Mimi sio Mroman Catholic lakini nikisikiliza huu wimbo Kuna mambo hunitokea Kwanza huwa najiona Kama Niko na malaika Angani, pili huwa nauona ukuu wa Mungu kwelikweli, tatu huwa natafakari maisha yangu na njia Zangu. Nne huwa natamani kwaya nyingi ziimbe kwa utakatifu namna hii. Mwisho nazidi kuwaombea Mungu watungaji wa nyimbo za namna hii
Be blessed for your words. Mimi pia sio mkatoliki ni mlutheri ila nikiusikiliza huu wimbo natafakari mbali sana kiasi naona hatuna budi kuiga mazuri kama haya.
I'm a Lutheran but I'm blessed so much by this song. I'm not tired of playing it time after time. The harmony is so spiritual. I feel so blessed, so close to God, so encouraged, so glorious.
Wimbo huu huwa nani bariki kila ninapo usikia, pia unanitia ngufu ya roho na matumaini kwa Mungu wetu. Mubarikiwe waimbaji nahasa mtunzi abarikiwe milele 👏
04/2019"nguvu ya mungu ipo Acha wanaobeza..yanantoka ma chozi nikiskliza hii nyimbo😢😢😢😢😢nakumbuka mungu amentendea makubwa..ilipaa sala yang ikaskika😢😢😢😢😢😢😭
I first listened to this hymmn 13 years ago in this same Church. My priest friends Fr. Francis Magala, Fr. Kavindi, Fr. Gaudence Ambwene, Fr. Sichila, Fr. Adolf Minga and so many others hosted us. Quite nostalgic ❣❣❣❣❣
Anaeitazama hii nyimbo 2024 nipe like twende sawa
Mimi sio Mroman Catholic lakini nikisikiliza huu wimbo Kuna mambo hunitokea Kwanza huwa najiona Kama Niko na malaika Angani, pili huwa nauona ukuu wa Mungu kwelikweli, tatu huwa natafakari maisha yangu na njia Zangu. Nne huwa natamani kwaya nyingi ziimbe kwa utakatifu namna hii. Mwisho nazidi kuwaombea Mungu watungaji wa nyimbo za namna hii
Be blessed for your words. Mimi pia sio mkatoliki ni mlutheri ila nikiusikiliza huu wimbo natafakari mbali sana kiasi naona hatuna budi kuiga mazuri kama haya.
Anaeitizama hii nyimbo mwaka huu 2020 anipe like tuende sawa 😋
Pamoja
@@josephwambadi1069 💪
Sala yangu ipae mbele yako bwana+2 kama moshi wa ubani artaleni na kuinuliwa kwa mikono yangu iwe kama sadaka ya jioni from burundi 🇧🇮❤❤
I'm proud to be a Catholic
I'm a Lutheran but I'm blessed so much by this song. I'm not tired of playing it time after time. The harmony is so spiritual. I feel so blessed, so close to God, so encouraged, so glorious.
Amen
Ahsante wimbo mzuri barikiwa sanaa
wakatoriki wote tumtumainie mungu kilawakat
Mungu awabariki sana mwendelee kutuimbia nyimbo nzuri.
Wow! Nice song, sala yangu ipae mbele yako Baba kama moshi wa ubani,, Amina🙏🙏.
À santini sanas kwa wimbo huo, kila siku nikiwa nikisikia kanda hii..roho yangu IME jaa furaha kubwa sana mubarikwiwe sana
Hajihisi karibu sana na mungu nikiiskiza wimbo huu..mungu awabariki
I love this song especially during adoration
Huwa nafarijika sana .Yaani mbarikiwe sana kwa hii kazi ya Mungu mnayoinjilisha.
Asanteni kwa Wimbo mzuri, uimbwapo huwa nasahau magumu yanayonisonga.
Naipend sana nyimbo.hii
Amina mbarikiwe sana waimbaji wetu kwa nyimbo nzuri ya kupendeza mbarikiwe sana
Mungu atukuzwe daima milele
nice song ,motivating and encouraging..... good work.....
Mungu awabarik Sana huu wimbo unavuta sana hisia yaan unajiskia as if upo mbingun vile
Shukurani ziwafikie wanakwaya wote pia namtunzi wa wimbo huu kweli nikarama uliyo pewa na mwenyezi mungu bwana nimwema kila wakati
Sala yangu ipae mbele yako Bwana milele
Hongera sana mtunzi wimbo wako unawabariki watu kila kona ya Tanzania
Am blessed with this good song. Unaniweka ktk uwepo wa Mungu zaidi.
Wimbo huu hutuliza nafsi yangu kila niusikiapo. Mungu awabariki kwa kazi nzuri ya uinjilishaji. Kuimba ni kusali mara mbili
praying together
Eveline Nguma n nzuri sana atse
Mimi si mukatoliki lakini wimbo huu unipandisha nafisi zangu number ha mtungaji nani anazo?
Mimi vivyo hivyo
Utunzi mzuri, niimbapo wimbo huu hujisikia us ushindi katika sadaka ya yesu msalabani
Waimbaji wanyimbo za dini tusijifanye kama wabongo fleva tuache kujilemba na kuvaa nguo za wazi jaman tuwe na hofu ya MUNGU
Revocatus Mjuni
Kweli
Nabarikiwa sana na huu wimbo ,asante Bwana yesu😢
hongereni mnao msifu bwana ingawa uimbaji wa kwaya zetu wakatoriki unatofautiana Sana kati ya kwaya mouse na nyingine
Wimbo huu huwa nani bariki kila ninapo usikia, pia unanitia ngufu ya roho na matumaini kwa Mungu wetu. Mubarikiwe waimbaji nahasa mtunzi abarikiwe milele 👏
Amina 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏
wimbo mzuri sana. hongera kwa waimbaji pia
Brings tears to my eyes everytime!!!!!!!!
