Haya Ndiyo Majibu ya Makonda kwa Wanaouliza Anatafuta Nini

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 11. 09. 2024

Komentáře • 112

  • @FloraIloko
    @FloraIloko Před 3 měsíci +1

    Serious bro maisha yetu nimafupi ipo siku utaulizwa kwa huduma uliopewa lazima ufanye kwa makini shida watu wanafikiri huduma ni uchangaji tu hapana lazima uangalie kazi unayofanya na ipo siku isiyo na jina utatoa hesabu uwemakini ndugu my bro makonda ni kweli tunapita duniani tunapigania taji more grace mu bro long life sir

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 Před 8 lety +14

    God bless you young man, utafika mbali kama kijana Daudi katika Bibilia, alionekana mdogo lakini Mungu alikuwa ashauona uthubutu wake. Rarua waalifu kama Daudi alivyommaliza Goliath. Mungu akulinde na kila lilobaya, damu ya Yesu ikufunike usiku na mchana.

  • @faridabakari8511
    @faridabakari8511 Před 7 lety +1

    i congret u poul makonda natokea kenya nanapenda fatilia stori zako zote nikiwa Dubai sikosi kukuangalia. kibinafsi nmetokea kuku penda kama kakayangu mkubwa......una maoni mazuri namwelekeo na wajiamin kwakazi Allah akuzidishie. ..chapa kazi nawatanzania. 2020 wakupee tena kiti cha kwama rayengine ....cc pia tungepata kaa ww wawili apa kenya wangeli nyooka namwenendo mzuri inchini kenya ......nakuombea kila laheri poul. i salut u

  • @daudimariseli3627
    @daudimariseli3627 Před 7 lety

    makonda asante mkuu wamkoa mkuu wamkoa twakukubar miaka million namungu atakuvusha usipo patachangamoto hujakuwa sasa nakuomba kiongoz wetu wewefanya kaz kwel kweli..chadema wapuuzi tu acheni maneno yenu yakifala...tunaipenda awamu ya 5 yahapakaz tuuu much love p makonda na baba yetu rais asante sana tunawapenda kwakaz zenu...2020 upinzani hautakuwepo mlijue hilo nyie niwashind tayar...

  • @abdallahhadaika2131
    @abdallahhadaika2131 Před 7 lety +8

    nakukubali sana mungu azidi kukuongoza,akuepushe na husda za viumbe,nakupenda sana napenda kazi zako,achana na nzi watasubili sana,mungu ndio msimamizi wako.

  • @FloraIloko
    @FloraIloko Před 3 měsíci

    Maneno mazito ooh God there is leader ship in you my brother more grace what a future leader we have mungu bariki nchi yangu im proud of you my bro

  • @mariammgosi9668
    @mariammgosi9668 Před 7 lety +1

    Eeee mwenyezi mungu mjalie afya njema mjaa wako mkinge na majini watu wanaompinga vita kila kitu watakacho kifanya kibaya kimludie mwenyewe inshaa Allah

  • @iddysufiani6116
    @iddysufiani6116 Před 7 lety +2

    ewee mungu mlunde mh makonda na maadui zake aymen

  • @rubbymusa1971
    @rubbymusa1971 Před 8 lety +6

    Hongera sana, usijali maneno ya watu we fanya kazi wenye akili zetu tunaona

  • @furahaema6000
    @furahaema6000 Před 7 lety +3

    amen makonda ubarikiwe sana mungu azidi kuku piganiya baba

  • @perischarles2121
    @perischarles2121 Před 8 lety +22

    mimi na mpenda huyu kaka sana, kwa sababu huwa anaongea kwa heshima sana!!

