![Amb. Humphrey H. Polepole](/img/default-banner.jpg)
- 386
- 1 217 959
Amb. Humphrey H. Polepole
Registrace 17. 06. 2007
Video
Amb. Polepole: Tanzania stands with Malawi
zhlédnutí 2,7KPřed rokem
Amb. Polepole: Tanzania stands with Malawi
Ambassador Humphrey Polepole Questions & Answers Malawi
zhlédnutí 3,4KPřed rokem
Questions & Answers the first international joint medical camp by Tanzania and Malawi, from 20th to 25th March 2023 at Queen Elizabeth Central Hospital in Blantyre. Come one Come all! #tanzaniaunforgettable
POLEPOLE: TUNATAKA MALORI YASICHELEWE NJIANI
zhlédnutí 10KPřed rokem
Tumejipanga kuondoa kabisa ucheleweshaji usio wa lazima wa Malori yanayopeleka Mizigo mbalimbali Nchini Malawi kwa kujenga Mahusiano mazuri na wana usalama wa Nchini Malawi. #twenzetumalawi #tanzaniaunforgettable #kataawahuni @tatoatz @tzinlilongwe
Amb. Humphrey Polepole MBC exclusive interview
zhlédnutí 4,8KPřed rokem
Malawi Broadcasting Corporation (MBC) exclusive interview with Ambassador Humphrey Polepole, High Commissioner of the United Republic of Tanzania 🇹🇿to Malawi 🇲🇼 Mahojiano ya Balozi Humphrey H. Polepole, Balozi wa Tanzania 🇹🇿 Nchini Malawi 🇲🇼 na Shirika la Utangazaji la Malawi (MBC) leo tarehe 22 Januari 2023. #tanzaniaunforgettable #twenzetumalawi #kataawahuni
ASIYEONA HILI NI ADUI WA NCHI - POLEPOLE
zhlédnutí 1,9KPřed rokem
Asiyeona Umuhimu wa Ushoroba wa Mtwara na Bandari za Mtwara na Mbamba Bay ni Adui wa Nchi yetu
Balozi Polepole: Ukubwa wa Afrika na Vita ya Ukreni
zhlédnutí 5KPřed rokem
Balozi Polepole: Ukubwa wa Afrika na Vita ya Ukreni
Kiswahili na Hadithi ya Mnara wa Babeli
zhlédnutí 1,3KPřed rokem
Kiswahili na Hadithi ya Mnara wa Babeli
Polepole: Karibuni Malawi, Mwalandilidwa ku Malawi
zhlédnutí 35KPřed 2 lety
Mwalandilidwa ku Malawi 🇲🇼 Mnakaribishwa Malawi. Tumekuwa tayali, Tuko tayari na Kazi inaendelea. Huko nyumbani na hapa Malawi bado Kazi ni Moja..
Mkutano wa Balozi Polepole na Wanahabari Malawi
zhlédnutí 14KPřed 2 lety
Maelezo yangu Mafupi baada ya Mazungumzo na Mhe. Lazarus Chakwera Rais wa Jamhuri ya Malawi kwa Wanahabari wa Malawi 🇲🇼 #tanzaniaunforgettable 🇹🇿
MIMI NAKWENDA MALAWI NA KUHUSU MABENKI
zhlédnutí 1,3KPřed 2 lety
MIMI NAKWENDA MALAWI NA KUHUSU MABENKI
POLEPOLE: TUPENDE NA KUWEZESHA VYA KWETU
zhlédnutí 2,7KPřed 2 lety
POLEPOLE: TUPENDE NA KUWEZESHA VYA KWETU
Uongozi wa Kimaadili - Ethical Leadership Jumamosi tar 23-10-21 USIKOSE
zhlédnutí 1,7KPřed 2 lety
Uongozi wa Kimaadili - Ethical Leadership Jumamosi tar 23-10-21 USIKOSE
Polepole: Msingi wa Mageuzi ya Chama - Kujitenga na Wahuni
zhlédnutí 2,7KPřed 2 lety
Polepole: Msingi wa Mageuzi ya Chama - Kujitenga na Wahuni
RAI YANGU KWA MAHAKAMA - WATOA HAKI WAJIONGEZE KATIKA KUTOA HAKI
zhlédnutí 1,3KPřed 2 lety
RAI YANGU KWA MAHAKAMA - WATOA HAKI WAJIONGEZE KATIKA KUTOA HAKI
Maelekezo ya Polepole Morogoro Soko Kuu
zhlédnutí 283Před 3 lety
Maelekezo ya Polepole Morogoro Soko Kuu
KUMBUKIZI: ZIARA YA POLEPOLE WILAYA YA MALINYI 2018
zhlédnutí 319Před 3 lety
