Nilichogundua walimwengu hampendi jema kwa wenzenu mlitaka afungwe na hayo madeni hi ndo kipaji alicjojaliwa na Mungu ulitaka afanye kazi gani???? Au huko misikitini mkienda swali mnalipwa??? Baba kapigeee kazi 👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏all the best bro
Subhana allah mzee kaka yangu kitu gani kilicho kusibu unajibu maswali uku ukicheza tena una furaha wala una ofu nafsi yako wala haijutii mm sina mengi tuna mwachia allah
Assalam alaykum warahmatulaah wabarakatuh kwenye maisha usijione wew ni bora kuliko Mwezako mungu ndoo anatoa hukumu Allah amjalie mwisho mwema Yaa Raby takabali Dua
Kweli Allah amejaalia pope kuwa na vitu vya kuchukiza na miyihani ming mno na akaalia moto kuwa na vivutio vyingi sana vya matamanio ya kutenda dhambi sio rahisi mwanadamu kuepuka bali Allah anawependa wenye kusubiri Allahumma jaalna mina swabiriin (Allah akurudishe kuwa na imani dhabiti ) ameen
Jamani achana Eni na nmnze yusuph kila mtu na yake kumbukeni wamamazenu watawakimbieni siku ya kiama kwahio kila mtu na yake washsmuongoza anajuwa mpaka kwenda Maka aliskia ivi karudi muacheeeeeeni jamani liyenu naye u mnze wawatu muacheni nyie kusali tu kila mtu na yake pengine yeye nibora kuliko nyie ambayo yamejificha jamani tusali acheni kuwangalia vidio za mnze yusuph fateni mambo yenu basiii kila mtu alie kwa allah ampe mwisho mwema mwema eeeeeeeh aminaaa rabiiii
Kwa Mwanamme mwenye akili sawa sawa ktk maisha hapa duniani kosea kila kitu lakini sio mke wa kuoa (usipokuwa makini ni rahisi sana mke kuamua hatma yako ktk maisha), Kwa yote tunayoyafanya siku zote lazima tutambue "...Hakika sisi ni wa Mwenyezi Mungu na kwake tutarejea"!! ...nimesema haya kwa uchungu na masikitiko makubwa, jamii inahitaji watu wa kuijenga na wala sio kuibomoa kimaadili, kwani haya yanayotokea yanasikitisha, Ee Mola tujaalie mwisho mwema, Aamen!!
Ww unacheza na mwenyez mungu umetubu mwenyewe leo unarudi kwenye ibilisi nilikuwa shabiki yako lakini kwa hili ufeli mzee yusufu umerudi kwenye laana ulikataa hata nyimbo zako zisipigwe pole mzee yusufu mwenyez mungu akupe mwisho mwema
Allah atuhifadhi sote...kukosa Haya mpaka mbele za watu...luqman alahisalam alisema kiumbe mbaya zaidi ni yule anae Fanya maasi mbele za watu bila kujali
Ameuza moyo wake kwa devil hamuoni anapewa nyota ya kuforci yakupendwa huoni ampe pewa ma bodyguard analindwa na lucifer nani upo na mm ? Nasema nani upo na mimi!
ALLAHU AKBAR.....Yaani mwenyewe anaongea huku anajitingishatingisha Kwa madaha na dharau’ sawa ila Tambua MOYO Ndio adui mkubwa wa binaadam ‘ Omba ALLAH akupe maisha ili utubu tena ‘ Lkn ikitokea Roho ikaacha mwili ujue utaangukia pabaya sana..!
Inahuzunisha Sana mzee wewe kumbuka ni mja wa Allwa na Allwa hdhihakiwi juwa anakuona na hizo pumzi ambazo zinakufanya upumuwe ni za kwake akiamuwa kukupokonya utakwenda kumwambia Nini? Umeacha maasi Mungu hwenda amekusamehe unarejea kwenye maasi Rudi kwa Allwa
Wew shetan ulkuj kupotosh waislam umechemk hun tofaut n makafir wew n ibilis xax usiambiw ukwel km unatok kwenye maadil wew shetan hun aibu allah akuazibu kw kumtukana n kumzalilish mtume
Ameuza moyo wake kwa devil hamuoni anapewa nyota ya kuforci yakupendwa huoni ampe pewa ma bodyguard analindwa na lucifer nani upo na mm ? Nasema nani upo na mimi!
