KIJANA WA SHAKAHOLA AJITOKEZA KWENYE DAWAH

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 4. 06. 2024
  • Please consider subscribing to our channel
    ‪@StraightPathDawah‬

Komentáře • 45

  • @rizikiali328
    @rizikiali328 Před měsícem +2

    Sheikh Ramadhan na yusuf hapo kuna mtihani hapa niwakati wa masheikh kutoka miskitini kufanya daawa kwa wasio waislamu hongereni masheikh kwa kazi mnaofanya

  • @Kitwitwi
    @Kitwitwi Před 26 dny +1

    Asante ndugu Ramadhan ! Jaza ya Mungu kwako.
    Kujibu yule kijana habari ya elimu : Elimu ni muhimu kwa kila bin Adamu - anatakiwa aifuate elimu ili apate maisha mema katika dunia - lakini vile vile asisahau elimu ya kuweza kumfikisha njia ya haqi yakumuinigiza kwenye pepo ya Mwenyezimngu na kumuepusha na moto wa jahanam! Kwa hivyo inamlazimu bina adamu kuwa na elimu zote mbili kwa Usawa ! Muhimu ni ku hakikisha kuwa elimu ya dunia isikupoteze ikakuelekeza kinyume na Dini inavyo kuelekeza !

  • @isahbarasa
    @isahbarasa Před měsícem +9

    Asalam aleikum waramtulah wabarakatu leo nikawa wa kwnza

  • @user-sq1ol2fb3i
    @user-sq1ol2fb3i Před měsícem +2

    Subuhana Allah Polen sana huko
    Kuna machaola

  • @user-iz1er8vg7u
    @user-iz1er8vg7u Před měsícem +1

    Mashallah KAZI zuri Allah atawalipa

  • @user-fh7wu8vx1y
    @user-fh7wu8vx1y Před měsícem +3

    Ma shaallah allah awahifadhi mashekh wetu

  • @Lambor-qq4gv
    @Lambor-qq4gv Před měsícem

    ALLAHU AKBAR kazi mzuri shekh mungu awazidishie kheri

  • @aburaasmedia3682
    @aburaasmedia3682 Před měsícem +2

    Ma sha Allah

  • @user-rc7oi2hp8l
    @user-rc7oi2hp8l Před měsícem +3

    Ma sha Allah tabaraka Rahman

  • @fatumahassan8438
    @fatumahassan8438 Před měsícem +1

    Mashaallah Allah awape subra nyingi katika hii kazi ya daawa

  • @fardoshnassor7847
    @fardoshnassor7847 Před měsícem +3

    Masha Allah 💖💖💖

  • @fatimaummar6723
    @fatimaummar6723 Před měsícem +2

    Mashaa Allah ❤

  • @JamalMwalimu-od9ci
    @JamalMwalimu-od9ci Před měsícem +2

    Jameni karibuni na shakahola

  • @zainabhussain4114
    @zainabhussain4114 Před měsícem +3

    MashaaAllah

  • @user-du2fy5sd5u
    @user-du2fy5sd5u Před měsícem +3

    MashaAllah Tabarakah Rahman

  • @ashrafissa778
    @ashrafissa778 Před měsícem +3

    Walekm salam warahmtullah wabarakatuh

  • @AngoSheriff-be5mq
    @AngoSheriff-be5mq Před 27 dny

    Kazi safi

  • @user-rc7oi2hp8l
    @user-rc7oi2hp8l Před měsícem +3

    Kazi nzr walim wangu.Allah amtagulie Kila cku

  • @user-kf2mg8xo7w
    @user-kf2mg8xo7w Před měsícem +2

    Assallamu Alleikum, hongera kwa kazi nzuri ningependa mfike malindi kisumu ndogo

  • @MohammediSemndili
    @MohammediSemndili Před měsícem +3

    Insha allah mungu awazidishie

  • @malikdodo5190
    @malikdodo5190 Před měsícem +1

    Walaikum salaam warahmatu-llahi wabarakatuh

  • @rizikiali328
    @rizikiali328 Před měsícem

    karibu ni kilifi huko ni karibu nakwetu Allah awahifadhi na awalipe kila kheri

  • @josemu870
    @josemu870 Před měsícem +1

    Barikiweni sana sana

  • @kennedyodhiambo8049
    @kennedyodhiambo8049 Před měsícem

    Hakika Uislamu ni njia na ndiyo imeelezewa hapa katika aya hii, "Iko njia ionekanayo kuwa sawa machoni pa mtu, Lakini mwisho wake ni njia za mauti (Mithali 14:12)

