INASIKITISHA:MAISHA YA NGORONGORO SIO YA KARNE HII.
Vložit
- čas přidán 7. 05. 2023
- NYUMBA CHANZO CHA MAGONJWA NGORONGORO
"Nyumba wanazo ishi zinaweza sababisha yawepo magonjwa ya upumuaji kwa sababu Wateja wetu walio wengi kwenye nyumba zao humo wanapo ishi wana koka moto analala humo humu wakati ,mwengine analala mifungo ndani humo kwenye nyumba moja" .
"Kwahiyo kile kitendo cha kulala na mifungo ina weza kuletea kusabisha magonjwa ya binadamu pia" .
"Kwa mfano ugonjwa wa nimonia
Unachangiwa na hali ya mazingira kwa mfano mazingira yetu haya tunayo kaa ni mazingira ya baridi alfu jamii yetu pia wanashindwa kujisitiri kutokana na baridi kwa sababu hasa unakuta wao mavazi yao ni yale mavazi ya wazi sio yale ya kujistiri na baridi , kwa mfano wao wana jifunika mashuka". ALOYCIA, MUUGUZI MWANDAMIZI OLEIROBI
Yeye mwenyewe ajiweke sawa kwanza hasa kichwan
Watu kama hawa akina afande sijui kama walipata chanjo ya pepopunda
Hivi kichwa chenyewe cha mwendawazimuu... nadhan aanze kuacha kujidanga apate akili timamu kwanza