Innallillah wainnaillah rajiun, mushriku ameshindwa ya Mwenyezi Mungu, Allah wewe ndiye unayejua hatma ya dini yako dhidi ya sisi viumbe dhwaifu, yarrabi tuoneshe njia iliyonyooka sisi viumbe wako.
Umepewa mtihani na Allah, umefeli pole sana, pia hata hela yako ya hija inawezekana ilikua ya haramu ndo maana hukuyatoa moyoni, pia Allah anasema "mnafikiri tutawaacha burbuer tusiwajarbu eti kwasbabu mmesema mmeamini" .....,umefel sna tena unaonekana na jeuri
Tusimlaumu kwasababu sisi wote tuna dhambi hakuna alie msafi,inabidi tumuombee kwa Mwenyezi Mungu ampe Mwisho mwema,Je mlitaka akaibe ama ageuke ombaomba mumseme zaidi????au mlitaka atafute mume amuoe ili ampe kula???Naskia alikua akiishi maisha ya dhiki sana alikua ana madeni anadaiwa mpaka mali zinataka nadiwa,Kipaji cha kuimba kampa Mwenyezi Mungu mwacheni akitumie kuliko kwenda kuolewa na mwanaume mwenzake???siwezi kumlaumu kwakua siijui kesho yangu... TUSIHUKUMU,kazi ya KUHUKUMU TUMUACHIE MUUMBA
Lana tullah we Yusuph utaiona hija yako itakavyokutengeneza unafinya vimacho aibu Wallah Mimi namuogopa Sana Allah ulishamkosea Allah kuingia kwenye riba
@@faju4real800 Ukimlaani utamuangamiza huyu. Ila tujitahidi na dua avute toba ya kweli kabla ya mauti yake. Allah stampokea akirudi katika Ibada. Sisi tuendelee kumlaani Iblis alomuingiza huyu katika janga hili la haram.
@@salimharrasy7047 kwel kaka Dua pekee ndo ztazomuongoa ila inauma sana kumuona mtu anajua zuri na baya nakulieneza kwa wwumin kisha yey kuja kulifanya dah
Acha kibri Kaka Bora jizalilize usitoe maneno ya kejeli Kila binaadamu anakosea lamuhimu kuomba mwisho mzuri Bora useme utaacha na kurudi kwenye haki kuliko kusema hapa mziki kwenda mbele mungu atakuongoza kaka
subhanAllah kesho kaburini itakuwa pekee yako Deni waombe waisilamu wakuchangie wacha kurudi kwa maasi akusikitia Sana malaika wa mauti akikukujia utafanya vipi machafu hata ku danca kwa hao wanawake machafu Sana utajibu mbele ya Allah
Watu hujusifu kwa swala, au mtu anasema watoto wanajuwa Quran. Hata mali muislamu huruhusiwi kujisifia nayo halafu huyu mjinga moja mzee Yusuf anatusifia TAARABU. Analaana huyu
Wewe unalindwa na hao wanaadamu wenzako lkn kumbuka kuwa hapo hapo Kuna malaika wawili wanaonda matendo yako pia usisahau kuwa Kuna malaika wa umauti anamuangalia mwanaadamu Mara tano kwa siku sasa wewe jidai ninaproject Kama hamsini , Mara sitaki kustaafu nikiwa mzee mola akuongoe hii ni dunia tuu haina ndani yake isipokuwa pumbazo la muda mchache ,kumbuka Allah ameshasema ,Ama yule atakayepewa kitabu chake kwa mkono wa kushoto atasema kina nini kitabu hichi, ni bora nisingejuwa hisabu yangu cku ya leo , haukunifaa ufalme wangu Wala Mali zangu kwaiyo wewe hadaika na hii duniya na huo ushetwani wa Mali Ila kumbuka Kuna kufufuliwa baada ya kufa na Kuna kuhesabiwa tumuombe mungu atupe mwisho mwema na turudi kwake akiwa ameturidhia
Subhana Allah . Hivi ingekutoka roho hapo jukwaani ingewaje ulishajiuliza? Allah hashindwi kakusitiri bado unaongea ujinga madeni haya na Allah akakunyima hizo hela usilipe inakuwaje? Umekosana na mola wako umeshindwa kufanya subra? Huogopi wewe wanadamu sisi ni viumbe thaifu hapo sasa tunamuachia Allah utakutana nae na hayo madeni yawe mara 3 na Allah ajalie ufeli uwe chini zaidi ya hapo Amen
