MZEE YUSSUF: MIMI NDIO MFALME WA TAARABU/MAMBO YA DINI/SITAKI HATA KUYASIKIA/NARUDI KUTAFUTA HELA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 09. 2024
  • All the African Music. Hottest SHOWS... Mapinduzi Ya Burudani
    Times FM Ni Redio ya Burudani Nchini Tanzania, Inayoongoza kwa kukupatia Habari za Burudani pamoja na Matukio yote yanayotokea ndani na nje ya Tanzania. #KiafrikaZaidi.
    Follow us on twitter / timesfmtz and on instagram / timesfmtz
  • Zábava

Komentáře • 751

  • @ahmedmalick1898
    @ahmedmalick1898 Před 4 lety +115

    Innalillah wainna ilayhi rajiun..Allah alikupa mtiham mdogo umekushinda kumbuka siku ambayo haitomfaa mtu mali yake wala watoto wake isipokua yule ambae ana mcha mungu..ndio atasalimika na adhabu ya Allah...adhabu za Allah nikali na nizenye kuumiza..rudi kwa mola wako nafas bado unayo

    • @bjzee1981
      @bjzee1981 Před 4 lety +5

      Wakati mwingine mke ulie nae pia ni mtihani mkubwa Sana. Mke wake alisema haku ridhika kabisa kwani alikua asha mzoea kua nae kwenye kumbi

    • @jonasyohana3258
      @jonasyohana3258 Před 4 lety

      Ww umerud kwa mola wako?

    • @ahmedmalick1898
      @ahmedmalick1898 Před 4 lety +3

      @@bjzee1981kuwa mstaarabu huyo n muislam mwenzangu na nina kila sababu ya kuelekeza anapokosea mm km binadam nisifa yngu kukosea na ninapokosea nakosolewa ndio maana tukasifiwa kuwa ni umma bora kwa sabab yakuamrishana mema na kukatazana mabaya

    • @maxmody
      @maxmody Před 4 lety +2

      Swadaqta!!

    • @shazili.dilungahatarsaanam9892
      @shazili.dilungahatarsaanam9892 Před 3 lety

      Mungu amlaani huyu ibilisi

  • @sarahmohamed337
    @sarahmohamed337 Před 4 lety +97

    Katika maisha omba Sana ALLAH Akujalie mwisho mwema sio mwanzo mwema.

  • @alhamdulillah5796
    @alhamdulillah5796 Před 4 lety +42

    Usiseme mambo usiyoyafaham kwenye dini bora sema uombewe dua basi! Kuliko kubeba na jukumu la kupotosha wanaokusikiliza.
    Swala utaulizwa lkn Allah anasema ktk Qur-an 29:45:-
    "SOMA uliyofunuliwa katika kitabu na ushike swala, Hakika sala inazuilia mambo machafu na maovu"
    Sasa tujiulize, ukiwa unaswali halafu bado upo kwenye maovu/machafu au unayatamani maovu/machafu utakua unasali au unababaisha tu?
    Mziki umekusanya ulevi, uzinzi na mavazi ya kutokujistiri ima ww utakua ni mtendaji wa hayo maovu na machafu au watu/wapenzi wako wanaokushabikia au nyote. Allah akuongoze, Amiin

  • @Nevershot
    @Nevershot Před 4 lety +44

    Ni masikitiko makubwa sana kumkashifu Mzee Yusuf na kumsihi amuogope Allah wakati kwenye simu zetu tumejaza wimbo za kila aina.Kwanza anza wewe kujirekebisha,mwombe Allah msamaha,kisha mwombe amuongoze Mzee Yusuf katika njia ilionyooka.
    Assalam Aleikum.

  • @allyissa8651
    @allyissa8651 Před 4 lety +69

    Allah humuongoa amtakae humuacha apotee amtakae yarabi tujaalie mwisho mwema

  • @abdulrahmanngaluma3768
    @abdulrahmanngaluma3768 Před 4 lety +84

    Wewe mzee yusuph .... Dini siyo siasa .... Leo upo chadema kesho upo CCM ..... Swala na muziki wapi na wapi .... Wee muogope ALLAH. Hiyo afya inakudanganya 💪🏾

  • @gojvon116
    @gojvon116 Před 4 lety +9

    السلام عليكم ورحمة الله وبركة
    Mzee wetu anaekulaimu jua ndio anaekupenda, hao wanao kutia mori na kukusifu ujuwe hakika hawakupendi , lazima ufaham na kwa kweli wewe hi mtu mzima na ni mtu mwenye busara na unajua yote mema na mabaya na unajua kwamba Allah yupo na ndio mfalme wa wafalme na unajua kwamba pesa na watoto ni pambo la dunia tu na hatimae utaondoka siku moja na utaacha hapa kila kitu na sio wewe tu sote iliobakia ni vitendo vyako tu ulivofanya hapa ulipokua duniani, kwa hivo tafadhali kaa ukijua na usisahau na Allah yeye hana khasara isipokuwa sisi ndio tuko katika khasara tukifanya ambayo Allah ametukataza, basi akili kichwani mwako .
    Bora urudi kwa mola wako na ikiwa Allah kakuandikia utajiri bas kun fayakun utaupata hata bila ya kuimba na ikiwa Allah hataki Basi unaweza kuzipata hizo pesa na ukashindwa kuzitumia wengi hapa hapa duniani wanazo pesa lakini hawajijui wala hawawezi kuzitumia, sheikh rudi kwa mola wako na umuombe msamaha bado milango ya toba iko wazi

