Video není dostupné.
Omlouváme se.
SUBUHANA LLAH HUU KWELI MUUJIZA WA QUR'AN HUEZIAMINI KILICHOTOKEA HAPA MSIKITINI /maalim shabani
Komentáře • 252
Další v pořadí
Automatické přehrávání
SUBUHANA LLAH!! KILICHOTOKEA HAPA HUEZI AMINI/maalim shabanimaalim shabani online tv
zhlédnutí 5K
UKITAKA KUREJESHA UBAYA KWA ALIE UTUMA FANYA HIVI/maalim shabanimaalim shabani online tv
zhlédnutí 4,7K
WEWE MSELA WA MELI GANI ACHA UJINGA- SHEIKH NYUNDOHAJI ONLINE TV
zhlédnutí 9K
Her Survival skills will Fry 🔪 #camping #survival #bushcraft #outdoors #lifehackMarusya Outdoors
zhlédnutí 64M
Ženu pronásleduje vrah #horrorshorts #shorthorrorstory #shorthorrorstoriesPrézovy noční můry
zhlédnutí 225K
What is going on? 😂 (via haechii_br/IG) #shortsSportsNation
zhlédnutí 16M
This is the Biggest SAW in the World 😱🪚 #camping #survival #bushcraft #outdoors #lifehackMarusya Outdoors
zhlédnutí 19M
SHEIKH:MARDHIYYAH AKUMBANA NA MAKUBWA GININGI PEMBAZINJIBAR TV
zhlédnutí 169K
MTIZAME KIJANA ALIYE HIFADHI QURAN KAMA GOOGLEAKASHA PRODUCTION TV
zhlédnutí 516K
HUWEZI AMINI KILICHOTOKEA MKOANI RUVUMA WILAYA YA SONGEA/maalim shabanimaalim shabani online tv
zhlédnutí 14K
Tazama Balaa La Fumau Mshahiri Wa Yanga Alivyowakosha Viongozi Wa Dini Ya Kiislam Katika Ndoa 100QIBLATEIN ONLINE
zhlédnutí 59K
UTAFURAHI SHEIKH SHAFI ALIVYO KUTANA NA WAHUNI WAKATI WA KUZIKAISLAAH ISLAMIC TV
zhlédnutí 70K
WATOTO WA KIKE MILANGO YOTE IPO WAZI // SHEIKH NYUNDOarkas online tv
zhlédnutí 2,9K
JITAHIDI KUSOMA HII DUA UKISOMA MARA KWA MARA WACHAWI HAWAKUONI WAKITAK KUKU DHURU #Maalim #shabanimaalim shabani online tv
zhlédnutí 3K
TAZAMA MASOUD ADAM AKISOMA HUKU JENEZA LA BABA YAKE SHEIKH ADAM LIKITOLEWA, MAJOZI NA VILIO VYATANDABABDEO MILADU
zhlédnutí 47K
Poslední Kdo Opustí CYBERTRUCK ho Získá!FIZIstyle
zhlédnutí 175K
Který kostým je váš nejoblíbenější? 😭Natyla
zhlédnutí 130K
Can This Bubble Save My Life? 😱Topper Guild
zhlédnutí 54M
What is going on? 😂 (via haechii_br/IG) #shortsSportsNation
zhlédnutí 16M
Third Wheel Problems 🥲Alan Chikin Chow
zhlédnutí 22M
Harley Quinn's plan for revenge!!!#Harley Quinn #jokerHarley Quinn with the Joker
zhlédnutí 31M
Virální legendy potřetí: Finální zúčtování! | KOVYKovy
zhlédnutí 257K
OMG what happened??😳 filaretiki family✨ #socialFilaretiki
zhlédnutí 11M
Assalam aleikum sheikh kuna dua uliisoma yakutibu maradhi aina yoyote na kuwauwa wachawi, Niliweza kumsikizisha mzee wangu akiwa anaumwa Allahamdhulillah kichechevu kilichokua chamsubua kilimuacha papo hapo, shukrani kwa kutuelimisha n kutufunzia dua tofauti Allah akuongoze zaidi n atuongoze na sisu
Na Mimi kwa Imani nitapona tumbo langu inshallah nipate hedhi yangu
Kwa imani tu Mungu pekee anatosha
Allah ajaalie na mm pia nipate na maradhi yote yaniondoke
Allahumma Aameen 🙏
Ohh pole sanaa In shaa Allah kwa uwezo wake Allah atakufungulia atakuindoshee mitihan na maradhi ikiwa sihri ikiwa sahri Allah akuondoshee Allah akufunguwe
@@Luweenamandal2911 samahan ww ni aunt zeyana wa bibi Azuu enh mama Lujaina
THE GUY HAS TONSILLITIS AND PRESSING IT DOWN CREATE A BREATHING SPACE. ALLAH KNOWS BEST REALLY.
