Video není dostupné.
Omlouváme se.

MAHOJIANO YA HUMPHREY POLEPOLE NA STAR TV

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 2. 12. 2021
  • MAHOJIANO YA HUMPHREY POLEPOLE NA STAR TV

Komentáře • 145

  • @mabulasiminti5194
    @mabulasiminti5194 Před 2 lety +5

    Nakuapia kama Yesu ajaja utakula rais wa tanzania kwa jina la BWANA WA MAJESHI

  • @emmanuelasukile6275
    @emmanuelasukile6275 Před 2 lety +12

    Nyerere anaishi ndani ya polepole, kijana mwenye utulivu na asiyepanic na mwenye uwezo mzr wa kujibu maswali bila kutoka nje reli, Nakuelewa sana kijana naamin siku moja tutakupatiah dhamana ya kuongoza nchi yetu ili awa wauni uwateketeze maana ndio wanaidhalilisha CCM

  • @happymakoye2329
    @happymakoye2329 Před 2 lety +8

    Yaaani mradi wa bwawa la mwalimu Nyerere ukamilike vinginevyo mawe Moyoni mwa Watanzania yatatoka kuja mkononi. Hiiiiiiiii watuchochee tu kwa mi maneno isiyo na tija tunataka "HAPA KAZI TU"

  • @kelvin7ithuiumwasamaki987
    @kelvin7ithuiumwasamaki987 Před 2 lety +15

    Huyu jamaaa Ni msomi Sanaa na anajua kufikilia!! Ila akina nape wanakurupuka!!

  • @makaverykiongoz
    @makaverykiongoz Před rokem +1

    polepole ni kiongozi kijana na mfano wa kuigwa hongera cn brother tupo nyuma yako!!!

  • @djumaally5601
    @djumaally5601 Před 2 lety +8

    I'm from Romania actually this him is intelligence person his knowing politics

  • @ooafrica3626
    @ooafrica3626 Před 2 lety +7

    Asante sana Polepole, wewe ni rais ujae

  • @josephnchunga1247
    @josephnchunga1247 Před 2 lety +8

    Huyu polepole sio wa mchezo Kijana safi sana ana uwelewa Mkubwa huwa anajenga point sana

  • @ooafrica3626
    @ooafrica3626 Před 2 lety +7

    Africa tunahitaji akna Polepole wengi

  • @ooafrica3626
    @ooafrica3626 Před 2 lety +10

    Polepole nkiskia sauti yako napata nguvu

  • @wadeelegbogun3015
    @wadeelegbogun3015 Před 2 lety +13

    MH POLE POLE OYEEEEEEEE. Tunakuheshimu sanaa, wewe ni kiboko ya CCM na katiba yetu ya CCM.

  • @emmanuelasukile6275
    @emmanuelasukile6275 Před 2 lety +5

    Naamin utaanza na yule aneongea kwa miemko kule bungen kana kwamba kunakitu kichwan kumbe mavi tuu, Nakuamin broo, piah namwamin piah Bashiru Ally tunawategemeah sanaaaa

  • @wadeelegbogun3015
    @wadeelegbogun3015 Před 2 lety +10

    MH.POLEPOLE OYEEEEEEEE japo wamekata, serikali iacheni Tanzania kwa amani. JPM TUTAENDELEA KUMKUMBUKA DAIMA.

  • @happymakoye2329
    @happymakoye2329 Před 2 lety +6

    Pamoja sana comrade Polepole

  • @fadhilichilumba8946
    @fadhilichilumba8946 Před 2 lety +8

    The new leader is born

  • @ooafrica3626
    @ooafrica3626 Před 2 lety +13

    Africa we need more people like Polepole in Africa

  • @bienfaitlongangi4582
    @bienfaitlongangi4582 Před 2 lety +1

    Pole pole kwetu congo tuna sema courage courage tena sana courage .

  • @plaxedamazimba5578
    @plaxedamazimba5578 Před 2 lety +5

    Hakika wewe ni kiongozi. Watanzania tuko pamoja nawe na tunakuombea sana kwa Mungu akulinde na kukuongoza akuepushe na mabaya.

  • @deusdebitkowa9657
    @deusdebitkowa9657 Před 2 lety +4

    Makamba Januari hafai kabisa,uhuni mwingi sana.

