CCM yawapa ukweli Mbowe, Zitto na Mbatia kutokukaa Majimboni - Twaweza Julai 2018

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 09. 2024
  • Mjada katika Matokeo ya Utafiti wa Twaweza Julai 2018

Komentáře • 58

  • @habibamhina9075
    @habibamhina9075 Před 4 lety

    Hawakai majimboni mwao,kazi kuzunguka majimboni ya wenzao kufanya uchochezi,ndio wanaloliweza na kunywa faru John,wameisha hao,waliungana 2015 hawakuweza na sasa na waungane wakusanye milima na mawe pia hawataweza, watanzania tumejibiwa Sana tena zaidi ya Sana,CCM ndio mpango mzima👍

  • @kassimandrea8540
    @kassimandrea8540 Před 6 lety +5

    Polepole wewe jembe Magufuli anamaono mazuri yaani anateuwa watu wazuri wachapa kazi, wazalendo na wenye Uchugu na Taifa lao Hongera Polepole Hongera Rais wetu Magufuli Mungu ibariki inchi yetu Amini amini amini.

  • @mayalajohn3167
    @mayalajohn3167 Před 6 lety +7

    Polepole uko vizuri

  • @brodimgweno9077
    @brodimgweno9077 Před 6 lety +4

    Aiseee hapo kweli umewapa ukweli hawafanyi mikutano alafu wanalalamika hawapati uhuru wa kufanya mikutano

  • @heykids6792
    @heykids6792 Před 6 lety +4

    nakuelewa mno! pole pole

  • @austridhaule8747
    @austridhaule8747 Před 4 lety

    Polepole unatosha sana CCM, Hawa wengine wanatwanga maji, na maono yao wameyafungia ndani kwao.

  • @ibrahimgwasma235
    @ibrahimgwasma235 Před 4 lety

    Yah ,hao akina Mbowe saiz yao ni pole pole na Akina Katambi na msemaji wa serikali cyo Magufuli

  • @reymshana4923
    @reymshana4923 Před 6 lety +2

    Much respect bro Polepole.

  • @hassansamata3666
    @hassansamata3666 Před 6 lety +5

    Ahsante polepole

    • @petermagele4488
      @petermagele4488 Před 6 lety +2

      sikuweza kuiona hii ndaa polepole ukovzr kijana mpaka wazee wamekaa mbowe kawa mdogo km kinucta

    • @danielbugwema6969
      @danielbugwema6969 Před 6 lety +1

      Hassan Samata pole pole hapo ndo mahali pako mdogo wangu kwenye ukatibu wenezi hapana au ungepewa mkoa uwe mtendaji tu maana jukwaani unapwaya maana huwezi uongo ndg nimkweli na muwazi nkukubali sana

    • @raymondroyer7414
      @raymondroyer7414 Před 6 lety +1

      Pole pole you are always smart level nyingine kabisa nakukubali unaongea kwa mantiki falsafa inayoakisi uhalisia sio siasa za ubwatukaji kujipatia cheaply popularity kama jamaa aliyekuwa hapo awali CCM for real CCM for life big up

  • @teddykanondo5753
    @teddykanondo5753 Před 3 lety

    POLE POLE NI KIONGOZI NDANI YA CCM ANAYEKIFANYIA KAMPENI CHADEMA MCHUNGUZENI SANA.

  • @chindorokarim7209
    @chindorokarim7209 Před 6 lety +5

    Yaani mbowe kawa mdogo hivi kwa polepole

  • @ramadhanikhalfan4983
    @ramadhanikhalfan4983 Před 4 lety

    Ccm oyeee

  • @mohammedmnyimbi3688
    @mohammedmnyimbi3688 Před 6 lety +7

    Mboe huna ubavu wa kusimama na polepole, umesha choka

  • @olemollel5565
    @olemollel5565 Před 5 lety +1

    Polepole Good boy

  • @harbumdoe4538
    @harbumdoe4538 Před 6 lety +3

    Uko vzr pole pole.

