Sheikh Ramadhan na yusuf hapo kuna mtihani hapa niwakati wa masheikh kutoka miskitini kufanya daawa kwa wasio waislamu hongereni masheikh kwa kazi mnaofanya
Asante ndugu Ramadhan ! Jaza ya Mungu kwako. Kujibu yule kijana habari ya elimu : Elimu ni muhimu kwa kila bin Adamu - anatakiwa aifuate elimu ili apate maisha mema katika dunia - lakini vile vile asisahau elimu ya kuweza kumfikisha njia ya haqi yakumuinigiza kwenye pepo ya Mwenyezimngu na kumuepusha na moto wa jahanam! Kwa hivyo inamlazimu bina adamu kuwa na elimu zote mbili kwa Usawa ! Muhimu ni ku hakikisha kuwa elimu ya dunia isikupoteze ikakuelekeza kinyume na Dini inavyo kuelekeza !
Hakika Uislamu ni njia na ndiyo imeelezewa hapa katika aya hii, "Iko njia ionekanayo kuwa sawa machoni pa mtu, Lakini mwisho wake ni njia za mauti (Mithali 14:12)
Katana amesema kweli ....kwenye debate huwa ni vigumu kuelewa dini ya haki kwa sababu kuna ushabiki mwingi...kwa Allah awawezeshe mashaikh wetu watoke na kuieneza na kuieleza dini ya uislamu na Allah awape uwezo na IKHLAS....aaaaminaaaa
Ai, hapa ni kwa Wa SHAKA HOLA! WaGiriama wame potezwa na WaZungu na StoryBook chao cha BIBLIA ! TabarakAllah Team kwaku fika hapa. WaIslamu, changiyeni hii Dawah Channel ili ipate Nguvu yaku fika kila Mahali!
huyu kijana wa shakahola maandiko anatafuta ni waraka wa pili ya John 15-17 na sio waraka ya kwanza alivyosema 15 Msiipende dunia, wala mambo yaliyomo katika dunia. Mtu akiipenda dunia, kumpenda Baba hakumo ndani yake. 16 Maana kila kilichomo duniani, yaani, tamaa ya mwili, na tamaa ya macho, na kiburi cha uzima, havitokani na Baba, bali vyatokana na dunia. 17 Na dunia inapita, pamoja na tamaa zake, bali yeye afanyaye mapenzi ya Mungu adumu hata milele.
Sheikh Ramadhan na yusuf hapo kuna mtihani hapa niwakati wa masheikh kutoka miskitini kufanya daawa kwa wasio waislamu hongereni masheikh kwa kazi mnaofanya
Asante ndugu Ramadhan ! Jaza ya Mungu kwako.
Kujibu yule kijana habari ya elimu : Elimu ni muhimu kwa kila bin Adamu - anatakiwa aifuate elimu ili apate maisha mema katika dunia - lakini vile vile asisahau elimu ya kuweza kumfikisha njia ya haqi yakumuinigiza kwenye pepo ya Mwenyezimngu na kumuepusha na moto wa jahanam! Kwa hivyo inamlazimu bina adamu kuwa na elimu zote mbili kwa Usawa ! Muhimu ni ku hakikisha kuwa elimu ya dunia isikupoteze ikakuelekeza kinyume na Dini inavyo kuelekeza !
Asalam aleikum waramtulah wabarakatu leo nikawa wa kwnza
Mashallah tabarak Allah
@@StraightPathDawah Amin
@@StraightPathDawahkwani sheikh mpeks vipi mbona vedeo moja tuu ?
Wsalaam warahmatullahi ta'ala wabarakaatuh
Subuhana Allah Polen sana huko
Kuna machaola
Mashallah KAZI zuri Allah atawalipa
Ma shaallah allah awahifadhi mashekh wetu
ALLAHU AKBAR kazi mzuri shekh mungu awazidishie kheri
Ma sha Allah
Ma sha Allah tabaraka Rahman
Mashaallah Allah awape subra nyingi katika hii kazi ya daawa
Masha Allah 💖💖💖
Mashaa Allah ❤
Jameni karibuni na shakahola
MashaaAllah
MashaAllah Tabarakah Rahman
Walekm salam warahmtullah wabarakatuh
Kazi safi
Kazi nzr walim wangu.Allah amtagulie Kila cku
Assallamu Alleikum, hongera kwa kazi nzuri ningependa mfike malindi kisumu ndogo
Insha allah mungu awazidishie
Walaikum salaam warahmatu-llahi wabarakatuh
karibu ni kilifi huko ni karibu nakwetu Allah awahifadhi na awalipe kila kheri
Barikiweni sana sana
Hakika Uislamu ni njia na ndiyo imeelezewa hapa katika aya hii, "Iko njia ionekanayo kuwa sawa machoni pa mtu, Lakini mwisho wake ni njia za mauti (Mithali 14:12)
😂😂😂😂😂huyo jama nimkali😅😅😅
Katana amesema kweli ....kwenye debate huwa ni vigumu kuelewa dini ya haki kwa sababu kuna ushabiki mwingi...kwa Allah awawezeshe mashaikh wetu watoke na kuieneza na kuieleza dini ya uislamu na Allah awape uwezo na IKHLAS....aaaaminaaaa
Huyo mtanzania ako na point ustadh, matwari na nyimbo kelele za kila aina ziko ndani ya msikiti especially wakati wa maulidi na haifai hata kidogo
Shakahola us real
Huyo jamaa aliandikiwa na pasta wao ambaye anataka kuwapotosha
Xhehe kulia muje tanza nia bwana maana tanzania maxhehe wame lala kabixa
Huyuu kijana amepotea sana naona uko na ukosefu wakuelewa
Ukipata muda njooni huku kakamega sehmu ya Luanda shop naona hio inafaa mana kuna mtihani
Hawa ni wakiristo wa jina tu
Huyu kijana bangi inamsumbuwa
Huyo jamaa anae kataa elimu! sasa aisoma vipi bibilia kama hatokwenda shule kusoma elimu ya dunia?
Ai, hapa ni kwa Wa SHAKA HOLA!
WaGiriama wame potezwa na WaZungu na StoryBook chao cha BIBLIA !
TabarakAllah Team kwaku fika hapa.
WaIslamu, changiyeni hii Dawah Channel ili ipate Nguvu yaku fika kila Mahali!
Huyo kijana, asiyependa Shule huwenda ni Tahira. ACHANA NAE HUYO, ANAPOTEZA MUDA. Mjinga na mjinga tu.
huyu kijana wa shakahola maandiko anatafuta ni waraka wa pili ya John 15-17 na sio waraka ya kwanza alivyosema
15 Msiipende dunia, wala mambo yaliyomo katika dunia. Mtu akiipenda dunia, kumpenda Baba hakumo ndani yake.
16 Maana kila kilichomo duniani, yaani, tamaa ya mwili, na tamaa ya macho, na kiburi cha uzima, havitokani na Baba, bali vyatokana na dunia.
17 Na dunia inapita, pamoja na tamaa zake, bali yeye afanyaye mapenzi ya Mungu adumu hata milele.