  • @worldtv9049
    @worldtv9049 Před 2 lety +1

    Ee Mungu wachawi wote,wanaotutesa watanzania na wasiotakia mema Tanzania,wafe.

  • @jacobomichael1395
    @jacobomichael1395 Před 2 lety +6

    YAANI HAPO VIMEUMANA 😄😄,, BG, UP,, ALOYS NYANDAA!!""" HAPO UNAPATA SHULE YA UONGOZI!!,,, NAWASHUKURU XANA KWA HII BG, AGENDA 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿,,, 🙏🙏🙏🙏 TANZANIA KWANZA 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @mohammedmdangwe2056
    @mohammedmdangwe2056 Před 2 lety +5

    Huyu mama na january ni wasaliti wa nchi lilipitisha hilo bwawa 2025 wananchi tutawaadhibu

  • @mathewseverine9962
    @mathewseverine9962 Před 2 lety +5

    Mh polepole naamini ww n rais ajaye hapo bdae

  • @emmanuelasukile6275
    @emmanuelasukile6275 Před 2 lety +2

    Mungu akulinde wasije wakakudhuru combed wetu

  • @williamkavavila608
    @williamkavavila608 Před 2 lety +4

    HONGERAA. ..Comrade Polepole

  • @zanarttz4335
    @zanarttz4335 Před 2 lety +7

    ALIPATA ELIMU ALIYOPEWA NA ANAWEZA- MWENYEZI MUNGU KAMJALIA KWA UPANDE HUO

  • @peterjanuary7972
    @peterjanuary7972 Před 2 lety +1

    Nimekuelewa ndg hamprey polepole mungu akubaliki yote mazuri tuyaone kwa wakati..

  • @fredrickshantiwa9710
    @fredrickshantiwa9710 Před 2 lety +6

    Hahahaha.heeee aiseee pole pole kiboko...ww no Rais ajae

  • @josephmkindi4633
    @josephmkindi4633 Před 2 lety +6

    Uyu ni mtu na nusu yaan,,,our future president keep moving

  • @hezekiamtera3559
    @hezekiamtera3559 Před 2 lety +1

    Ndugu yangu Polepole kuwa mkweli katika hilo.Mungu yupo anaona

  • @pascalmakondo7976
    @pascalmakondo7976 Před 2 lety +5

    Haphley anajua kujenga hoja

  • @JacksonNovatM
    @JacksonNovatM Před 2 lety +1

    Mhe. Polepole nakubaliana wewe kwa baadhi ya masuala lakini suala la kuzuia mikutano ya vyama siasa we kubali kuwa mlikosea sana. Naomba usome kijitabu cha Mwl. Nyerere kiitwacho TUJISAHIHISHE. Ukikosea, kiri, jisahihishe na songa mbele.
    Mlivuruga sana siasa na mazingira ya kisiasa ya nchi hii. Kwa hilo muwaombe msamaha Watanzania.

    • @masanjanyanda9775
      @masanjanyanda9775 Před 2 lety

      Bro nazani ww pia ni mtanzania hakuna hata sku moja mikutano ya kisiasa ilizuiliwa isipokuwa iliwekewa utaratibu kitu ambacho ni sahihi kwa karne ya 21 tuskalili na kuwa mawe utaratibu ni kuwa mbunge ambaye ni mwakilishi wa Jimbo ni riksa kufanya mikutano hiyo ktk Jimbo lke, kumbuka kujenga nchi watu lazma wafanye kazi sasa unaposema ilizuiliwa sjui uelewa wko ukoje au lengo lko ni lipi

  • @phabianstephano8279
    @phabianstephano8279 Před 2 lety +2

    Muuliza MASWALI mjanja mjibu MASWALI mjanja

  • @ndinnoe2020
    @ndinnoe2020 Před 2 lety

    Polepole tunampenda sana

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 Před 2 lety +1

    Miaka iende 2025 Kuna jambo kubwa lakihistoria kubwa mtaona

  • @ooafrica3626
    @ooafrica3626 Před 2 lety +2

    Nakukubali knoma yani

  • @mohammedmdangwe2056
    @mohammedmdangwe2056 Před 2 lety +4

    Hiyo habari ya corona watu wamekosa mboleya siyo kweli mbona Zambia mboleya sh.65000 Tanzania sh.130000 wakati inapitia bandari ya Dar ni uhuni tu tanzania

