Mt. Kizito Makuburi - Simba wa Yuda (Official Music Video)
Vložit
- čas přidán 19. 04. 2019
- WIMBO: SIMBA WA YUDA
WAIMBAJI: KMKMAKUBURI
MTUNZI: JUSTINE SALISALI
AUDIO & VIDEO: HOLY TRINITY STUDIOS
Welcome to KMKMAKUBURI,
You can support evangelism through
⭐MPESA TILL NUMBER🇰🇪: 9948385
NAME: EVELYN JEPKEMEI
⭐MPESA LIPA NAMBA 🇹🇿: 5425652
Name: KWAYA YA MTAKATIFU KIZITO
⭐MPESA 🇹🇿: +255742000089
Name: KWAYA YA MTAKATIFU KIZITO
⭐Bank Name: Kenya Commercial Bank (KCB)
A/C No: 3390899162
Name: KWAYA MT. KIZITO - MAKUBURI
Branch: OYSTERBAY -Dar es Salaam, Tanzania
Swift code: KCBLTZTZ
You're warmly welcome - Hudba
Kiukweli makubur mpo juu mungu azidi kuwainua mpaka mshangae mbarikiwe
2024 here we are happy Easter ..kwenu nyote
Watching from manga girls high school kenya 🎉
Mungu awabaliki sana kwa nyimbo nzur
Jaman mnanikonga moyo wng hii kwaya sana barikiwen sana kwa utume wenu
Watching from manga girls high school 🎉
Ee amefufuka yesu nimzima simba wayuda kashinda kifo nguvu zakuzimu amezishinda ongereni kwa maneno ayo yenye kujenga katika maisha yetu yote Mungu awajalie neema nabaraka katika kazi yenu yautume ilimpate kumtumikia sikuzote zamaisha yenu amina
Congratulations for a job well done 👍✅
Daah Ngoma jmn❤❤😂😂🎉🎉🎉🎉❤❤😊 zitanifikisha mbinguni
Nyagasani Imana icyiganza cyawe cyibe kuruhanga rwacu, Umwuka wera wawe uduhe kuwuhumekaho bundi bushya Amena
Barikiwa sana kwa kazi nzuri ya huimbaji
Roman mpo juuu kuliko kwaya za dini zote ulululululululululu
Magnificent song, the composition and the whole presentation, done by singing and playing of instruments its great prostration that the holy spirit of Lord was in control. Am blessed kudos Makaburi choir, my Almighty God continue doing wonders through you.
barikiweni sana wanamakuburi...wimbo mzuri sana..uimbaji ni talanta yenu..taji lawangojea mbinguni.. I always love your moves..I love you kmk
Good it's good for evribordy for everyone thanks you
Barikiwasana wanahaubi
Kwa kweli mpo juu sana. Tune ni excellent, mpangilio wa stage ni new model, pia hata uchezaji ni mzuri sana. Mwisho wanakwaya wanatabasamu la ukweli.
Simba wa yuda kweli si mchezo
Tushangilie na apewe sifa milele na milele
Hongereni kwa utume uliotukuka
Nyimbo inapendeza sana
Hakika nabarikiwa sn na wimbo huu,kwan cku haiish bila kuuckiliza! Mungu awabarik sn na azid kuwainua kila iitwapo leo
Very nice song imeningusa sana,naomba tu mwalimu nipe note sake.
Pasaka hiyoo inakaribia huu wimbo mahara pake ❤️
Mungu awabariki sanaaaaaa
J.Salisali Hongera sana ,KMK Mungu awabariki sana
Kwakweli mungu awabariki
Hongeren san jamni Wana wa MUNGU,mzidi kubariliwa san
Mungu awatie nguvu awape uzima mzidi kumtumikia
One of the choirs I know, I have sung with them. The place of shooting, Christ the the King Tabata. I have served there. Well done makuburi.
Sawa majirani naona hamna kazi mbovu mbaliwe Sana
Leo amefufuka, ni pasaka nyingine tena🎉
Kwaya ya Mt kizito
MN
Hadi rahaaaa! Utafkiri ndio umefika mbinguni
champions league winners.. team mt.kizito makuburi,,, kwenye lango ni mtunzi salisali, defence tano mgongoni ni gwiji zacharia.. katikati mwa kiwanja yumo Drummer Mwesiga.. kwenye mabawa Mashibe yupo..attack nayo si mwingine bali ni baba lao Mshobozi... makocha na team managers si wengine bali ni wana -HT.. Tamu sanaah
🎉
Ni kweri, amefufuka.huo ndio msimamo was diini ya kikristo. Halleluaya.
Mungu awabariki kwa Ujmbe mzuri🏳️🏳️🏳️
Nawapenda bure
JAMANI MTAKE MSITAKE HAKIKA SIMBA WA YUDA NI WIMBO MMEUTENDEA HAKI.HONGERENI SANA
Asanteni sana ndugu zetu wa makuburi kwa uinjilishaji.