    • @kasika1307
      @kasika1307 Před 7 lety +1

      kaka piga kazi
      wanaokusema vibaya wote ni weli
      lkn pia wengne wanafata mkumbo wakichochewa na wanasiasa wapenda pesa zisizo za halali

    • @kasika1307
      @kasika1307 Před 7 lety +1

      wameishiwa maneno maana yote yanafanyika ndani ya chama tawala
      magufuri oyeee
      makonda oyeee
      ccm oyeeeeeeee
      ccm mbele kwa mbele

  • @farajakisinda976
    @farajakisinda976 Před 7 lety

    mungu akutangulie xana umekuja kwanjia ya wizi kupitia madawa yakulevya unaiba magar yawatu ukijifanya unapinga kumbe unataka kutumia vitu haramu kweli bagamoyo kumekunogea,jaribu kukumbuka mungu yupo kaka cku zamwisho nihatarii pigania madawa tu mengine weka pemben nawenye vyeti feki pia kaz wanaweza warudishen kazin mungu anawaona kwauonez uwo mrudieni mungu,

  • @mamymamy8971
    @mamymamy8971 Před 7 lety +2

    nakupenda sana bashite japo huna cheti nakupenda tuu mungu yupamoja nawe kiukweli ni mchapa kazi mungu atakulinda

  • @eliasabel1099
    @eliasabel1099 Před 7 lety +2

    utamkosoaje mtu yupo kwenye system? nani alikuambia kufanya kaz hadi uwe na chet?we look 4content not form!

  • @naimajuma6659
    @naimajuma6659 Před 7 lety

    allah azidi kukupigania kwa madui wako piga kazi kaka nakupenda buree hapa kazi to

  • @ruqaiyaibrahim1865
    @ruqaiyaibrahim1865 Před 7 lety +4

    umeona eeh huwezi kumridhisha binadam kaka yangu we myegemee Allah

  • @rehemasimkoko7055
    @rehemasimkoko7055 Před 7 lety

    piga kazi makonda usisikilize ya watu. Rais wetu anataka anayechapa kazi. walikuwa wapi wenye vyeti kupigana vita zidi ya madawa ya kulevya, mtegemee Mungu ktk kazi zako zote

  • @sharondivine2797
    @sharondivine2797 Před 7 lety

    Mungu akubariki sana Mh Makonda Big up

  • @bintirashidantybaby8146
    @bintirashidantybaby8146 Před 8 lety +10

    congratulations my dear brother for your sweet tangue and gud taste of blood to be loved by all GOD creature much love frm 254 and may Allah give you more strength and confidence to to your work

  • @hasani565
    @hasani565 Před 7 lety +2

    Roma ana mabaya gani ?SAA nane yupo wapi wewe ni jini tu

  • @zandakingfujo7707
    @zandakingfujo7707 Před 7 lety

    hao wa vyeti miaka yote walikuwepo walifanya anachokifanya makonda? chapa kazi kijana very brilliant guy

  • @zuhuraally8916
    @zuhuraally8916 Před 7 lety +3

    chapa kazi mkuu mungu akusaidie

  • @seifmohamedchambo3402
    @seifmohamedchambo3402 Před 7 lety +1

    Mimi binafsi nakubali kazi yake so sihitaji vyeti nahitaji utendaji safi

  • @jumaahmad4464
    @jumaahmad4464 Před 7 lety +6

    nimchapakazi ambae hanavyeti halali

  • @samwelimaliseli4216
    @samwelimaliseli4216 Před 7 lety

    napenda watu wanaothubutu daima,,bring it on

  • @mwanaidihussein1462
    @mwanaidihussein1462 Před 7 lety

    Fanyeni kazi kwa manufaa ya nchi taifa ni letu sote wanapiga kelele ipo cku aibu itawashika na kamwe huwezi kumridhisha kila mtu penda sana nchi yangu na viongozi wangu

  • @zainahamis8974
    @zainahamis8974 Před 7 lety +2

    mungu akuweke kaka fanya kaz ulikwepo wap

  • @queenbby2863
    @queenbby2863 Před 7 lety

    nakupenda sana mungu akulinde makonda wetu kiongoz boraa

  • @emmanuelmlowe1311
    @emmanuelmlowe1311 Před 7 lety +3

    makonda mi napenda kazi yako inaendana na kazi ya Rais wetu kipenzi.