Nilichogundua walimwengu hampendi jema kwa wenzenu mlitaka afungwe na hayo madeni hi ndo kipaji alicjojaliwa na Mungu ulitaka afanye kazi gani???? Au huko misikitini mkienda swali mnalipwa??? Baba kapigeee kazi 👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏all the best bro
Subhana allah mzee kaka yangu kitu gani kilicho kusibu unajibu maswali uku ukicheza tena una furaha wala una ofu nafsi yako wala haijutii mm sina mengi tuna mwachia allah
Jamani tusimuhukumu wote Sisi ni wadhambi na tukumbuke kuwa MOLA wetu ni mwingi wa kusamehe.sasa tusihukumu tusije hukumiwa
Assalam alaykum warahmatulaah wabarakatuh kwenye maisha usijione wew ni bora kuliko Mwezako mungu ndoo anatoa hukumu Allah amjalie mwisho mwema Yaa Raby takabali Dua
Aaaaamin
Aamiiin
Kweli Allah amejaalia pope kuwa na vitu vya kuchukiza na miyihani ming mno na akaalia moto kuwa na vivutio vyingi sana vya matamanio ya kutenda dhambi sio rahisi mwanadamu kuepuka bali Allah anawependa wenye kusubiri
Allahumma jaalna mina swabiriin
(Allah akurudishe kuwa na imani dhabiti ) ameen
Innalilahi waina ileh rajiun. Allah amuongozee na sisi wengine asitujaalie kurudi nyuma.
Aamiin
Aamiiin
SubhanAllah tumuombeye huyu ndungu yetu arengeye njia Haki ya Allah Kadir.
Huyu si mtu anamchezea mungu
Huyu aregee wapi ndio kashatoka
Aamiiin
Allah akuongoze yusuf..🤲🤲
Ameen
Allah tunakuomba mwisho mwema Amiin
Ameen thumma Ameen
Jamani achana Eni na nmnze yusuph kila mtu na yake kumbukeni wamamazenu watawakimbieni siku ya kiama kwahio kila mtu na yake washsmuongoza anajuwa mpaka kwenda Maka aliskia ivi karudi muacheeeeeeni jamani liyenu naye u mnze wawatu muacheni nyie kusali tu kila mtu na yake pengine yeye nibora kuliko nyie ambayo yamejificha jamani tusali acheni kuwangalia vidio za mnze yusuph fateni mambo yenu basiii kila mtu alie kwa allah ampe mwisho mwema mwema eeeeeeeh aminaaa rabiiii
Amen
Kwa Mwanamme mwenye akili sawa sawa ktk maisha hapa duniani kosea kila kitu lakini sio mke wa kuoa (usipokuwa makini ni rahisi sana mke kuamua hatma yako ktk maisha), Kwa yote tunayoyafanya siku zote lazima tutambue "...Hakika sisi ni wa Mwenyezi Mungu na kwake tutarejea"!! ...nimesema haya kwa uchungu na masikitiko makubwa, jamii inahitaji watu wa kuijenga na wala sio kuibomoa kimaadili, kwani haya yanayotokea yanasikitisha, Ee Mola tujaalie mwisho mwema, Aamen!!
Ww unacheza na mwenyez mungu umetubu mwenyewe leo unarudi kwenye ibilisi nilikuwa shabiki yako lakini kwa hili ufeli mzee yusufu umerudi kwenye laana ulikataa hata nyimbo zako zisipigwe pole mzee yusufu mwenyez mungu akupe mwisho mwema
Mungu amjaalie yy na sisi khatma njema
Ameen 🙏
Allah atuhifadhi sote...kukosa Haya mpaka mbele za watu...luqman alahisalam alisema kiumbe mbaya zaidi ni yule anae Fanya maasi mbele za watu bila kujali
Subhanallah
Innalillah wa innaillayhi Raj'iuun ata kunywa pombe kanywa Ya Allah tupe mwisho mwema YARABII🤲😥😥
😂😂😂😂😂😂🤔🤔ndio kalewa huyo
Shuhul zao bila kinywaji unadhan itaenda na kinywaji ndo shetan mkubwa mama wa maasia
Ameuza moyo wake kwa devil hamuoni anapewa nyota ya kuforci yakupendwa huoni ampe pewa ma bodyguard analindwa na lucifer nani upo na mm ? Nasema nani upo na mimi!
