Mama naomba utusikie sisi wananchi MIKOPO sasa basi. Weka nguvu katika ukusanyaji wa kodi. Wafanyabiashara sasa hawalipi kodi na matokeo yake mnawakaba koo watu wa kawaida. Teua Waziri wa Fedha mwenye weredi sio huyo mwanasiasi. Mwigulu naweza sema hatoshi. Mama nakuomba sana tupunguze kukopa.
@awatifalghanim1106 Tunaongea kwa data. Deni la taifa kwa sasa ni 82 trillions. Bajeti ya nchi ni 26 trillions ina maana madeni ni bajeti ya makusanyo ya miaka mitatu. Kama kila Rais ataamua kukopa tunabebesha mzigo mkubwa kizazi kijacho. Kwa nini tusiweke msimamo kwanza kwenye matumizi yasio ya lazima na kuboresha ukusanyaji wa kodi. Tuache masihala kwenye mambo muhimu ya kitaifa. Leo Amerika imekuwa haina nguvu kwa China sababu inadaiwa pesa nyingi. Kudaiwa ni utumwa.
Mwisho heshima ya Kitaifa .Nchi ni kama mradi wa bar.Wahudumu wanaajiriwa na kufukuzwa.Mikopo nayo imekuwa kama ilaani ya Taifa.Nasikia mama katika kuhakikisha anataka abaki kwenye nafasi yake,rushwa imeanza mapema.Sema rushwa yenyewe imekaa kiubaguzi na kishamba mama anagawa majiko ya gesi.
WATU WA PWANI NDIYO WALIOLETA UHURU... SISI TULIKUWA VIBARAKA WA WAZUNGU DHIDI YA WAAFRIKA WENZETU TULIOWATUMIKIA KTK SERIKALI YAO YA KIKOLONI NA MIONGONI MWETU TULIKUWA PORINI TUKICHUNGA NG'OMBE HATA MIJINI TULIKUWA HATUONEKANI, LEO NCHI IMESHATENGEMAA TUMEKUJA MJINI NA TUPO WENGI KTK MAMLAKA NA MAOFISINI BASI CHUKI NA UKABILA VIMETUJAA.... KTK SAFU YA WAPIGANIA UHURU TUKIMUONDOA MWALIMU ALIYEKARIBISHWA KWENYE HARAKATI HIZO NA HATA KUOMBEWA DUA YA USHINDI WA UHURU NA WATU WA PWANI PALE BAGAMOYO TULIOBAKI TUNAHESABIKA!! WATU WA PWANI HAWANA CHUKI LAKINI SISI TUNAOJITIA UDANGANYIKA FEKI HUKU TUKIWABAGUA WENZETU TUMEKUWA NA ROHO MBAYA SANA, MAOFISINI TUMEJAZANA WENYEWE NA KWA UPIGAJI WA MALI ZA UMMA TUNAONGOZA, KAJA MWENZETU MWENDAZAKE TUKAANZA KUMCHUKIA KWA SABABU ALIKUWA ANATUTUMBUA KWA WIZI NA UFISADI WETU, KTK SAKATA LA UTUMBULIWAJI NA VYETI FEKI SISI NDIYO TULIOKUWA VINARA WA KUTUMBULIWA CHUNGUZA MAJINA YA WALIKUWA WAKITUNBULIWA NDIYO UTAJUA LAKINI KWA WATU WA PWANI ILIKUWA NI NGUMU KUWAKUTA KTK KASHFA HIYO, SWALI KWA HALI HII KATI YETU NA WAO NI NANI MBADHILIFU WA RASILIMALI ZETU?! JIBU NI SISI KWA SABABU KWA KIASI KIKUBWA SISI NDIYO TULIKUWA KTK MAMLAKA NA UFISADI WOTE UNAFANYIKA KTK MAENEO AMBAYO SISI TUNAYOFANYIA KAZI NA SISI NDIYO TULIOKUWA TUKITUMBULIWA SANA. WAO KWA KIASI KIKUBWA WANAJIPIGIA MISHEMISHE ZAO BINAFSI HUKO MTAANI NA WALIOKUWEPO KWENYE MAMLAKA NI WACHACHE UKILINGANISHA NA SISI TENA HAO HAO WACHACHE KWA ROHO MBAYA ZETU BADO TUNAWAPIGA VITA TUNATAKA TUBAKI WENYEWE KAMA NCHI HII HATIMILIKI YAKE NI YA KWETU!! MBAYA ZAIDI SISI TUMEKUWA WANAFKI WAKATI JEMBE MWENDAZAKE ALIPOKUWA ANATUTUMBUA KWA UFISADI WETU TULIMCHUKIA NA KUMUITA DIKTETA, LEO HAYUPO TUNAMSIFU, HUYU ALIYEKUWEPO KAZIDI KUTUFUNGULIA FURSA KIBAO ZA KIMAENDELEO MIJENGO LEO INAJENGWA KILA PANDE YA NCHI BIASHARA ZETU ZINACHANUA KWA KASI YA AJABU, HAKUNA ANAYEBUGUDHIWA LAKINI CHA AJABU SISI NDIYO TUMEKUWA TUKIPAMBA SAFU ZA MITANDAO YA KIJAMII KUMCHAFUA NA KUMPIGA VITA HUKU TUKIJIFANYA ETI WAFUASI WA MWENDAZAKE AMBAYE TULIMCHUKIA TUKAMUITA DIKTETA. NDUGU TUACHE TUKI, HILI NI TAIFA LINAHITAJI UMOJA NA MSHIKAMANO KWETU SOTE ILI LISIMAME IMARA KAMA TAIFA!! KWA TAARIFA YAKO BARA NA PWANI DAIMA TULIKUWA PAMOJA, TUPO PAMOJA NA TUTAENDELEA KUWA PAMOJA KAMA JAMII MOJA NA NCHI MOJA NA HIZO CHUKI ZENU NYINYI WACHACHE MIONGONI MWETU HAZITATUTENGANISHA MILELE!!