    • @dicksonaroka6961
      @dicksonaroka6961 Před 2 lety

      Na pole pole ameamua kuuweka tu hvyo hvyo lakin anajua kua ni uhuni ndo unaoendelea haiwezekan mbolea kutoka elfu 50 mpaka kufika lakin na yaaani bei mara mbili haiwezekan hata mm nakataa

    • @robertsimpungwe3901
      @robertsimpungwe3901 Před 2 lety

      Uko zambia gani wewe

  • @sabraham5308
    @sabraham5308 Před 2 lety +4

    Siasa hatutaki,tunataka maendeleo ya kweli,tunataka maji,umeme na maisha mazuri.

  • @drgeraldcubwa481
    @drgeraldcubwa481 Před 2 lety +2

    Mtanazaji nafikiri hujaelewa vizuri.Mikutano ya hadhara haijakatazwa.Mbunge anaruhusiwa kufanya mikutano katika jimbo lake lakini mkutano wake uwe wa kistarabu .siyo kutukana watu
    Mfano,ilani ya CCM imesema tutajenga barabara sehemu x ,sasa kama hili halijatekelezwa inaweza kuwa nyundo ya wapinzani kuwapondea CCM kiustarabu kabisa.

  • @ipyanangajilo226
    @ipyanangajilo226 Před 2 lety

    Pole pole ....

  • @shabbyprotus6552
    @shabbyprotus6552 Před 2 lety

    Pole pole ni msomi kabisa uko vizuri kaka

  • @wadeelegbogun3015
    @wadeelegbogun3015 Před 2 lety +5

    Wanajifanya miungu watu, mda wao umefika mh.polepole

    • @madetetv6576
      @madetetv6576 Před 2 lety

      Si ndo akina polepole sasa ndo walijifanya miungu watu

  • @princekagame8203
    @princekagame8203 Před 2 lety

    Sjui,nani alimchagulia mom huy waziri, maana Najua kiukweli kwa utuuzima alionao asingeweza kumpa hata ujumbe wa nyumba 10, lakn ee mungu mwenye kujua mambo tuokoe baba😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @victorwilliam1111
    @victorwilliam1111 Před 2 lety +3

    Imeeleweka

  • @raujohn8238
    @raujohn8238 Před 2 lety

    Mh pole pole upo vizuli sana mimi ninazani uyu ndio kiongozi wakuongoza tanzania kwa sasa na nina kwambia kuna watu wanamuogopa sana ndugu polepole kwa sababu uyu yupo safi

    • @madetetv6576
      @madetetv6576 Před 2 lety

      Nawe mhuni tu kumbe aje aongoze kwanza familia yako ndo aje nchi

  • @innoconnection7432
    @innoconnection7432 Před 2 lety +3

    Polepole

  • @innoconnection7432
    @innoconnection7432 Před 2 lety +4

    MH.POLEPOLE

  • @lizyliz5357
    @lizyliz5357 Před 2 lety +1

    Mungu yupo

  • @uhalisiatv7375
    @uhalisiatv7375 Před 2 lety

    Talented sana

  • @abubakarharuna6712
    @abubakarharuna6712 Před 2 lety +4

    Shule vp kule nduguyangu tumemiss hau amna tena

  • @samsonmaiko6089
    @samsonmaiko6089 Před 2 lety

    Hata Mimi nasikia Wana kwamisha mradi wabwawa Hilo ili wauze Genereta na mafuta kwamasilahi yao!! Mradi huo unaonekana una faida wahuni acheni ukamilike mizimu ita wanyonga.

  • @princekagame8203
    @princekagame8203 Před 2 lety

    Bgp sana Humphrey 👏👏👏👏👏👏👏

  • @dr.swagztv3559
    @dr.swagztv3559 Před 2 lety +2

    🙏

  • @eddymidi9241
    @eddymidi9241 Před 2 lety

    Mahojiano mazuri sana muuliza maswali na mjibu maswali wako ktk viwango vya kimataifa ila sound was poor quality star tv mko kwanye game muda mrefu hebu jiongezeni ili wasikilizaji tusihishie katikati kusikiliza mada muhimu kama hizi.