KUMBUKIZI: ZIARA YA POLEPOLE WILAYA YA MALINYI 2018
POLEPOLE ATOA TAFSIRI YA MARIDHIANO YA KISIASA
zhlédnutí 419Před 3 lety
POLEPOLE ATOA TAFSIRI YA MARIDHIANO YA KISIASA
NYAKATI ZA MWISHO NA HUMPHREY POLEPOLE - WASAFI TV
zhlédnutí 276KPřed 3 lety
NYAKATI ZA MWISHO NA HUMPHREY POLEPOLE - WASAFI TV
TANZANIA YANG'ARA KIMATAIFA - SALAMU ZA CCM MWAKA MPYA 2019 YOUTUBE MODE
zhlédnutí 924Před 5 lety
TANZANIA YANG'ARA KIMATAIFA - SALAMU ZA CCM MWAKA MPYA 2019 CZcams MODE
CCM yawapa ukweli Mbowe, Zitto na Mbatia kutokukaa Majimboni - Twaweza Julai 2018
zhlédnutí 34KPřed 6 lety
CCM yawapa ukweli Mbowe, Zitto na Mbatia kutokukaa Majimboni - Twaweza Julai 2018
Nakuombea uwe rais
Wewe ndie rais wa tanzania
R.I.P.JPM
Huyu pole pole ni tu ni ya taifa
Nimebarikiwa na neno
Pale kwenye sukari saivi ndio tumejua kuwa kuna watu wanapamendea
Humfrey Mungu akubariki sana umenifundisha sana ila unakarama ya utumishi
Pole pole ni kweli mengi yametokea me naamini kweli siku zimeisha
Kumbe ujana ukiisha akili na msimamo hubadilika kiasi kikubwa mno. Mungu akujalie uone zile ndoto zako za ujanani. Maneno huumba.
Neno la Uzima MUNGU BABA WA Mbinguni Atubarikie sote
Tanzania wachamungu tunahitaji mtu kama wewe kukalia kiti cha raisi.
Yani Mtumishi utakuwa raisi wa nchi ya Tanzania upende usipende naisubiri hiyo siku kwa hamu sana.
Amfrey polepole wewe ni raisi ajae wa nchi ya Tanzania sidhani kwamba hujui jambo hili naomba uliombee na weka moyoni haya na ukumbike
Be blessed
Thanks so Munch
Sasa Tunauza Macho yote yalioangalia Nyimbo za Zuchu _ Macho yamejaa kwa hewa tembea nayo ufurahie Maisha♿🚻🚮
Sasa Tunauza Macho yote yalioangalia Nyimbo za Zuchu _ Macho yamejaa kwa hewa tembea nayo ufurahie Maisha♿🚻🚮
Sasa Tunauza Macho yote yalioangalia Nyimbo za Zuchu _ Macho yamejaa kwa hewa tembea nayo ufurahie Maisha♿🚻🚮
Polepole kiongozi sina shaka nae
Ukweli nkwamba ccm wanaogipa kuruhusu katiba kwasababu mbili 1 hiii nchi hii ikiwa na katiba huru watang'oka kwasababu wao wenyewe wamegawanyika ndani na kura nisiri koo wakiwa hawaja ridhiana ndani kama kipindi chalowasa alipat kura nyingi sana zingine waliuza wenyewe koo ukichanganya na kura zawapinzani ccm hawatoboi nasiyo kwamba hatujuwi tunajuwa kuwa uraisi nitaasisi inayo chaguliwa na mfumo sisi niwawakilishi hata kwenye maamuzi hatumo nasaizi ndombaya wabunge wanaheshimu chama kuliko wananchi chama kikimtangaza ndokiongoz tunaletewa kiongozi nchi hii inamambo ya hovyo sana nchi yakifalume hii
Hizo dawa za kutoka Cuba mheshimiwa polepole, lini?
Your honor the ambassador! I congratulate you very much for the efforts you have been doing in Malawi and now in Cuba as regards to health issues that will benefit Tanzanians. I humbly request you to communicate with Dr Awath of CCM secretariat on matters of my benefits arising from the noble work I did as regards to CCM assets during your term in office. The issue needs some one to proof that I am the person who reported the matter to the authority 1n 2017. Please your honour may you assist. Best regards.