Mwenyezi Mungu nakuomba wimbo huu uzidi kuimarisha imani yangu na wakristo wenzangu pia
Iwe Kama sadaka ya jioni kweli❤️
04/2019"nguvu ya mungu ipo Acha wanaobeza..yanantoka ma chozi nikiskliza hii nyimbo😢😢😢😢😢nakumbuka mungu amentendea makubwa..ilipaa sala yang ikaskika😢😢😢😢😢😢😭
Barnaba Semboj kumbe huwa siko peke yangu
itàbidi tuoane2😢😢
Adopted this song as a conclusion to my evening prayers!
Amina sana
nabarikiw sana na huu wimbo.MUNGU azidi kutubariki
the harmony in the voices and the humility that comes out, is out of this world
Wimbo usiochuja.naupenda sana
Amina nasikia Furaha sana kwa nyimbo hizi
I normally feels like angels are taking me over the sky when listening this song...Really God bless you
Kilian Ngailo wow this song is always present ever
Such a very touching and encouraging song
Likewise
@@berthadaniel5864 Amina sana
@@allankamug5288 m
Nabarikiwa sana nikisikiliza huu wimbo
Ujumbe mzuri sana nimebarikiwa
prayerful song.... impressive
Nafarjka sana kumwimbia mungu! Waimbaji wrote mtakaswe kwa damu ya yesu; AMINA
Aminaaa
Josephat Ngusa na ubarikiwe
Mungu awaongezee imani kwaya hii iwe namshikamano waimbe vizuru zaidi
Mbarikiwe sana sana waimbaji wote mmeimba vizuri sana
December 2019 nausikiliza unanifariji asante Yesu
like angels taking me into heaven..we are blessed
Wow I like this song. God bless the choir.
And may the Good LORD keep receiving our petitions and grant us all we ask of him according to his will🙏🙏
I first listened to this hymmn 13 years ago in this same Church. My priest friends Fr. Francis Magala, Fr. Kavindi, Fr. Gaudence Ambwene, Fr. Sichila, Fr. Adolf Minga and so many others hosted us. Quite nostalgic ❣❣❣❣❣
I love this song ❤
2021? Tumsifu Yesu Kristu🙏🏾 Tusalini sana🙏🏾
mungu tubariki wakatoliki
Napockilza nyimbo zetu roman nafarijika sana Mungu awabariki kwa sauti na nyimbo nzuri
Wimbo mzuri sana hongereni sana
i feel like jesus is washing away my sins
Mungu awabariki sana waimbaji.Amina
Naipenda sana nyimbohii
The song is powerful, the harmony is so spiritual.
Nimebarikiwa najivunia kuwa mkatoriki
Reonola Mgeni sawaa lakini kuwa makini
nice song all the our prayers shall be conveyed through songs
safi
mbarikiwe sana waimbaji
Still watching 2020 who is here?
Nyimbo zetu wakatoriki ni mzuri sana mungu awaongozee kwa utumishi wenu
It blesses my soul and God bless it.
Mbarikiwe sana wapendwa. wimbo nzuri mno.
Mungu atawalipa ayo mnayofanya ongaleni sana
nyimbo hizi ziko sawa kabisa
Amina nabalikiwa xana
nyimbo nzuri sana,imeimbwa kwa hisia Kali sana
Naupenda sana huu wimbo
Unagusa moyo
Jamani nabarikiwa na huu wimbo
I remember singing this song when in school
Amina 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏
Nice song God bless them
Mungu awabariki sana.
Mungu awabariki sana, wimbo mzuri
glory be to our Almighty heavenly Father.
Hongereni
Prayer song so nice
Najivujia kuwa mkatoliki kupitia wimbo huu
Mwacheni MUNGU aitwe MUNGU
Mungu ndie mungu wala hapa mwingine kama yeye ndie muweza wa yote
Pauline Vinc
ent
hiii nyimbo hunitia nguvu ya pekee kila ninapoisikia!
wimbo huu huniingia kiiman san
wimbo mzuri sana
Hongereni wimbo unagusa mioyo!
Pius Ruhiza
Kweli kabisa
kwel kabsa sala zetu zpae mbele yake muumba wetu kama moshi wa uban
mbarikiwe sana.
feeling much blessed with this song,thank you lord.
sadiki shayo
Amen
What a nice song.Soul touching
Mungu awatie nguvu ya kuinjilisja
Am blessed wth this song
Such a lovely song.God bless your angelic voices.
nimeipenda
I love this song,it always goes right into my heart
Sophia Ally me too
Me too
nimeuonmkono wakebwana
Mi huwa nahisia na hii nyimbo mpaka machozi huwa yanantoka and I don't know why 😢
Me three
may the almighty God bless u, in the name of the father, son and holy spirit, amen
Nemesius Njeru Amen
@@berthadaniel5864 smina
@@berthadaniel5864 and anna your family show you
when i listened this song, i wanted to cry!!!
Emile Baguma
It's true
Me too Emile Baguma
Ma ja and anna your kind regards and anna your time with the family show up the thirty years
Sala yangu ipae mbele yako Bwana usikie maombi yangu
Ee mungu tujalie neema
Amen, nimeburudika Sana na nyimbo yenu
Napewa matumaini mapya kwa wimbo mzuri
Mnanibariki sana na wimbo huu.
God bless you