KRISTO MSHINDI -Kelvin Nyawili(Official Video 4)
Vložit
- čas přidán 7. 04. 2023
- John Paul Mbeya Choir (JMC).
Ufufuko wa Kristo ni ushindi Mkuu dhidi ya dhambi na mauti. Kwaya ya Mtakatifu Yohane Paulo II Mbeya (JMC) tunakukaribisha kwa mara nyingine kutafakari nasi juu fumbo hili la Pasaka. Sisi ni Wakristo Kristo aliye mshindi.
Wimbo: KRISTO MSHINDI
Mtunzi: Kelvin Nyawili
Waimbaji: John Paul Mbeya Choir (JMC)
Production: MOZEN Pro
Kindly subscribe, share, like and comment
#jmc #MOZEN Pro #Pasaka # Kristo mshindi - Hudba
Nafulai Leo nimekuwa wa kwanza
Nawakubari sana katika kwaya za rc Tanzania mko vizuri sana
Kazi nzuri sana Kristo mfufuka na aendelee kutuneemesha kwa Karama zake zisizo na mipaka.....Heri ya Pasaka Familia yangu JMC
Heri kwako pia specialist Bongole
Asante sana, Heri ya Pasaka iwe kwako Pia Mwalimu🙏
Hongereni sana ndugu zetu JMC kwa uimbaji mzuri. Yesu Kristo afufuke mioyoni mwetu.
Amina, tunashukuru sana 🙏
Hongereni nyote kwa kazi nzurii sanaaa
Hongereni sana jmc kwa uimbaji mzur mwenyez mungu awape maisha marefu na yenye baraka tele
Nawapenda sana mko vizuri sana na utume wenu udumu katika kristo Yesu
Amina🙏
Motooo❤❤
Hakika Kristo ni mshindi🔥🔥🔥🙌
Binge la Wimbo 🔥🔥🔥#JMC
Congrat,sweet song my favourite choir, from kenya.
Thank you 🙏
hamjawahii feliiii ndani ya upendoo wa kristooooo
Mozen pro wa🔥🔥🔥🔥🙌🙌🙌
Hongereni sana kwa kwaya nzuri na video ipo vizuri sana Aunt yangu Irene nakuona hapo👌👌👌👌🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰
Ewaaaa
Nyimbo ni nzuriliiiiii ila hamjatuwekea pdf na sisi tufurahie 🤲🤲 copy kama itawezekana
Sichoki kutazama, pongezi nyingi mnoo kwa wote. Mungu azidi kuwainua kwa kumpa sifa kwa njia hii. Ubora kwanza urafiki baadae. Wimbo mtamu sana, ni 🔥
Asante sana Ayana, Endelea kubarikiwa 🙏
The choir is doing it in a styl,,,. I have their playlist... May God bless them
Sahamani ndg zangu tumsifu yesu kristo utume huu wa kwaya hii ya John Paulo wa pili sioni post za utume wa uimbaji hakika mnatuinjilisha
Very nice, hongera sana Nyawili Mwl, Mozen Pro na JMC kwa 😚😚
Hongereni sana❤❤.
Namuona nadhareth producer wa nguvu , Kaka chausumbufu , dada chaurembo wote na wengine nsiowajua majina hongereni jaman nzuri sanaaa
Pongezi kwa director MC MABOGO na wengine waliofanya hi kazi ikamilike nice sanaaa
This will always be the best Choir in Roman Catholic Tanzania.
Thank you🙏
🔥🔥🔥🔥🔥..waoooooh amazing JMC hakika shangwe zasikika👏👏..credit kwa Mozen pro,,mtunzi Nyawili,directors na WANAKWAYA WOTE
Amina mkuu🙏
Hongereni sanaaaa🎉🎉❤
Asante sana Slyvanus
Haki ya Mungu Mweeeh nyieee❤😂😂
Wimbo mtamu Sana❤️❤️❤️❤️👏👏👏
Amen 🙏🙏🙏🙏🙏❤❤❤❤❤❤
Vema sana
Speechless 🤗 Ur amaizing guys congratulations Kristu mfufuka azidi kuwabariki hizi sifa zipenye Hadi nchi nyingine....... Happy Easter to all view You ILYSM🥰😍😘
Asante Marselina heri ya Pasaka Kwako
Aisee ni noma sana moto moto jmc noma sana nimewamis Aisee 😅 kazi safi Mozen noma sana🔥🔥🔥
We miss you too your welcome brother
🤝🤝🤝🤝
Hongera sana JMC,
Asante sana
Hongereni sana kwa utume mtakatifu
Good Iko njem
Hongereni Sana Mozen pro (mkurugenzi pamoja na wafanyazi wote) a big work
You never disappoint.
