MZEE YUSSUF: MIMI NDIO MFALME WA TAARABU/MAMBO YA DINI/SITAKI HATA KUYASIKIA/NARUDI KUTAFUTA HELA
Vložit
- čas přidán 8. 09. 2024
- All the African Music. Hottest SHOWS... Mapinduzi Ya Burudani
Times FM Ni Redio ya Burudani Nchini Tanzania, Inayoongoza kwa kukupatia Habari za Burudani pamoja na Matukio yote yanayotokea ndani na nje ya Tanzania. #KiafrikaZaidi.
Follow us on twitter / timesfmtz and on instagram / timesfmtz - Zábava
Innalillah wainna ilayhi rajiun..Allah alikupa mtiham mdogo umekushinda kumbuka siku ambayo haitomfaa mtu mali yake wala watoto wake isipokua yule ambae ana mcha mungu..ndio atasalimika na adhabu ya Allah...adhabu za Allah nikali na nizenye kuumiza..rudi kwa mola wako nafas bado unayo
Wakati mwingine mke ulie nae pia ni mtihani mkubwa Sana. Mke wake alisema haku ridhika kabisa kwani alikua asha mzoea kua nae kwenye kumbi
Ww umerud kwa mola wako?
@@bjzee1981kuwa mstaarabu huyo n muislam mwenzangu na nina kila sababu ya kuelekeza anapokosea mm km binadam nisifa yngu kukosea na ninapokosea nakosolewa ndio maana tukasifiwa kuwa ni umma bora kwa sabab yakuamrishana mema na kukatazana mabaya
Swadaqta!!
Mungu amlaani huyu ibilisi
Katika maisha omba Sana ALLAH Akujalie mwisho mwema sio mwanzo mwema.
Yes tumuombee anaweza kuwahi lakini yote kwa yote ni yeye na Mungu wake
Nakubali kabisa
nice
Naam, swah kauli yako
Naaaaaam kabisa
Usiseme mambo usiyoyafaham kwenye dini bora sema uombewe dua basi! Kuliko kubeba na jukumu la kupotosha wanaokusikiliza.
Swala utaulizwa lkn Allah anasema ktk Qur-an 29:45:-
"SOMA uliyofunuliwa katika kitabu na ushike swala, Hakika sala inazuilia mambo machafu na maovu"
Sasa tujiulize, ukiwa unaswali halafu bado upo kwenye maovu/machafu au unayatamani maovu/machafu utakua unasali au unababaisha tu?
Mziki umekusanya ulevi, uzinzi na mavazi ya kutokujistiri ima ww utakua ni mtendaji wa hayo maovu na machafu au watu/wapenzi wako wanaokushabikia au nyote. Allah akuongoze, Amiin
🤲 Asante kw busara yko ndugu🤝
@@dab8859 Maelezo yamenyooka.
Mwapotea wewe namkeo bora soma koment mungu awezakupaimani
Mungu anasema ogopeni wakezenu nawatoto wenu
Maa Shaa Allah
Ni masikitiko makubwa sana kumkashifu Mzee Yusuf na kumsihi amuogope Allah wakati kwenye simu zetu tumejaza wimbo za kila aina.Kwanza anza wewe kujirekebisha,mwombe Allah msamaha,kisha mwombe amuongoze Mzee Yusuf katika njia ilionyooka.
Assalam Aleikum.
ndio maana nimetanguliza Allah amuongoze dini sio mpira wala sio siasa Allah atuongoze sote
Ahned Amin?
Waaleykum salaam
Dhambi pekee ambayo haitosamehewa na Allah ni yenye imeletwa hadharani (open).Eleweni kidogo kiswahili ni lugha yetu ya tatu hapa Kenya.