  • @jumayusuph8471
    @jumayusuph8471 Před 4 lety +20

    Huyu Allah Ana khekima sana kwasababu kwa kiapo alichoapa ingekuwa mungu ni mtu angemfanyia kibaya haraka sana lakin Allah ametulia yey ndiye anajua zaid kuliko yeyote.

  • @ramadhanijuma4204
    @ramadhanijuma4204 Před 4 lety +17

    Allah humuongoza amtakae, tumuombee mzee wetu. Rehma za Allah ni pana.

  • @salmaabdu5011
    @salmaabdu5011 Před 4 lety +38

    ALLAH ATUPE MWISHO MWEMA YAANI DINI SI KITU CHA KUCHEZEA KABISA

  • @hallatbilaty4602
    @hallatbilaty4602 Před 4 lety +61

    Innalillahi wainna ilayhi rajiuun ..Yaa Allah tujalie mwisho mwema..

  • @alimasigasaleh8659
    @alimasigasaleh8659 Před 4 lety +9

    He knows exact what he's doing. He keeps on asking muslims to pray for him. May Allah guide as to the straight path.

  • @khadijakhatibhaji5024
    @khadijakhatibhaji5024 Před 4 lety +6

    inna lillah wainna ilayhi raajiun, wewe muogope allah mzee yussuf, muonee aibu mwenyez mungu, maisha ya mpito tu hayaa akhera ndio makaazi

  • @alhaddajmohammed4768
    @alhaddajmohammed4768 Před 3 lety

    Dunia ni mapito na starehe za mda. Andaa amal zako ndizo zitakazo kusaidia, ziwe nzuri/mbaya mizani utapimiwa, utarudi kwa Muumba wako kama ulivyozaliwa. Swala humuondosha/humkataza mja kuuepukana na maovu, ukikiona mtu anasali huku anadumu ktk maasi tena kwa makusudi elewa SALA ya mtu huyo ni ya ubabsishaji (anafanya riha) aonekane nayeye anasali. Pumzi zisitudanganye. InshaAllah nakuombea dua njema ila Mungu habadilishi matendo yetu mpaka tubadilishe yaliyopo ndani ya vifua vyetu.

  • @safiaothman1098
    @safiaothman1098 Před 4 lety +20

    Inna Lillahi Wainna Ilayhi Raji'uun,. Utakuja kujuta, rudi kwa Allaah.

    • @habibabandru9174
      @habibabandru9174 Před 4 lety

      Hivi nyinyi hamfanyi kazi? Swalah na kazi ndo maisha yaende, mwaacheni kaka wawatu atafute maisha njaa ilimuuma Sana na nyinyi hamkuai kumpa chakula mwacheeniiiiii

    • @salimmohamedsalim4448
      @salimmohamedsalim4448 Před 4 lety +3

      Afyaa inamdanganya ila Allah anawajua wajawake. Allah atujaalie mwisho mwema ktk hii dunia

    • @saumsalim9966
      @saumsalim9966 Před 4 lety

      @@salimmohamedsalim4448 Amin rabby Amin

    • @fatwimabintathmanbinthawa8155
      @fatwimabintathmanbinthawa8155 Před 4 lety

      @@salimmohamedsalim4448 Amiin Yarabi🤲🏼

  • @masoudyrashidy9041
    @masoudyrashidy9041 Před 4 lety +4

    Innalillahi wainnailayhi raajiuun kwa kweli tuzidi kujiombea sisi na watoto wetu na wazazi wetu
    Maana hakuna mkamilifu na yy mzee Yusuf
    Allah amabdilishe imani yake

  • @noorynmohammedy6063
    @noorynmohammedy6063 Před 4 lety +84

    Wanao soma comment kama mm tujuane hpa

  • @achooda4078
    @achooda4078 Před 4 lety +5

    Innalillah wainnalillah rraajiun, Wee!! Umejiripua kweli endapo Allah akichukua roho yako muda huu umeripuka kwa jahannam, pole sana mzee Yussufu kwa msiba mzito uliochagua kwa kuchagua shetani ukamuacha Allah Alie kuumba.