Kazi smart, na kwa wakati Hakuna ubabaishaji Wala longolongo.
Professional. 🔥🔥🔥🔥🙌🙌🙌
Asante Sana Dr kwa ushirikiano wako tumekesha wote leo hahaa
You people mnafanya kazi aisee.
Tobo mpaka asubuhi. Respect Sana 🙌🙌🙌🙌. Afu miamba na asubuhi inaendelea na kazi haijachoka. Commintment ya juu Mwenyezi Mungu awajaalie mfike mbali zaidi.
Hamjawahi kutuangusha jmc 🙏🙏🙏🙏
Hongera sana kwa wimbo mzuri sana.
Nimevutiwa sana na wimbo wenu, mm mwanakwaya wa mtu. filomena Mabibo hosteli karibuni tuna jambo letu❤❤
Asante sana tunasubiria jambo lenu pia
Hongera Choi ya John Paul Kwa nyimbo zenu.l Sylvester Too.from Kenya.Nandi cuonty
Wow nice one
Thank you! Cheers!
A new banger🥳🥳🥳you guyz never disappoint,🔥🔥hii lazima icheze TV keshow💯
Asante sana🙏
@@JohnPaulIIMbeyachoirmmeanza kupunguza Timbre my favorite choir, fanyieni kazi hasa s3 na ya kwanza
Hongereni sana JMC, siku zote kazi yenu ni ya uhakika. Mtunzi na organist safi saaana kwa kazi nzuri.... Mbarikiwe
🙏🙏🙏 Sifa Na Utukufu Ni Kwa Mungu
Amefufuka kweli, Aleluyaaa🎉🎉 Hongera Wana JMC kwa Uimbaji wakuigwa mfano.
Amefufuka hallelujah
I say kazi Safi Sana wakuu,hongereni.
Asante sana Frank
Sifa na utukufu kwake .
Mbarikiwe sana wapendwa
HONGERENI TENA NA TENA, HALLELUJAH AMEN. As you know you're one of our favourite choir. ❤ You Always stand at the right occasion. This is ENCHANTING. My humble wish. A it longer??? The singing, melody and performance ,just great. Keep up *EVANGELION* GOD BLESS YOU ALL ABUNDANTLY ALWAYS. am Joe Muriithi and Family. HAPPY EASTER. MAY THE RISEN CHRIST BRING YOU HOPE, HALLELUJAH.
Wooow hongereni kwa wimbo mzuri🙏🙏❤️❤️❤️
Asante sana Clevina🙏
🔥🔥🔥
Hongeleni sana wimbo mzuri sana 💞🔥
Asante sana
My family JMC 🥰❤️ always mnafanya makubwa na mazuri, Mungu azidi kuwaongoza katika utume wenu na kuwainua katika viwango vingine 😍❤️ keep it up💪
Asante sana Alicia🙏
This is huge 😍 hongereni wote mlioshiriki katika hili, mbarikiwe mnoo
Asante sana Jackline, Ubarikiwe pia🙏
Kama kawaida#JMC🔥🔥🔥
Well done JMC, #Family
Hongereni sana wapendwa kazi nzuri Mungu awabariki tufufuke na Kristo ❤️❤️😘
Amina 🙏
Kazi nzuri
🎉Aiseee,hongereni sana🔥👏💪
Asante sana
JMC JMC tuwajengee sanamu maana hamnaga kazi mbovu 🤣🔥🔥🔥
Labda tutengeneze kinanda Cha Musa, eliya na yesu.
🤝🤝🤝
Hongereni sana hakika amefufuka kama alivyosema.