Allah atustiri, Ameen thumma Ameen. mimi binfsi naogopa mtihani kama huu, audhubillah
Allah atuongoze
Kuna mtu kamfila mwanafunzi wake msitini nahuyo
Aamiiin
ALLAHU AKBAR.....Yaani mwenyewe anaongea huku anajitingishatingisha Kwa madaha na dharau’ sawa ila Tambua MOYO Ndio adui mkubwa wa binaadam ‘ Omba ALLAH akupe maisha ili utubu tena ‘ Lkn ikitokea Roho ikaacha mwili ujue utaangukia pabaya sana..!
Si kazoea tangu zamani huyu si muislamu mlevi mkubwa
Nina wasiwasi ALLAH asijemuweka mjini zaidi anavyojiona yupo mjini.
Bado anamtazama jibu atalipata inshaa'Allah
MISSED THE SHEITWAN MAALUN NDIO SIFA YAKE,USALI NA KUOMBA ILI USIPATE MTIHANI WA ALLAH SIUNAJUA ALLAH HAMPENDI BINAADAM kibri
NI MSIBA INASIKITISHA,INAHUZUNISHA,INALIZA PIA.
TUNAJISIFU KTK MAASI
Inna lillah wainaillah rajiun
Inahuzunisha Sana mzee wewe kumbuka ni mja wa Allwa na Allwa hdhihakiwi juwa anakuona na hizo pumzi ambazo zinakufanya upumuwe ni za kwake akiamuwa kukupokonya utakwenda kumwambia Nini? Umeacha maasi Mungu hwenda amekusamehe unarejea kwenye maasi Rudi kwa Allwa
Huu ni msiba
Mwenye kufanya madhambi huku yuwacheka ataingia moton huku yuwalia acha ajisifu
Innalillah wainnalillah msiba mzito kwely umetubu khalaf unarud kwenye mambo mabaya
Inna lillahi wainna ilayhi rajiun, Mzee Yussuf hajamkomoa MTU Bali kajikomoa yeye mwenyewe
Kabisa ndugu yangu atajuta mweyewe
Allah tujaalie mwxh mwema inshaallah
Wew shetan ulkuj kupotosh waislam umechemk hun tofaut n makafir wew n ibilis xax usiambiw ukwel km unatok kwenye maadil wew shetan hun aibu allah akuazibu kw kumtukana n kumzalilish mtume
Jamani tumuachie allah, hayup mwanadamu aliepew kazi y kuhukumu n allah peke ake.
Usione sifa wwe unabeba majukumu ovoo atahupendezi ovoo jituzima tarabu itakupeleka.wapi wwe pole Sana
Sasa nani alie muhukumu wakati mwenyewe yuko tayari na dhaba za mwenzi mungu kwani kuna mtu alimsemea??
Hata we mpuuz2
Watu hawahukumu hukumu za dhambi zote mtume kazisema acheni kuon watu wanahukumu
Ameuza moyo wake kwa devil hamuoni anapewa nyota ya kuforci yakupendwa huoni ampe pewa ma bodyguard analindwa na lucifer nani upo na mm ? Nasema nani upo na mimi!
Innallillah wainnaillah rajiun, mushriku ameshindwa ya Mwenyezi Mungu, Allah wewe ndiye unayejua hatma ya dini yako dhidi ya sisi viumbe dhwaifu, yarrabi tuoneshe njia iliyonyooka sisi viumbe wako.
Mungu hana dini unakosea mzee kwa maana mungu muislam au
Mwenyezi Mungu ndiye aliyeumba vitu vyote duniani vinavyoonekana na visivyoonekana.
