Nchama the best next mkali wa freestyle Tz country boy nae yupo vzr pia wengne wanarudia nyimbo zao tu stamina hawez freestyle in zero labda achane song zilizopita
Mleteni mwenye nundu lamistari, huwezi kujiita mjanja bila stamina. Tumechoka kuomba kilasiku, wengine wanafkiria mistari konye freestyle. Weka stamina mwenye pafu lambwa. Fid Q Killer Selementary 1incredible C boy Wengine kelele tu. Dulla leta STAMINA tumechokaaaaa
Sio lazima uende "off the top"....hata wahuni wote unaoskia wanaenda off the top sio kwamba wanarap hvyo muda wote.....huwa wanaingiza mistari walioandika......af wanamix na off the top.......ukisema wachane vitu vinatoka apoapo.......watakua wanastuck mara kwa mara,kufikiria rhymes......itakua mbaya. Cha msingi tuone ujuzi na ufundi wako wa mashairi na delivery...na pia usiimbe mistari ya nyimbo ambazo ushaandika,inakushushia point.......leta tu new dope intelligent rhymes.....
Nimekula country boy.........Mungu akuongoze na kipaji chako
Huyu mwamba sijui kwanini watz hawamuelewi Huku Kenya tunapenda nyimbo zake sana hapa nairobi
Nilikuwa namdharau,,,, kumbe ni fundi wa freestyle!!!! katishaaaa xaaanaaa
me namwita wiz gaddafii muuaji jiwe moja ndege4
baddest boy country wiz
this is real free style......xo mtu anakuja anaimba nymbo zake za zaman
Amin kaka
Country Boy kafnya freestyle iyo ndo freestyle so unakuja kuingiza nmistar yko mingine
iiiiiii huyu jamaa ni shida sasaa... new era of freestyle
Jamani mnatengeneza list zenyu msiysahau mbwelo wa jaymo,,
Yangu me hii hapa until now,
1.Gnako
2.Country
3.Killer
4.Incredible
5.Mentali
country boy n young killer n one incredible were the best sessions
Peter Steven baaa, babu weeee
Npangie apo who is number one.?
Country Boy umetisha mzee baba
nawasupport vijana wangu all the rappers ...nafatilia am at Qatar all the best....namtaka stamina kwenye kumi za maangamizi
Gaddafy uliua real freestyle
Country boy funika broh nakubali sana blood mi mwenyew napataman apoh
countrybouy unaweza kaka
lazima wataelewa country wizzy
mmmmh we ndo king
nakukubali mkaliiii umetisha my person
Nice one my nature
Hii nmekubali ila fanyeni mpango aje Stamina,Nchama the best au ht Songa
Nchama the best next mkali wa freestyle Tz country boy nae yupo vzr pia wengne wanarudia nyimbo zao tu stamina hawez freestyle in zero labda achane song zilizopita
Dah Nakukubaliiii mwanang
#mitaainamwitasnicth
Gaddaffi one more tym
Me nauliza hyo beat anayoanza nayo country ni ya ngoma gan?
mleteni NCHAMA THE BEST afunge mchezo apo
Gaddafi one more time.. jamaa anajua Free style hatar
Uchoshi Swag Master Mremba Beat
let's wait Chid benz
country boy nimetokea kukubali sana jmaaa....much respect
Hua nairudia sana hii ya country wizee
mleteni Mji kasoro,Stamina namuaminia sana hata akirudia mistari mchizi nuksi ajab..
Niki Mbishi,One The Incredible,Godzilla Aka Zilla! Finally ROMA the Catholic,The King Fid Q...The rest are just yapping
country boy yuko vizur anajua jammmaaa
Uyu n jini au mzimu wa rapp Walai country boy Kawa kalisha viaz wote,,
Country wizzy mnyama umetisha
wizzy on fire like @wizard wa Chelsea kweny rap
mdodoshe Nchama the Best
country wizeeeeeeehh!!! hatareeeeeh sanaaaaaaaah..tisha mnooo
young kilre hagusi moto huu
He kill it, #official_tella from somewhere in Tz
This Kid is GOOD.
