Sijaona baya kwahao maisha ni mafupi na wakuwahukumu pekee ni Allah..ww unaewakosoa unamangapi unayofanya yakumpendeza Mungu na wanadamu wote..nakushauri angalia kwa macho Kisha funya yako unayohisi yanafaa.
Kukaa uchi hakuzingatii umri ni tabia ya mtu tu sasa kama walianza maisha ya kukaa uchi toka wadogo mnategemea wazeeke ndiyo waache thubutu cha msingi kila mtu azingatie malezi ya wanae kama mnavalisha watoto wenu uchi uchi kwa madai ni watoto mnajidanganya hayo ndiyo yatakuwa mavazi yao mpk uzeeni
@@nanaamandus9768 ww mwenyewe mpaka umekuja kureply comment yangu tayari umeshafatilia maana mimi nimetoa maoni kwa kile kilichowekwa hapo sijaenda nyumbani kwa mtu upo nyonyo👌
Let them be. You can also imitate their good lifestyle. It's about them what of. I don't understand Africans, they like criticism alot and don't critise waxungu. Kipi cha mno na tofauti. It's their freedom of life. You forget others also judge you as you think umejustiri. Whatever you taint the words
MAISHA YA DUNIA NI MAFUPI NA FITNA KUBWA SASA KAMA MTU ATAENDEKEZA SIFA MAVI NA UJINGA BASI KILA BINAAADAM ANAMWISHO WAKE NA HATA UKAE MIAKA MIA ,UENDE UCHI MIAKA MIA IKO SIKU UTAJUTIA UJINGA HUO 🙏🙏☝
We achaga kihelehele bwana kwahiyo w ndo unataka uvae uchi peke ako achaga kufatilia ya watu we hauna haki fatiria mavazi ako ndo ujaji ya wengine mmmh kama umekubuu kufatiria mavaz ya wenzia fatiria na kina kajool na kareena kapoor😮😮😮ukawashauri sasa mtumzima ni wwe
Mastaa 10 waliojiunga Freemason Bongo. (Mpya 2022) 👇
czcams.com/video/44kFCNMMtj8/video.html
Sijaona baya kwahao maisha ni mafupi na wakuwahukumu pekee ni Allah..ww unaewakosoa unamangapi unayofanya yakumpendeza Mungu na wanadamu wote..nakushauri angalia kwa macho Kisha funya yako unayohisi yanafaa.
Tunao mkubali gig jamn mwaga makop kwak❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Beautiful ladies ❤ Age is just a number!! 🤷🏽
Kwakweli mnateseka sana na maisha ya watu
Mno
Kwa upande wng, naona wanaongea ukweli lkn. Heshima na stara ndio maadili yetu. Sbb cc sio wazungu. Ni watanzania jamani.
Hayo ni maishayao,tusihukumu wapo wanavaa stara lakini ni wachafu balaa,tusihukumu siokaziyetu,wapeni elimu watabadilika
Kukaa uchi hakuzingatii umri ni tabia ya mtu tu sasa kama walianza maisha ya kukaa uchi toka wadogo mnategemea wazeeke ndiyo waache thubutu cha msingi kila mtu azingatie malezi ya wanae kama mnavalisha watoto wenu uchi uchi kwa madai ni watoto mnajidanganya hayo ndiyo yatakuwa mavazi yao mpk uzeeni
Acha kufatilia Maisha ya watu
@@nanaamandus9768 ww mwenyewe mpaka umekuja kureply comment yangu tayari umeshafatilia maana mimi nimetoa maoni kwa kile kilichowekwa hapo sijaenda nyumbani kwa mtu upo nyonyo👌
Umeongea kweli
@@rosemahenge9071 🤣🤣
@@rosemahenge9071 hhhhh
Giggy Ni mtu POA Sana mi namkubali vibaya na atafika mbali Sana giggy ,kwa giggy watapona tu ,watamwelelewa tu,
Anaehukumu ni Mungu peke yake
Wewe unajipa dhambi za bure
WAACHE WENZIO KWANI MIAKA 40 NDO UZEE?
Njooni Kenya tuna President of singles Mother's na hatuhusuu
Wamezeeka wapi jamani miaka thalathini na arbayini ni wazee? 🙄
Why don't you mind you're own business,let them be
Ok sir
Wenye tumelelewa kwa familia ya nguo mrefu tusisikilie hao vibaya kwani wamelelewa kitaoo😂😂😂
Wenzenu niwazungu jamani hebu waacheni wapumue
🤣🤣🤣
Kweli wamezeka lakini wanajifezeesha
Huwezi pangia mtu na life yake, achana nao inakuhusu nn,ww ndio mzazi wao? Ww jiheshimu mwenyewe
Apo kwa kweli Kajala umeniangusha
Tatizo Tanzania Unafki Umezidi Wewe Mambo ya watu Yanakuhusu Nini Fanya mambo yako Yakukuza familia yako Sio Mambo ya watu Uwoya Yanakuhusu nini
WaTz bhana kwa hiyo hao wazee😂😂😂
@TheThirdTv njoo Kenya basi umukute Akothee basi utakoma,
😀😀niko na hzo plan
Miaka 42 huko majuu unahesabika kijana kabisa
Huko majuu hakuna maadili wala heshima na kama umezaliwa bongo majuu kunakuhusu vipi. Acheni kuiga upumbavu nyie
@@ashaali7154 naishi majuu sio bongo lakini huwa sipendi watu wajue lakini sasa imenibidi
Bongo hawaelewi maana. Ya umri wanapenda sana kuzehesha wenzao😏🤔
We mtangazaji mbona unavaa nguo zauchi mbona atusemi
Nyinyi njo mnazeheka
Let them be. You can also imitate their good lifestyle. It's about them what of. I don't understand Africans, they like criticism alot and don't critise waxungu. Kipi cha mno na tofauti. It's their freedom of life. You forget others also judge you as you think umejustiri. Whatever you taint the words
MAISHA YA DUNIA NI MAFUPI NA FITNA KUBWA SASA KAMA MTU ATAENDEKEZA SIFA MAVI NA UJINGA BASI KILA BINAAADAM ANAMWISHO WAKE NA HATA UKAE MIAKA MIA ,UENDE UCHI MIAKA MIA IKO SIKU UTAJUTIA UJINGA HUO 🙏🙏☝
Kumbukeni kuna kurud kwa allah fanyeni toba kabla ya umaut
Dear naomba utufanyie mastaa ambao ni wazuri
Kwa hiyo wasichana wadogo wanaruhusiwa kufanya maovu?
