Daaah ndugu umenigusa mule mule 😭😭😭 nlikua naangaliaga mwanzo cz naipenda but leo nimerudia cz ya huu msiba nimejikuta nimepanda uzalendo ghafla daaaah tz is nchi yangu
Illuminati secret brotherhood . Are you a student, businessmen and women, footballer, pastor, singer,entertainer, presenter, governors, president, lecture and you want to be known all over the world and to become rich, famous and powerful or you want to have power to protect your family and your wealth kindly join the great Illuminati family () to achieve all your heart wishes add us on whatsapp on +1(509)6317129 and achieve millions of dollars every month... What'sapp immediately +1(509)6317129
Hello Mashalaba welcome to Tanzania. So many of your country people lived here in Tanzania in those dark days of fighting apartheid. You will feel home here, but try to learn Swahili to feel happier.
Ukiwa mbali na Tanzania ni kama upo mbali na mama, mawazo ya kwenda nyumbani hayaishi, Nchi yangu pendwa imebarikiwa sana. Hakuna raha kama ukitua salama na ndege nyumban, huwa naibusu nchi yangu.
Tanzania, Tanzania Nakupenda kwa moyo wote Nchi yangu Tanzania Jina lako ni tamu sana Nilalapo nakuota wewe Niamkapo ni heri mama wee Tanzania, Tanzania Nakupenda kwa moyo wote. Tanzania, Tanzania Ninapokwenda safarini Kutazama maajabu, biashara nayo makazi Sitaweza kusahau mimi mambo mema ya kwetu kabisa Tanzania, Tanzania Nakupenda kwa moyo wote. Tanzania, Tanzania Watu wako ni wema sana Nchi nyingi zakuota nuru yako hakuna tena Na wageni wa kukimbilia ngome yako imara kweli wee Tanzania, Tanzania Heri yako kwa mataifa. Tanzania, Tanzania Karibu wasio na kwao Wenye shida na taabu Kukimbizwa na walowezi Tanzania yawakaribisha Tuungane kiume chema wee Tanzania, Tanzania Mola awe na we daima.
..namshukuru Mungu kuwa Hai leo..Huu wimbo tulikuwa tukiuimba kila siku asubuhi kabla ya kuanza madarasa.. na mara nyingi somo la kwanza Jumatatu lilikuwa hesabu..
❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️Ee Mungu dumisha amani na uhuru wa nchi yetu pendwa Tanzania 🇹🇿 Rest In Peace ✌️ all the leaders who passed away(Mwl Jk Nyerere Benjamin Mkapa John Magufuli Edward Sokoine Rashid Kawawa)mlituacha kipindi tulichowahitaji😪😪😪😪😢😢😢😭ila hakuna shida Mungu yupo pamoja na Watanzania wote
Huu wimbo naukumbuka siku za Jumatatu Head Master anakuwa Assemble anasubiri nyimbo iishe aanze kukaguwa wanafunzi wachafu, mm nilikuwa na rumba kichwani kwahiyo nakausha tu sihudhurii mstarini kwahiyo nakuwa nimejificha chimbo haswa nasikia hii nyimbo kwambali sana 😂😂😂
Wakati huo watanzania walikuwa na uzalendo wa nchi yao, leo kila mtu matusi tu kwa nchi yake na anasahau nchi ilivyomsomesha bure na kufikia alipofikia. Kweli shukrani ya punda ni mateke.
I love this Tanzanian patriotic song. R.I.P JPM, long live mama Samia Suluhu.
Much much love from Kenya 🇰🇪
Kama utaangalia hii nyimbo baada ya kifo Cha Muheshimiwa Magufuli Like na Tumia dakika moja ya Ukimya kwa kumuombea.
Daaah ndugu umenigusa mule mule 😭😭😭 nlikua naangaliaga mwanzo cz naipenda but leo nimerudia cz ya huu msiba nimejikuta nimepanda uzalendo ghafla daaaah tz is nchi yangu
Nakupenda nchi yangu 🇹🇿🇹🇿🇹🇿 Pumzika kwa amani magufuli 😪😪
Dah pumzika KWA AMANI Magufuli😢😢😢😢😢😢
Exactly... Sitaweza kusahau kamwe mambo mema ya Tanzania yetu ya Amani...nchi zingine ni vita kila siku y me Tanzania...Asanteee Mungu
Congratulations for your national holiday on 26th April Tanzania a from your friends in Germany
Love you too❤❤
Hakika wimbo umeonesha asili ya Tanzania, mbuga wanyama ardhi yenye rutuba n.k sauti pia zimekaa sawa. Asanteni JMC kwa kazi nzuri
Tanzania nchi yangu, naahidi kukupenda mpaka mwisho wa maisha yangu ❤🇹🇿❤🇹🇿
I feel proud kuwa Mtanzania 💪✊
Ooh my God, This is extremely amazing, I love my country Tanzania 🇹🇿🇹🇿🇹🇿😇
Anayefundisha huu wimbo kwa kuwasikilizishia wanafunzi kama mimi abarikiwe sana na Mungu.