  • @habibamhina9075
    @habibamhina9075 Před 4 lety

    Sema mwenezi, huyo mbowe kavaa miwani lakini haoni mbali,amkalia ujinga Tu,

  • @khamisalikidarasa6331
    @khamisalikidarasa6331 Před 4 lety

    Pole Pole usiwafanye watanzania mambumbu watanzania wanaakili timamu wapinzani wote wakiomba vibali wanaambiwa usalama hauruhusu na viongozi wote wa upinzani ndivyo wanavyoambiwa na jeshi la polisi utasemaje mikutano haijazuiwa sema ukweli usiseme uongo watanzania watawahukumu kwa uongo wenu na M/ Mungu anaona na atalipa kwa udhalimu wenu.

  • @elisantewawa5824
    @elisantewawa5824 Před 4 lety

    Kweli mbowe ni cha pobe huwezi sema jia zipo yingi za kuwasiliana na watu wako jia kuu ya kutatua shida za watu ni kuwepo jimboni usikilize kero za watu masikini amba hata mitadoo hawaijui pia huwezi tatua shinda kweye mitadao hai mbunge hamna

  • @charlesmataba6931
    @charlesmataba6931 Před 6 lety +9

    MR MBOWE YOU MUST SURRENDER YOURSELF BECAUSE POLE POLE IS A REAL POLITICIAN AND ACTIVIST

  • @arafaswalehe4660
    @arafaswalehe4660 Před 4 lety

    Kumbuka,we hamphule ,baada ya hayo maisha ipo hukumu inakuja naona ujui kama mungu atakuita ujibu

  • @humphreymbwana4118
    @humphreymbwana4118 Před 4 lety

    Una hekima sana Mbowe Mungu Azidi kukuinua juu sana

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Před 3 lety

    Nini tena jamani

  • @farajihokororo1806
    @farajihokororo1806 Před 6 lety +4

    Kweli kabisa polepole jamaa hao wamezoea kupinga mikutano fanyeni na walio wachagua sehemu husika Uhuru bila sheria ni fujo

    • @reymshana4923
      @reymshana4923 Před 6 lety

      Faraji Hokororo nmekubali Uhuru bila sheria in fujo.Kwel bro.

  • @ramadhanikhalfan4983
    @ramadhanikhalfan4983 Před 4 lety

    Hakuna kama John pombe Magufuli

  • @vintz338
    @vintz338 Před 4 lety

    Uhuru ukipitiliza co mzur hasa kwawabongo,Kam cm tu mitandao inatushinda Mambo mengine Uhuru ucwepo tu

  • @mayungahima1987
    @mayungahima1987 Před 4 lety

    umenyambua vipi ungeachia full spech ya mbowe iwe uedit? 1

  • @humphreymbwana4118
    @humphreymbwana4118 Před 4 lety

    MBOWE unajua kujieleza sana sana asilimia mia moja

  • @maximilianalphonce1672

    Pole pole we ni kichwa

  • @elminakalunga4030
    @elminakalunga4030 Před 6 lety +1

    Kwa kuwa hawatimizi wajibu wao majimboni, wamejizushia kesi ili kuficha vichwa vyao mchangani kama mbuni.

  • @StephenMJohn-hx8gu
    @StephenMJohn-hx8gu Před 6 lety +1

    Kweli kabisa.

  • @charlesmataba6931
    @charlesmataba6931 Před 6 lety +1

    SIJAELEWA VZURI NAONA KAMA MALUWELUWE HEBU POLE POLE AMEMSHNDA MBOYE KIHOJA??

