🕌

  • @mwerochindoro2910
    @mwerochindoro2910 Před 2 lety +2

    Assalaam aleikum warahmatullahi,, naomba mnijuze Ndungu zangu in Islam,,, niwakati gani unaofaa kustarehe na mkeo, katika Usiku WA Ramadhan? Swaum maqbul

    • @munirasuleiman2006
      @munirasuleiman2006 Před 2 lety +1

      Ikisomwa adhana tu hata kama wataka umfuturie yy ruksa hadi kabla ya adhana ya mwanzo aallahuaalam

    • @mwerochindoro2910
      @mwerochindoro2910 Před 2 lety

      MashAllah, Shukrani @ munira

    • @jamamvoni4053
      @jamamvoni4053 Před 2 lety

      Wee munira hhhhh daah

    • @sabraabdilnasir8826
      @sabraabdilnasir8826 Před 2 lety

      Visa nyie 🤣🤣

    • @AA-gt7bv
      @AA-gt7bv Před rokem

      Wakti wa usku na hatkama itawafikia asbh mnaog Josh alfu mnaendlea n funga mashallh

  • @kakamama5104
    @kakamama5104 Před 2 lety +1

    Mashallahحفظهلله

  • @kineromakame7295
    @kineromakame7295 Před rokem

    Alhamdulillah 😊

  • @hanaalsiabi2821
    @hanaalsiabi2821 Před rokem

    Mashaallah

  • @jumamohammed5378
    @jumamohammed5378 Před 2 lety

    mashaAllah

  • @Dasoor-tt3vf4dj8i
    @Dasoor-tt3vf4dj8i Před 6 měsíci

    Mbona wanaume wengi wamesoma dini ila wazifatilii wake zao uteseka kutwa nafamiliya kula kuvaa kulala kuu yote juu yamwanamke je awo wanaume wanayo yafanya nihaki?

  • @zubedahassan409
    @zubedahassan409 Před měsícem

    2024🙏

  • @basilkaslingi441
    @basilkaslingi441 Před 4 měsíci

    Kwa nini ndoa ya kwanza huwa na migogoro

  • @naimajeddara8687
    @naimajeddara8687 Před rokem

    ❤❤❤❤💖💖💖💖💯

  • @alawimkonga5557
    @alawimkonga5557 Před 2 lety

    INSHALLAH

  • @donitoalberto3154
    @donitoalberto3154 Před 2 lety

    Sheikh #Othman neste vídeo muito agressivo, será é por caso do assunto, meus irmãos constataram isto?

    • @AA-gt7bv
      @AA-gt7bv Před rokem

      Yeah!! Tumeliona mashallh❤

  • @CuteGirl-og2mr
    @CuteGirl-og2mr Před 3 měsíci

    Nini hukumu ya mwanaume kumhama mke wake chumba

  • @jumatandiko7597
    @jumatandiko7597 Před rokem

    Hachuji kwa kuwa sio mvivu wa kusoma,wengine wamechanganya na mambo yao ndio maana Mungu nae huwashusha

  • @abkhamsalshamte429
    @abkhamsalshamte429 Před rokem

    me juzi nilimuona na mvii nyingi, nilingia huzni kdg.

  • @mr.waziri9992
    @mr.waziri9992 Před 2 lety

    Hata kama anaziniwa nje, 😂

  • @ruznaabdullah2050
    @ruznaabdullah2050 Před rokem

    Nawale tusie zaa hatuta olewa na utajuaje kama nikfa

  • @omaraliy6144
    @omaraliy6144 Před 2 lety

    Assalam alykum. Ya lini haya mawaidha

    • @asiahamza9495
      @asiahamza9495 Před 2 lety

      Assallam alley kum, 6 days ago (Siku sita zilizopita).

  • @farris_2549
    @farris_2549 Před 2 měsíci

    🤌💚

  • @mallulu9086
    @mallulu9086 Před rokem

    Ya Arab tujalie mwisho mwema

  • @SA-xj8hc
    @SA-xj8hc Před 2 lety

    Usicheze na mwanamke, hebu muulize yeye mwenyewe Sheikh kashaoa akiacha wangapi?

  • @allyissa7163
    @allyissa7163 Před 2 lety +12

    Masha Allāah...Shkh Othman Maalim bado Wamoto... mawaidha mazuri alhamdulillah... shukran

  • @jimjam4148
    @jimjam4148 Před 2 lety +3

    MASHA ALLAH

  • @husnaibrahim2107
    @husnaibrahim2107 Před rokem

    Mashaallah darsa nzuriii

  • @saidkanda8870
    @saidkanda8870 Před 2 lety

    Mashaallah

  • @mwanamkasi5278
    @mwanamkasi5278 Před 2 lety

    Mashaallah