Tanzania my home though wakuja tu .... peaceful place to be God bless Tanzania rest in peace pombe magufuli my president
Karibu sana. Feel at home Norah
OMG this is a beautiful song I learned from my mum who lived and worked in Tz years back, a real TBT. Quite nostalgic 😢🇰🇪
tanzanians are amazing
🤩🤩😍 wimbo bora Sanaa.... Wazee wa 2021 gonga like hapoo
God Bless Tanzania! All the way from South Africa.
Illuminati secret brotherhood . Are you a student, businessmen and
women, footballer, pastor, singer,entertainer, presenter, governors,
president, lecture and you want to be known all over the world and to
become rich, famous and powerful or you want to have power to protect
your family and your wealth kindly join the great Illuminati family () to achieve all your heart wishes add us on
whatsapp on +1(509)6317129 and achieve millions of dollars every month... What'sapp immediately +1(509)6317129
Welcome Tanzania
Hello Mashalaba welcome to Tanzania. So many of your country people lived here in Tanzania in those dark days of fighting apartheid. You will feel home here, but try to learn Swahili to feel happier.
Welcome❤❤❤🇹🇿🇹🇿
Ukiwa mbali na Tanzania ni kama upo mbali na mama, mawazo ya kwenda nyumbani hayaishi, Nchi yangu pendwa imebarikiwa sana. Hakuna raha kama ukitua salama na ndege nyumban, huwa naibusu nchi yangu.
Yani umesema kweli kwabisa nimemis but I no one day yes insha'Allah
Nilidhania ni Mimi tu hua namiss my country like crazy nkitua salama I wish to embrace and kiss my country
Tanzania, Tanzania
Nakupenda kwa moyo wote
Nchi yangu Tanzania
Jina lako ni tamu sana
Nilalapo nakuota wewe
Niamkapo ni heri mama wee
Tanzania, Tanzania
Nakupenda kwa moyo wote.
Tanzania, Tanzania
Ninapokwenda safarini
Kutazama maajabu, biashara nayo makazi
Sitaweza kusahau mimi mambo mema ya kwetu kabisa
Tanzania, Tanzania
Nakupenda kwa moyo wote.
Tanzania, Tanzania
Watu wako ni wema sana
Nchi nyingi zakuota nuru yako hakuna tena
Na wageni wa kukimbilia ngome yako imara kweli wee
Tanzania, Tanzania
Heri yako kwa mataifa.
Tanzania, Tanzania
Karibu wasio na kwao
Wenye shida na taabu
Kukimbizwa na walowezi
Tanzania yawakaribisha
Tuungane kiume chema wee
Tanzania, Tanzania
Mola awe na we daima.
Love you Tanzania 🇹🇿 my country miss you soo much
Nilijifunza primary enzi hizo, i love this song
Is the Best. mpangilio wa sauti, picha zilizohusishwa ni uhalisia. hongera St. Paul Mbeya
Tanzania is good More than all countries I love Tanzania I love it is song
Love to my country Tanzania 🇹🇿
Daaaah huu wimbo hd leo bado unanishinda kuimba kwa jinsi ulivokuwa mgumu
Hata wageni wanakukimbilia Tanzania na ngome yako iko imara..Mora awe nawe daima Tanzania🙏💕💗💖
Amen
Waaoh... Nakupenda Tanzania Nchi yangu... Kwa moyo woteee
Niko tayari kufa kwa ajili ya nchi yangu I love you TANZANIA
Maneno mazuri sana ni kumbukumbu nzuri ya kumuenzi mtunzi wa huu wimbo mchungaji Silas Msangi. RIP
Kama bado unachungulia hii song gonga like hapa
Love to my contry Tanzania
Tuendelee kumuomba ALLAH atujaalie na kutulindia amani yetu!Amein,inshaallah.
Beautiful Tanzania
Love so much my country❤❤❤❤❤
Big tune 💚💛💜💓💔 Tanzania
..namshukuru Mungu kuwa Hai leo..Huu wimbo tulikuwa tukiuimba kila siku asubuhi kabla ya kuanza madarasa.. na mara nyingi somo la kwanza Jumatatu lilikuwa hesabu..
God bless my country tanzania
Ahsante sana, nchi yangu Tanzania najivunia kuzaliwa Tanzania
I'm proud to be Tanzanian
Sauti tamu congratulations from Kenya. God bless you allways.
Thanks good blessing you
@@stellaj6733 welcome 🙏
Much love❤❤🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Tanzania Tanzania nchi yangu watu wako ni wema sana❤️❤️❤️❤️
❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️Ee Mungu dumisha amani na uhuru wa nchi yetu pendwa Tanzania 🇹🇿 Rest In Peace ✌️ all the leaders who passed away(Mwl Jk Nyerere Benjamin Mkapa John Magufuli Edward Sokoine Rashid Kawawa)mlituacha kipindi tulichowahitaji😪😪😪😪😢😢😢😭ila hakuna shida Mungu yupo pamoja na Watanzania wote
Tanzania ni inchi teule na mungu
naposikiaga hizi nyimbo za nchi yangu nahisi mwili kunisisimuka mungu ailinde nchi yangu
Kabisa mkuu,kuna muda huwa nahisi hakuna nchi nzuri km TZ.
