We are waiting for the time to go so as we Tanzanians can put you on power as President in any how .We are asking God to bless and protect you Polepole for the future of our Nation
Kazi nzuri kaka yangu Humphrey Mungu azidi kukupa maarifa na hekima. Wewe chapa kazi tuu. Kwa maana SONGA MBELE USIRUDI NYUMA. Mungu akubariki na kukutunza
Good job ndugu polepole, nakufuatilia kutoka kyerwa kagera tz,
Infact, africa should not struggle for food from abroad under any circumstance
Congratulations to you 💥...
You're a leader and keep it, don't be corrupted with power
💕💕💕💕 ukigombea urais nitajitoa kwa ajili yako!!! Yaan ukoo wang mpk ulipoishia utakuchagua ww. Such a humble man 🙆🙆🙆
Kwakweli
Yaani haiingiii akilini eti wanapigana huko, sisi tunahangaika uhaba wa chakula. Very fact balozi.
Popote ulipo kazi inafinyika,safi sana ndugu.
Sasa Tunauza Macho yote yalioangalia Nyimbo za Zuchu _ Macho yamejaa kwa hewa tembea nayo ufurahie Maisha♿🚻🚮
Sasa Tunauza Macho yote yalioangalia Nyimbo za Zuchu _ Macho yamejaa kwa hewa tembea nayo ufurahie Maisha♿🚻🚮
We are waiting for the time to go so as we Tanzanians can put you on power as President in any how .We are asking God to bless and protect you Polepole for the future of our Nation
Continue the good job cde pp
We ni mjamaa wa kweli pia ni mwana PaniAfricanist
Mbona fupi sasa aaaaa....... weka vitu ndani mzee baba ili wajuwe kuwa hata huko uliko kazi inaendelea
Hongera sana bwana Mzalendo kwa fundisho
Sasa Tunauza Macho yote yalioangalia Nyimbo za Zuchu _ Macho yamejaa kwa hewa tembea nayo ufurahie Maisha♿🚻🚮
vibrance, composure, calmness and energy he emmit talk many good things about intelligence of this man....I've got a new mentor in leadership matters.
Very fact, nimemiss Yale madini ya Mtu Maarifa ndani ya Kuta 4.
MHE Polepole tunakumbuka kwa somo lako nzuri ya vijana. Hii somo nayo ninzuri kwa vijana wa afrika. Imara afrika bara.
Nampenda sana Polepole. Very talented and free from fear. " ... whenever the Spirit of the Lord is, there is freedom" 1Corinthian 3:17
Nyerere of our time in the making🙏🏻💪🏻
Kazi nzuri kaka yangu Humphrey Mungu azidi kukupa maarifa na hekima. Wewe chapa kazi tuu. Kwa maana SONGA MBELE USIRUDI NYUMA. Mungu akubariki na kukutunza
Rudi mzalendo wetu
Wahuni si watu nasema mzalendo tuwape muda tu
Wew unajua, wew unaspirit ya kulikomboa Taifa na Bara la AfricAfric We need to Magulify and Qaddafy Africa.
We ni mjamaa wa kweli pia Ni mwana Paniafricanist
🇹🇿🇹🇿👏🙏👍💪👏😊
Malawi 🇲🇼 kaebda mtu
Viongozi wapenda kutawala hupenda kutawa watu waliogizani polepole umepelekwa ubalozini sababu yake Watanzania ulianza juhudi yakuwatoa gizani.
Sasa Tunauza Macho yote yalioangalia Nyimbo za Zuchu _ Macho yamejaa kwa hewa tembea nayo ufurahie Maisha♿🚻🚮
Sasa Tunauza Macho yote yalioangalia Nyimbo za Zuchu _ Macho yamejaa kwa hewa tembea nayo ufurahie Maisha♿🚻🚮