Hata km wapo walio na nyimbo lkn hawajadhihirisha, yy amekwenda makka, ameomba msamaha hadharani
Allah humuongoa amtakae humuacha apotee amtakae yarabi tujaalie mwisho mwema
Allahumma amiiin yarab
Amin
Amiin ya Rabbi
Ameen thumma ameen
Amiiin thummaa aamiin
Wewe mzee yusuph .... Dini siyo siasa .... Leo upo chadema kesho upo CCM ..... Swala na muziki wapi na wapi .... Wee muogope ALLAH. Hiyo afya inakudanganya 💪🏾
Subhanallah
Hajielewi
Musiba mkubwa
Huo n msiba mkubwa allah amrehem kwa rehma njema
Bora ya siasa kuliko yeye mjinga asiye jielewa
السلام عليكم ورحمة الله وبركة
Mzee wetu anaekulaimu jua ndio anaekupenda, hao wanao kutia mori na kukusifu ujuwe hakika hawakupendi , lazima ufaham na kwa kweli wewe hi mtu mzima na ni mtu mwenye busara na unajua yote mema na mabaya na unajua kwamba Allah yupo na ndio mfalme wa wafalme na unajua kwamba pesa na watoto ni pambo la dunia tu na hatimae utaondoka siku moja na utaacha hapa kila kitu na sio wewe tu sote iliobakia ni vitendo vyako tu ulivofanya hapa ulipokua duniani, kwa hivo tafadhali kaa ukijua na usisahau na Allah yeye hana khasara isipokuwa sisi ndio tuko katika khasara tukifanya ambayo Allah ametukataza, basi akili kichwani mwako .
Bora urudi kwa mola wako na ikiwa Allah kakuandikia utajiri bas kun fayakun utaupata hata bila ya kuimba na ikiwa Allah hataki Basi unaweza kuzipata hizo pesa na ukashindwa kuzitumia wengi hapa hapa duniani wanazo pesa lakini hawajijui wala hawawezi kuzitumia, sheikh rudi kwa mola wako na umuombe msamaha bado milango ya toba iko wazi
Nikweli kabisa
Kweli kabisa
Mhhhhhh allah atuongoze na atuzinduwe inshaallah
Mnasapotiana mawakala wa Shetani😂😂😂😂
Huyu Allah Ana khekima sana kwasababu kwa kiapo alichoapa ingekuwa mungu ni mtu angemfanyia kibaya haraka sana lakin Allah ametulia yey ndiye anajua zaid kuliko yeyote.
Innallah maswabirina
Allahu Akbar
Huyu ndiye Rakhamaan hana hasira maana si binadamu
Nimepend xn manen yako kak
Allah humuongoza amtakae, tumuombee mzee wetu. Rehma za Allah ni pana.
Safi Sana
ALLAH ATUPE MWISHO MWEMA YAANI DINI SI KITU CHA KUCHEZEA KABISA
Allahumma aaamin
Innalillahi wainna ilayhi rajiuun ..Yaa Allah tujalie mwisho mwema..
Allahumma amiin y rabbal aalamiin
Hallat@Ameen thumma ameen
Amin ya raballahallamin
Amiiin thumma amiin
Ameen
He knows exact what he's doing. He keeps on asking muslims to pray for him. May Allah guide as to the straight path.
Ameen🤲🏾❤️
inna lillah wainna ilayhi raajiun, wewe muogope allah mzee yussuf, muonee aibu mwenyez mungu, maisha ya mpito tu hayaa akhera ndio makaazi
Dunia ni mapito na starehe za mda. Andaa amal zako ndizo zitakazo kusaidia, ziwe nzuri/mbaya mizani utapimiwa, utarudi kwa Muumba wako kama ulivyozaliwa. Swala humuondosha/humkataza mja kuuepukana na maovu, ukikiona mtu anasali huku anadumu ktk maasi tena kwa makusudi elewa SALA ya mtu huyo ni ya ubabsishaji (anafanya riha) aonekane nayeye anasali. Pumzi zisitudanganye. InshaAllah nakuombea dua njema ila Mungu habadilishi matendo yetu mpaka tubadilishe yaliyopo ndani ya vifua vyetu.
Inna Lillahi Wainna Ilayhi Raji'uun,. Utakuja kujuta, rudi kwa Allaah.