Mwenyezi mungu akujaalie jannatul firdaus. Inshallah naakujaze kilalakheri na akuepushe namahasidi inshallah
Aamin sheikh Mola akupe umri wa kheri na amali njema shukran.
Allah akuzidishie umri ,afya na furaha na akuzidishie elm.
Amiin AMIIN AMIIN ALLAH AKUPE UMRI MREFU INSHA-ALLAH 🤲
Jazakallah kheri
Allah akuzidishie elimu zaidi na zaidi
Mashaallah mwenyezi mungu akuongezee ngumvu
Mashallah Allah akujaze na Imani hiyo hiyo shekh
Mashaallah,Mwenyeezimungu akujazie Kila lenye kheri Imshaallah.
Utaponyaji watu namna hiyo umekua nabi wa Mungu subhanallah
quruan yote dawa lakin kuna maneno yameekwa kwa ajili ya tiba na ukiamin Alah na mtume wake na quruan sio ajabu hii kazia zipo CZcams kuna shekhe mmoja anawasomea watu na maradh sio kila maradhi yakawa maradh ya kutoka kwa Allah no sheitan majin wanakaktk kishipa ya binadamu
Manabii ndo wamefundisha ayo
Maashallah maashallah Allah akulipe kheri dunian na aakhira
Una MAPEPO shehe,DAMU ya YESU ikukomboe shehe sema Amina.
He is magician iam telling you
and this is arranged incident.
So sad, if true
Asalam alykm ndungu. Huo ni kweli mtupu iyo daraja mjaa yoyote anaweza kuifikia unapokua na imani na kitabu kitukufu cha quran na mwenyezi mungu yoyote aliye karibu nae basi inapatikana miujiza ndani yake🤲
Masha Allah
Kuna mdada huko Mwanza anaumwa sana anitwa Hawa kafanyiwa oparesheni 17 nenda ukamtibu Allah atakulipa inshallah
Kabsa ndugu Allah atamlipa anaumwa san yana
Yaan mi nataman watu kama hawa, kwa nn wasiende mahospitalin kutibu wagonjwa wakapona?
Mashaallah baraka allah fiik allah akulipe kila la kher
MashaAllah .. Allah akuhifadhi
Msiba huu shekh hiyo miujiza ungefungua kituo ukainyeshe miujiza yako lakin msikitini unafungua mlango wa fitna na hili waisilam tulikemee na tusilikubali no vema tukashia pale alipoishia mtume wetu s.a.w pamoja swahaba zake
Kwanza ameomba kwa jina lanani na amesoma kitabu gani??
Subhanallah tutayaona mengi tu
Maashallah mwenyezi mungu akuzidishie
😮 subhanallah Mie nafaham hatta ikiwa ni Dua ni baada ya mda sio hapo hapo Astaghfiru llah ya Allah
Maashala maalim mambo Yana pamba moto
Mungu, akujazie majazo mema inshaalla,,👍👍
Subhanallah!!
Subhana Allah!!! APO Mimi naona wafanya biashara tu hamna lolote! Qur'an sio ya kufanyia biashara kaka,usikute umehifadhi hyo aya tu wala hujasoma!! Mtihani Mkubwa kwa waislamu huu!!