    • @allaminsongoro2480
      @allaminsongoro2480 Před 6 lety

      Charles Mataba NDIOOOOO madai ni mikutano ya hadhara wanaambiwa IFANYIKE MAJIMBONI KWA MANUFAA YA WATU WAO JE WAKO WAPI? MAJIMBONI AU DAR? usicho elewa nn? Wao Sera ya ni uanaharakati zaidi kuliko kuletea maendeleo watu wao na wanacho taka ni mukutano ya jangwani unga ltd nkd tena wawe wote timu yao ya ubishi hilo linamsaidia nn MTU wa vunjo na ujiji? TAFAKARI DOGO

  • @bulubamabelele2311
    @bulubamabelele2311 Před 6 lety +1

    Mbona timu yote ni Team against CCM....!

  • @issaabubakari5950
    @issaabubakari5950 Před 5 lety

    Duh

  • @remmysbrand
    @remmysbrand Před 4 lety

    Hapana Polepole huo ni upotoshaji Kaka,Mbowe ni mwenyekiti wa CDM kama alivyo Mh. JPM ndani ya CCM!
    Mbowe ana haki ya kufanya mkutano wa hadhara popote Tanzania alimradi tu liwe ni Jimbo ambalo linaongozwa na Chadema.
    Lakini pia,tulenge zaidi Freedom of Expression,Free and fair election + Political Tolerance.

    • @wechemakambo2182
      @wechemakambo2182 Před 4 lety

      Hata Magufuli hafanyi mikutano ya hadhara km mwenyekiti wa ccm bali kama Rais wa Tz....Ukiona anajiachia kwa uccm basi ujue ni kwenye Uwanja wa Mpira unaomilikiwa na ccm ...jua hilo ccm inafundisha siasa,hata Marekani,Kanada,Israel nk chama kilichoshinda huwa kinaachwa kifanye kazi mpk muda wa michakato ya kampeni.

  • @chipagafashion
    @chipagafashion Před 6 lety +2

    Nimekuelewa sana wao propaganda nying ndo tatizo

  • @fidemgina9979
    @fidemgina9979 Před 4 lety

    Walipigwamalufuku kama awakupigwamalufuku mbona walikuwa wakiandaa mkutano wanazuwiliwa apolisi

  • @kajanjaahamadi7550
    @kajanjaahamadi7550 Před 6 lety

    mmmhh wee ujitambui bor nape

  • @frabomdemwa8880
    @frabomdemwa8880 Před 4 lety

    polepole ni mwendawazimu wa madaraka bwege saana huyu aliwahi kusema ataikosoa serikari na haogopi kufa na atakufa siku 1 kama alivyo zaliwa sasa anadhani yeye wenzie wanaogopa bwege zote hizo

  • @samuelgodfreymwambashi8835

    Nashindwa kushangaa!!! Rais wa TLS ni mwanachama wa chadema?!!!!

  • @mayaratabu3509
    @mayaratabu3509 Před 4 lety

    Lakini mbowe ni mwenyekiti wa taifa wa chama nadhani anatakiwa kufanya mikutano Tanzania nzima na siyo Jimbo peke yake

  • @fredytarimo1936
    @fredytarimo1936 Před 6 lety

    Mie sijaona hoja za maana za polepole.hapo yeye hana hata kesi moja mahakamani lakini akina mbowe kila kukicha police mahakamani saa ngapi wataongea na wananchi wao?pole pole pia ni haki yake kutetea tumbo lake.😂😂😂😂😂

  • @frabomdemwa8880
    @frabomdemwa8880 Před 4 lety

    fala wewe mnawagiza polisi wazuie na ma d c

  • @fidemgina9979
    @fidemgina9979 Před 4 lety

    Acha ujinga wewe polepole tena nyie ndomtakao ingiza inchi kwenyemachafoko

  • @teddykanondo5753
    @teddykanondo5753 Před 4 lety

    MBOWE FANYA SIASA MAGUFULI TUNAMFUNGA ICC. USHAIDI NA VIDEO ZOTE ZIPO. NDEGE ZOTE HASARA TU. ZIKIRUKA ZINAKAMATWA KWA AJILI YA MADENI YA NCHI. POLEPOLE HANA LOLOTE UNAFIKI TU. CCM WANAFIKI NA WEZI WAKUBWA.