Hongereni sana kwa nyimbo zenye jumbe nzuri kila toleo hakika binafsi nabarikiwa sana.
Mungu awabariki kwa utume wenu.
Hamjawahi kukosea kiukweli mungu awabariki sana. ni j salono kinondoni mocko
mtakatifu kizito choir cku zote mpo juu mawinguni..!!! huu wimbo naupenda mpk bas..!!! Mungu awe nanyi ktk uimbaji wenu, Nipeni Like zenu, the first one to comment... =!!😂😁👏👏👏👏👏
Olympia no hatari
Thanks xan
Mpo vizr xanaaaa
Barikwa
Tumshangilie bwana ameshindaa Amina kubwaaa🙏
Napenda wimbo wa ufufuo wa Yesu
Ni vizuri kabisa
Mungu awabariki kwa ujumbe mzuri
Waoooooooh🥰🥰🥰🥰🥰 Ukisikiliza Hii Nyimbo unajihisi upo Mbinguni 😍 Mbarikiwe snaaa kama Mnavyo tubariki🙏🙏🙏🙏
Hongereni mumefunika endeleeni kuhubili injili kwa nyimbo amina mbarikiwe
Hamna mpinzani nataman kuja kujiunga pamoja nanyi mnaimba ongeren
Kwaya kizito
Hongera sana wanakwaya KMk Dsm kwa nyimbo zenu tamu
Good it's good for evribordy good bless ev
Waalikwe kwenye kampeni ingependeza
Wapendwa mnainjilisha mno,bwana awabariki.
Amen. Hakika amefufuka
Tanzanians you have talented voices mostly in praising God.
Jamaa kweli hii ndio SIMBA WA YUDA ninatamani sikumoja niione(face to face) hii kwaya....inayo imba vizuri namna hii...may our almighty GOD bless all of you
Mukasa babayooo...and Mr. Salisali 💪. Good job there KMK you are blessing souls. God bless you.
Amina kubwa
💝👌🎷🎧🎧🎤haalilililililiiii SHALOM 👊💗 to Him
congrats 👏👏👏 God 🙏 u ❤️❤️
The song deserves 10m viewers
Mko vizur mungu awapiganie
Nabarikiwa sana na kwaya hii
Kila kitu hapa ni mufti kabisa,, Rabana awabariki daima dawamu.
This is a good 👍👍🎉🎉🎉❤❤ song
Kwa kweli mnaimba vizuri sanaaa cd ntazipata je?
Good work Makuburi tunawapenda
THIS IS A VERY NICE SONG!
Mungu wetu apewe sifa
Pongez sana
Tunamshangilia Mungu
Kweli amefufuka
Nawapendasana mungu awapeafyanjema ukwelitunafarijika kupitia kwenu. Amina
Mungu awabariki wapendwa
Hongerani sana kmk Mungu awabariki na kazi njema ya utume
Naiona mbingu imefunguke kweli
Kweli amefufuka yesu
Hongereni Sana wimbo mzuri Sana JINA LA BWANA LIHIMIDIWE MILELE
Nyinyi watu...so blessed. God is singing with you. Ubaya wenyu ni kuwa mtu akisha sikiliza nyimbo zenyu...anasahau kwaya nyinginezo... hii ndio kwaya kweli. Mnajitolea kweli kweli
Hii kwaya itakuwa na mahali spesheli pake Mbinguni. Barikiweni sana
GOD S Children Inc is bless to everyone and God 🙏🙏🙏🙏😊😊😊😊😊🙏 bless to everyone good job
Kweli amefufuka🙏 Catholic forever 😘
safi sana
Mmefunika wimbo mzuri
💃💃Amefufuka Bwana Yesu 💃💃
Mungu awabariki zaidi kwa kazi nzuri
Ahsanteni sana mtakatifu kizito,napenda sana utumizi ule wa vyombo halisi vya muziki.
Mukasa kiboko yao
Jamani MNAIMBA Kama MPO MBINGUNIIIIII NIMEWAPENDA BUREE MBARIKIWE SANA, ila Kuna mkaka anacheza vizuri hummuuuuuuui, ALIYE vaaa shati la kitengeeeeee ambalo linafanana na sare za kina dada, hongera Sana broooo💪,. Unanifurahisha KWELI
Wow what a beautiful song may God bless you servants of the most High
Mungu ni mkuu
Just wow 💖💖🤸♀️🤸♀️🤸♀️💃🏻💃🏻💃🏻💃🏻
🙏🙏🙏🙏Mungu awabariki sana.
Ombi langu Mimi ni kuimba nanyi tafadhali
Mbarrikiwe
Kizito mbarikiwe mnoooooo zaidi
Tumsifu yesu kristo. 🙏🙏
Milele Amen
Nimewapenda bure
Amen amen thank you so much
Jamani nimehisi tayari niko kwenye makao ya milele, aisee😘😁