EXCLUSIVE: MARIOO AFUNGUKA HASIRA ZAKE BAADA YA KAULI YA BABUTALE BUNGENI KUHUSU "MAMA AMINA" -PT II

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 09. 2024

Komentáře • 117

  • @jacksonjamesndyabawe495
    @jacksonjamesndyabawe495 Před rokem +13

    I never pay attention on him but he's very humbled guy. I pray God to take you far... You are such a inspiration

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 Před rokem +11

    Mungu akubariki Sana marioo,,na mziki wako,,marioo alikuwa anakujaga Sana kwetu wakati hajatoka kabisa Leo hii Mario ni bonge la super star,ila yupo very humble Sana kuwa hivyohivyo kaka usibadilike kaka,,,unajua Sana kuintanvyu kaka unastory Sana Mario kama Raha Yan haujabadilika kabisa Kwajili ya ustaa,,Yani huringi kaka safi

  • @christinembeye5489
    @christinembeye5489 Před rokem +9

    I love this Boy! He is Humble and Anajitambua. Aendelee kuwa Yeye kama Yeye, asibadzlike atafika Mbali Zaidi ya hapo alipo.

  • @EsterMarco-xf5qk
    @EsterMarco-xf5qk Před rokem +13

    Millady umeweza mwaya umemtega swali akamwagikaa daaah nakubari broh🤗🤗 ety bweni

  • @haruningiliule7606
    @haruningiliule7606 Před rokem +15

    Jamaa ana akili sana kwenye kujibu maswali big up toto bad

  • @nurumwangoka5909
    @nurumwangoka5909 Před rokem +7

    kweli Millard Kuna kitu special Mungu ameweka ndani yako,hakika wewe ni nouma

  • @azinarashidi5204
    @azinarashidi5204 Před rokem +6

    Mungu akutimizie mahitaj yako Marioo🙏🏽

  • @messaabbas739
    @messaabbas739 Před rokem +4

    Wallah marioo upo funny show aijapoa kabis 😂😂😂😂😂❤️❤️❤️❤️❤️

  • @bellahariminshi5149
    @bellahariminshi5149 Před rokem +2

    Utafika mbali bro! Una kitu cenye wa sanii wengi hawana > uyo niufunguo wa kila kitu

  • @marynjani1370
    @marynjani1370 Před rokem +1

    Hata sijaiona kabisa ila am super happy hii ilikuwa interviews niliyoisubilia sana sanaaaaaa…..and here it’s bado mmoja and I can’t wait

  • @russysalimu2498
    @russysalimu2498 Před 11 měsíci +1

    Mashaallah

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 Před rokem +2

    Marioo anastor Sana yani Hadi raha haringi Yani,,yupo vilevile Yani habadiliki kwakuwa star,,safi kaka ubarikiwe,, kipenzi,,na uje kututembelea Omi kama mwanzo kaka

  • @Storyzatown
    @Storyzatown Před rokem +1

    Mama aminaa..kwani wanaitikiaje? Au mimi ndiyo sielewi 🤷🏾‍♀️ Big up Millard Ayo ✊🏾

  • @Bensonfrank25
    @Bensonfrank25 Před rokem +6

    Humble kid.

  • @mkumbozakaria7266
    @mkumbozakaria7266 Před rokem +4

    Millard 🙌🙌🙌🙌🙌 bweniii

  • @marthamushi9390
    @marthamushi9390 Před rokem +1

    Milard hayo ni mjanja sanaa jinsi alivyotumia akili kumuuliza marioo swali la kuwa ana jenga wapi😂😂😂😂

  • @frankmpanda5850
    @frankmpanda5850 Před rokem +9

    mirady mm nakufatilia kila intevew uko poa sana mungu akupe maisha malef

  • @luccieibrahim
    @luccieibrahim Před 8 měsíci +1

    Toto bad❤❤

  • @helenkambi3918
    @helenkambi3918 Před rokem

    Hahahahq nilijua tu watampatia hapo kwenye nyumba iko wapi. Love you Mario . Kind and humble guy.

  • @isayajoseph14
    @isayajoseph14 Před rokem +4

    Napenda sana maswali YAKO kaka Millard

  • @maryandason1815
    @maryandason1815 Před rokem +2

    Mmeru mwenzangu nakupa big up my brother Ayo..tuko pamja jpo mm nko Nairobi but chuga n yetu wotee maswal n mazur ya kimtego ya panya bila samak ameingia mwnyewe 😅😅😅.kujbu mwnyew

  • @user-qs7lj7kj1k
    @user-qs7lj7kj1k Před rokem +3

    Jamani nyie wandishi nawapenda ❤

  • @nicholausmwinuka7640
    @nicholausmwinuka7640 Před rokem +5

    Boom

  • @matimfuko641
    @matimfuko641 Před 11 měsíci +1

    Hahaha nimewapenda mmepata ukweli WA alipojenga bila Kutumia nguvu

  • @barakamatali7141
    @barakamatali7141 Před rokem +2

    Kaka kwa mwaka huu toka uwanze interview hii Kali kuliko zote

  • @boniphacemsagaa5180
    @boniphacemsagaa5180 Před rokem +9

    eti iko mbweni.. eeh 😂😂

  • @daudpius130
    @daudpius130 Před rokem +1

    Unajua kujieleza vizuri sana

  • @stellah3844
    @stellah3844 Před rokem +2

    Marioo mtoto bad❤❤❤❤

  • @DAVID-wp4vc
    @DAVID-wp4vc Před rokem +2

    Muogope sana millad kwenye interview hua anakua na maswali ya mtego haya ss tumejua bweni😂😂

