1) Hidary scoda_kafreestyle sana alaf zimeeleweka 2) Climax bibo_kafreestyle sana alafu hajategea 3) Selementally_katisha sana kwenye ile Sele Anakosea na kuRequest ngoma pia freestyle 4) King zillah_tushamzoea kwenye freestyle katishaaa 5) wengine mizinguo tu has a young tuso amefanya wiki hii tuione ndefu
1:Godzilla nomaaa sanaa 2:nahisi kati ya Scoda au Bibo 3:Incredible 4:wengne wasenge tu tu.... Kumbe mastaa hawawez dakika 10,,nimeamin aseee..labda kumtoa Godzilla is th king
wee huyu ndio no. 1 kwa wote waliowahi kuchana dk.10 mwanzo hajategea ht chembe kila sekunde na vina ...mpk 10 zmetimia ......climax bibo......We hatar sn
1. climax 2. scoda 3. selementary 4. one the incredible 5. chemical scoda kapumzika mahali kidogo baada ya kusema yeaaa yeaaaa asante sana sama, but huyu climax mwanzo mwisho kaflow mbaya bila kukata pumzi, huyu ni best sana
Dah ebana, bibo uko vizurii mpka unaboa 👏👏👏 hamna kawa wewe mpka sasa,,,,Hidary was my first lakini wewe dah 👏👏☝☝☝👆 MoKo itakufaa mzee baba, big up sana bwoY. Nategemea kuona vitu vingine mzee,Big up mkali wangu #sign out
ila climax bibo alipania daaah mpuuzi hajahema kwa dakika 11 na sekunde kadhaa kubababae hakuna cha yo yo yo wala nini ni punch after punch WAACHE KUTULETEA MC'S AMBAO HAWAKO SERIOUS MBELE YA MIC TUNATAKA HASIRA KA HIZI JEMBE KANYOOOSHA
Deeeeeeeeeeam ebhana katika dakika 10 sa maangamizi huyu BIbo ndio msanii wa kwanza kuzitumia ipasavyo . Yani mpaka dakika zinaisha msela bado ana mzuka na mafini kuendelea. Hana yow yow nyingi ni kutiririka tu mwanzo wa dakika mpka mwisho. Kunautofauti mkubwa na wasanii wengine walioshindwa kuzitendea haki 10 min
kwa tyunao fahamu misingi ya hiphop ,, huyu mxhikaji BIBO anaweza
1) Hidary scoda_kafreestyle sana alaf zimeeleweka
2) Climax bibo_kafreestyle sana alafu hajategea
3) Selementally_katisha sana kwenye ile Sele Anakosea na kuRequest ngoma pia freestyle
4) King zillah_tushamzoea kwenye freestyle katishaaa
5) wengine mizinguo tu has a young tuso amefanya wiki hii tuione ndefu
1:Godzilla nomaaa sanaa
2:nahisi kati ya Scoda au Bibo
3:Incredible
4:wengne wasenge tu tu....
Kumbe mastaa hawawez dakika 10,,nimeamin aseee..labda kumtoa Godzilla is th king
climax bibo ni noma sana, jamaa full mizuka full pumzi. Hao wengne wajipange coz kazi bado nzito
unapoongelea 10 za maangamiz tunamaanisha vtu kama ivi..Bibo katisha sana...nmeona kweli mexicana klkuwa na vpaji asee...Ila Baghdad ubonge ulipotea na mistar nayo ikaisha
daa kweel bagdad kbonge n noma
yeah asee..ila hidary scoda alifunika mbaya..afu naona superstars wanazngua..awa jamaa wapo chini chini Ila wana madin kinouma
+ABACY GIDION ebhana watyu wanajua co wengne wanaforce vipaji,kwann uckae utulie uwaache wanaojua watucue???
Jack Jose hawa Nouma thanaa big up climax
pamoja Abbas gidion..tuko pamoja,,embu tusubl jtatu tuone watamleta nani..