Aamiin
Umepewa mtihani na Allah, umefeli pole sana, pia hata hela yako ya hija inawezekana ilikua ya haramu ndo maana hukuyatoa moyoni, pia Allah anasema "mnafikiri tutawaacha burbuer tusiwajarbu eti kwasbabu mmesema mmeamini" .....,umefel sna tena unaonekana na jeuri
إِنَّا لِلَّٰهِ وَإِنَّا إِلَيْهِ رَاجِعُونَ, ʾinnā li-llāhi wa-ʾinna ʾilayhi rājiʿūn
ALLAH KNOWS HUGE THINGS THAN US, ALLAH GUIDE US IN A STRAIGHT PASS.....
Duuh mzee yusufu pole.sana ndugu yangu kwakumdipu allah ila usijali atakupigia inshaallah
Mzee yusuph umemkosea Allah ,na bora zaid ungenyamaza tu sio kusema maneno hayo
We hutendi dhambi?
We unamkosea Allah au ndo unafiki tu?
Mlevi
Waimba tarab mipasho mpka kwa Mola wao subhanallah
🤣🤣🤣 dah nimecheka kidogo
Yaan mjinga Yusuf anajib maswal kwa confidence zte hatar sn...MwenyeziMungu tunakuomba utuepushe na Shetan kwan sisi bila ww amna kitu.
Wivu was mafanikio uo
Amiin
Mungu ndiye Hakim ,muachieni mwenyezi mungu
Ukweli mungu ndie hakimu
Kabisa
Allaah Akuongoe wewe na sisi but ni Muswibaa mkubwaaa😭😭😭😭🙏
Aamiiin
Innahillahih wainnalillah rajhun wallah huu ni msiba yarrab mungu atusitiri na shetani
Amiin
Mzee unacheza na Mungu haya subiri sasa kichapo chake
Inalillahi wainailah rajiun
Tatizo unakaa kwenu hauna majukumu ndo maana hujui maisha nn
Duh kumbe uliamua kumdanganya Allah subiri fimbo ya mungu itakavyo kushikisha adabu😭😭😭😭😭
Fimbo ikija inatupiga yote saizi kuna mtetemeko
Bt unaambiwa isab nafs yko kbla haijaisabiwa
Na ziokoen nafs na watoto wenu na moto
Asante fatma kwanza nafurahi kwa majibu mazuri, mimi mwenyewe naitwa kassim halafu binti yangu anitwa fatma ajabu
Tusimlaumu kwasababu sisi wote tuna dhambi hakuna alie msafi,inabidi tumuombee kwa Mwenyezi Mungu ampe Mwisho mwema,Je mlitaka akaibe ama ageuke ombaomba mumseme zaidi????au mlitaka atafute mume amuoe ili ampe kula???Naskia alikua akiishi maisha ya dhiki sana alikua ana madeni anadaiwa mpaka mali zinataka nadiwa,Kipaji cha kuimba kampa Mwenyezi Mungu mwacheni akitumie kuliko kwenda kuolewa na mwanaume mwenzake???siwezi kumlaumu kwakua siijui kesho yangu... TUSIHUKUMU,kazi ya KUHUKUMU TUMUACHIE MUUMBA
Salma na Mzee Yussuf akili zenu zinafanana
Ivi nyie mnao moments mzee yusuph mshawai kutubu
Yeye katubu na kaasi Tena
Yeye ndo aloenda jiliza vooo kwa mungu. Sasa anamtania mungu
Hilo ndo tunalolijadili
Inaonekana Kama amepata moja Moto moja baridi. Inna lillahi wainna ilaiyhi raaajiun.
Hoyeeeee mzeeee Yusuph.
Subuhanallh Allh atukinge na mabalaaa
Allah Atupe mwisho mwema
Allahumma ameen
Allah utuswamehe sote na utuongoze katika njia ya haqi. Sote tu waja wako na tuna madhambi yetu. Utuswamehe sisi na wenzetu.
Aamiiin
😁😁😁 SubhanaAllah!mungu ampe hatma njema
Subhanalla wah pole Allah akuondole
Subhanallah!!! Subhanallah!!! Subhanallah!!!
Hii ushatani ya wachafu record na tv diamond hamutoshi Allah mfalme wa kipeke.