  • @abdiilahkhamisi4656
    @abdiilahkhamisi4656 Před 4 lety +2

    Allah atakufanyia wepes yussufu hulijuw ulitendalo brooo dah lanaaa iyooo

  • @saumsalim9966
    @saumsalim9966 Před 4 lety +42

    Astaghafirullah Astaghafirullah Astaghafirullah,,, Ya Allah tupe mwsho mwema wa kkutambua ww tu😢😢😢, ety ctak kujua ya dini mi nataka hela

  • @annachieng6607
    @annachieng6607 Před 4 lety +1

    Mzee Yusuf taarab ulikuwa number one ,rundi kwa kazi yako ,wewe ni star wa taarabu watu wamekumiss

  • @maryanmaxmud3290
    @maryanmaxmud3290 Před 4 lety +1

    SUBXAANA ALLAH MZEE MRUDIE MUNGU WAKO BAADO UNAMDA SHETANI ANAKUDANGANYA BAADO UPO HAI MRUDIE ALLAH ETI MFALME ALLAH PEKEE NDIO MFALME

  • @lj-sp5ri
    @lj-sp5ri Před 4 lety

    Mzee Yousuf usiwasikilize wapumbavu na wanafiki waislamu ni wanafiki sana. Point ni kwamba Mungu huwa hasaidiwi kuhukumu. We Piga ela watoto wale Hayo ni maneno ya watu tu njia za mwenyezi hazichunguziki. Wanaokujaji usishangae wanakutangulia jehanum ya moto!. Aaaaaah

  • @masharubundevu3765
    @masharubundevu3765 Před 4 lety +29

    Mungu ampe mwisho mwema acje akafa kwenye muziki

    • @elizabethmapunda6806
      @elizabethmapunda6806 Před 4 lety +3

      Nimekupenda dua nzuri

    • @hadijamarijani8943
      @hadijamarijani8943 Před 4 lety +1

      @@elizabethmapunda6806 duwaa nzuri sana. Hakuna alokamilika. Wapo walokua walevi kufa lkn umauti uliwakuta wakiwa hawanywi pombe.
      Na wapo walokua hawanywi pombe lkn wamekufa wakiwa walevi nk! So as site hatujui mwishowetu itakuaje. Lkn vyema nikumuombea mtu mema lkn sio kuhukumu mtu

    • @florabaruti8032
      @florabaruti8032 Před 4 lety +1

      Ni bora yeye atafia kwenye muziki kuliko wewe utafia kwenye vinena vya watu

    • @masharubundevu3765
      @masharubundevu3765 Před 4 lety

      @@florabaruti8032 Ntafia kwenye kinena chako au cha Mama ako

    • @fatmakhalef3450
      @fatmakhalef3450 Před 4 lety

      amin. yarab hasnul khateem

  • @aminamtikaonlinetv7305
    @aminamtikaonlinetv7305 Před 4 lety +9

    Jamani kitendo cha kwenda kuhiji sio kitu kidogo ni kikubwa Sana na kwa ninavyosikia kuwa ukienda huko ni lazima uwe msafi,kwa maana unaenda kutubu dhambi zako zote na kuyaaza maisha mapya yanayompendeza m/mungu.
    Sisi Kama binadamu hatupaswi kuhukumu kwa sababu yupo muhukumu wa haki.
    Lakini Sasa sijajua kwa mzee wetu hapo ni kwamba anambipu mungu au?
    Maana dah.....ni kweli sote tunamapungufu lakini yatupasa kushindana na majaribu ya dunia.
    Eeeeeeee m/mungu tusamehee sisi waja wako na utupe mwisho mwema.
    🙏🙏🙏

  • @kadulathumani7517
    @kadulathumani7517 Před 4 lety +3

    Mtangazaji mambo yako kama interviewer, kazi umejipanga.
    Mzee Yusuf umo katika Duaa.

  • @salmaathuman9156
    @salmaathuman9156 Před 4 lety +2

    Ukiwa na mke ibilisi basi hakikisha mume nae ni ibilisi maana hakuna wa kumuongoza mwenzie omba. Sana mwisho mwema hapa duniani leo unaropoka kwa jeuri pumzi zinakudanganya sana kesho lilikuta utesema waislaam wakuombee dua anataka ujana wakati umri umeshakutupa mkono

  • @hafsatalib2050
    @hafsatalib2050 Před 4 lety +19

    Anakijua anachoongea lakini!!!maskin,M.Mungu atamtanabahisha inshallah

    • @moralistkhamis6007
      @moralistkhamis6007 Před 4 lety

      Amin

    • @tripplebilali6564
      @tripplebilali6564 Před 4 lety

      @@moralistkhamis6007
      Mm

    • @nadimhamadi4431
      @nadimhamadi4431 Před 4 lety

      Yan ww mshezi san unamtania mung unasema dini baadae kwaza ww si uliendag hija mpumbafu ww kw taarifa yko mung amekupa mtihan mdogo t2 lkn hukuufany