  • @dyangwe
    @dyangwe Před 2 lety +2

    Ase❣️

  • @stevenmengo8356
    @stevenmengo8356 Před 2 lety +3

    Siasa siyo maandamano na milutano ya hadhara.

  • @fkilawa
    @fkilawa Před 2 lety

    ❤❤

  • @erickchitumbi1308
    @erickchitumbi1308 Před 2 lety

    Polepole hauna mkali zaidi yako

  • @wadeelegbogun3015
    @wadeelegbogun3015 Před 2 lety +2

    WAHUNI, MAFISADI bado yapo mmh

  • @mohammedmdangwe2056
    @mohammedmdangwe2056 Před 2 lety +2

    Rais mtarajiwa 2025 tupo pamoja kiongozi

  • @bakermusa9033
    @bakermusa9033 Před 2 lety

    Kwa Mujibu wa mnyumbuliko

  • @isiakamfugale3621
    @isiakamfugale3621 Před 2 lety +1

    Pole pole anakwepa swali 🤣🤣🤣🤣

  • @kennethmwalukama2009
    @kennethmwalukama2009 Před 2 lety +1

    Huyu ni madini MTU. Achana na wahuni. Nchi hujengwa na wazalendo sio wahuni.

  • @kiatu
    @kiatu Před 2 lety

    Na sisi wenye kiswahili lakini katika national TV tuna vichwa vya vipindi kama “THE BIG AJENDA”. Hivi tunafeli wapi😬.

  • @johannesmaloda8209
    @johannesmaloda8209 Před 2 lety

    Wahuni ni.... Napa nauyo,January manyunz,Bernard Morrison,na baba la baba Mrisho mpoto

  • @amalikakiva4937
    @amalikakiva4937 Před 2 lety

    Ya

  • @kiatu
    @kiatu Před 2 lety

    Kwa utaratibu wa sasa, sio rahisi kutenganisha chama na serkali.

  • @farijalakhalid5558
    @farijalakhalid5558 Před 2 lety +3

    Hapo kwenye winchi nimeona kweli beberu na muhuni anakwamisha

  • @sebastianissayaissaya4689

    Hapo kwenye mikutano ya adhara mh. Anarukaruka tu katiba imekanyagwa

  • @sebastianissayaissaya4689

    Bro nyanda uko viziri maswali yako ya moto

  • @samwelipima3795
    @samwelipima3795 Před 2 lety

    Hakuna haja ya kuelezea legs ya serikali ya awamu ya jpm yaan serikali ya awamu ya tano

  • @abdallahathumani4012
    @abdallahathumani4012 Před 2 lety +5

    Comred pole pole wewe ni hazina kubwa

  • @isaackmwakalobo2919
    @isaackmwakalobo2919 Před 2 lety

    Uzarendo uzarendo ni muhim sana.

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Před 2 lety

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌✌

  • @michaelkatamba1080
    @michaelkatamba1080 Před 2 lety

    Hahahahahaaaa swali ni kwamba iweke wazi hiyo sheria, kanuni na muongozo ambao unakataza mikutano ya siasa tena ya hadhra ili wananchi wasilirudie rudie kuomba au kutaka mikutano hiyo, lakini jibu linajibika kihuni (kupoka haki ya mtu kihuni)

  • @estermathias8354
    @estermathias8354 Před 2 lety +1

    Ila huyu nyanda n mnafiki huyu mxuu.

  • @sabraham5308
    @sabraham5308 Před 2 lety

    Siasa bwana,ni mambo ya uwongo uwongo,Huyu Polepole ni mbabaifu sana,tatizo la mtu mbabaifu,unakuja kumdhuru mwenyewe,na mtu muongo ni mtu aliyelaaniwa.

    • @eliaslazaro2809
      @eliaslazaro2809 Před 2 lety +2

      Muhuni niwew ambae hunauzalendo.polepole nimzalendo wakweli.

    • @sabraham5308
      @sabraham5308 Před 2 lety

      @@eliaslazaro2809 wacha kumtetea mtu muongo

    • @selegioelias9076
      @selegioelias9076 Před 2 lety +2

      Amekudangani nini wewe tilia kama hujaelewa

    • @sabraham5308
      @sabraham5308 Před 2 lety

      @@selegioelias9076nyote nyinyi ni wasuku mmekosa kazi za unyanyasaji,watu/raia wema,watu wasiojulikana mmekosa ajira,uonevu ulizidi wakati ule,Mungu mkubwa.

