Video není dostupné.
Omlouváme se.

SUBUHANA LLAH HUU KWELI MUUJIZA WA QUR'AN HUEZIAMINI KILICHOTOKEA HAPA MSIKITINI /maalim shabani

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 11. 01. 2023

Komentáře • 252

  • @user-gq4pt5ep4i
    @user-gq4pt5ep4i Před 5 měsíci +4

    Assalam aleikum sheikh kuna dua uliisoma yakutibu maradhi aina yoyote na kuwauwa wachawi, Niliweza kumsikizisha mzee wangu akiwa anaumwa Allahamdhulillah kichechevu kilichokua chamsubua kilimuacha papo hapo, shukrani kwa kutuelimisha n kutufunzia dua tofauti Allah akuongoze zaidi n atuongoze na sisu

  • @emmymajula5164
    @emmymajula5164 Před rokem +13

    Na Mimi kwa Imani nitapona tumbo langu inshallah nipate hedhi yangu

    • @alonchobasamiye6844
      @alonchobasamiye6844 Před rokem +1

      Kwa imani tu Mungu pekee anatosha

    • @salmaalrawahy3326
      @salmaalrawahy3326 Před rokem +1

      Allah ajaalie na mm pia nipate na maradhi yote yaniondoke

    • @eddietaxidriverzanzibar4395
      @eddietaxidriverzanzibar4395 Před rokem

      Allahumma Aameen 🙏

    • @Luweenamandal2911
      @Luweenamandal2911 Před rokem

      Ohh pole sanaa In shaa Allah kwa uwezo wake Allah atakufungulia atakuindoshee mitihan na maradhi ikiwa sihri ikiwa sahri Allah akuondoshee Allah akufunguwe

    • @salmaalrawahy3326
      @salmaalrawahy3326 Před rokem

      @@Luweenamandal2911 samahan ww ni aunt zeyana wa bibi Azuu enh mama Lujaina

  • @inesahmed883
    @inesahmed883 Před rokem +1

    THE GUY HAS TONSILLITIS AND PRESSING IT DOWN CREATE A BREATHING SPACE. ALLAH KNOWS BEST REALLY.

  • @UmmuMaryam-ym1um
    @UmmuMaryam-ym1um Před rokem +2

    Mwenyezi mungu akujaalie jannatul firdaus. Inshallah naakujaze kilalakheri na akuepushe namahasidi inshallah

  • @ffed1876
    @ffed1876 Před rokem +12

    Aamin sheikh Mola akupe umri wa kheri na amali njema shukran.

  • @gamingwithmwah9326
    @gamingwithmwah9326 Před rokem +6

    Allah akuzidishie umri ,afya na furaha na akuzidishie elm.

  • @yasminhussein7426
    @yasminhussein7426 Před rokem +7

    Amiin AMIIN AMIIN ALLAH AKUPE UMRI MREFU INSHA-ALLAH 🤲

  • @JumamwidinigettauGettau-us5hr

    Jazakallah kheri

  • @rashidjumamohamed3437
    @rashidjumamohamed3437 Před rokem +3

    Allah akuzidishie elimu zaidi na zaidi

  • @mwamini1545
    @mwamini1545 Před rokem +7

    Mashaallah mwenyezi mungu akuongezee ngumvu

  • @user-re7wt5id6u
    @user-re7wt5id6u Před 3 měsíci

    Mashallah Allah akujaze na Imani hiyo hiyo shekh

  • @rajabujuma9030
    @rajabujuma9030 Před rokem +3

    Mashaallah,Mwenyeezimungu akujazie Kila lenye kheri Imshaallah.

