CHINO "SIKUMUUA NDUGU Yangu Nipate UTAJIRI "/Adai AMEMALIZANA na MARIOO/Aonyesha MAGARI yake MAPYA..
Vložit
- čas přidán 8. 09. 2024
- ...........................................................
Contact Us : 0742447854
-------------------------------------------------------------------------------
Instagram www.instagram....
---------------------------------------------------------------------------------
Facebook / rickmediatz
---------------------------------------------------------------------------------
Website www.rickmediatz.com
-----------------------------------------------------------------------------------
Kilam2 nanyota yake🎉🎉🎉 kaka zidi kuwashangaza❤❤❤ chino
Wewe ndiyo wa kwanza chino sijaona kama wewe honqera sana chino haijalishi humepataje hayo yote hayatuhusu ❤❤❤❤❤❤ chukua mau Yako nimekupenda Bure munqu nipe na Mimi niwe kama chino
Wabongo sisi tuna ulemavu mkubwa sana kifikra, wanawaza upumbavu tu eti uchawi kwani bila ushirikina huwezi kufanikiwa? Au Mungu hawezi kumtajirisha mtu? Acheni uvivu hizo mawazo ni ya umasikini, ndo unakuta wanaita viongozi wa dini wachawi, yani wamejawa na ujinga kwenye ubongo wao
Mungu akiamua kukubaliki broo vi2 vinaondoka2
Tishaa Chino ❤ bro🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Ningekuwa simuogopi mungu hizi gari ni kitu kidogo sana 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Chino kaka mungu akulinde uzidi kusaidiya vijana wengi na mungu azidi kukupa mafanyikiyo
Wanasema kutangulia CIO kufika....bila Shaka mario ameona hii....n mbn hajapost? Watangazaji mtafuteni mario...ako n mengi xna ya kuongea😅
Huyo Ex ndo hana siri kubwa jama 😢😢😢 HELA unatowa wapi CHINO MMMM KWA MUZIKI NGANI KWANI????
Chino bro wewe ndomimi washangaze zaidi waku fikirie vibaya waho ndowa nafanya ivo bro pamoja sana
This gentleman if he takes it seriously he'll gonna take over simba
Kama Ayo mambo watu wanaongea huyafanyi mungu Ndio mwenye macho fanya kazi ✊
Jamani kaheni mkijuwa mziki wa sasa huna hela msihangaliye youtub 2, izo show anazo zitaja hapo kwa wiki mwamba anauwezo wakujingiza 50M kwa mwezi ivyo awezi ivyo mafanyikio yake niya ukweli sana 100% pia kakuhambiya bajet yake ili apate ku save . ❤
Mil 50 Kwa Week Ni Uongo Kaka Show Zake Ni Friday Saturday Na Sunday. Na Una Fikiri Show Moja Ana Lipwa Million 10?? 😅
@@prezzyvassach3218 alisema M10, 8,hadi 5 anachukuwa Asa ukipiga hesabu kwa wiki anahingiza M20 kwa mwezi anazo ngapi Bado youtub na mitandao mingine. Matangazo bro wanahaki Alafu izo gari zake ni zakawaida sana sema tz watu awajishushi hadhi ila izo gari kwa apa usa iyo jeep aiwezi nunuwa $20k iyo bmw ndo kabisa aina pesa wala
😂😂😂 chino bhana wew content so kuandikwa negative ni kawaida
Ww chino hizo hela unatoa wapi? Mi staki kuamini bhana sababu Marioo anaimba sana na mangoma yake yanaenda lakin unamzidi. Sasa hapo inakuwaje??