Hivi nyinyi hamfanyi kazi? Swalah na kazi ndo maisha yaende, mwaacheni kaka wawatu atafute maisha njaa ilimuuma Sana na nyinyi hamkuai kumpa chakula mwacheeniiiiii
Afyaa inamdanganya ila Allah anawajua wajawake. Allah atujaalie mwisho mwema ktk hii dunia
@@salimmohamedsalim4448 Amin rabby Amin
@@salimmohamedsalim4448 Amiin Yarabi🤲🏼
Innalillahi wainnailayhi raajiuun kwa kweli tuzidi kujiombea sisi na watoto wetu na wazazi wetu
Maana hakuna mkamilifu na yy mzee Yusuf
Allah amabdilishe imani yake
Wanao soma comment kama mm tujuane hpa
Hahaa
Usilamu auna shida na wewe hata ukiwa myahudi mpagani shauri yako hato beba mtu mzigo mtu mwengine
Allah atupe mwisho mwema
Haya habari yako
Tupo
Innalillah wainnalillah rraajiun, Wee!! Umejiripua kweli endapo Allah akichukua roho yako muda huu umeripuka kwa jahannam, pole sana mzee Yussufu kwa msiba mzito uliochagua kwa kuchagua shetani ukamuacha Allah Alie kuumba.
Allah atakufanyia wepes yussufu hulijuw ulitendalo brooo dah lanaaa iyooo
Astaghafirullah Astaghafirullah Astaghafirullah,,, Ya Allah tupe mwsho mwema wa kkutambua ww tu😢😢😢, ety ctak kujua ya dini mi nataka hela
Ameen thumma Ameen
Unalalabule unakulabule kila kitu bule ndomaana
Aamiyn
Amiiiin ila itakuw antak ajengewe kabur la dhahab nayy ndman ansaka Ela ansahau din
Mzee Yusuf taarab ulikuwa number one ,rundi kwa kazi yako ,wewe ni star wa taarabu watu wamekumiss
SUBXAANA ALLAH MZEE MRUDIE MUNGU WAKO BAADO UNAMDA SHETANI ANAKUDANGANYA BAADO UPO HAI MRUDIE ALLAH ETI MFALME ALLAH PEKEE NDIO MFALME
Mzee Yousuf usiwasikilize wapumbavu na wanafiki waislamu ni wanafiki sana. Point ni kwamba Mungu huwa hasaidiwi kuhukumu. We Piga ela watoto wale Hayo ni maneno ya watu tu njia za mwenyezi hazichunguziki. Wanaokujaji usishangae wanakutangulia jehanum ya moto!. Aaaaaah
Mungu ampe mwisho mwema acje akafa kwenye muziki
Nimekupenda dua nzuri
@@elizabethmapunda6806 duwaa nzuri sana. Hakuna alokamilika. Wapo walokua walevi kufa lkn umauti uliwakuta wakiwa hawanywi pombe.
Na wapo walokua hawanywi pombe lkn wamekufa wakiwa walevi nk! So as site hatujui mwishowetu itakuaje. Lkn vyema nikumuombea mtu mema lkn sio kuhukumu mtu
Ni bora yeye atafia kwenye muziki kuliko wewe utafia kwenye vinena vya watu
@@florabaruti8032 Ntafia kwenye kinena chako au cha Mama ako
amin. yarab hasnul khateem
Jamani kitendo cha kwenda kuhiji sio kitu kidogo ni kikubwa Sana na kwa ninavyosikia kuwa ukienda huko ni lazima uwe msafi,kwa maana unaenda kutubu dhambi zako zote na kuyaaza maisha mapya yanayompendeza m/mungu.
Sisi Kama binadamu hatupaswi kuhukumu kwa sababu yupo muhukumu wa haki.
Lakini Sasa sijajua kwa mzee wetu hapo ni kwamba anambipu mungu au?
Maana dah.....ni kweli sote tunamapungufu lakini yatupasa kushindana na majaribu ya dunia.
Eeeeeeee m/mungu tusamehee sisi waja wako na utupe mwisho mwema.
🙏🙏🙏
Ameen yarab🤲
alikwenda haja sio hija nahaja yake imefanikiwa ikiwemo riyaa ya ibada
Mtangazaji mambo yako kama interviewer, kazi umejipanga.
Mzee Yusuf umo katika Duaa.