    • @mereyamhomesmariamhomes3464
      @mereyamhomesmariamhomes3464 Před 4 lety

      @@nadimhamadi4431
      Huyu anadeni kachukua mkopo pesa nyingi sana sasa hawezi kulipa kipato chake kidogo
      Ndio kaamua kurudi tena

  • @asmabintikiwa1826
    @asmabintikiwa1826 Před 4 lety +10

    Naumia nafs yangu sichoki kukuombea Allah akuongoze

    • @daisythetech
      @daisythetech Před 4 lety

      Unapoteza muda wako dada....Bora huo muda uwaombee wazazi wako, wagonjwa waliokuwepo mahospital, waliotangulia mbele za haki Ila siyo uyo mjinga mmoja anayemchezea mungu

    • @mlawimweusi8473
      @mlawimweusi8473 Před 3 lety

      Chamsing msimuhukumu Mungu ndo anamjua kiundani na so mwanadam

  • @fahadfahmy
    @fahadfahmy Před 4 lety +3

    Kuna maneno yanasikitisha,yaani Mzee anasema alikua mfalme wa Daawa na sasa amekua mfalme wa Taarab,Mzee umekosea sana yaani umechupa mipaka

  • @tabumussa6705
    @tabumussa6705 Před 4 lety +25

    Tumuachie MUNGU ndiyo khakimu wa khaki basi

  • @hamisikaisi1761
    @hamisikaisi1761 Před 4 lety +11

    Mwogope mungu mfalme ni Allah pekeyake

  • @aminamikidadi7754
    @aminamikidadi7754 Před 4 lety +5

    Inasikitisha sn wallah ..mzee mfalme ni Allah peke yake ..M/Mungu twakuomba umjaalie hyu mja wako atubu kabla umauti haujamkumba..kwani ni mtihani mkubwa wallah ...

  • @hamisisalmah8764
    @hamisisalmah8764 Před 4 lety

    Tujalie mwisho mwema watu kazi kubadili dini hakuna mtakatifu a naeza in sha Allah akaipata akhera sisi tukaikosa kafiri wa leo ndiye muislamu wKesho allahuallam

  • @abuumuhammadchannel3499
    @abuumuhammadchannel3499 Před 4 lety +1

    Subhana llah!!
    Ewe mwenye kuzigeuza nyoyo tunaomba uzithibitishe nyoyo zetu katika dini yeko

  • @alexlingwendu6780
    @alexlingwendu6780 Před 4 lety

    Unaweza kuhisi wewe ni mkosefu saaana.Mwisho ukaamua kumrudia Mungu .But ktk kumrudia Mungu pengine Kuna viongozi wakubwa wa dini wamekufanya umrudie Mungu.Sasa kadiri unavyokua nao karibu hawa watu waliokushawishi Unagundua kua ni waasi wakubwa na wanamkosea Mungu kuliko hata ulivyokua.Hapo Ndo unaaanza kujiona ulivyo mjinga na kuendelea na maisha yako.Naaamini wapo baadhi ya Mashehe walianza kumshawishi Mzee Yusufu kwenda WaGanga wakishirikina.Na hapo ndo kaona duuu kumbe alivyokua ni bora kuliko huku alikotaka kupoteza hata Rizki yake.

  • @halimamajid4042
    @halimamajid4042 Před 4 lety +2

    Innalillahiwainnailayhirajiun., Namuomba Allah akujaalie Killa ulitendalo roho ikusute ili uuache Mambo mabaya Amin.

  • @ramangadu6451
    @ramangadu6451 Před 4 lety +8

    ILLAH KARIM Atuongoze Kwani Sote Tunamapungufu. Binadamu Hujafa Hujaumbuka.

  • @mashaallahtabarakallahahma8269

    Allah akuongonze yani umefanya dini kama mchezo

    • @ayshamahariq6665
      @ayshamahariq6665 Před 4 lety

      😥

    • @saumsalim9966
      @saumsalim9966 Před 4 lety

      😢😢😢😢😢Amin

    • @mahamedabdi1881
      @mahamedabdi1881 Před 4 lety

      Swadgte

    • @hamadimango4384
      @hamadimango4384 Před 4 lety

      Tuna kukumbusha ujui lini umauti wako alafu unajiona mjanja kurudi kwenye masia lazima usisikie utaenda kusikilizishwa kaburi na munkari wannakiri endapo allh atakapo zichukua roho

  • @nastyabdul3674
    @nastyabdul3674 Před 4 lety +1

    Uislamu ndio shamba na kuimba ndio mjini.. 😥 uislamu imekua kam dini ya mchezo.. Yarabby tuongoze vyema waja wako..🙏

  • @7mpya799
    @7mpya799 Před 4 lety +7

    Allah ndoanajua kila kitu tusimuhukumu allah ndo anajua riziiki yake na allah ndo anajua mwisho wake na mwenyez mungu amjaalie mwisho mwema amiin