Mzee Yusufu ogopa watu wote wanagumzia
Duuuh lannatullaaah mjinga ww mungu azidi kukupiga na maisha
Bouncer kafariki/kauliwa kwa ajili yako, subhanallah
Mwenyezimungu tupe mwisho mwema
Na kwa m/mungu pia ukaseme ivo ivo mwehu wewe mzee yussuf
Nakweli mwehu
Km umemuon zimwi gonga like
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Anauza sura ,😂😂😂
@@muryd6999 😆😆
Subhanallah hapo alipo amelewa
Lana tullah we Yusuph utaiona hija yako itakavyokutengeneza unafinya vimacho aibu Wallah Mimi namuogopa Sana Allah ulishamkosea Allah kuingia kwenye riba
Haifai kumlani ila aombewe dua arudi kwa Allah. Ni hatari sana anavyofanya. Inasikitisha sana.
Kwann asilaaniwe shetan ndugu yng na shetan wwte ni laanautullah
Allah atujaalie mwsho mwema
@@faju4real800
Ukimlaani utamuangamiza huyu.
Ila tujitahidi na dua avute toba ya kweli kabla ya mauti yake.
Allah stampokea akirudi katika Ibada.
Sisi tuendelee kumlaani Iblis alomuingiza huyu katika janga hili la haram.
@@salimharrasy7047 kwel kaka Dua pekee ndo ztazomuongoa ila inauma sana kumuona mtu anajua zuri na baya nakulieneza kwa wwumin kisha yey kuja kulifanya dah
Acha kibri Kaka Bora jizalilize usitoe maneno ya kejeli Kila binaadamu anakosea lamuhimu kuomba mwisho mzuri Bora useme utaacha na kurudi kwenye haki kuliko kusema hapa mziki kwenda mbele mungu atakuongoza kaka
SubhanaLlah. Tupe nusra yako y arabbi
Kalewaa duuu
Mzee rudi nyumbani Zanzibar acha kuimba mziki kazi zipo nyingi tu za kujipatia rizki
Mungu yupo tunaimani naye na atatenda jambo kwa uyu kiumbe,tumuachie yeye yajayo yatatufundisha!!
Nini wewe pambana na hali yako
@@fatumaluvuno7518 nani ss apambane na hali yake mbona husomeki?mana nyie makafiri mnapenda sana kudandia yasiowahusu!
@@bisunmwamini6993 kafiri wa kwanza wewe apo usichokitaka usikiaangalie
Yaan unamuita muislam mwenzio kafiri wew mtoto unalaana
@@gadyetheboss8738 unakemea naww unaingia huko huko laana na ukafiri ni hapo hapo!
subhanAllah kesho kaburini itakuwa pekee yako Deni waombe waisilamu wakuchangie wacha kurudi kwa maasi akusikitia Sana malaika wa mauti akikukujia utafanya vipi machafu hata ku danca kwa hao wanawake machafu Sana utajibu mbele ya Allah
Hana tofauti na nabii tito baradhuli
Yusuf kakangu ALLAH unamuaasi sababu ya dunya tutafika
I dont blame him.
God(Allah or somethng)should make sure he provide for his own
What a escalet dummy idea
Innalillahi
Ana mkataba na Allah asema atastaafu akiwa na nyele nyeupe subhana nallah mola atuongowe sote na atupe subra
angekuwa mkristo wala,msingeona tunamlaum hatuingilii maisha,y mtu wala,kumuhukum hvyo🙌
Mzee Yusuf chezea ndevu sio Allah
Huyu sio kazoea kuona uchi na uchafu
Watu hujusifu kwa swala, au mtu anasema watoto wanajuwa Quran. Hata mali muislamu huruhusiwi kujisifia nayo halafu huyu mjinga moja mzee Yusuf anatusifia TAARABU. Analaana huyu
Innalillah wainnaillah rajiun, kalewa huyo yupo chakar
Tazama sura yake mbaa imekuwa uwoubaa wako wa ndani wote umetoka ndani umekuja nnje subhaanallah
Allah hana haja nawewe amekupa nafasi upate moto wa hali ya juu
Sawa sawa Farouk mungu akupe afya Farouk niko kenya
ALLAH akuongoze mzee