Ukiwa na mke ibilisi basi hakikisha mume nae ni ibilisi maana hakuna wa kumuongoza mwenzie omba. Sana mwisho mwema hapa duniani leo unaropoka kwa jeuri pumzi zinakudanganya sana kesho lilikuta utesema waislaam wakuombee dua anataka ujana wakati umri umeshakutupa mkono
Heli ya shetani kuliko huyu kafiri mkubwa
Anakijua anachoongea lakini!!!maskin,M.Mungu atamtanabahisha inshallah
Amin
@@moralistkhamis6007
Mm
Yan ww mshezi san unamtania mung unasema dini baadae kwaza ww si uliendag hija mpumbafu ww kw taarifa yko mung amekupa mtihan mdogo t2 lkn hukuufany
@@nadimhamadi4431
Huyu anadeni kachukua mkopo pesa nyingi sana sasa hawezi kulipa kipato chake kidogo
Ndio kaamua kurudi tena
Naumia nafs yangu sichoki kukuombea Allah akuongoze
Unapoteza muda wako dada....Bora huo muda uwaombee wazazi wako, wagonjwa waliokuwepo mahospital, waliotangulia mbele za haki Ila siyo uyo mjinga mmoja anayemchezea mungu
Chamsing msimuhukumu Mungu ndo anamjua kiundani na so mwanadam
Kuna maneno yanasikitisha,yaani Mzee anasema alikua mfalme wa Daawa na sasa amekua mfalme wa Taarab,Mzee umekosea sana yaani umechupa mipaka
Tumuachie MUNGU ndiyo khakimu wa khaki basi
Mwogope mungu mfalme ni Allah pekeyake
Huyu ni mfalme wa shetani
Inasikitisha sn wallah ..mzee mfalme ni Allah peke yake ..M/Mungu twakuomba umjaalie hyu mja wako atubu kabla umauti haujamkumba..kwani ni mtihani mkubwa wallah ...
Tujalie mwisho mwema watu kazi kubadili dini hakuna mtakatifu a naeza in sha Allah akaipata akhera sisi tukaikosa kafiri wa leo ndiye muislamu wKesho allahuallam
Subhana llah!!
Ewe mwenye kuzigeuza nyoyo tunaomba uzithibitishe nyoyo zetu katika dini yeko
Unaweza kuhisi wewe ni mkosefu saaana.Mwisho ukaamua kumrudia Mungu .But ktk kumrudia Mungu pengine Kuna viongozi wakubwa wa dini wamekufanya umrudie Mungu.Sasa kadiri unavyokua nao karibu hawa watu waliokushawishi Unagundua kua ni waasi wakubwa na wanamkosea Mungu kuliko hata ulivyokua.Hapo Ndo unaaanza kujiona ulivyo mjinga na kuendelea na maisha yako.Naaamini wapo baadhi ya Mashehe walianza kumshawishi Mzee Yusufu kwenda WaGanga wakishirikina.Na hapo ndo kaona duuu kumbe alivyokua ni bora kuliko huku alikotaka kupoteza hata Rizki yake.
Innalillahiwainnailayhirajiun., Namuomba Allah akujaalie Killa ulitendalo roho ikusute ili uuache Mambo mabaya Amin.
ILLAH KARIM Atuongoze Kwani Sote Tunamapungufu. Binadamu Hujafa Hujaumbuka.
Allah akuongonze yani umefanya dini kama mchezo
😥
😢😢😢😢😢Amin
Swadgte
Tuna kukumbusha ujui lini umauti wako alafu unajiona mjanja kurudi kwenye masia lazima usisikie utaenda kusikilizishwa kaburi na munkari wannakiri endapo allh atakapo zichukua roho
Uislamu ndio shamba na kuimba ndio mjini.. 😥 uislamu imekua kam dini ya mchezo.. Yarabby tuongoze vyema waja wako..🙏
Allah ndoanajua kila kitu tusimuhukumu allah ndo anajua riziiki yake na allah ndo anajua mwisho wake na mwenyez mungu amjaalie mwisho mwema amiin
Allah anajuwa kwa kila mtu na kitu, ila kwahili na mm najuwa km ni dhambi Mungu hakusema tupige mziki hy mambo ya mziki mmeanzisha nyinyi wanadamu na shetani wenu
Amin thum amin.. Mungu akubarik kakangu
Masharubu Ndevu labda ni seme tu tena mambo ni mengi apa duniani cha msingi ni kumuombea unaweza muona anafanya kilicho haramishwa ila mwisho wa siku na akafanya nukta moja tu ya wema na mungu kampereka peponi kwahyo sisi hatujui yaliyo jificha
Nurdin WEWE UMEASHUMU AKIFANYA JEMA MOJA BASI VILEVILE Masharubu PAMOJA NA Sisi TUMEASHUMU OVU MOJA ALILOFANYA
Allah akuongoze katika njia iliyonyooka bado mdomo unanyanyuka ndio sababu ya kibri hcho ila kumbukaa cku viungo vitafanya kazi ya mdomo
Dah mzee yussuf kamuacha mkono mungu wake jeee atamkumbuka mama ake kwa kumuombea duaa kweli?
