RAIS SAMIA NA RAIS NYUSI WAKIZUNGUMZA NA WAANDISHI WA HABARI, IKULU DAR ES SALAAM

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 1. 07. 2024
  • Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan na Rais wa Jamhuri ya Msumbiji Mhe. Filipe Jacinto Nyusi Wakizungumza na Waandishi wa Habari, leo tarehe 02 Juni, 2024 Ikulu Dar es Salaam. Rais Nyusi yuko nchini kwa Ziara ya Kiserikali.

Komentáře • 3

  • @SALOMELAZARO-l4e
    @SALOMELAZARO-l4e Před 23 dny

    Hongeni sana hongera kwa rais wetu, Hongereni kwa maonyesho hayo na ushirikiano huu. Mungu ibariki Tanzania

  • @masagapaul5039
    @masagapaul5039 Před 24 dny

    Hongera mama yetu Kwa mashikiano mema na Mozambique ❤