subhaAllah...weee mzee imani unayo Ila iblisi amekutawala Sana ...umewadhalilisha wazanzibari wenzio dah mtihani kweli kweli
Huyu simzazibar ila alikaa naakasoma.zanzibar.maalakauloa zanzibar ila.jitu labars hilo
Mwenye kufanya madhambi huku ana jisifu ataingia motoni huku analia
BINAFSI NAFURAHI SANA KUONA MTU ANAFANIKIWA HAPA DUNIANI SUALA LA DHAMBI NA PEPO NAMUACHIA ALLAH
hujielew ndio maana
Hata ww Bilisi ni rafiki yko
Mola akufiche hali yk muislamu
mmmm in lilah wainailah rajiuni
Mungu muoneshe ukubwa wako kumbe huyo zaaifo
Yote nkukosa subra rudi tena kwa mola wako bado hujachelewa,,ulijitia kujuta ukajitia nakulia haswa Leo kiko wapi mzee
Alipo enda njaaa
Kamiss pombe na kuona wanawake wakikata viuno
Huyo ni sheitwani tena anamzidi sheitwani yani anafanya mchezo na dini wakati watu wameipatia tabu dini ye anaichezea inalillahi wainairahi rajiuni
Kweli
Huyu sio mtu atafute mabouncer tu walahi, huwezi kuiabisha dini ya Allah utaaibika wewe
Njaa mbaya sana
Maisha ndio mtuu yanamfanya abadiri mawazo
Aallah atupe mwusho mwema yarab
Aamiiin
Unajisifu subhanallah Allah atupe nusra lkhaatima waje wake
Full bordgud nakukubali mzzee ila pigania kiji hio ndo kz yako ila swalaaa
Daah ! Hapa mziki tuu!
Na mungu pia anjuw mpumbavu mkubwa weee unajisifia machafu shenzi zkoooo.
Dah!!
Laana inakunyemelea usimdhihaki mungu utajuta
Uliziba watu macho. Kwa kuanza kaswida, badae UKaenda kwa mziki.Ogopa mola wako mzee, maisha y dunia n mafupi.
allah tunakuomba utupe mwisho mzuri
🤣 🤣 🤣 🤣 Nacheka Kam Mazur Dunia hii Ina mambo jaman eeee mungu tusaidie🤲🤲🤲🤲🤲
Mungu tenda miujuza yako hapa wallah
Mhh Ya Allah tupe mwisho mwema amin
subhaana llah.
Mh jamaa baada ya kuona kwa siku anaingiza buku hahaha
Wewe unalindwa na hao wanaadamu wenzako lkn kumbuka kuwa hapo hapo Kuna malaika wawili wanaonda matendo yako pia usisahau kuwa Kuna malaika wa umauti anamuangalia mwanaadamu Mara tano kwa siku sasa wewe jidai ninaproject Kama hamsini , Mara sitaki kustaafu nikiwa mzee mola akuongoe hii ni dunia tuu haina ndani yake isipokuwa pumbazo la muda mchache ,kumbuka Allah ameshasema ,Ama yule atakayepewa kitabu chake kwa mkono wa kushoto atasema kina nini kitabu hichi, ni bora nisingejuwa hisabu yangu cku ya leo , haukunifaa ufalme wangu Wala Mali zangu kwaiyo wewe hadaika na hii duniya na huo ushetwani wa Mali Ila kumbuka Kuna kufufuliwa baada ya kufa na Kuna kuhesabiwa tumuombe mungu atupe mwisho mwema na turudi kwake akiwa ameturidhia
Subhana Allah . Hivi ingekutoka roho hapo jukwaani ingewaje ulishajiuliza? Allah hashindwi kakusitiri bado unaongea ujinga madeni haya na Allah akakunyima hizo hela usilipe inakuwaje? Umekosana na mola wako umeshindwa kufanya subra? Huogopi wewe wanadamu sisi ni viumbe thaifu hapo sasa tunamuachia Allah utakutana nae na hayo madeni yawe mara 3 na Allah ajalie ufeli uwe chini zaidi ya hapo
Amen
Binaadam tusiingirie kazi ya Mungu ukiona mwenzio anamtihani wowote muombee
naam swadakta
Ungelitaka pesa ungelifanya kazi mzuri sihiyo aaaaaaaa kwisha wewe rudi tu kwa mungu
Deni linakufanya umuache Allah halafu unarudi kwa taarabu, mjinga sana. Mimi mwenyewe ninadeni lakini siwezi kuasi dini yangu coz nadaiwa shame on u.
Anajimenguwa laanatulah
Inallilah wainaillah rajiunii