  • @kelvinkawea9506
    @kelvinkawea9506 Před 7 lety +2

    makonda Mungu awe na Wewe amina

  • @amedeustemba9586
    @amedeustemba9586 Před 7 lety +2

    lakini yote kwa yooote weka vyeti tuamini kàma hujakimbia umande.

  • @joshuawwalwa3533
    @joshuawwalwa3533 Před 7 lety +1

    mungu atakulinda tuko pamoja Keller za chula hasizuii tembo kunya maji songa mbele

  • @hasani565
    @hasani565 Před 7 lety

    kweli du! kama kweli anamjuwa mungu da!bashite mikosi

  • @abdulmalickupete9015
    @abdulmalickupete9015 Před 7 lety +2

    kaka Fanya Kazi usiathiriwe na mbinu za mateja ili walipe kwa hali na Mali rais akulinde vinginevyo ni hatari sana.

  • @kweyungajacob6677
    @kweyungajacob6677 Před 7 lety +5

    bashite bwana anamahubir kama yuko kanisan

  • @hassanovajunior6972
    @hassanovajunior6972 Před 7 lety +2

    nakukubali Sana rc makonda wanyooshe

  • @zenakatimle8527
    @zenakatimle8527 Před 7 lety +7

    Hongera fanyakazi watanyooka2

  • @mutakabaka
    @mutakabaka Před 7 lety

    habari zake mlikubaliani hamuweki, vp tena mmesamehe, mnatuacha njia panda!!

  • @adelqueen2049
    @adelqueen2049 Před 7 lety +3

    mungu u pamoja nawe kakangu

  • @duuudaud3816
    @duuudaud3816 Před 7 lety +1

    Aman yenyewe hunaa

  • @munashabanimunashabani9976

    mungu akusimamie makonda wa taishia

  • @georgefaustini5679
    @georgefaustini5679 Před 7 lety

    piga Kaz dogo hata ungekuwa hujaanza shule haituusu kitu.sina chembe ya ubaya kwako piga Kaz MUNGU anakupigania.wacha wakuite hata mav usijal.kuna msemo unasema hiv.ukiwa unaoga ukaibiwa nguo na kichaa.ukatoka unamkimbiza ukiwa uchi.sasa hapo kichaa atakuwa NANI? kaa kimya watakuandika tuu.

  • @emmanuelmlowe1311
    @emmanuelmlowe1311 Před 7 lety +4

    piga kazi wanaoongea ni nguvu ya madawa yakulevya.

    • @zainababdullsadik1247
      @zainababdullsadik1247 Před 7 lety +1

      Emmanuel Mlowe umeona yote hayo yamepoza kufuatilia hawa watu tu hamnaa lolote ndo maana wanafuata futa wabogo washazoweya rushwa na magendo sasa itamkuta kazi sana kwake lakini mimi nampenda hawajibu

  • @kallahassan4896
    @kallahassan4896 Před 6 lety

    Makonda fanyakazi usimwogope mmbwa wsnaobweka kalengo lekukuludisha nyuma tatizo madawayakulevya

  • @othumansuleiman6372
    @othumansuleiman6372 Před 6 lety

    Mtu yeyote alie na akili timamu, na hana chuki na ww, hawezi kupinga wala kuzalau kz unazoendelea kzfnya. Najua kila binadamu hakoswi maadui, waweke km changamoto na njia ya kukusukuma uzd kutenda mema zaidi.

