"JESHI KAENI TAYARI KWA LOLOTE LITAKALOJITOKEZA KWENYE UCHAGUZI MKUU" - RAIS SAMIA
Vložit
- čas přidán 21. 01. 2024
- www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm - Zábava
Unaogop nn mama wakat hii nchi ya amani ...kama huwezi kutuongoza ondoka akae MAKONDA. FOR EVERY BODY🎉🎉🎉
Hahaha apo sijamuelewa yani manake hajikubali Mimi kura yangu na familia yangu hautaiona Bora nichague ripumba
Uko sawa
Kwamba Ukishindwa uchaguzi jishi likusaidie au
Ndomaana yake😅
😂😂😂😂😂 Kwetumwanamke hajawahi kuongoza hata mbuzi kwenda kuchunga hii nchi bado sielew kwakweli
Mungu anawaona pumbavu zao
😅
Yaani umehaidi vyeo wanajeshi alafu nawewe ukaomba wakusaidie kwenye uchaguzi upite bwerere 🙆 maana hakuna cha usalama lengo nikuwatumia tuu waharibu uchanguzi hii haijakaa sawa.
Kazi ya jeshi ni kulinda mipaka ya nchi au kusimamia uchaguzi?
Hahahhaah mama amepania uchaguzi na vile ànajua hakubaliki tutaona mengi
Think critically
Kampikie mmeo mageto😢
unawaongaa
😂
Hajiamini yan😅😅
😅
Haaaaaahhhhmm Unajalibu kuliandaa likusaidieee wewe hunajipyaaaa Time will tell ___Uchaguzi wahaki niku bet Hatajeshi limesha choka kuperekeshwaaa Nimesomea saikologia ko tayali majibu nimesha yapataaaaa
Ira Mimi cjamuelewa kabisaaaa Nini kusudio kusema hivi
Mmmh
Mmh 🤔🤔🤔🤔🤔🫢🫢🫢
Nifundishe kunyamaza
Bado hujasema na utasema
Mda utaongea tunaisubiri hiyo ,
Tusaidie.jeshi.rakiba.mama.nasi.tuwe.kama.wengine.
Mama vp Tena?
😂😂 ccm bila jeshi hamtoboi 🤣 Tanzania inaitaji katiba mpya vitu Kama hivi visingeonekana
Watu wanaleta udini na ili tunaliona kila mala
Samia kaishiwa mbinu ndio maana anaomba msaada inchi imekushinda kalime karafu
Du!Nilijua Kuna wavimizi ...Kwani police wetu hawapo jamani au sijamuelewa vizuri? Maana labda kasema jeshi lapolisi au jeshi lipi ?Hilo ambalo linalida nchi namipaka mboka wanakazi kubwa sana hao waachwe jamani polec tu wataangalia usalama wandani mbona waliwezaga siku zote
Katoka usingizin
Labda ameona wanaonewa wakazidiwa
Sio ote wajinga kwa uyu mama nakura atapata nyingi tu
Hauna jipya inchiiiii imekushinda nenda zenji hko laana ya magi itawatafuna
Wewe pia umelaaniwa maan unaona wivu sana mzanzibar kuwa rais wa jamuhuri ya muunguno wa tanzania kuwa ww basi raisii khanisiui mmoja ww. SAMIA MADARAKANI MPKA 2035
Kwe2 mwanamke hajawahi hta kufungulia kuku unaemsapoti haujielew
Ndo kwenu wewe hii nchii si ya wazee yako kma humpendii wewe tu mungu tayari ashamfungulia wakati wa magufulii ushapita sasa mda wa samia mda wa zanzibar kma magufulia amepeleka kila kitu chato na samia wacha alete kila kitu zanzibar na wewe ukifika mda wako utapeleka kwenu
Marais mpo wangapi jaman mbona kuna tuchanganya wewe SAMIA unatoa amri kwa JW na CHARAMIRA nae anatoa amri kwa JW kwamba th 24 mwezi huu wakazowe mavi na Makopo kwenye mitaro je hapo kwa kauli zenu nani mkuu wa nchi hii wewe SAMIA au charamila?