"JESHI KAENI TAYARI KWA LOLOTE LITAKALOJITOKEZA KWENYE UCHAGUZI MKUU" - RAIS SAMIA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 21. 01. 2024
  • www.youtube.com/@Wasafi_Media...
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • Zábava

Komentáře • 38

  • @Rangoboytz2023
    @Rangoboytz2023 Před 5 měsíci +1

    Unaogop nn mama wakat hii nchi ya amani ...kama huwezi kutuongoza ondoka akae MAKONDA. FOR EVERY BODY🎉🎉🎉

  • @gusaunasesospiter5230
    @gusaunasesospiter5230 Před 5 měsíci +9

    Hahaha apo sijamuelewa yani manake hajikubali Mimi kura yangu na familia yangu hautaiona Bora nichague ripumba

  • @hamidumpiga6283
    @hamidumpiga6283 Před 4 měsíci

    Uko sawa

  • @rogathesarwatt
    @rogathesarwatt Před 5 měsíci +7

    Kwamba Ukishindwa uchaguzi jishi likusaidie au

  • @KarimKombo-wc1vp
    @KarimKombo-wc1vp Před 5 měsíci +6

    😂😂😂😂😂 Kwetumwanamke hajawahi kuongoza hata mbuzi kwenda kuchunga hii nchi bado sielew kwakweli

  • @seneu.2128
    @seneu.2128 Před 5 měsíci +2

    Yaani umehaidi vyeo wanajeshi alafu nawewe ukaomba wakusaidie kwenye uchaguzi upite bwerere 🙆 maana hakuna cha usalama lengo nikuwatumia tuu waharibu uchanguzi hii haijakaa sawa.

  • @emmanueltillya8719
    @emmanueltillya8719 Před 5 měsíci +4

    Kazi ya jeshi ni kulinda mipaka ya nchi au kusimamia uchaguzi?

  • @David-if6nk
    @David-if6nk Před 5 měsíci +1

    Hahahhaah mama amepania uchaguzi na vile ànajua hakubaliki tutaona mengi

  • @geraldluiso6792
    @geraldluiso6792 Před 5 měsíci +1

    Think critically

  • @JonasGeorge-zo1ut
    @JonasGeorge-zo1ut Před 5 měsíci +2

    Kampikie mmeo mageto😢

  • @VenanceSoka-mb1hz
    @VenanceSoka-mb1hz Před 5 měsíci +4

    unawaongaa

  • @gusaunasesospiter5230
    @gusaunasesospiter5230 Před 5 měsíci +4

    Hajiamini yan😅😅

  • @ga2revocatus91
    @ga2revocatus91 Před 5 měsíci +2

    Haaaaaahhhhmm Unajalibu kuliandaa likusaidieee wewe hunajipyaaaa Time will tell ___Uchaguzi wahaki niku bet Hatajeshi limesha choka kuperekeshwaaa Nimesomea saikologia ko tayali majibu nimesha yapataaaaa

  • @afredyohana356
    @afredyohana356 Před 5 měsíci +1

    Ira Mimi cjamuelewa kabisaaaa Nini kusudio kusema hivi

  • @mobeshmassay1220
    @mobeshmassay1220 Před 5 měsíci

    Mmmh

  • @beautywithnay5974
    @beautywithnay5974 Před 5 měsíci +3

    Mmh 🤔🤔🤔🤔🤔🫢🫢🫢

  • @Double.B696
    @Double.B696 Před 5 měsíci +1

    Nifundishe kunyamaza

  • @davidpeter8099
    @davidpeter8099 Před 5 měsíci +5

    Bado hujasema na utasema

  • @user-sw1zm3sq2y
    @user-sw1zm3sq2y Před 5 měsíci +1

    Mda utaongea tunaisubiri hiyo ,

  • @user-ez7lk3it5s
    @user-ez7lk3it5s Před 5 měsíci

    Tusaidie.jeshi.rakiba.mama.nasi.tuwe.kama.wengine.

  • @raulnassor5761
    @raulnassor5761 Před 5 měsíci

    Mama vp Tena?

  • @jeryjery8566
    @jeryjery8566 Před 5 měsíci +1

    😂😂 ccm bila jeshi hamtoboi 🤣 Tanzania inaitaji katiba mpya vitu Kama hivi visingeonekana

  • @hamidumpiga6283
    @hamidumpiga6283 Před 4 měsíci

    Watu wanaleta udini na ili tunaliona kila mala

  • @user-ro4nu4kj4n
    @user-ro4nu4kj4n Před 5 měsíci +1

    Samia kaishiwa mbinu ndio maana anaomba msaada inchi imekushinda kalime karafu

  • @maternmkomange5389
    @maternmkomange5389 Před 5 měsíci +1

    Du!Nilijua Kuna wavimizi ...Kwani police wetu hawapo jamani au sijamuelewa vizuri? Maana labda kasema jeshi lapolisi au jeshi lipi ?Hilo ambalo linalida nchi namipaka mboka wanakazi kubwa sana hao waachwe jamani polec tu wataangalia usalama wandani mbona waliwezaga siku zote

  • @hamidumpiga6283
    @hamidumpiga6283 Před 4 měsíci +1

    Sio ote wajinga kwa uyu mama nakura atapata nyingi tu

  • @user-kc1qy4qx7i
    @user-kc1qy4qx7i Před 5 měsíci

    Hauna jipya inchiiiii imekushinda nenda zenji hko laana ya magi itawatafuna

    • @hbtv4169
      @hbtv4169 Před 5 měsíci

      Wewe pia umelaaniwa maan unaona wivu sana mzanzibar kuwa rais wa jamuhuri ya muunguno wa tanzania kuwa ww basi raisii khanisiui mmoja ww. SAMIA MADARAKANI MPKA 2035

    • @user-kc1qy4qx7i
      @user-kc1qy4qx7i Před 5 měsíci

      Kwe2 mwanamke hajawahi hta kufungulia kuku unaemsapoti haujielew

    • @hbtv4169
      @hbtv4169 Před 5 měsíci

      Ndo kwenu wewe hii nchii si ya wazee yako kma humpendii wewe tu mungu tayari ashamfungulia wakati wa magufulii ushapita sasa mda wa samia mda wa zanzibar kma magufulia amepeleka kila kitu chato na samia wacha alete kila kitu zanzibar na wewe ukifika mda wako utapeleka kwenu

  • @feliciankasaga9349
    @feliciankasaga9349 Před 5 měsíci

    Marais mpo wangapi jaman mbona kuna tuchanganya wewe SAMIA unatoa amri kwa JW na CHARAMIRA nae anatoa amri kwa JW kwamba th 24 mwezi huu wakazowe mavi na Makopo kwenye mitaro je hapo kwa kauli zenu nani mkuu wa nchi hii wewe SAMIA au charamila?