Biboooooo rastaaa
mamaee mother fanta asante kaka climax bibo
Climax ni shida
ilike dat ..mzuka mwingi biboo...gud umechangamsha sana
Bibo ndugu yangu @uje ufuturu kwanza @Dullah pyee pyeee kwa Summer kamuweza kijana wetu....Tishaa sana Bro.
toka nianze kuangali 10 za maangamizi hapa mwisho umefanya nione nakumis vitu vyenu mixcana lakavela ooooooooi
Climax Bbo 100%
Big up mwamba unajua kinyamaa
1.climax bibo
2.scoda
umetisha mbaya
wee huyu ndio no. 1 kwa wote waliowahi kuchana dk.10 mwanzo hajategea ht chembe kila sekunde na vina ...mpk 10 zmetimia ......climax bibo......We hatar sn
1. Scoda 2.bibo 3.Chemical 4.Selementary 5. incredible kabak b boy stereo
Jamaa amesahau kupumua huyo duuuuu amaaaa sio mtu huyu.....
nashukulu kwa kubaliana na ombi langu...gud aisee
huyu jamaaa ni nomaa tunataka watu kama hawa co mastaaa yoyoo nyingiiiiiiii
Daaanh mamamaamamammamamaaaaaeeeee shikamooo sio shka mb#0 Climax umetisha san mzaz
Moto sana huyu jmaa bibooo
Huyu msenge kumamae anajua Sana hadi anaboa kudadeki zake nampa asilimia 200
Duuh! Mexicana kumbe iliku na vichwa hatar sana. Salute sana Bibo nakuelewa kitambo kwa freestyle toka ulipompoteza Bhagdad pale Clouds...
Mwanangu wewe kipengele Hatarii sana Dingi
Umetisha sanaa bro
Climax bibo bibo la michano naweza chana flo flo naweza chana slow slow 👐👐👐
1 scoda
2 bibo
3sele
ila bibo huu msiba ulio ufanya leo ni noumaa mzee baba
Boi mwenye uwezo ulokosekana mfano
umetisha sanaa climax
climax bibo kichefuchefu tena umeuwa mzeebaba
duuuh....kali sanaa biboo
safi sana nakubal umefunika matoz kibao yan walkuja apo kuuza sura
Bibo konzi ganzi la michano #KICHEFUCHEFU michano bila yooh yoooohh
yessssssssss nimekubali man
#Dullah *Lete watu kama hawa bhn* dah uyu jamaaaa
Duuuuh dula asee uyo jamaa arudie show kisha mumpe dakika 20 plz anavitu ving hatujaviskia
hawa washkaji wa mexcanal cavela wanajambo cbureeeeee climax bibo na hidary scoda wako vizuri Ku freestyle
ebwana eheeee anaweza tena sana tu naameonesha mauwezoooo
hapana...bado sijaona wa kumpita huyu jamaa..bibooo
Hakuna cha killer wala incrnble kuludia mistali Co Inxhu freestyle kali itabak kw zillah
1.haidary scoda 2.bibo 3.selementally 4.Godzilla mexicana lacavela ni hatarious nyngne
hiyo list nimeielewa saaaana
Climax bibooo mzee wa karata
video hii sikuiona aisee lakini hii ndo bora zaidi ya zote za maangamizi ,ukweli ndo huo
1. climax
2. scoda
3. selementary
4. one the incredible
5. chemical scoda kapumzika mahali kidogo baada ya kusema yeaaa yeaaaa asante sana sama, but huyu climax mwanzo mwisho kaflow mbaya bila kukata pumzi, huyu ni best sana
moto wa jehanamu. tisha sana
Dah ebana, bibo uko vizurii mpka unaboa 👏👏👏 hamna kawa wewe mpka sasa,,,,Hidary was my first lakini wewe dah 👏👏☝☝☝👆 MoKo itakufaa mzee baba, big up sana bwoY. Nategemea kuona vitu vingine mzee,Big up mkali wangu #sign out
mleten Nchama the best
scoda fundi🙌
bibo on fire like Cr7
Baddest
safi climax uko vizur
1.Haidary scoda
2.selementary
3.climax bibo
4.one the incredible
5.Godzila
mleteniSTEREO tuone moto