  • @DeusiSetivin-ls9uz
    @DeusiSetivin-ls9uz Před rokem

    Nakuhurumia nakukuonea huruma kwamambo uriopitia kweri mungu ukonae lakini uwe mwangarifu sana kwa kutengenezewa bom ukanza kuangaika nalo Tena

  • @yusufalmamari4236
    @yusufalmamari4236 Před 7 lety +2

    mungu ata kujaliya makonda

  • @saidmsomaly7285
    @saidmsomaly7285 Před 7 lety

    mbona wananchi wako wamenuna au umewakosea mi cjui

  • @reychapo9402
    @reychapo9402 Před 7 lety

    hongera kaka

  • @stawakhan4341
    @stawakhan4341 Před 7 lety

    ubalikiwe kk kwa kazi bora

  • @michaelnyankali1131
    @michaelnyankali1131 Před 7 lety

    chapa Nazi Broo mpaka kieleweke

  • @jeannahayo588
    @jeannahayo588 Před 7 lety

    chapa kaz nipo nakukubali kinomaaaa

  • @dakoteliumba9476
    @dakoteliumba9476 Před 7 lety +2

    fanyakazi tunakupenda sana makonda wetu

  • @benezethbwikizo3158
    @benezethbwikizo3158 Před 7 lety +3

    hapa kazi tu

  • @robertjunior9916
    @robertjunior9916 Před 7 lety

    sasa naanza kukuelewa Makonda

  • @emmanuelmlowe1311
    @emmanuelmlowe1311 Před 7 lety

    chadema bila ccm hamuend lolote.hamuon?

  • @azizayassin3623
    @azizayassin3623 Před 7 lety

    safiiiii

  • @sondanzingulasondasam4029

    nice

  • @rehemaelliottsuleiman6465

    preach what you practice

  • @munashabanimunashabani9976

    kutoka povuuu apa kazi tuu

  • @graceleonard6150
    @graceleonard6150 Před 7 lety

    l Love u my brother in Christ keep running u will win the race amen

  • @josephtarimo7842
    @josephtarimo7842 Před 7 lety +2

    wewe bashite bwenget2 Ben san yako wapi unajufanya ndungu na yesu jukum ganla kuteka wata ndio kazi

  • @floramwanjonde9968
    @floramwanjonde9968 Před 7 lety

    Mlisema hamtaandika habari zake sasa veeep global tv????

    • @mikongotijaneth5900
      @mikongotijaneth5900 Před 7 lety

      wambie waandike habari zako wewe kama wanakujua ukiona Makonda anaandikwa ni amekuzidi kwa hiyo jichunguze utafute shuguli ya kufanya mana huna kazi ya kufanya

  • @emmanuelmuba6554
    @emmanuelmuba6554 Před 7 lety

    Piga kazi kaka

  • @hadijasaidhabdallah8986

    kaka piga kazi tuuuu

  • @zuuniece6635
    @zuuniece6635 Před 7 lety +1

    bashiteeeeee

  • @pastoryrichard1257
    @pastoryrichard1257 Před 7 lety +1

    ¿????shitiiiiiiii

  • @kwayamassunga1483
    @kwayamassunga1483 Před 7 lety

    Nc

  • @kalifasaed8682
    @kalifasaed8682 Před 7 lety

    chapa kazi baba

  • @loycesalumu1602
    @loycesalumu1602 Před 7 lety

    makonda we jembe chapa kazi

  • @francesngailo8773
    @francesngailo8773 Před 7 lety

    haya baba

  • @chubimabassa4460
    @chubimabassa4460 Před 7 lety

    Kakafanyakazi

  • @georgeavelin815
    @georgeavelin815 Před 7 lety

    we all believe in God this Guy his too much courting from bible famous verses which shows his not reading by meaning rather than finding phrase to make as an example to his speeches his politician that's his work he has to relate things with realm of current situation still elimu yake inakuwa proved not worth to his chair tupe mifano ya jamii yako

  • @brunovindallar1517
    @brunovindallar1517 Před 7 lety

    Kijana mdogo alafu anafanya maajabu,piga kazi mh Makonda,fuck vyeti!fuck snitches!!ikiwezekana wanao kuponda wateke tu,fuck them too!!Mh Makonda piga mzigo kama kawaida mzee baba!!!