    • @masharubundevu3765
      @masharubundevu3765 Před 4 lety

      Allah anajuwa kwa kila mtu na kitu, ila kwahili na mm najuwa km ni dhambi Mungu hakusema tupige mziki hy mambo ya mziki mmeanzisha nyinyi wanadamu na shetani wenu

    • @mizemize8894
      @mizemize8894 Před 4 lety

      Amin thum amin.. Mungu akubarik kakangu

    • @7mpya799
      @7mpya799 Před 4 lety +2

      Masharubu Ndevu labda ni seme tu tena mambo ni mengi apa duniani cha msingi ni kumuombea unaweza muona anafanya kilicho haramishwa ila mwisho wa siku na akafanya nukta moja tu ya wema na mungu kampereka peponi kwahyo sisi hatujui yaliyo jificha

    • @user-lr1oi6xp8o
      @user-lr1oi6xp8o Před 4 lety

      Nurdin WEWE UMEASHUMU AKIFANYA JEMA MOJA BASI VILEVILE Masharubu PAMOJA NA Sisi TUMEASHUMU OVU MOJA ALILOFANYA

  • @naimakhamis6448
    @naimakhamis6448 Před 4 lety +1

    Allah akuongoze katika njia iliyonyooka bado mdomo unanyanyuka ndio sababu ya kibri hcho ila kumbukaa cku viungo vitafanya kazi ya mdomo

  • @biubwajuma2968
    @biubwajuma2968 Před 4 lety +1

    Dah mzee yussuf kamuacha mkono mungu wake jeee atamkumbuka mama ake kwa kumuombea duaa kweli?

  • @achataali7592
    @achataali7592 Před 4 lety +2

    Inallilah wa ina ilayihi radjion qu'allahou nous accord une bonne fin yarabi pardonne cette homme 😢😢😢😢😢

  • @rizikiyahya9565
    @rizikiyahya9565 Před 4 lety +17

    Innaa lillaahi wainnaa ilayhi rajiuun

    • @hamadimango4384
      @hamadimango4384 Před 4 lety

      Allha amrudishe kwenye ibada swala tano amuondoshe ibisi mbaya huyo allha atulinde SS na vizazi vyetu

  • @rashidomar2771
    @rashidomar2771 Před 4 lety +8

    Inna lillah waina ilayhi rajiun ,,huu msiba mkubwa,,

  • @ummusalim1162
    @ummusalim1162 Před 4 lety

    Nakuhurukiyaa m.mungu amekuacha mkono....umeacha kuliya umefata kushoto......

  • @hilmybullo5928
    @hilmybullo5928 Před 4 lety

    Allah anatosha kukuhukumu , mana kma ulikwenda mpaka hijja na haujakubaliwa basi io ni azabu tosha .. Laanatu llah , Ya rabbi muoneshe ufalme wako mana teari yeye amejipa ufalme kuliko wa kwako , rabi huyu ibilisi anapotosha huu umati wa MUHAMMAD ) basi nasi tunainua mikono ili utuondolee huyu ibilisi🤲🏽

  • @ismailyussuf1805
    @ismailyussuf1805 Před 4 lety +2

    Mzee Yusuf..Laana ya Allah ikuangukia.(Mfalme wa Mashetani.)

  • @husseinshabani9522
    @husseinshabani9522 Před 4 lety +1

    Kama Usomi coment watakufikishia Ujumbe. Umechemsha Mzee Wangu.kutoka kwa Mungu kuja kwa Shetani.

  • @zenamohamed9934
    @zenamohamed9934 Před 4 lety +4

    Mfalme wa mashetani... innalillah wainna illaih rajiuun.. laahawllah walaakuwata illabillah...

    • @nurafedrick378
      @nurafedrick378 Před 4 lety

      😂😂😂😂😂😂😂ndoamwerudi kuvunjaaa ndoa zawatu sasa

    • @sadamussa3196
      @sadamussa3196 Před 4 lety

      KIKANZU NA KILEMBA KUSHAKIVUA EE! ULIINGIA KWENYE DINI UWENDE MAKKAH UKATEMBEE UKAKUJUWE.....SHETANI KAKUWEZA ETI UTAFANYA DAWA LABDA YA MAPENZI YA MUZIKI TU USICHANGANYE MAISHA SIO IVO WALA UISLAM C KAMA SIASA UNAVO FIKIRIA

  • @sheikhsheikh1291
    @sheikhsheikh1291 Před 4 lety +19

    IKIWA SHETANI KAFANIKIWA KUKURUDISHA KWENYE DHAMBI, HATASHINDWA KUKUZUIA KUMSUJUDIA MUNGU MSIKITINI...UMEKWISHA BRO...TUMEKUJAALIENI NJIA MBILI..IMMA SHAAKIRA WA IMMA KAFURA..NI KAULI YA SUBHAANA HIYO.