noma sana country boy
Salute sana country wiz....wanao jiita mamc'z bora walud shule
Iko vizur
love from 254
Nomaaaaa
my top 4 ni hi hapa
1.youngkiller
2.selementary
3.one incredible
4.country wizzy
1.fid q
2.young killer
3.country boy
4.baghdad
5.chemical
Donald tarimo wee ni shabiki unayejua upo sawa kabisa kwenye hiyo list
The father 🙌🏆
country Wizzy top 4
safi country umeitendea haki
Next Ngwear ndo huyu
dogo katisha ht angepewa 20 angeua
nyc wizzy
Country ni homa ya jiji
Ninjaa
Aminia kaka
Jamaa anafanana xana na feruzi
Country wzy🔥🔥🔥🔥
Bora huyu kuliko yule wa YOYOO. Baghdad....
Bhagdad anauliza kama muda umeisha anarudia rudia verse overrated
Mleteni mwenye nundu lamistari, huwezi kujiita mjanja bila stamina.
Tumechoka kuomba kilasiku, wengine wanafkiria mistari konye freestyle.
Weka stamina mwenye pafu lambwa.
Fid Q
Killer
Selementary
1incredible
C boy
Wengine kelele tu.
Dulla leta STAMINA tumechokaaaaa
Freestyle n mistar y hapo hapo so ykutunga
Sio lazima uende "off the top"....hata wahuni wote unaoskia wanaenda off the top sio kwamba wanarap hvyo muda wote.....huwa wanaingiza mistari walioandika......af wanamix na off the top.......ukisema wachane vitu vinatoka apoapo.......watakua wanastuck mara kwa mara,kufikiria rhymes......itakua mbaya.
Cha msingi tuone ujuzi na ufundi wako wa mashairi na delivery...na pia usiimbe mistari ya nyimbo ambazo ushaandika,inakushushia point.......leta tu new dope intelligent rhymes.....
Wote wanajaribu...Muiteni stamina msikie mistar ya hatareee
1. selementary
2. one the incredible
3. chemical
4. young killa
5. country
6. fid Q
oyaa jamani hamsikiii tuleteeni staminaa
killed brooooooooooooooooooooooooooooooooooo
aa .aa.aa.huyu ndio rapper no 1.
Toto limajua linachokifanya ila mleteni NCHAMA THE BESTt aje awaonyeshe mitindo huru najua ata stamina akija apo ataimba nyimbo zake
Hot this
Hamna kazi
mzee baba
Wangekupa dakika 40 aiseeeee 😃
Hii ndio free style Sasa sio kurudia nyimbo ulizoziimba kama vile hauna flow
nikiwa na nywere kosa najifanya rasi/nikiwa na upara oya unamcopy 2pac.. hahahaa u kill'em meeen no#1
Nashuar wasiwe wanaimba Verse zai walete mpy bwan sisi hatutak kuskia ya zaman
Baada ya zillah huyu ndo anafata
Mwaipaja Joseph Fadhili_mwaipaja ata mdada chemical anaingia baada ya ichi kichwa wengine wanarudia mistar yao tu Viva Zilla
100% country
We save record
Uko sipidi kuliko ngoma
poa sana umeua wee ndio rapa
Duh katika top 5 yangu ya waliotisha haukosi, sikujua kama uko vizuri hivi kwenye freestyle
1 country boy
2 country boy
3 country boy
3 country boy
5 country boy
Nice Gadaffi
this is a man
sijaona bado country bado una mziki wa studio
1} Young killer 2} Stamina 3} Country Wizzy 4} Nikki mbish
top 3 he spit a freestyle off the dome at the end
duuuh gadafii noumah
Noma
bongo Bahati mbaya 😂😂😂😂 So Young D Kaiba Kichwa Hapa
Country wizzy
1.G.nako.
2.country wizeeeh.
3.young killer.
........................
young dee young daresalama he is my best
in this young generation
fire
1)fid q
2)stamina
3)nick mbishi
4)Dogo dee
5)Young killer
da aaaa huyujamaa nimemnyooshea mkono nami guu
Nomah
Country ni shenzi
Wanangu nisaidie beat aliyoanza nayo country ni ngoma gan?
Msaaada wa ngoma anzi 8: 50
next time "mkristo"
Country boy