  • @sky-wz5zi
    @sky-wz5zi Před rokem +2

    Hapo mwisho kwenye kurogwa kanichekesha sanaaa😅😅😅 "ndo vzr kwanza, ili nikae vzr" 😅😅😅

  • @lilianrwegasira4496
    @lilianrwegasira4496 Před rokem

    Marioo ur Show was owsome kwakwel 🙌🙌

  • @arianaferdnandez2445
    @arianaferdnandez2445 Před rokem +2

    Him again 😎

  • @robbynyamriba251
    @robbynyamriba251 Před rokem +3

    Millard😂😂😂🙌🙌siitaki mitego yako

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 Před rokem +2

    Bweni🔥🔥😄😄

  • @neemalema5312
    @neemalema5312 Před rokem +4

    Mmh hizo hereni na kidani puani ndio unamaana gani kaka yangu 🤔

    • @akidajulius1581
      @akidajulius1581 Před rokem +2

      Hawa wasanii wanyimbo za kubana pua,wengi wao ndio walewale,wanatambulika kwa sauti zao,na mavazi na matendo ,ni wale wale tu,MUNGU awahurumie tu,

  • @dianachagha8839
    @dianachagha8839 Před rokem +2

    Baaaaaad 🎉😊

  • @zachaamaster5378
    @zachaamaster5378 Před 11 měsíci

    #makiniii san

  • @bish_daddiyao
    @bish_daddiyao Před rokem

    Hahaha Ndo maana...nilimpenda Since day One keep going Young Boy

  • @messaabbas739
    @messaabbas739 Před rokem +3

    Yomiiiii 🙆🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣uyu Omar bhana khaa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣ety meno yake nikampenda 🤦🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @EsterMarco-xf5qk
    @EsterMarco-xf5qk Před rokem +11

    Daaah nimependa marioo aliulizwa nyumba ipo wapi hakusema 😂😂 lkn millady akamtega unapenda maeneo gani ya kuishi kwa hapa dar akasema bweni kwaoiyo moja kwa moja marioo akawa amejibu swali bira kujua 😂😂😂😂

  • @kinthermedia
    @kinthermedia Před rokem +1

    Ok

  • @AmelbergaKempanju-uf1zh
    @AmelbergaKempanju-uf1zh Před rokem +1

    That's good bro

  • @Ellen_Titus
    @Ellen_Titus Před rokem

    I’m a new fan.. Aliposema bora mniue tu.. Nimecheka lol

  • @josephmatinanthony9730
    @josephmatinanthony9730 Před rokem +1

    Sema mim nakupongeza kwa kutega maswali mtu anafunguka mwenyewe bila kupenda😃😃 kwahio upo mbweni kumbe😂

  • @EdinaClement-fw5kh
    @EdinaClement-fw5kh Před rokem

    Millad unaweza Sana,wakishua👏👏👏

  • @dianangailo9878
    @dianangailo9878 Před 4 měsíci

    Huyu kijana ana akili sana na ana hekima Mungu amfikishe mbali

  • @safiyanirram-pf3sv
    @safiyanirram-pf3sv Před rokem

    Nice interview

  • @Storyzatown
    @Storyzatown Před rokem

    Millard wewe uko vizuri sana 😂mtego uliompa Marioo hata yeye hakushtukia baada ya kukwepa swali la nyumba yake hiko wapi 😂🔥

    • @suleymanmakiwa1651
      @suleymanmakiwa1651 Před rokem

      Si umesema iko Mbweni eeeh?

    • @Storyzatown
      @Storyzatown Před rokem

      @@suleymanmakiwa1651 Eeeh hiko Mbweni 😂😂😂😂 Millard ni noma

  • @rogerslwitiko3915
    @rogerslwitiko3915 Před rokem +1

    Kk Millard mm napenda interview zako uko technical kwny kuuliza maswali

  • @chuppaboy_
    @chuppaboy_ Před rokem +2

    Nampenda toto bad

  • @106skippersavage2
    @106skippersavage2 Před rokem +1

    💥💥

  • @RichardKinvunvu-qn1or
    @RichardKinvunvu-qn1or Před rokem +2

    Natamani suku moja nije kushare historia ya maisha yangu kupitia kwenu nahisi itakuwa bonge la stori