  • @hassanbinally7127
    @hassanbinally7127 Před 3 lety

    Allah Akbar kwakweli sina hata cha kuongea napita tuuu Mungu ndie ajuae na atuongoze njia ilionyooka Insha-Allah

  • @nailanajim4221
    @nailanajim4221 Před 4 lety +1

    Innalilahi wainailahi rajiun. Allah atuongoze yarabi jami ste

  • @fatmamohammedali4306
    @fatmamohammedali4306 Před 4 lety +2

    ALLAH akutowe huko ulishapendeza kwenye dini akupe na mwisho mwema

  • @naimamunishi1241
    @naimamunishi1241 Před 4 lety

    Shetwan ana nguvu sana kwa hakika, ila wewe mzee yusph unampeeb mwenyez mungu basi in sha Allah atakupigia soon tu..wewe n MFALME wa shetwan tu.

  • @saram3530
    @saram3530 Před 4 lety

    Jaman jaman jaman!!! Hii ni huzun sn. Tumwombee tuu Mwenyenzi Mungu anaweza kubadilisha mawazo yke. Mimi ni mkristo na bibkia yangu inaniambia, IPO njia ionekanayo njema machoni pa mtu, lakini kumbe ni njia ya upotovuni. Tusimhukumu tumuombee kwa Mungu

    • @mohdamour1427
      @mohdamour1427 Před 4 lety

      Jamani tumesahau yule ambae alah amemuongoa hakuna wa kumpoteza nayule ambae kashampoteza hakuna wa kumuongoa kwani kina firauni ilijiita muungu naleo hayupo acha yeye anaejiita mfalme

  • @mwanaishahussein2635
    @mwanaishahussein2635 Před 4 lety +5

    Twakubali kuwa wewe ni mfalme wa tarabu ila ALLAH ndie ajuaye zaidi🙏🙏🙏🇰🇪

  • @suhaybabeid3115
    @suhaybabeid3115 Před 4 lety +4

    Inna lillah wainna ilaihi raajiun kwanza izo taarab zake ni mbaya sijaona taarab apo

  • @sharifmbarouk2796
    @sharifmbarouk2796 Před 4 lety +4

    Dah! simchezo Dunia umeipapia itakuacha au utaiacha mzee..

  • @sawdasamsan4895
    @sawdasamsan4895 Před 4 lety +2

    Mzee Yusuf kajilipua kwa raha zake penda sana mzee yusuf from Kenya🇰🇪

  • @aishamaulid2358
    @aishamaulid2358 Před 4 lety +1

    Asalaam Aleikum...Mimi kwa maoni yangu...Mzee yusufu alitaka mtu amvute...yaani alipokinai angepata mdhamini wa kiislamu...mbona waislamu matajiri ni wengi tu sana...Mzee yusufu angetoka kwake...awache nyumba yake Mali yake...yaani chochote ambacho alikipata kwa miziki angewacha kisha apate mdhamini amsimamie kila kitu na ampe biashara yeye na mkewe hata kama atampa nyumba ya kupangisha amlipie kwa mwaka mmoja...wamsimamie mavazi na chakula...hapo najua mzee angekuwa na utulivu....na iwapo angefanyiwa haya yote kisha arudi tena dhambini..hapo tungekuwa na comments za KUMPA.. ...kwa hiyo mtasema yote ila kumbukeni life is not easy...without money in this world you are nothing...everything is money....so hawa mashekhe...na watu wengine mnao mdadisi na kumpa maneno mazito kumbuka kila mtu atabeba mzigo wake mwenyewe....je mnaodadisi ipo siku mtu alijitokeza na kumpa pongezi kwa kukinai na kumpa hata kama loan ya millioni moja?

    • @ukhtyrayyan7884
      @ukhtyrayyan7884 Před 4 lety

      Weer Asha wacha ujinga kwani mtume namaswahaba walisaidiqa nanani siwalikua wakijituma kwakazi zahalali nawakapata riski zao nikupenda makubwa natamaaa zakidunia tu lakini kazi zipo zakupatia riski ila kuchagua kazi nako ndo kunapelekea mwisho wake huo wakumkufuru Allah

    • @ukhtyrayyan7884
      @ukhtyrayyan7884 Před 4 lety

      Asha huna haya kama huyo mzee yusuf nyote mashetwani wakubwa shezi weeeer

  • @aminamikidadi7754
    @aminamikidadi7754 Před 4 lety

    Hakika ..M/Mungu aliahidi hata muwacha mja yeyote anayejinasibisha juu ya mgongo wa ardhi yake ya kuwa ameamini na yuhali hajaamini ..kisha akasema lazima atampa mitihani ..Allah atujaalie mwisho mwema yarrab ..