Jazakallahu khairan maalim shaban
MashaAllah mashaAllah,Amin 🤲 Amin
Mashallah
Allah akufungulie zaidi mambo yako in shaa Allah
Shekh jitahidi upite muhimbili watu wanateseka sana shekh ukawasaidie kwa uwezo aliokujaalia allah
😂😂😂😂 Astaghfiru llah 😂😂😂😂
Mashaallah Allah akulipen kila la kher
Waislamu mabwege kweli kweli muongo uyooo
Mche Allah katika hili ndg yng
Amyn yarabiaalamyn🤲
Masha Allah, ni kweli waislam tunaamin Qur'an tukufuu,Allahu Akbar Allahu Akibar
Asalamu alaikum shekhe Mimi ninamitiani ya mwili mzima naomba dua hata kwa njia ya simu jina langu naitwa fatma y mninga naumwa sukali presha na moyo
@@SuhaylaMnyamani-uw4xtmwenyezi mungu akuponye akujaalie shifaa na kila Hitaji la moyo wako Ameena
Inshallah shekhe MUNGU akuzidishie miaka mingi
Kulwa
Assalam aleikum MAALIM,mimi ni mkenya,na derlva natafuta kazi si pati kabisa,wenzangu Wana pata,na ata watu wasio dereva kamili,Wana pewa,
Naomba unifanyie DUAA ili niweze kuonekana niweze kupata kazi,
Assalamwalaykum akulipe kheri inshallah natamani na mimi nionane na ww japo njiani mana kuna kitu kinanisumbuwa sana na amini kwa uwezo wa allah kukuleta ww nitapona natamani sana
Inshaallah.
Maashallah
Allah akuhifadhi inshallah. Njo na kuwetu 🇴🇲🇴🇲🇴🇲
Maashaalaa
Mashaa Allah , Allah akujalie kheri inshaa Allah
Ameeni nimeona shee
Muogope Mungu Wewe
Aache kusaidia
😂😂😂😂 Astaghfiru llah 😂
Subhana llah
Mashaallah tabarika allah
Baarakallah
Huo usanii tunaujuwa hao watu ni wenzako umekuja nao wacha uongo, hizo dua za rukya Mtume sala llahu alyhi wa salam, alikua akiwafundisha masahaba
Huo isanii ndugu yangu mana huo mfuko huyo kautoa wap
Ndo yalee anaja alisema Kiki za kiroho"
ManshaAllah BarakaAllah Ndugu🥰
Duh khtr san
Asalam alaykum warahmatullahi, kama ni kwelii tunaomba basi uende wodini ili uwasomee wagojwa .
Haswaa hili pia wazo zuury
🎉eti ikiwa nikweli 😅😅 mbona mashaka 😂😂
dunia imeisha watu watafta kula kupitia din ya allah
Huna akiil we nani anatafuta ela😢😢😢huna adabu we atakidg kwani apo kaomb ela...
@@bukheityomary-dh9ud we ndo Hun adabu aooo wapiga pesa t ndugu
Naomba no zako sheikh ninashida na mwanangu
Alhamdilah tunakushukuru
Maashaallah 🙏🏻😘🙏🏻
masha.allah
masha allah
Subhanallah
Hakuna kuigiza ila ni kweli mtupu anayesema sheikh ni muigizaji anakosea je huiamini Qur'an? Nichoweza kusema huyu sheikh ni mjasiri sababu kuna waislam wanaamini Qur'an kwa midomo lakini kimatendo hawaiamini wenyewe ukiwambia wafanye hivi wanaogopa eti watapemka ongera sheikh!!
Mashaallah nitakupatapi shekh mimi kwangu sieki pesa zinaibwa
Alla akuzidishie shekh
Km kweli anauo uwezo asingejifungia apo mktn kuharibu sifa ya Uislam... Watu wanashida wengi kawasaidie ama ndo mnatafuta pesa kuptia Dini
Subuhanallah lnalillahi wainailahi rajuun
😂😂😂
Yaaa alaaah yaaa rabi
Jaman uyu xhekh ni kwel
Acha mzaha
Subhanallah🥺🥺
Anaesomewa duw kavaa maneno Gani weshee acha kutuzuga mfuko umetoka wap sio kama siamin kuwa Quruan nitiba ila sio kama kivo
Kunawatu wanacheza na dini na kutafuta umarufu iyo ni riya muokope Mungu ,afu kwanini Tanzania kunavituko SN kunawanao jina ma nabi wangine mitume subhanallah
Umeona eee Subhanallah
Waislaam tusomeni dini yetu hawa majahili yatawadanganya mpaka lini?