yep hupoo xahii ,, huyu jamaa kachukuwa nafaci ya young killa,, caca tyunapo kwenda god zilla ataondoka 5 bola,, maana nick mbixh kaixha,, ondoka
Elifazi mtwale nakubaliana nawe,
Wamlete pia Stereo au Cliff mitindo tuone ufundi mpya
ila climax bibo alipania daaah mpuuzi hajahema kwa dakika 11 na sekunde kadhaa kubababae hakuna cha yo yo yo wala nini ni punch after punch WAACHE KUTULETEA MC'S AMBAO HAWAKO SERIOUS MBELE YA MIC TUNATAKA HASIRA KA HIZI JEMBE KANYOOOSHA
Gyseven George umenena
nxt level
Heeeeh climax kameza kamusi nn umetisha mzee
Salute biboooo
far kiukwel nime enjoy xnaa ahaha Bibo unajua bro hzo ndo 10 za maangamizi
Tisha sana mzee, kweli ulikuja kwa ajili ya kazi
A.K.A new kaobama in town
Leo mmeskia ombi langu
Shukran
Ebana e3e3ee umetisha sana bibo
noma sana mkali
1:sele $:scoda .... 2:bibo 3:zilaaa 4: young killer 5:chemical
Yaan hapa kwa bibo sio tabu kumaliza mb ila Kuna marapa wengne ukiwaangalia unajutia
Bibo htr foko foko flow
moja moja hiyo ila umepozaaa kinoumaaa
BIBO katsha xana mzeeee,, ananpenda haambiliki😁😁😁💯🆙
Godzilla ameoga kwa uyu jamaa. Bibo anaweza bila kubaguwa, i think he is da Freestyle king in Tz
watu Kama hawa ndo wanaleta radha za kumi za maangamizi
umetisha bibo 100%
Sana alex
1.one the incredible
2.Hidary scoda
3.God zilla
4.young killar
5.Bibo climax
its just my ghetto point of view
scoda
boshoo
climax noma sana bro..#Overdoz_Kenya
Mkalisana kwa promo wanatamba wao kwa uwezo wamezidiwa
Mzee baba umetisha Sana. salute BIBOO
climax bibo ndo namba moja huyu jamaa katumia dk 10 perfectly
katsha sana jamaa.. #1 inamuhusu
bibo Umetisha kama Chidi Benz Mwana
bibo ahaaaa xaf xana nimekubal
Aaa uyu jamaa jinii
bibo umekalisha watoto wa mama%%
jamaa katisha duh utasema hapumui @respect kwa @bibo
am in canada and I cnt speak swahili but uyu jamaaa kakamua kinoma kavunja ya kaharibu ni mdudu asee....biboo umeumizaaaa...u knw dat so
nakubali
Yuko vizuri sio kitoto.... Big up kwake
bibo lamizuka hakuna bibo htaliiiiiii msijaribu
Brother katishaaaaa
salute Ma brother nakubar
climax Bibo a.k.a mapafu ya mbwa. noma mzee, yani hizo flow zako pumzi naishiwa mimi 😀😀😀
ohy ohy ohy mzuka mwingi mwana
1.Biboo
2.Haidary Scoda
3.Selementaly
kwahyo ndugu yetu chemical mnamuwekakundi gan?
Chemical?? Haaa
1)biboo
2)scoda
3)selementaliiiiii
hapa Hi ndo hip hop Free style hataliiii
safi
noumaaaah aseee
dah! climax hukunipa hata sekunde 1 ya kupumzika.heheh
Ha ha ha
huyu jamaa sijui kaibukia wapi daaa katisha mpaka basi
dullah eeh hawa jamaa maxcanal wameuwa namuomba stereo mzee kwa maangamizi tuone kama ataumiza hizo biti za sama
Deeeeeeeeeeam ebhana katika dakika 10 sa maangamizi huyu BIbo ndio msanii wa kwanza kuzitumia ipasavyo . Yani mpaka dakika zinaisha msela bado ana mzuka na mafini kuendelea. Hana yow yow nyingi ni kutiririka tu mwanzo wa dakika mpka mwisho. Kunautofauti mkubwa na wasanii wengine walioshindwa kuzitendea haki 10 min
dyuuu atariiii
great
huyu Bibo wa Ujuzi ??? ongera sana Bibo!!
nakupa 100%
ametsha sanaaa
Godzillah
Na Ngwair
Bibo
Nchama
Scoda
Nimegundua mastaa kichefu chefu tuleteeni watu kama hawa,1Scoda ,2Bibo,3Sele
🔥🔥🔥
wamlete chidy Benz ndo mtaelewa free style