Lion of daawa sheikh ibrahim in eastleigh

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 28. 05. 2024

Komentáře • 38

  • @KINGSO880
    @KINGSO880 Před měsícem +1

    MA SHA ALLAH ❤ SHEIKH IBRAHIM

  • @Kuminamoja1995
    @Kuminamoja1995 Před 24 dny +1

    Ndacha ni mungu wawasabato

  • @abuamiinah
    @abuamiinah Před měsícem +1

    mashaallah kazi nzuri mashekhe

  • @Kuminamoja1995
    @Kuminamoja1995 Před 24 dny

    Masha'allah

  • @davidtheophillus9832
    @davidtheophillus9832 Před 27 dny

    Kuhusu hesabu ya roho za Mungu: kuna roho yaani (spirit of man), na kuna Roho Mtakatifu yaani ( Holy Spirit), na kuna Roho spesheli pale kwenye Kiti cha Enzi cha Mwenyezi Mungu ( Living Spirits) wale ambao hutekeleza maagizo yake Mungu Baba, Mungu Mwana na Mungu Roho Mtakatifu.

  • @VEYRON891
    @VEYRON891 Před měsícem +1

    Mashaallah ❤❤❤

  • @user-fc4vl8zi4r
    @user-fc4vl8zi4r Před měsícem +1

    Mashaallah ❤

  • @josemu870
    @josemu870 Před měsícem

    Barikiweni sana sana

  • @issackabdi7001
    @issackabdi7001 Před měsícem +1

    Teach them their bible....shk ibrshim

  • @josephkamani2093
    @josephkamani2093 Před měsícem

    Frances Ndacha Yuko hapa

  • @kennedyodhiambo8049
    @kennedyodhiambo8049 Před měsícem +1

    I can testify here that the writer of the Quran missed it big on trying to quote the Bible which Muslims claim is corrupted, has been changed over time and has a lot of contradictions. There's no single story lifted from the Bible that has been accurately narrated.... the stories of Moses, Adam, Abraham and even that of Jesus differ so much. It is evident that the narrator lived where Christians and Jews were, he interacted with them, learnt from them then came up with a religion to counter their beliefs.
    Verses like these can justify my opinion
    An-Nisa' 4:171
    O People of Scripture do not commit excess in your religion or say about Allāh except the truth. The Messiah, Jesus the son of Mary, was but a messenger of Allāh and His word which He directed to Mary and a soul [created at a command] from Him. So, believe in Allāh and His messengers. And do not say, "Three"; desist - it is better for you. Indeed, Allāh is but one God. Exalted is He above having a son. To Him belongs whatever is in the heavens and whatever is on the earth. And sufficient is Allāh as Disposer of affairs.
    Aal-e-Imran 3:19
    Indeed, the religion in the sight of Allāh is Islām. And those who were given the Scripture did not differ except after knowledge had come to them - out of jealous animosity between themselves. And whoever disbelieves in the verses of Allāh, then indeed, Allāh is swift in [taking] account
    Al-Anbiya 21:7
    And We sent not before you, [O Muḥammad], except men to whom We revealed [the message], so ask the people of the message [i.e., former scriptures] if you do not know.

    • @kennedyodhiambo8049
      @kennedyodhiambo8049 Před měsícem

      Naomba majibu yenu hapa

    • @bekamwaba3571
      @bekamwaba3571 Před měsícem

      Am confident you have but little knowledge. Go back and learn why the same bible have multiple versions with no any two identical. Why the differences and events in eventualities from each single version of the bible?
      Go learn and come to understand why the Qur'an came to sort your biblical discrepancies and problems.