Tanzania is blessed to have you, Kaka
Polepole nikichwa sana
Hakika pole pole nimfano wa kuigwa Ili tupate viongoz Bora lazima Tupime Imani zao wanamtegemea Nini axante
Mlafi wa madaraka ni CCM au Wapinzani nyinyi jidaini na mulewe na madaraka iko siku mutaondoka katika madaraka na mutazofika na mutadhalilika kama muvyowadhalilisha wenzenu hamuna hata chembe ya imani na huruma wanafiki wakubwa
Kusema Tanzania inabahati ni uongo. Tanzania ni inchi yenye madini mengi na Raiya Masikini sana. Utaitafusuti vipi hio hali. Hapo ndipo tunajidanganya wafrika.unajufikiria kua Salama kumbe taabani kana wengine. Ukisema uko salama Lazima maisha ya Raiya yawe bora. JPM KAYAONA HAYO na kuanza vita. Kwa hio Afrika Hakuna inchi inayo salimika na Upuraji.
💪💪
Kaka Polepole hongera kwa kazi unazozifanya. Kuna jambo naomba nikushirikishe. Naomba kuwasiliana na wewe
Talented leader Tanzania 🇹🇿
This is another Nyerere and Magufuli
🇹🇿🇹🇿👏🙏👍💪👏😊
Amen
woow
Somo nzuri sana
Jamani kila.aliyesikia ujumbe huu asijadili chakufanya Ni kujianda kwenda mbingun
Najikumbushia tu, wakati huu ulipita ambao mambo mengi tuliyahusudu kutoka kwa viongozi wazalendo
Huyo ndiyo atakae kuwa Rais wa baadae au waziri mkuu wa Tanzania hata mama akimpiga danadana vipi huyo bado anapendwa sana na watanzania huyo ni kama hayati magufuli
Wote wachumia tumbo Tu hawa,,
You Polepole whom I admire in my entire life.🔥🇹🇿
Lilian huna utulivu
Hamfley barikiwa., kwa ufahamu mdogo ulionao juu ya uliyosema ila jifunze vizuri kwani kuna mambo hujui kuyafundisha kama yamanishwavyo kwenye maandiko, pengine ni msingi wa imani yako uliyo uliyofundishwa, ila omba sana ujifunze ujue ili uokolewe😀😀😀 nimependa ujasiri wako wa kuongea unachokijua lakini brother yangu, unania ya kuujua ukweli. Ila jifunze zaidi maandiko.
MIMI NI MTHIOLOJIA MWENYE MASTERS ULIYOZUNGUMZA HON. AMBASSADOR H.P NI MAKUBWA MNO ILA SINA COMMENT YA MOJA KWA MOJA YA KUSUPOORT AU KUTOSUPOORT. NIENDELEE KULIWEKA KATIKA MABANO KAMA ILIVYO KWA WATHIOLOJIA WOTE. BADO HAKUNA AJUAYE MWISHO
Ki akili na ksissa na kiuchumi na kiongozi haka kajamaa Kako mbali siyo yule jamaa ambae Hana degree yeyote kazi yake ni kulalamika eti oooh Mimi nimehangaika na ccm mpaka nikavunjika mkono halafu hiyo jamaa ana kisrani kibaya sana ambacho hakiishi ndiyo maana wanasemaga elimu ya mjinga ni majungu na mipasho na kutojiamini sasa mtu kama huyu akipata urais wa nchi itakuwa balaa sana Kwa sababu ana kisrani sana haiwezrkani mpaka Leo Bado unaponda mtu ambae ameshatangulia mbele ya haki madaraka yenyewe unayopewa ni Kwa ajili ya huruma tu lakini yeye bas Kwa mdomo usipime ana mipasho huyo
🫡🫡🫡
Kiswahili kiinuliwe!!
Kwa waonaji macho ya Rohoni, Huyu ni Rais wa Jamhuri ya muungano kwa nyakati zijazo .
Am agree with you excellent ambassador polepole we stand together with people of malawi in this critical situation and their pain is our pain
It's really inspiring .Actually you're adding feasibility and popularity. Let's work and we will see impacts ahead.
Congrats for good work. I highly appreciate your work. May GOD BLESS YOU.