Mbona nguvu nyingi sana kutuelekeza hili jambo? Why? Kwani mkataba wenyewe uko wapi? Siku hizi nguvu nyingi sana zinatumika kuelezea mambo ya mikataba. Hasa huu na ule wa DP World.
Mashaallah ❤ huyu ni Mtangazaji bora hapo Tanzania. Lugha ya Kiswahili iko safi. Unaona raha kumsikiliza.
Uzeni kra kitu maana tumekosa akiri ya kujiendesha wenyewe sasa lulu wanini hapo
Kumbe hiyo zawadi ilikuwa ya magufuli
Sasa tumsubirie Mropokaji wa Singida aje na maigiza ya taharuki
Vituko vya nchi
HADI AIBU . 😢😢😢😢
Mwanetu Ray
Wewe Damu yangu
MAMA ANAUPIGA WA PELE
Mkopo kwa bahar na madin
Mama naomba utusikie sisi wananchi MIKOPO sasa basi. Weka nguvu katika ukusanyaji wa kodi. Wafanyabiashara sasa hawalipi kodi na matokeo yake mnawakaba koo watu wa kawaida. Teua Waziri wa Fedha mwenye weredi sio huyo mwanasiasi. Mwigulu naweza sema hatoshi. Mama nakuomba sana tupunguze kukopa.
Omba Mungu usikate tamaa. Usimlaumu sana Rais wako yatakuja ghafla tuu madeni yatalipwa kwa haraka. Kabda ya hiyo miaka ilotajwa. 😊
@awatifalghanim1106 Tunaongea kwa data. Deni la taifa kwa sasa ni 82 trillions. Bajeti ya nchi ni 26 trillions ina maana madeni ni bajeti ya makusanyo ya miaka mitatu. Kama kila Rais ataamua kukopa tunabebesha mzigo mkubwa kizazi kijacho. Kwa nini tusiweke msimamo kwanza kwenye matumizi yasio ya lazima na kuboresha ukusanyaji wa kodi. Tuache masihala kwenye mambo muhimu ya kitaifa. Leo Amerika imekuwa haina nguvu kwa China sababu inadaiwa pesa nyingi. Kudaiwa ni utumwa.
@@mwalimumstaafu8529 Nikweli pesa nyingi.
Mpaka Lulu anawakilisha
Mwisho heshima ya Kitaifa .Nchi ni kama mradi wa bar.Wahudumu wanaajiriwa na kufukuzwa.Mikopo nayo imekuwa kama ilaani ya Taifa.Nasikia mama katika kuhakikisha anataka abaki kwenye nafasi yake,rushwa imeanza mapema.Sema rushwa yenyewe imekaa kiubaguzi na kishamba mama anagawa majiko ya gesi.
Aliyefufua ATCL ni hayati Dr Magufuli. Mama ameendeleza kiasi
🤔🇹🇿
Yote pwani hyo hakuna mtu wa bara. Hapo.