Inallilah wa ina ilayihi radjion qu'allahou nous accord une bonne fin yarabi pardonne cette homme 😢😢😢😢😢
Innaa lillaahi wainnaa ilayhi rajiuun
Allha amrudishe kwenye ibada swala tano amuondoshe ibisi mbaya huyo allha atulinde SS na vizazi vyetu
Inna lillah waina ilayhi rajiun ,,huu msiba mkubwa,,
Nakuhurukiyaa m.mungu amekuacha mkono....umeacha kuliya umefata kushoto......
Allah anatosha kukuhukumu , mana kma ulikwenda mpaka hijja na haujakubaliwa basi io ni azabu tosha .. Laanatu llah , Ya rabbi muoneshe ufalme wako mana teari yeye amejipa ufalme kuliko wa kwako , rabi huyu ibilisi anapotosha huu umati wa MUHAMMAD ) basi nasi tunainua mikono ili utuondolee huyu ibilisi🤲🏽
Mzee Yusuf..Laana ya Allah ikuangukia.(Mfalme wa Mashetani.)
Acha kumlani mzee wetu. Wewe ni nani mpaka unamuhukumu?
Kama Usomi coment watakufikishia Ujumbe. Umechemsha Mzee Wangu.kutoka kwa Mungu kuja kwa Shetani.
Mfalme wa mashetani... innalillah wainna illaih rajiuun.. laahawllah walaakuwata illabillah...
😂😂😂😂😂😂😂ndoamwerudi kuvunjaaa ndoa zawatu sasa
KIKANZU NA KILEMBA KUSHAKIVUA EE! ULIINGIA KWENYE DINI UWENDE MAKKAH UKATEMBEE UKAKUJUWE.....SHETANI KAKUWEZA ETI UTAFANYA DAWA LABDA YA MAPENZI YA MUZIKI TU USICHANGANYE MAISHA SIO IVO WALA UISLAM C KAMA SIASA UNAVO FIKIRIA
IKIWA SHETANI KAFANIKIWA KUKURUDISHA KWENYE DHAMBI, HATASHINDWA KUKUZUIA KUMSUJUDIA MUNGU MSIKITINI...UMEKWISHA BRO...TUMEKUJAALIENI NJIA MBILI..IMMA SHAAKIRA WA IMMA KAFURA..NI KAULI YA SUBHAANA HIYO.
Hayuko sawa kiakili
Allah Akbar kwakweli sina hata cha kuongea napita tuuu Mungu ndie ajuae na atuongoze njia ilionyooka Insha-Allah
Innalilahi wainailahi rajiun. Allah atuongoze yarabi jami ste
ALLAH akutowe huko ulishapendeza kwenye dini akupe na mwisho mwema
Shetwan ana nguvu sana kwa hakika, ila wewe mzee yusph unampeeb mwenyez mungu basi in sha Allah atakupigia soon tu..wewe n MFALME wa shetwan tu.
naimaaa
Jaman jaman jaman!!! Hii ni huzun sn. Tumwombee tuu Mwenyenzi Mungu anaweza kubadilisha mawazo yke. Mimi ni mkristo na bibkia yangu inaniambia, IPO njia ionekanayo njema machoni pa mtu, lakini kumbe ni njia ya upotovuni. Tusimhukumu tumuombee kwa Mungu
Jamani tumesahau yule ambae alah amemuongoa hakuna wa kumpoteza nayule ambae kashampoteza hakuna wa kumuongoa kwani kina firauni ilijiita muungu naleo hayupo acha yeye anaejiita mfalme
Twakubali kuwa wewe ni mfalme wa tarabu ila ALLAH ndie ajuaye zaidi🙏🙏🙏🇰🇪
Inna lillah wainna ilaihi raajiun kwanza izo taarab zake ni mbaya sijaona taarab apo
Dah! simchezo Dunia umeipapia itakuacha au utaiacha mzee..