    • @lizyliz5357
      @lizyliz5357 Před 2 lety

      @@sabraham5308 muongo ni wewe. Mnakosa uzalendo sijui mna nchi ya kwenda wenzetu

  • @songolomgallah4017
    @songolomgallah4017 Před 2 lety

    Pole pole ni hadhina ya taifa

  • @jackson2120
    @jackson2120 Před 2 lety

    raisi ajaeee

  • @daudimchileg307
    @daudimchileg307 Před 2 lety

    Bola ufe

  • @albanohokororo1729
    @albanohokororo1729 Před 2 lety

    Pesa au mkopo

  • @ooafrica3626
    @ooafrica3626 Před 2 lety +2

    Popote alipo Polepole nm npo

  • @selegioelias9076
    @selegioelias9076 Před 2 lety +1

    Mhuni siyo mtu

  • @herbertsamuel5324
    @herbertsamuel5324 Před 2 lety

    Kiroboto ktk ubora wake

  • @jackson2120
    @jackson2120 Před 2 lety

    raisi ajae na uzalendo wa kutosha ni pole pole tu

  • @bibletv9818
    @bibletv9818 Před 2 lety

    Au mnasahau kwamba hata kauli ya Rais ni sheria? Sasa Rais kasema no, mnaiachaje kauli yake na kukimbilia lawama za akina fulani?

  • @madetetv6576
    @madetetv6576 Před 2 lety

    Hakuna kitu hapo polepole ndo mhuni kabixa mwaka jana alikuwaje huyu jamaa saiv amepokwa kijiti anajifanya wa wananchi hakuna kitu hapo

    • @husseinmkanga7794
      @husseinmkanga7794 Před 2 lety +1

      Usiongee usiyoyajua JPM ndio alimtoa Polepole kwenye wenezi akampa ubunge na bado mbunge sasa ameporwa nini?

    • @samwelipima3795
      @samwelipima3795 Před 2 lety

      We unandg ktk wahuni

    • @madetetv6576
      @madetetv6576 Před 2 lety

      @@husseinmkanga7794 uenezi hajamtoa JPM ww usijidanganye ni SAMIA kamtoa kule kampa ubunge sasa ubunge wa kupewa ninini na ww ni cheo kivuli tu hicho ni mbunge wa wapi huyu ? Mtu ambaye alikuwa. Mwenezi akitoa amri inasikika na inafatwa sasa leo mbunge ambae anaonywa mpaka na akina shaka alafu hajaporwa.

    • @madetetv6576
      @madetetv6576 Před 2 lety

      @@samwelipima3795 ndo hao akna polepole

    • @asiliyakechuma4319
      @asiliyakechuma4319 Před 2 lety

      @@madetetv6576 kumbe na ww muhuni

  • @Kijana-wa-Tanzania
    @Kijana-wa-Tanzania Před 2 lety

    Polepole ameishia kukwepa swali la msingi “ni miongozo gani inayokataza wanasiasa kufanya mikutano ya hadhara” karukaruka tu hamna kitu hapo!

  • @fredymgissa2485
    @fredymgissa2485 Před 2 lety

    €fsp

  • @seifsungura6936
    @seifsungura6936 Před 2 lety

    Sikubaliani nawe...hapo umepepesa....soma katiba...usiletee ujinga...ndo maana umepoteana....waliotunga katiba unawaona wajinga??? Mmezoea kusigina katiba yetu ....