Kaka kutibu kwa kutumia Qur-an ni vizuri sana, lkn tunakuomba matibabu yako fanya nje ya Miskiti sio ndani ya Miskiti kwanza tunafaham hao ulowasomea wote umepanga nao mana tunashangaa mara zote wenzetu nyinyi siku zote mnakua na miujiza nyinyi tu wakati kuna mashekhe wakubwa wachaMungu hawajapata uwezo huo mnapata nyinyi tu mlosoma kidoogo kwa ajili ya kutafuta pesa na sio kwa ajili ya Allah, jirekebishen Uislam sio dini ya biashara chafu
Mwenyenzi Mungu ndiye kuhukumu
😂😂😂😂 Allah atuongoze sote 🤲
Kweli huu ni mtihani hawa wetu nao wanaiga mapastor jamani kwa kulaghai watu kwa miujiza,,,,innalillah wainnaileh rajiun
Acha tu ndugu yangu mambo haya yanakua mengi sikuhizi ,tulizoea kuana mambo haya upande ule mwengine taratibu yanaanza kuingia kwetu,mambo ya dini biashara nadhani likemewe maramoja
Kweli kama kasema Qur'an ni dawa hiyo inajulikan kam ni dawa na mweny kuponya ni Mungu sasa nyinyi hacheni ku muukumu Sheikh wala wala masheikh kwa sabubu hujuw niya yake. Chakufany tu Muachiye mungu Kwa sabubu yeye njo Al-Hakaam , Al-Rahman.
Inshaallah nendeni mahospitalini 😊
Kabisa kabisa
Mahallah
Yesu tu ndio anaponya😂😂 mara Moja tu umwitapo Kwa iman
😂
Muogope Allah wewe upo kibiashara utaanza kusema viwete watatembea acha kuuchafua uislamu.
@@adiajuma9487 nimeuchafuaje 😁?
Sport pesa inatangazwa ndani ya nyumba ya Allah
Daaah huu ni utapeli. Kwanini unalazimisha ulipwee Kiujanjaaa
Asalamu alaiku
Tukifata kupitiya sim setup tunatibika?
Shukuran
Mh haya mambo mashekhe kemeeni.huo mtindo wa kuuchafua uislam kuwen makin
M,a
PIGWA na kitu kizito utapeli mpaka nyumba munazoita Miskiti.mambo ya turkimanistan,pakistan,na Afghanistan,mumeleta huku.kama ni kuponya kupitia Mungu kila mtu ajiombee mwenyewe .Mungu ni wetu sote.hicho kiarabu ndio mwalaghai nacho watu.
Hivi ndio wakristo wamepotea
Let's not commercialize our deen for worldly gains. Did our beloved prophet do the same in mosques? creating innovations to our already complete deen is a big sin and Allah knows best
Nenda huko mpumbavuwewe taperi humuogipi hata mungu
Kwanza amefanya kibaya kipi?
Yeye amemsomea Qur'an kisha amemuuliza unajisikiaje, sasa kama ni uongo so angesema sijapona? Na kama humwamini so uende ukajalibu wewe?
Shehe tupo nambari zako za simu tuna. Matatizo me gi biashara haziendi hata. Kidogo
Unatafuta kula kwa njia ya Uislamu Ww mganga ila Allah hapendi Mtu anaye fanya biaashara au mazungumzo yk ktk msikiti,,unafanya kiini macho kwa wasio jua ujanja wa kutafuta kula ila dhambi tumuogope Allah
🙏🙏🙏
Tunaomba tepe tuweke kwwa redio tusiojua kiisilaamu ibrahim mboya
Mh
Shekh namba namba
Ninachoelewa sheikh afundishe watu jinsi ya kujitibu kwa kutumia Qur'an na sunna na sio yeye kujifanya mtibuji. Kwa kuwa Allah ni waote na anapokea dua kwa wote isipokuwa watu wafundishwe namna ya kuomba hizo dua. Ila anafanya mwenyewe ili iwe ajila kwake ndio mashaka huwa yanapatikana hapo wangine huwa wanaongeza na vitu vyao.
Sheh niombee mm na afya yangu sielew sehemu zangu za siri ziwe salama kuna Uchafu unatoka sielewi naomba uniombee
Hiyo Gonoo muone daktar
@@husseinbakari123 😂😂😂😂😂
Tunaletewa usanii katika dini sasa kuna Marazi yanayoitaji dawa na Marazi yanayoitaji dua msiparanganye mambo.
Weeee weee miujiza iyoo mi langu jicho
Shekh acha uongooo unazingua
Kama ingekuwa nikweli mngenda maosipitalini mkawasaidiya waliolazwahuko siomuongelee miskitini na makanisani
Hakika, wanawaombea wazima, wanawaacha wagonjwa.
Filimasoni ndio nini?
Uwongo wa mchana kweupeeee
Mnataka yale maji ndiyo itakuwa kweli siyo.
Wakifanya makafiri manabii wa uongo mnasema haleluya acheni ushamba