Mzee Yusuf kajilipua kwa raha zake penda sana mzee yusuf from Kenya🇰🇪
😂😜😂😜😂😜
Asalaam Aleikum...Mimi kwa maoni yangu...Mzee yusufu alitaka mtu amvute...yaani alipokinai angepata mdhamini wa kiislamu...mbona waislamu matajiri ni wengi tu sana...Mzee yusufu angetoka kwake...awache nyumba yake Mali yake...yaani chochote ambacho alikipata kwa miziki angewacha kisha apate mdhamini amsimamie kila kitu na ampe biashara yeye na mkewe hata kama atampa nyumba ya kupangisha amlipie kwa mwaka mmoja...wamsimamie mavazi na chakula...hapo najua mzee angekuwa na utulivu....na iwapo angefanyiwa haya yote kisha arudi tena dhambini..hapo tungekuwa na comments za KUMPA.. ...kwa hiyo mtasema yote ila kumbukeni life is not easy...without money in this world you are nothing...everything is money....so hawa mashekhe...na watu wengine mnao mdadisi na kumpa maneno mazito kumbuka kila mtu atabeba mzigo wake mwenyewe....je mnaodadisi ipo siku mtu alijitokeza na kumpa pongezi kwa kukinai na kumpa hata kama loan ya millioni moja?
Weer Asha wacha ujinga kwani mtume namaswahaba walisaidiqa nanani siwalikua wakijituma kwakazi zahalali nawakapata riski zao nikupenda makubwa natamaaa zakidunia tu lakini kazi zipo zakupatia riski ila kuchagua kazi nako ndo kunapelekea mwisho wake huo wakumkufuru Allah
Asha huna haya kama huyo mzee yusuf nyote mashetwani wakubwa shezi weeeer
Hakika ..M/Mungu aliahidi hata muwacha mja yeyote anayejinasibisha juu ya mgongo wa ardhi yake ya kuwa ameamini na yuhali hajaamini ..kisha akasema lazima atampa mitihani ..Allah atujaalie mwisho mwema yarrab ..
Unaswali wakati ukianguka kama sai na watu kwa nyimbo zako mpaka watu wafanya mmbo ya kiipuzi wafikiri swala ndio itasaidia na ulisema unataka kutubu sai umerudi kwa nyimbo SubhanahAllah
nyinyi mnaomponda mzee yusuph wote ni wanafki tena wanafiki sana kila mtu atabeba mzigo wake nyinyi ni wema sanaa sio upuuzi kuimba kama ni dhambi na nyinyi muache kusikiliza miziki ya wasanii na nyinyi ndio mashabiki wakubwa hautazikwa na mzee yusuph kila mtu atazikwa kivyake pumbavuuuuuuu
Anae mungnga iblis nayeye pia nirafiki yake..manfiki n yusuf Muimbaji.Nww ndie mnfiki kumuunga huyu shetan Anae wapoteza dadangu zt namama zt..laana yamungu ishukie...
Wamwamini Yesu kama Bwana na mwokozi waache unafiki wa mafarisayo
Rabda Mfalme washetani inshaallah jiandae Allah akuripue vzr maana umetuzalilisha waislam wenzio hija ulienda kutembea kumbeeee😏😏😏
Ameshasema anataka kujiripua basi na Allah atamripua kweli..
Innalillahi wina ilaihi rajoon,Allah atu epushe na roho isie muogopa nakumu tegemea
Mtihani mdogo tu umekutoa kwenye dini subhanallah
Umezalilisha dini ya allah naomba allah akufanye mfano wawangene wanao mcheza shere allah
Huna haya weyee mhuuuu. Uombewe dua wakati wee mwenyewe unajiombea moto. Ahhh! 🤔 Staghfiru kwa Allah kiumbe usiropokwe kiac hicho na ukisema mengine bakisha.
Bora tu umefanya ivyo kama maisha yamekuwia magum...maana ukifa ukiwa unaimba taarabu na ukifa ukiwa upo kwa hyo dini hakuna tofauti, wote ni sawa tu na njia yenu ni moja tu ya motoni bali ukifa katika Kristo Yesu unauzima wa milele. Kwaiyo hakuna ulicho badilika mzeee.......sema saiv umerudi kutafuta hela....na muombe Mungu kabla haujafa upate neema ya kumwamini Kristo Yesu kama BWANA na Mwokozi wako . Utaishi milele👨💻
Mtihani huu Binaadamu sisi usituogopeila Ata Mungu Humuogopi
Nilidhani anaijua dini kumbe anahitaji kuelimishwa sana tena mwanzo mwisho!