  • @farhadhassansaid1297
    @farhadhassansaid1297 Před 4 lety

    Unaswali wakati ukianguka kama sai na watu kwa nyimbo zako mpaka watu wafanya mmbo ya kiipuzi wafikiri swala ndio itasaidia na ulisema unataka kutubu sai umerudi kwa nyimbo SubhanahAllah

  • @nozawageorge8718
    @nozawageorge8718 Před 4 lety +6

    nyinyi mnaomponda mzee yusuph wote ni wanafki tena wanafiki sana kila mtu atabeba mzigo wake nyinyi ni wema sanaa sio upuuzi kuimba kama ni dhambi na nyinyi muache kusikiliza miziki ya wasanii na nyinyi ndio mashabiki wakubwa hautazikwa na mzee yusuph kila mtu atazikwa kivyake pumbavuuuuuuu

    • @sulehassanshall6140
      @sulehassanshall6140 Před 4 lety

      Anae mungnga iblis nayeye pia nirafiki yake..manfiki n yusuf Muimbaji.Nww ndie mnfiki kumuunga huyu shetan Anae wapoteza dadangu zt namama zt..laana yamungu ishukie...

    • @mordekairehani5821
      @mordekairehani5821 Před 4 lety

      Wamwamini Yesu kama Bwana na mwokozi waache unafiki wa mafarisayo

  • @rahmarashid2073
    @rahmarashid2073 Před 4 lety +9

    Rabda Mfalme washetani inshaallah jiandae Allah akuripue vzr maana umetuzalilisha waislam wenzio hija ulienda kutembea kumbeeee😏😏😏

    • @sharifmbarouk2796
      @sharifmbarouk2796 Před 4 lety +2

      Ameshasema anataka kujiripua basi na Allah atamripua kweli..

  • @ashuu7youz326
    @ashuu7youz326 Před 3 lety

    Innalillahi wina ilaihi rajoon,Allah atu epushe na roho isie muogopa nakumu tegemea

  • @khasimgange4213
    @khasimgange4213 Před 3 lety

    Mtihani mdogo tu umekutoa kwenye dini subhanallah

  • @saidimgina8299
    @saidimgina8299 Před 4 lety +1

    Umezalilisha dini ya allah naomba allah akufanye mfano wawangene wanao mcheza shere allah

  • @tumabhay8576
    @tumabhay8576 Před 4 lety +4

    Huna haya weyee mhuuuu. Uombewe dua wakati wee mwenyewe unajiombea moto. Ahhh! 🤔 Staghfiru kwa Allah kiumbe usiropokwe kiac hicho na ukisema mengine bakisha.

  • @profs.a5412
    @profs.a5412 Před 4 lety

    Bora tu umefanya ivyo kama maisha yamekuwia magum...maana ukifa ukiwa unaimba taarabu na ukifa ukiwa upo kwa hyo dini hakuna tofauti, wote ni sawa tu na njia yenu ni moja tu ya motoni bali ukifa katika Kristo Yesu unauzima wa milele. Kwaiyo hakuna ulicho badilika mzeee.......sema saiv umerudi kutafuta hela....na muombe Mungu kabla haujafa upate neema ya kumwamini Kristo Yesu kama BWANA na Mwokozi wako . Utaishi milele👨‍💻

  • @ibrahimalmazruy8765
    @ibrahimalmazruy8765 Před 4 lety +3

    Mtihani huu Binaadamu sisi usituogopeila Ata Mungu Humuogopi

    • @mbwanaali4251
      @mbwanaali4251 Před 4 lety

      Nilidhani anaijua dini kumbe anahitaji kuelimishwa sana tena mwanzo mwisho!

  • @alimatokeoyakidatuchakwanz655

    Upo vizur broo
    Unamcheka mzee Yusufu
    Lakini ww jee umejiangali
    Pia kunawengne katiyenu washirikina
    Lakini bado munamuona mzee Yusufu
    Nyinyi vip mnajielewa kwanza

  • @aishasaid5702
    @aishasaid5702 Před 4 lety +5

    Yaani leilaa karidhikaaa roho nyeupeee alilolitaka limekuwa

    • @ibrahimadam4272
      @ibrahimadam4272 Před 4 lety +2

      All the way from 001 county mambasani.ndiyo tukaambiwa mwananche ni iblisi swadakta

    • @hassanjuma2688
      @hassanjuma2688 Před 4 lety

      MZEE YUSSUF PALE ANA MKE

    • @mwanalimagamunda997
      @mwanalimagamunda997 Před 4 lety +1

      @@ibrahimadam4272 tsona ni ibilisi sana,🤣🤣🤣,unaenda mchezo na nyonga nyereru

  • @rukiaabdalla8458
    @rukiaabdalla8458 Před 4 lety +1

    Fanya kazi Kaka yamungu anajua mungu si binadamu

  • @allyjumanne3144
    @allyjumanne3144 Před 4 lety +3

    Huyo mpumbavu hata town hapajui anahangaika2, town ni Akhera nyie wapuuzi!!

  • @twaibumikidadi7377
    @twaibumikidadi7377 Před 4 lety +4

    Huyu akiumwa kipind yupo kitandan atawaza meng sana !