Ni maajabu hayo 😅😅😢 katowa wap hizo pesa?? Sio kwel
maisha ni siri kubwa na fumbo , hivyo tuangaliee tu
Utajiri una siri kubwa😂😂😂😂😂
Mafanikio ya mtu yanasir kubwa sana
Katoa wap uyo katoa mwenzie kafala
Chino nakukubalii bloody yangu Sema dah utajiri wa gafla toka ufiliwe na best yako yaani Naona Sasa hivii utashindanishwa na daimond plantnaamz utajiri
sio UFILIWe sema Ufiwe ..unatuchanganya kaka 😁
Big
X wangu nitamnunulia baiskeli
Kuna manamna..hela hizo hapana
Chinno unapenda ku show off
Iko siku ya mungu itajulikana,hakuna haram inayodumu milele
Sacrifices do pay!!
Chino wanama
Vijana tuache tamaa ya pesa ya halaka, uzuli malipo ni apa apa
Mhhhh ukakasi
Chino kidd 🫡🫡🫡
🔥💪💪💪
Twambie unatoa wapi pesa
Wabongo tunafeki sana dah sema mtawaogopea wajinga si wengine tunajua mnapataje izo mali
ni huu mziki tuu au kuna mziki mwingine
Hapo sasa
Neema wa piliz
Jamn tafteni ela Kwa njia za kihalali hata Mimi ningekua na tamaa za hela kama hizo ningekua nazo sababu brother angu anazo pesa zaivo mpaka zingine hajui aziganyie Nini so tafteni ela Kwa njia salama
Oi nyoosha mchongo
Huyu Jamaa nahishi anatumika na watu. Hivi tanzania kuna washwash?
We illuminati Tu mbona hujanunua kabla mwenzenu kufa kenge ww
V8 Iko wap
Msanii unata tangazo show tu ndo zikupe izo gari mmh wasanii wabongo bado sana ndomana tunalogana kinomanoma
Chino kazi yko mziki bdo Iko chiniii huo utajiri apanaaa😂
Huo wivu sasa
Waongo sana ndomana mziki wabongo aukui we ata matangazo ana izoshow za asilimia ndo zimpe utajili uo tukija kustuka wasanii wote washakuwa mashoga
@@furahachuma9039 hamna wivu kaka ila liangalie pia ww,
wabongo acheni ufala uyu hana menegiment inayo kula pesa sa anakosaje pessa
Kuna kanamna hpa chino 😂😂
kaa naye karibu akutoe kafara wee jipeleke tuu
😂😂
Abasi anauliza ana nyimbo ngap na show anafanya wap ?
Wanaokata chukia na kumaind wote wanatombw akil ila ukwel Ni kwamba vijan wanauza matako na yanalipa kwasas kwa mwenye weled Zaid wakufikiria wataelew na wanajua kipato cha mziki wetu kwasas matako yanawalipa
😂😂😂 jau kis*ng*
😂😂😂😂😂 Jau kis*ng*
hii alinambia director mmja kwamba kutrend ni rahis ila wengiwao wanaliwa sana
Yani toka ajari apate afe yule jamaa Kawa na maokoto cha ajabu ile ajali chino hakupata majereha
Hahaha kweli Tako dili mjini Lkn daah acha nitembee kwa mguu Tako langu nibak nalo
Chino wanamani
gar ulio mnunulia mamaako na babaako liko wap au ndo unawaza madem
Muchawi
Kawe mchawi na ww
Ww ni tako una jitetea ili iweje
Anagawa zawad kwa ex kwel freemason
LAZMA TUSHTUKE BANA,,GHAFLA SANA😊
Kuna kitu sio bure
Nabado atawaliza umeonwapi utakiri wawiki mbili ivi
Kumbe freemason n kweli 😅
Umemtoa mwenzako kafara ..
Na waambiwa KILICHO NA MWANZO KINA MWISHO .ww ww utaanza lia kuwa freemason yataka kuuwa mwisho .mziki gani walipa hvyo mbna twadanganyana waimba wanunua magari bei hiyo tusidanganyane ..sema kuna nguvu za giza ndani yako or nyuma yako ..20% alitueleza nguvu za giza lazima uwe ndani yake
Hlf alikuwa mbele hakuumia ht wenziwe wamekatika viungo hd leo hawajapona vizuri yy anatanua tu freemason