Upo vizur broo
Unamcheka mzee Yusufu
Lakini ww jee umejiangali
Pia kunawengne katiyenu washirikina
Lakini bado munamuona mzee Yusufu
Nyinyi vip mnajielewa kwanza
Yaani leilaa karidhikaaa roho nyeupeee alilolitaka limekuwa
All the way from 001 county mambasani.ndiyo tukaambiwa mwananche ni iblisi swadakta
MZEE YUSSUF PALE ANA MKE
@@ibrahimadam4272 tsona ni ibilisi sana,🤣🤣🤣,unaenda mchezo na nyonga nyereru
Fanya kazi Kaka yamungu anajua mungu si binadamu
Huyo mpumbavu hata town hapajui anahangaika2, town ni Akhera nyie wapuuzi!!
Huyu akiumwa kipind yupo kitandan atawaza meng sana !
Umekosa Imani mzee yusuf
I pray for you and inshallah you lead Islam
Innalillahi wainnaillahi llajuni shekhe mzee yusuph afyaiyo uliyo nayoo inakudanganya soon mungu atakujibu .
Amesema anajilipua mwenyewe
Allah Akbar umeenda mpaka hija Mzee bado imani inayumba subuhanna llah
Ukiwa na mke mwema basi utakua kweli maadili mema
Kweli kabisa
Naam kbs
dada samahani wewe umeisoma dini naomba unijibu
Umetoa thamani dini ya uislamu.Tunakuachia mungu usipotubia.
Lana hiyo utajuta maisha yako sasa muzee na mkee wako upate kulipa deni pia uza namihadarati kama ulivyo kuwa unafanya na mkee wako
Mungu anasamehe lkn!!!!!
Usahalishe haram kwa kigezo cha swala ndo itaulizwa mwanzo. Swala yenyewe inamuepusha mtu na maovu. Muogope mwezimungu ukweli wa kumuogopa.
Mzee wangu upo kwenye mtihani mgumu.
mm sikuombei dua bali nakuapiza kwa Allah nyimbo zako ilivunja ndoa yangu kisha eti waswali
Pole
Njaa imezidi,njaa mbaya sana.
Allah atujalie mwisho mwema kwa kwel😭😭😭kwel km unahizihaki dini ya Allah 😭😭😭😭et mfalme wa dawa 😓kwel hujui unalolitenda Allah akusamehe🙏
Linaogop kusoma comment kwasabab
Anaogop
Nyooo mjaalana we
Huenda moyo ushapigwa muhuri,Allah yaalam
Naam
@@hajramsham8031 tumuombee allah amreshe ktk haki
Allah atuepushe
Kwa kweli hakuna msafi duniani sote tumeumbwa na Mungu yeye ndio Atakaye Tuhukumu kila mtu angalie nafsi yake na kila mtu atapewa hesabu yake Mwenyewe hatujui sisi tunamkosea Mungu kwa njia gani Wala hakuna mtu anayeweza kusema maovu yake kwa nini mnamuhukumu Mzee Yusuf kana kwammba sisi tu watakatifu kila mtu Abebe Msalaba wake Mwenyewe jamani
Mimi nilikwambieni mzee Yussuf ana mapepo anahitaji maombi hamkuniamini je mnaona Sasa 🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄
Yes,Mungu anajua anacho fanya.SIKU ZAKE NI MWISHO WA MWEZI 11 MWAKA HUU.KUMBUKA...KABURI.
THE BIGGEST BOSS NASRI
Mzee yussuf umepotoka hiyari yako mungu anakuona
StaghfiruAllah...
"Balil insaan ala nafsihi baswira" alie ongozwa na allah hapotei na alie potea hutampatia mlinzi wala muongozi.
Pole machozi yako yalikuwa yaki nafki kwataakifa yako anedanganywa ni binaadam na si allah hadanganywi nawe pole sana eti unajiita mfalme
Kwakweli Allaah amuongoza amtakaye kwa Neema zake na ananye pata Neemaza Allaah huwa anazishika kwa makini na kunawangine huchezea pia Neema za Allaah. Tuzidi kuomba mwisho mwema