Achaumbea
Mungu atawahukumu tu ☹️☹️☹️
Amiin
Tunaitaji warembo kama hawa huku Nchini 🇰🇪 kenya
😂😂😂😂
Dooo hahaaha
@@rukiaiddyyahaya9506 kwanza mm nawapenda sana sijuwi kama naweza pata mmjo
@@funyawasaniiwote7598 sasa unawapendea nini unaweza kuoa katibya hao upeleke kwenu kesho yuko uchi mtandaoni
@@rukiaiddyyahaya9506 ikiwa hiyo ndio njia ya kutafuta hela mbona nisioe
Mmemsahahu lina sanga
Unfortunately you miss use the word "kujiheshimu" kindly give us lecture about it
Miaka ni namba tu hatujawekrwa mipaka ila ni sisi wanaadamu ndio tunayaweka ila hakuna roho kongwe so wacha mtu afurahie maisha yake
Tena likajala lizee halijiheshimu
Acha watu wale bata bhana umri ni nini asa
Kabakia mifupa hapendezi hata kidogo
Shughulika na ya kwako,maisha ya watu Achana nayo
Maasta wanapendeza zaidi
Kwani Gigy ni mzee
Wow
Ahaaa una wivu we una ndomaana
Eenh ni lana tu iliwashukia hamna jipya..ushoga ushoga tu wanaiga wazungu eti
Umekosa jipya.What the hell
Gigi sio mkubwa
Si mkubwa mtu anamutoto mkubwa tu
Sàsa ukimuona Madona utasema nini.Acheni mambo ya kiswahili na umbea umbea tu wa kibongo.
Ni malaya
Kamuoneni jenifa lopeza ndo mjue uzee ni nn na bado hajazeeka
Unatangaza au unayapika majungu??
Uwoya ni laana ya ndiku sembe ina mbeba
Gigy bado mdogo sana
Hiyo ni old fashion thinking....this is the 22 century , this is why I left TZ. I can't live by this mentality
Mungu yupo popote😂😂 na tutakufa popote tulipo na Mungu atatuhukumu bila kujali unashetania Marekani au Kongo😀
Huna lolote wivu tu na hivi mnazeeka haraka mtabaki kupiga domo tu! Sijui umetumwa!!
Wabongo hawezeeki
je ww unae wasema wenzio unajihexhm? kama ww umeweza kuona hawahihexhm bax naww hujihexhm
Social medias kazi yao ndio hii
Habari, huu ni ukurasa wa burudani
Kazi yake anajiuza
Utaila wake nyooo ngoja hakusikie mbona utamkoma
Ujawai kua na makaka mashoga wee kwani unashangaa nini
Naaam
vyote vita pita kila kitu kina mwisho
We achaga kihelehele bwana kwahiyo w ndo unataka uvae uchi peke ako achaga kufatilia ya watu we hauna haki fatiria mavazi ako ndo ujaji ya wengine mmmh kama umekubuu kufatiria mavaz ya wenzia fatiria na kina kajool na kareena kapoor😮😮😮ukawashauri sasa mtumzima ni wwe
Sio mama yao, ni bibi yao 💪
Mchane makavu ajiheshim anatutamanisha hats ss wanae
Anadanga
Sa gigy umri umeenda n ww
Irene Uwoya anafanya kaz ngan
Na wewe je unajiheshimu au ndo kazi kusema ya watu
Duh
Kuzeeka wapy
Sasa shida ni Nini ina ku sumbuwa
na zari
Tabitha haina dawa Jamani
Linna sanga na jide komando
Sa inawahusu nyie qqmmk
Mbona Mimi Nina umri wa 53 siko hivyo hao wote wadogo tu
Kwa nafasi ya gygi mnge muongelea linah coz ni mtu mzima hata kumzidi wema sepetu
Mwaka ya wema haikuhusu
Sasa wewe nimaisha yao siyo yakwako unaumia nini sasa
Haya kuhusu wewe dada mbona hivi
Samahani boss
Love them or leave them
Sembe
Looking for viewers
Kajala ni too much
Mind your own business, haikuhusu
wema ana 50 hâta sura ipakwe mak up sura ina komaa ru
Age begins at 40
You just jeleus nothing much
Come again? God why are you people so fond of embarrassing yourselves by using languages you're not familiar with? 🤔😳🙄☹️
Kabakia mifupa hapendezi hata kidogo
Wema sepeto mume sema ni shoga n'a bado haji kubali nandoma Hana mt,,,,,,.
Mamb ya mtt yametoka wp dada n mng anapanga kama we unao shukur uwez msem mtu kisa hazai
@@mercypatrick1918 samhani 🙏🙏