  • @shabaniabdu1312
    @shabaniabdu1312 Před 2 lety +6

    Muandishi pamoja unajua sheria lakini utambue mikutano ya kampeni ni kwa ajili ya uchaguzi, na baada ya kampeni kuna mikutano ya maendeleo ya nchi. Ni wazi ndivyo inavo fanyika. Kila mbunge anafanya mikutano ya uchaguzi ndani ya jimbo lake, mikutano ya Raisi ya kampeni ndio ina fanyika mikutano nchi nzima.Na baada ya uchaguzi, ni katiba ina ruhusu mbunge akafanye mkutano ndani ya jimbo lake! Na Raisi alio chaguliwa na wananchi na mawaziri na chama Tawala ndio wana haki ya kufanya mikutano nchi nzima kwa sababu ya kuwa jibika kwa wananchi. Ni dunia nzima inafanyika hivyo! Lakini jambo kubwa la muhimu ni waandishi wa habari na chombo kinacho simamia haki za usawa wa binadamu Hamzungumzi kwa wabunge kuto kua karibu na majibo yao kwa mu'ula wore wa shukhuli zao za ubunge?

    • @madetetv6576
      @madetetv6576 Před 2 lety

      Muandishi hajazungumzia mikutano ya Kampeni ww umemnukuu vibaya

    • @madetetv6576
      @madetetv6576 Před 2 lety +1

      Katiba kifungu gani hicho kina mzuia mtu kama mwanasiasa kwenda kufanya mkutano kwenye jimbo la mbunge mwingine?

    • @husseinmkanga7794
      @husseinmkanga7794 Před 2 lety

      @@madetetv6576 katiba imeruhusu polisi kulinda usalama na unakiwa kuomba kibali kwa polisi kufanya mikutano. Polisi wakikataa hakuna mikutano. Kwasababu katiba inawaruhusu. Tii sheria bila shuruti.

    • @Kijana-wa-Tanzania
      @Kijana-wa-Tanzania Před 2 lety

      Dunia ipi inayofanya hivyo? Hebu toa mifano ili ueleweshwe kinachoendelea katika nchi husika…usipotoke wala kupotosha!

    • @Kijana-wa-Tanzania
      @Kijana-wa-Tanzania Před 2 lety

      @@husseinmkanga7794 Ibara ipi ya katiba inayotaka mtu aombe kibali polisi ili kufanya mikutano ya hadhara? Wapi katiba inawaruhusu polisi kufanya hivyo? Ukishindwa kutaja hiyo ibara katika katiba ujue wewe ni mpotoshaji na kama sivyo taja hata sheria la wewe basi ni wa kupuuzwa!

  • @hezekiamtera3559
    @hezekiamtera3559 Před 2 lety

    Mikutano wakati wa Mkapa na Kikwete ilikuwa inafanyika na kulikuwa hakuna shida.Shida imekuja wakati wa awamu yenu Polepole

  • @sabraham5308
    @sabraham5308 Před 2 lety +1

    Tunataka bandari ya bagamoyo ijengwe,serikali iliyopita haikuwa ikisema ukweli katika mambo mengi ,imedanganya katika mengi

    • @sirfabiano767
      @sirfabiano767 Před 2 lety

      Ilidanganya nini

    • @saxannjo6173
      @saxannjo6173 Před 2 lety +1

      MPUMBAVU WEWE

    • @madetetv6576
      @madetetv6576 Před 2 lety

      Jinga kweli ww umeona iliyoenda Entebe airport

    • @masanjanyanda9775
      @masanjanyanda9775 Před 2 lety

      Huyo jamaa ni mzanzibar anataka bandari ijengwe bara nazani Samia badala kujenga bagamoyo ni bora akajenge kwao Zanzibar huku atuache maana rais wetu hakuitaka hiyo bandari

    • @estermathias8354
      @estermathias8354 Před 2 lety

      😂😂😂😂 mbona kichambo cha mbwa mwizi

  • @muniramohamed1730
    @muniramohamed1730 Před 2 lety

    Pole pole nikushauri tu Huenda nafasi uliyopewa na magufuli haikuwa sawa yako coz ww na magufuli wote mlikuwa na upeo mdogo wa kufikiri!! Na tungekuona muungwana na mwenye busara km ungewasuport na kuwaunga mkono walioteuliwa baada yako. Nothing last forever na pia kubali tu time yako imepita na wacha wengine wafanye kazi zao usiwavuruge watanzania. Jiheshimu and stop talking nonsense.

  • @madetetv6576
    @madetetv6576 Před 2 lety

    Wewe mwenyewe mbona ni mhuni

    • @abdallahathumani4012
      @abdallahathumani4012 Před 2 lety

      Pole pole ni kijana ambaye kwasasa ni hazina kubwa sana katika taifa hili