Kristo mfufuka yatie nuru maisha yetu
Safi sana wapendwa katika Bwana
Kazi nzuri 🔥
Hallelujah jmc Songa mbele,,ubora kwanza🎉🎉🎉
Urafiki baadaye 🙏
Nyimbo Nzuri 💯💯
Good job best ever catholic choir @jmc mbeya choir
Wazee wa UBORA KWANZA URAFIKI BADAE😅, Mungu azidi kuwainua kufikia viwango vya juu zaidi😊
Kaka Peter nakuona ktk ubora wako hahahahhahahah
Asante sana Peter 🙏
Mungu awaongoze vema👏👏🥰🥰🥰🥰...... music mtakatifu 🥰
Asante Konstantina Mungu akubariki sana
Nimebarikiwa. Best song nice song.
Shukran sana Basil, heri ya Pasaka kwako
@@JohnPaulIIMbeyachoir kaburi li wazi
The best from the best Choir #JMC #UboraKwanzaUrafikibaadae
Hongereni sana kwa kazi nzuri. Mmeifanya Pasaka yangu iwe njema sana.
Organist tukionana unidai soda ❤
Asante sana Furaha, Organist anakutafuta😂🙏
Congratulations!!
🤝🤝🤝
Dah.kweli kafufuka
Hongereni sana Familia
Nawapenda sana nawaombea sana ndg zangu!Kazi nzuri sana!Pongezi nyingi kwa mwl.wangu Kelvin Nyawili Mwenyezi Mungu azidi kukuinua zaidi mwl.wangu!
Amina Mwl Wangu 🙏🙏🙏
Always nyimbo zenu ni za high class best choir ever seen in my life be blessed
Thank you Andrea🙏
Very nice 🥰🙏🏻
Many many thanks
Hongereni sana JMC
Asante sana
@@JohnPaulIIMbeyachoir naomba number ya Mwenye kiti.... msalimu sana kaka Kelvin Bongole... nawapenda sana kwa uimbaji 🔥🔥🔥🔥🔥
My good people.., i had missed you from kenya Thika,. Good job keep up
Thank you so much Francis, Welcome Mbeya-TZ
@@JohnPaulIIMbeyachoir thanks .. am an active young choir member Its my wish i can just make it we serve God together... Mmetoka mbali jameni
Good song. Congratulations those singers from Mbeya
Thank you Abel🙏
Mbarikiwe sana.
Mungu awaweke muendelee kumtukuza yeye
Wooooowwww hongeren saaaan wimbo mzur na sauti nzuri hongera pia mliohusika kuandaa kazi hii ❤❤❤ copy inapatikana nasisi tunatamani kuburudika zaidi
Asante Lilian unlbarikiwe sana
Inapatikana Madame
Hii kwaya wanajua mpaka basi
👋👋👋👋👋👋
My Favorite Choir 😍
Wow!! I like it 💘
Easter Anthem💥💥💥💥
Wow! Kazi safi sana wanapaul nawapenda sana . Well blended voices.
My choir , my people en my family.. mungu awabariki sana . Special greetings to ; Beatrice, Aneth, Mom Gloria, Gloria, Mtuka, Pius, Tr Mabogo en Cj Ben.. keep that Spirit ❤❤❤❤
Asante sana Kaka John 🙏
Nice dance moves all well synchronized . Also the music is pleasing to the years. It have would been better if our Parish Church was displayed even once . Otherwise overall the video presentation and editing is excellent. You have made our Mbeya Parish of Saint Anthony of Padua proud .👍👏
Amen Happy Easter to you Benny
🤝🤝🤝🤝
My Favourite Choir - JMC! This is wonderful piece! A hearty congratulations and happy Easter to you all!
Thanks for listening Happy Easter to you as well Dan
Wow! As usuall you are so impressive with singing. It's really interesting and so meaningful song. Wishing you happy Easter and may the Risen Christ keep blessing you as you continue serving God through singing. I am so proud of you!
Amen, Thank you so much Humphrey Mukuka for your support, Be blessed 🙏
Mtuka bwana😅😅😅
Hahahaa Mtuka mzee wa shughuli
😁😁😁😁
Napataje nota za wimbo huu maan nmeingia kwenywe account ya mtunzi sjauona naomba mnisaidie kuupata
Itafute namba iliyopo hapo juu kwenye bio utaupata🙏
Namuona nadhareth producer wa nguvu , Kaka chausumbufu , dada chaurembo wote na wengine nsiowajua majina hongereni jaman nzuri sanaaa
Pongezi kwa director MC MABOGO na wengine waliofanya hi kazi ikamilike nice sanaaa
Asante sana 🙏
🤝🤝🤝🤝