Ndo maana msimamo hakuna
WATU WA PWANI NDIYO WALIOLETA UHURU... SISI TULIKUWA VIBARAKA WA WAZUNGU DHIDI YA WAAFRIKA WENZETU TULIOWATUMIKIA KTK SERIKALI YAO YA KIKOLONI NA MIONGONI MWETU TULIKUWA PORINI TUKICHUNGA NG'OMBE HATA MIJINI TULIKUWA HATUONEKANI, LEO NCHI IMESHATENGEMAA TUMEKUJA MJINI NA TUPO WENGI KTK MAMLAKA NA MAOFISINI BASI CHUKI NA UKABILA VIMETUJAA.... KTK SAFU YA WAPIGANIA UHURU TUKIMUONDOA MWALIMU ALIYEKARIBISHWA KWENYE HARAKATI HIZO NA HATA KUOMBEWA DUA YA USHINDI WA UHURU NA WATU WA PWANI PALE BAGAMOYO TULIOBAKI TUNAHESABIKA!! WATU WA PWANI HAWANA CHUKI LAKINI SISI TUNAOJITIA UDANGANYIKA FEKI HUKU TUKIWABAGUA WENZETU TUMEKUWA NA ROHO MBAYA SANA, MAOFISINI TUMEJAZANA WENYEWE NA KWA UPIGAJI WA MALI ZA UMMA TUNAONGOZA, KAJA MWENZETU MWENDAZAKE TUKAANZA KUMCHUKIA KWA SABABU ALIKUWA ANATUTUMBUA KWA WIZI NA UFISADI WETU, KTK SAKATA LA UTUMBULIWAJI NA VYETI FEKI SISI NDIYO TULIOKUWA VINARA WA KUTUMBULIWA CHUNGUZA MAJINA YA WALIKUWA WAKITUNBULIWA NDIYO UTAJUA LAKINI KWA WATU WA PWANI ILIKUWA NI NGUMU KUWAKUTA KTK KASHFA HIYO, SWALI KWA HALI HII KATI YETU NA WAO NI NANI MBADHILIFU WA RASILIMALI ZETU?! JIBU NI SISI KWA SABABU KWA KIASI KIKUBWA SISI NDIYO TULIKUWA KTK MAMLAKA NA UFISADI WOTE UNAFANYIKA KTK MAENEO AMBAYO SISI TUNAYOFANYIA KAZI NA SISI NDIYO TULIOKUWA TUKITUMBULIWA SANA. WAO KWA KIASI KIKUBWA WANAJIPIGIA MISHEMISHE ZAO BINAFSI HUKO MTAANI NA WALIOKUWEPO KWENYE MAMLAKA NI WACHACHE UKILINGANISHA NA SISI TENA HAO HAO WACHACHE KWA ROHO MBAYA ZETU BADO TUNAWAPIGA VITA TUNATAKA TUBAKI WENYEWE KAMA NCHI HII HATIMILIKI YAKE NI YA KWETU!! MBAYA ZAIDI SISI TUMEKUWA WANAFKI WAKATI JEMBE MWENDAZAKE ALIPOKUWA ANATUTUMBUA KWA UFISADI WETU TULIMCHUKIA NA KUMUITA DIKTETA, LEO HAYUPO TUNAMSIFU, HUYU ALIYEKUWEPO KAZIDI KUTUFUNGULIA FURSA KIBAO ZA KIMAENDELEO MIJENGO LEO INAJENGWA KILA PANDE YA NCHI BIASHARA ZETU ZINACHANUA KWA KASI YA AJABU, HAKUNA ANAYEBUGUDHIWA LAKINI CHA AJABU SISI NDIYO TUMEKUWA TUKIPAMBA SAFU ZA MITANDAO YA KIJAMII KUMCHAFUA NA KUMPIGA VITA HUKU TUKIJIFANYA ETI WAFUASI WA MWENDAZAKE AMBAYE TULIMCHUKIA TUKAMUITA DIKTETA. NDUGU TUACHE TUKI, HILI NI TAIFA LINAHITAJI UMOJA NA MSHIKAMANO KWETU SOTE ILI LISIMAME IMARA KAMA TAIFA!! KWA TAARIFA YAKO BARA NA PWANI DAIMA TULIKUWA PAMOJA, TUPO PAMOJA NA TUTAENDELEA KUWA PAMOJA KAMA JAMII MOJA NA NCHI MOJA NA HIZO CHUKI ZENU NYINYI WACHACHE MIONGONI MWETU HAZITATUTENGANISHA MILELE!!
Mhuu jamani mbona huyu anatuongopea sana
NIMEKUELEWA VIZURI MHESHIMIWA MKURUGENZI MHESHIMIWA MADAM ZUHURA TWASUBIRI POROJO MSOJO ZA WENGINE WATUPE NA USHAHIDI KAMA HUO UNAOSEMA
Jamani kama huna huakika wa jambo ni vzr kukaa kimya sio lazima sana kuongea.
Mbona nguvu nyingi sana kutuelekeza hili jambo? Why? Kwani mkataba wenyewe uko wapi? Siku hizi nguvu nyingi sana zinatumika kuelezea mambo ya mikataba. Hasa huu na ule wa DP World.
Kwasababu wapotoshaji pia wanatumia nguvu kubwa sana kupotosha
Hivi niwaulize nyie vionngozi wa Tanganyika na Zanzibar tutatembeza bakuri mpaka lini? Kwanini tusitumie lasirimali zetu kuendesha taifa letu?
Anza wewe tukuige
😂😂😂😂😂
Samia 🚮