  • @harrisoncharo-qz3vz
    @harrisoncharo-qz3vz Před měsícem +1

    😂😂😂😂😂huyo jama nimkali😅😅😅

  • @Fumokale
    @Fumokale Před měsícem +1

    Katana amesema kweli ....kwenye debate huwa ni vigumu kuelewa dini ya haki kwa sababu kuna ushabiki mwingi...kwa Allah awawezeshe mashaikh wetu watoke na kuieneza na kuieleza dini ya uislamu na Allah awape uwezo na IKHLAS....aaaaminaaaa

  • @mohagurey2214
    @mohagurey2214 Před měsícem

    Huyo mtanzania ako na point ustadh, matwari na nyimbo kelele za kila aina ziko ndani ya msikiti especially wakati wa maulidi na haifai hata kidogo

  • @hamzamohamed377
    @hamzamohamed377 Před měsícem +1

    Shakahola us real

  • @FauziahNambaka-bn2ln
    @FauziahNambaka-bn2ln Před měsícem +1

    Huyo jamaa aliandikiwa na pasta wao ambaye anataka kuwapotosha

  • @muhinabakali7377
    @muhinabakali7377 Před měsícem +1

    Xhehe kulia muje tanza nia bwana maana tanzania maxhehe wame lala kabixa

  • @Shillingi
    @Shillingi Před měsícem +1

    Huyuu kijana amepotea sana naona uko na ukosefu wakuelewa

  • @Lambor-qq4gv
    @Lambor-qq4gv Před měsícem

    Ukipata muda njooni huku kakamega sehmu ya Luanda shop naona hio inafaa mana kuna mtihani

  • @mohagurey2214
    @mohagurey2214 Před měsícem

    Hawa ni wakiristo wa jina tu

  • @oopsm3574
    @oopsm3574 Před měsícem

    Huyu kijana bangi inamsumbuwa

  • @hythamhashiem4458
    @hythamhashiem4458 Před měsícem +1

    Huyo jamaa anae kataa elimu! sasa aisoma vipi bibilia kama hatokwenda shule kusoma elimu ya dunia?

  • @molee2339
    @molee2339 Před měsícem +1

    Ai, hapa ni kwa Wa SHAKA HOLA!
    WaGiriama wame potezwa na WaZungu na StoryBook chao cha BIBLIA !
    TabarakAllah Team kwaku fika hapa.
    WaIslamu, changiyeni hii Dawah Channel ili ipate Nguvu yaku fika kila Mahali!

  • @user-ng1po1dh4z
    @user-ng1po1dh4z Před 3 dny +1

    Huyo kijana, asiyependa Shule huwenda ni Tahira. ACHANA NAE HUYO, ANAPOTEZA MUDA. Mjinga na mjinga tu.

  • @aburaasmedia3682
    @aburaasmedia3682 Před měsícem +1

    huyu kijana wa shakahola maandiko anatafuta ni waraka wa pili ya John 15-17 na sio waraka ya kwanza alivyosema
    15 Msiipende dunia, wala mambo yaliyomo katika dunia. Mtu akiipenda dunia, kumpenda Baba hakumo ndani yake.
    16 Maana kila kilichomo duniani, yaani, tamaa ya mwili, na tamaa ya macho, na kiburi cha uzima, havitokani na Baba, bali vyatokana na dunia.
    17 Na dunia inapita, pamoja na tamaa zake, bali yeye afanyaye mapenzi ya Mungu adumu hata milele.