Mungu awabariki sana wana John Paul ii, Mungu ambariki pia dada angu kipenzi Hazina Maduhu
Hlw
My best & wormfull compliments for the video & choir, excelent. Sorry for writing in english, my swahili is poor. HONGRA watu wote.
Assanteni sana wa kuni jibu na roho. God bless you all.
Karb sana bro
@@mageleonlinetv1474 Asante.
@@lorenzotrevisani4421 🤗
Hakika tunawakaribisha watu wetu wote mliotawanyika duniani kote karibuni Tanzania, 💗💞💖💖🙏
🇹🇿🇹🇿🇹🇿 💚💚💚 Peace and Love
Tanzania 🇹🇿. Hii wimbo iimbwe na watoto na wananchi wote in a country every morning kuongeza uzalendo.
I love you tanzanian
Tanzania Tanzania nakupenda kwa moyo wote
Yaa Allah bless Tanzania and their people
Tanzania no nchii nzuri sana
Nakupenda Tanzânia yangu MUNGU ibariki Tanzânia
Tanzania yetu oyeeeeeeeeee.
I love the song of tanzania omg
Thank you Samwel
Pale unavo sikiliza hv alfu uko nchi ya mbali nahis kulia ninapo kumbuka harufu upepo aman na upendo wa nchi yangu 💔💔💔😢😢
Wah is true dear pia mm nafeling ivo aky
Alieona kinvuli cha droony ikiwa juu agonge like
Mmmm watu hampitwi Mimi nipo tu nasoma zangu comments
nakupenda Tanzania wangu
😭😭😭 r.i.p magufuri
If we want peace, we must strive for justice
Huu wimbo unachanganya sana kila miaka kadhaa wanabadili beti zake
Hongereni sana
🎉🎉🎉2023
Tanzania 🇹🇿 nakupenda kwa moyo wotee ❤️❤️
Naipenda sana njiiyangu Tanzania
Safi sana
Shuleni baada tuki maaliza national anthem tukiimbaga hiyo nyimbo pia
Saut ya tatu hongera kwa kutembea na key
Nchi yangu tu hata kama siishi huko na Sina uraia lakin Nina tumaini kwenye ulimwengu mpya nitakaa upande huo
💗😍
🇹🇿
Good wimbo
Who is the artist
Tanzania. Nakupenda. Kwa. Moyo. Wote
Tisha sana
Nakupenda kwa moyo wote 🇹🇿❤️
Mungu atubariki sote
Amina @Magaya🙏
Nimelia sana
Mwamba ni yesu
❤😊🎉😊🎉🎉🎉❤❤❤😢
Heshima ya tanzania
Siku hizi wanafunzi mashuleni hawahimizwi kuimba nyimbi hizi ndo maana nwanafunzi anafika mpaka darasa ka tano hajui yuko nchi gani daah
m'mpendeza sn
Wonderfully Song
Nakupenda kwamoyowote TANZANIA
Hakika Tanzania yetu ni nzr Barikiwa Rais JPM
Audio
Tanzania Yetu Iwe nchi ya amani
Nchi yenye amani
Huu wimbo naukumbuka siku za Jumatatu Head Master anakuwa Assemble anasubiri nyimbo iishe aanze kukaguwa wanafunzi wachafu, mm nilikuwa na rumba kichwani kwahiyo nakausha tu sihudhurii mstarini kwahiyo nakuwa nimejificha chimbo haswa nasikia hii nyimbo kwambali sana 😂😂😂
Dah everyone with his story. Wow vizur mwaya😂😂😂😂😂
Wimbo mzuri sana,niombe kama Nikita kudownload naipata wapi nyimbo hii na nyingine zenu
Kama una tubemate au snaptube unaweza kuzidownload zote kupitia jina hilihili
Kama sina napataje
Ingia Google uandike tubemate afu download then install
Nimefanikiwa nikuombe na nyimbo ya unisikie naipata hapa hapa
Wimbo mzur kweli hongeren kwa kuliombea nchi yetu, hakika Tanzania nakupenda ❤️❤️mola awe nawe daima🙏🙏
Wakati huo watanzania walikuwa na uzalendo wa nchi yao, leo kila mtu matusi tu kwa nchi yake na anasahau nchi ilivyomsomesha bure na kufikia alipofikia. Kweli shukrani ya punda ni mateke.
Congratulations for your national holiday on 26th April Tanzania a from your friends in Germany
Thank you, warmly welcome Again 🙏
Inchi imetulea tunaipenda Sana ........
Safi sana