    • @kapizoman5772
      @kapizoman5772 Před 7 lety

      Tatizo wabongo tumezoea umayai yai so inatuwia vigumu Sana kumkubali yule anaesimama ktk haki na kutetea maslahi ya wanyonge hata hivyo tulizoea kuibiwa kutoa rushwa ndipo tufanikishe kile ulichokua unakihitaji. Ushauri mkuu wa mkoa angalia mbele na iwekeni Tanzania ktk mfumo thabiti wa uchumi kwani hao wanao lalamika na kukuzushia ndo vibaraka wa wale waliokua wakipga deal. Hapa kazi tu waache makundi makundi ya kujadili vitu ambavyo si vya maendeleo bali wazungumzie maendeleo ya nchi yanako elekea

  • @duuudaud3816
    @duuudaud3816 Před 7 lety +4

    leta vyet kwanza unajifichia kwenye madawa...towa vyet acha kubwabwaja! unaoneka kama mtu hv kumbe jambaz la kutupwa mfyuuuuuuuuuu

    • @happynnko1193
      @happynnko1193 Před 7 lety +2

      mnyang'anyi anayejidai anatend haki kumbe mnyang'anyi jmn

    • @RoseRose-qm4lb
      @RoseRose-qm4lb Před 7 lety

      vyet ndio vinavyofanya kaz au mtu ndio anaefanya kaz, angalia utendaji bana vyet makaratas

    • @sarahhappy1886
      @sarahhappy1886 Před 7 lety

      +happy Nnko yaani acha tu hili jitu limejificha chini ya kapeti

    • @modestuskibwana8996
      @modestuskibwana8996 Před 7 lety +1

      DUU WEWE MLOPOKAJI UNA UHAKIKA HUYU NI JAMBAZI? TOA USHAHIDI

    • @marwaboniphace
      @marwaboniphace Před 7 lety

      Piga kazi kiongozi shupavu makonda

  • @joramlondomanyika6612
    @joramlondomanyika6612 Před 7 lety

    Watu wamekubaliana wasiandike habari za huyo mtu mnaleta ujinga hapa ni kuusubsribe tu

    • @mikongotijaneth5900
      @mikongotijaneth5900 Před 7 lety

      sura nzito hata mbwa unaemfuga kwako hhakujui wewe utapambana na Makonda?kazoe takataka upate hela ya kula.mana njaa itakuwa inakuma mwenzio anakula kwa ulaini wewe unachoka na makelele

  • @EcoEssence_wellness
    @EcoEssence_wellness Před 7 lety

    Mmmmm..

    • @Saida-fh4sq
      @Saida-fh4sq Před 7 lety +2

      makonda,mungu azidi kukuongezea hekima na akili yakuweza kuongea maneno ya busara na yenye kutia moyo na nguvu.mungu akutangulie kwa kila baya.

    • @Saida-fh4sq
      @Saida-fh4sq Před 7 lety +2

      piga kazi bhana ww,ukubwa wa puwa c wingi wa makamasi,kulikuwa na wakubwa wangapi waliopita mbona ilikuwa nchi ishapiga goti hii namaukubwa yao .ww mtangulize mungu utaona mafanikio yake.

    • @anethlissu206
      @anethlissu206 Před 7 lety +1

      may God bless u

    • @EcoEssence_wellness
      @EcoEssence_wellness Před 7 lety

      Tnx Aneth

    • @EcoEssence_wellness
      @EcoEssence_wellness Před 7 lety

      Okay

  • @farajiswaleh4393
    @farajiswaleh4393 Před 7 lety +5

    acha unafki

  • @riscaoscar521
    @riscaoscar521 Před 7 lety

    mmmmmmmmmmmmmm