  • @elegantdox8074
    @elegantdox8074 Před rokem +3

    omary Ally Mwanga 🔥🔥🔥

  • @Bivany96
    @Bivany96 Před rokem +2

    Nakubal bad unanifundisha vitu

  • @bakarinassoro5513
    @bakarinassoro5513 Před rokem +7

    Mirad 😄😄😀 mbweni

  • @eladiuspeter586
    @eladiuspeter586 Před rokem +1

    Yule hafai kuwa Mbunge. Moja ya lawama Nampa mwendazake ni kitulazimishia majuha

  • @Cosmas_General
    @Cosmas_General Před rokem

    Millard Ayo🔥🔥🔥

  • @simonmahenge871
    @simonmahenge871 Před rokem

    BLUE BOYS WAKISHUA🔥🔥🔥🚀

  • @linovahme6060
    @linovahme6060 Před rokem +1

    Ulisema iko mbweni eeh 😁😁 kula chuma hicho

  • @kelvinmwambona5395
    @kelvinmwambona5395 Před rokem +2

    Kaka Muyenjwa Leta Madini Hayo

  • @saidiwakufuta
    @saidiwakufuta Před rokem +1

    Jamni club tu milioni mbili mda mwengne mtuache wa bongo au mpka kukodi na gari

  • @helenkambi3918
    @helenkambi3918 Před rokem

    Umesema kweli Mario watu wengi wanamuonea sana Hamisa. Wivu mwingi

  • @saidasimba9979
    @saidasimba9979 Před rokem +1

    Ya kwako lkn au umepanga

  • @charliestyles5535
    @charliestyles5535 Před rokem +1

    mama aminaa.....malizieni wananguuuu 😅😅😅....

  • @everlyne8595
    @everlyne8595 Před rokem

    Interview bomba😅

  • @wishjrtz
    @wishjrtz Před rokem +1

    marioo anajiepush san

  • @rolency
    @rolency Před rokem

    Ntakwambia ukweli

  • @AzahOmary-kd2db
    @AzahOmary-kd2db Před rokem

    Wasanii wa bongo kwa iga mpaka mtakua mashoga mwanaume kutoboa pua wapi na wapi

  • @charlesezekiel5252
    @charlesezekiel5252 Před rokem +3

    😅😅

  • @dignakanje4508
    @dignakanje4508 Před rokem

    Hko ulikoingia hko kwenye mahusiano,usipoangali nyumba haitaisha.

  • @AzahOmary-kd2db
    @AzahOmary-kd2db Před rokem

    Karibia mtaanza kutoboa vitovu

  • @saidasimba9979
    @saidasimba9979 Před rokem +2

    Kumbe umepanga ndo uchizi wa wasanii wa bongo

  • @geraldnjau7186
    @geraldnjau7186 Před rokem

    Kwani mama Amina Ina maana nyingine?

  • @JamesSteven-vd7vw
    @JamesSteven-vd7vw Před rokem

    wasanii wa kizazi kipya ebu tujiheshimu na tujipende bhn. unavaa mahereni na unatoboa pua kama she? ivi kweli unatufundisha nini sisi wanaume wenzio kwamba tukuige kutoboa maskio na pua? toa hayo maereni na kipini puani bhn ukae kama mwanaume, au ndo ushoga wenyewe umeshakufata inawezekana lakini,,, milard mwiiye ndu to aatefo findo fo aree ifo makurii na mbuo

  • @maryandason1815
    @maryandason1815 Před rokem

    Mbona amuuliz kwa nn heren masikio n n puan ,shida nn? N ili janga la mashoga 😂😂😂😂😂 tz

  • @ishakaabdii-dr4sm
    @ishakaabdii-dr4sm Před rokem +3

    leo nime kuwa wa tatu naomba like zenu

  • @sedekiakiza
    @sedekiakiza Před rokem +4

    Hahahaha

  • @simonnembomadola7512
    @simonnembomadola7512 Před rokem

    Kiukweli msiimbe matusi,hatutaki matusi kwa Nini uimbe matusi na uone hakuna shida.Achani kuimba matusi,mbona Ali Kiba aimbi matusi na mziki wake ni mzuri

  • @bwanabrainex433
    @bwanabrainex433 Před rokem

    🤣🤣🤣🤣millard unajifanya mjanja sana

  • @mickthomas-lh1fs
    @mickthomas-lh1fs Před rokem

    Uyu jamaa mbona mjamuhuliza kuwa ni fundi magari.

  • @nathan6751
    @nathan6751 Před rokem

    We mkundu tu mama Amina nzuri kwako mjinga .Kumbe tunzo za mchongo 😂😂😂🤣🤣 nenda Kwa babu tale fala ww

  • @AhmadyVenjatz-nj4lh
    @AhmadyVenjatz-nj4lh Před rokem +1

    Jjjj

  • @modazen7178
    @modazen7178 Před rokem

    umesema uko mbwen

  • @saadatiyahyashabani-yg2xy

    Niaj mirlad

  • @joycemrema6694
    @joycemrema6694 Před rokem

    Nkupndg ty jmn

  • @asalkhan9168
    @asalkhan9168 Před rokem

    Sister wetu maroo uko beautiful umependeza hongera dada

  • @shabaniddy9967
    @shabaniddy9967 Před rokem

    Plz like zangu

  • @arianaferdnandez2445
    @arianaferdnandez2445 Před rokem +1

    Him again 😎