    • @kennedyodhiambo8049
      @kennedyodhiambo8049 Před měsícem

      @@bekamwaba3571 What does the Quran teach which is superior to the Bible? Doesn't it promote sin! In the Quran there's no original sin thus you are okay if you follow the dictated way of worship. Praying 5 times in someone else's language, facing their place. The only assurance to eternal life is if you die in the cause of Allah. The Quran has a lot of inciting verses towards the Jews and Christians (Kafir/infidels)... what discrepancies did it come to solve?
      Deny if these verses aren't in the so called Holy book of God
      Quran 2:191 “Slay the unbelievers wherever you find them.”
      Quran 3:28 “Muslims must not take infidels as friends”
      Quran 3:85 “Any religion other than Islam is not acceptable”
      Quran 5:33 “Maim and crucify the infidels if they criticize Islam”
      Quran 8:12 “Terrorize and behead those who believe in scriptures other than Quran”
      Quran 8:60 “Muslims must muster all weapons to terrorize the infidels”
      Quran 8:65 “The unbelievers are stupid; urge the Muslims to fight them”
      Quran 9:5 “Whenever opportunity arises, kill the infidels wherever you catch them”
      Quran 9:123 “Make war on infidels living in your neighborhood”
      Quran 47:4 “Do not hanker for peace with infidels; behead them when you catch them

    • @kennedyodhiambo8049
      @kennedyodhiambo8049 Před měsícem

      @@bekamwaba3571 I can see that my reply to you has been deleted

  • @davidtheophillus9832
    @davidtheophillus9832 Před 27 dny +1

    John 16:10 meets the Muslms challenge for the Gospel accounts to state that Jesus Christ referred to Himself verbatim to be the Son of God. The Muslm will have to abide by his own oath to go to Church and ask baptism.

  • @kennedyodhiambo8049
    @kennedyodhiambo8049 Před měsícem +2

    Nashangaa mbona mnatumia Biblia kama mnaamini imebadilishwa. Ningeomba mtumie Quran yenu inayoongoza nyie na majini ndugu zenu katika njia ya uongofu. Msijaribu kuilazimisha Biblia iandikwe vile mnavyotaka eti wapi Yesu alisema yeye ni Mungu. Sisi tunaamini Yesu Kristo wa Nazareti ni Mungu, Mwana wa Mungu, Mfalme wa Wafalme, Alfa na Omega atakayehukumu wote wakiwemo Muhammad na wafuasi wake wote

    • @youtube.comBayanonlinedaawa
      @youtube.comBayanonlinedaawa  Před měsícem

      Una andiko ama ni maneno yako?

    • @kennedyodhiambo8049
      @kennedyodhiambo8049 Před měsícem +1

      @@youtube.comBayanonlinedaawa Imani yetu kwa Yesu inasumbulia nini? Wahindi wanaamini ng'ombe na sanamu lakini hamna shida nao kwa sababu nyote mko katika ufalme mmoja. Nyie mnaamini majini nasi hatuna shida wala hatujawahi kudai chochote kutoka katika dini yenu potovu

    • @youtube.comBayanonlinedaawa
      @youtube.comBayanonlinedaawa  Před měsícem

      @@kennedyodhiambo8049 shetani makao makuu yake ni kanisani
      Mnamkemea kila siku wala hatoki
      Ushawahi skia waislamu wakumkea shetani pale msikitini??
      Shetani na majini ni ndugu zenu wakristo
      Wacheni kuwakana ndugu zenu mchana peupe

    • @kennedyodhiambo8049
      @kennedyodhiambo8049 Před měsícem

      @@youtube.comBayanonlinedaawa Waislamu hawawezi kumkemea Shetani (Majini) kwa sababu ni ndugu. Quran ni shahidi kuwa majini ni waislamu katika Surah 72. Wakristo wanawakemea mashetani nanyi mnawafuga. Uislamu bila imani katika majini sio kamili

    • @user-rc7oi2hp8l
      @user-rc7oi2hp8l Před měsícem +1

      Tumnamshagaa mkisema yesu n Mungu Kwan hakuna tamko la yesu alisema Mimi n Mungu niabuduni mpate uzima wa milele