  • @hassanambarakmbarak8759
    @hassanambarakmbarak8759 Před 4 lety +3

    Umekosa Imani mzee yusuf

  • @ggdyhdhr8169
    @ggdyhdhr8169 Před 4 lety

    I pray for you and inshallah you lead Islam

  • @nurudinehamimu5658
    @nurudinehamimu5658 Před 4 lety +1

    Innalillahi wainnaillahi llajuni shekhe mzee yusuph afyaiyo uliyo nayoo inakudanganya soon mungu atakujibu .

  • @yassinijumanne6117
    @yassinijumanne6117 Před 4 lety

    Allah Akbar umeenda mpaka hija Mzee bado imani inayumba subuhanna llah

  • @salmaabdu5011
    @salmaabdu5011 Před 4 lety +4

    Ukiwa na mke mwema basi utakua kweli maadili mema

  • @abubakarmpole4000
    @abubakarmpole4000 Před 4 lety

    Umetoa thamani dini ya uislamu.Tunakuachia mungu usipotubia.

  • @bobjohn5482
    @bobjohn5482 Před 4 lety

    Lana hiyo utajuta maisha yako sasa muzee na mkee wako upate kulipa deni pia uza namihadarati kama ulivyo kuwa unafanya na mkee wako

  • @jumashaibuchipyangu3839
    @jumashaibuchipyangu3839 Před 4 lety +2

    Mungu anasamehe lkn!!!!!

  • @soudmlangwamlangwa2778
    @soudmlangwamlangwa2778 Před 4 lety +5

    Usahalishe haram kwa kigezo cha swala ndo itaulizwa mwanzo. Swala yenyewe inamuepusha mtu na maovu. Muogope mwezimungu ukweli wa kumuogopa.

  • @saidisenkondo6738
    @saidisenkondo6738 Před 4 lety +2

    Mzee wangu upo kwenye mtihani mgumu.

  • @husnasaid2476
    @husnasaid2476 Před 4 lety

    mm sikuombei dua bali nakuapiza kwa Allah nyimbo zako ilivunja ndoa yangu kisha eti waswali

  • @matanobaya7660
    @matanobaya7660 Před 4 lety

    Njaa imezidi,njaa mbaya sana.

  • @lutyali4964
    @lutyali4964 Před 4 lety +2

    Allah atujalie mwisho mwema kwa kwel😭😭😭kwel km unahizihaki dini ya Allah 😭😭😭😭et mfalme wa dawa 😓kwel hujui unalolitenda Allah akusamehe🙏

  • @jaffarbadru
    @jaffarbadru Před 4 lety

    Linaogop kusoma comment kwasabab
    Anaogop
    Nyooo mjaalana we

  • @rashidibrahimshemlugu7845
    @rashidibrahimshemlugu7845 Před 4 lety +20

    Huenda moyo ushapigwa muhuri,Allah yaalam

  • @kadogohome2184
    @kadogohome2184 Před 3 lety

    Kwa kweli hakuna msafi duniani sote tumeumbwa na Mungu yeye ndio Atakaye Tuhukumu kila mtu angalie nafsi yake na kila mtu atapewa hesabu yake Mwenyewe hatujui sisi tunamkosea Mungu kwa njia gani Wala hakuna mtu anayeweza kusema maovu yake kwa nini mnamuhukumu Mzee Yusuf kana kwammba sisi tu watakatifu kila mtu Abebe Msalaba wake Mwenyewe jamani

  • @hamishamis9905
    @hamishamis9905 Před 4 lety +1

    Mimi nilikwambieni mzee Yussuf ana mapepo anahitaji maombi hamkuniamini je mnaona Sasa 🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄

  • @ismailyussuf1805
    @ismailyussuf1805 Před 4 lety

    Yes,Mungu anajua anacho fanya.SIKU ZAKE NI MWISHO WA MWEZI 11 MWAKA HUU.KUMBUKA...KABURI.

  • @biggestnasritv2601
    @biggestnasritv2601 Před 3 lety

    THE BIGGEST BOSS NASRI

  • @nadyasalim7956
    @nadyasalim7956 Před 4 lety

    Mzee yussuf umepotoka hiyari yako mungu anakuona

  • @mohamedthoya7436
    @mohamedthoya7436 Před 4 lety +17

    StaghfiruAllah...

  • @harounismail1042
    @harounismail1042 Před 4 lety +7

    "Balil insaan ala nafsihi baswira" alie ongozwa na allah hapotei na alie potea hutampatia mlinzi wala muongozi.

    • @binsaid2484
      @binsaid2484 Před 4 lety

      Pole machozi yako yalikuwa yaki nafki kwataakifa yako anedanganywa ni binaadam na si allah hadanganywi nawe pole sana eti unajiita mfalme

  • @zulfahussein6784
    @zulfahussein6784 Před 4 lety

    Kwakweli Allaah amuongoza amtakaye kwa Neema zake na ananye pata Neemaza Allaah huwa anazishika kwa makini na kunawangine huchezea pia Neema za Allaah. Tuzidi kuomba mwisho mwema