  • @saidinsenda954
    @saidinsenda954 Před rokem +3

    Utaponyaji watu namna hiyo umekua nabi wa Mungu subhanallah

    • @rajabjuma277
      @rajabjuma277 Před rokem +1

      quruan yote dawa lakin kuna maneno yameekwa kwa ajili ya tiba na ukiamin Alah na mtume wake na quruan sio ajabu hii kazia zipo CZcams kuna shekhe mmoja anawasomea watu na maradh sio kila maradhi yakawa maradh ya kutoka kwa Allah no sheitan majin wanakaktk kishipa ya binadamu

    • @jumamussantuiche
      @jumamussantuiche Před rokem

      Manabii ndo wamefundisha ayo

  • @hamzahhassan6474
    @hamzahhassan6474 Před rokem +4

    Maashallah maashallah Allah akulipe kheri dunian na aakhira

  • @ackimackim5642
    @ackimackim5642 Před rokem

    Una MAPEPO shehe,DAMU ya YESU ikukomboe shehe sema Amina.

  • @adandhux1434
    @adandhux1434 Před rokem +2

    He is magician iam telling you
    and this is arranged incident.

  • @zickmalik4901
    @zickmalik4901 Před rokem +1

    Asalam alykm ndungu. Huo ni kweli mtupu iyo daraja mjaa yoyote anaweza kuifikia unapokua na imani na kitabu kitukufu cha quran na mwenyezi mungu yoyote aliye karibu nae basi inapatikana miujiza ndani yake🤲

  • @munamamaj9622
    @munamamaj9622 Před rokem +5

    Masha Allah

  • @AzzaDaud-nq7rb
    @AzzaDaud-nq7rb Před rokem +3

    Kuna mdada huko Mwanza anaumwa sana anitwa Hawa kafanyiwa oparesheni 17 nenda ukamtibu Allah atakulipa inshallah

    • @rawiajuma3647
      @rawiajuma3647 Před rokem

      Kabsa ndugu Allah atamlipa anaumwa san yana

    • @hagulwamalishe8117
      @hagulwamalishe8117 Před rokem

      Yaan mi nataman watu kama hawa, kwa nn wasiende mahospitalin kutibu wagonjwa wakapona?

  • @user-rt6us1cj6b
    @user-rt6us1cj6b Před rokem

    Mashaallah baraka allah fiik allah akulipe kila la kher

  • @fatmaguracho6760
    @fatmaguracho6760 Před rokem +5

    MashaAllah .. Allah akuhifadhi

  • @fadhiliali4463
    @fadhiliali4463 Před rokem +3

    Msiba huu shekh hiyo miujiza ungefungua kituo ukainyeshe miujiza yako lakin msikitini unafungua mlango wa fitna na hili waisilam tulikemee na tusilikubali no vema tukashia pale alipoishia mtume wetu s.a.w pamoja swahaba zake

    • @faudhiasaidi3669
      @faudhiasaidi3669 Před rokem

      Kwanza ameomba kwa jina lanani na amesoma kitabu gani??

  • @abubakarmago2623
    @abubakarmago2623 Před rokem +4

    Subhanallah tutayaona mengi tu

  • @saumutambaa1572
    @saumutambaa1572 Před rokem +3

    Maashallah mwenyezi mungu akuzidishie

  • @khadidjasuleiman8006
    @khadidjasuleiman8006 Před rokem +1

    😮 subhanallah Mie nafaham hatta ikiwa ni Dua ni baada ya mda sio hapo hapo Astaghfiru llah ya Allah

  • @zamanamuhamedi3766
    @zamanamuhamedi3766 Před rokem +4

    Maashala maalim mambo Yana pamba moto

  • @user-fq3gs2jx8h
    @user-fq3gs2jx8h Před 9 měsíci

    Mungu, akujazie majazo mema inshaalla,,👍👍

  • @JabirySalim-bl5kx
    @JabirySalim-bl5kx Před rokem +3

    Subhanallah!!

  • @JumaOmary-wo7pc
    @JumaOmary-wo7pc Před rokem

    Subhana Allah!!! APO Mimi naona wafanya biashara tu hamna lolote! Qur'an sio ya kufanyia biashara kaka,usikute umehifadhi hyo aya tu wala hujasoma!! Mtihani Mkubwa kwa waislamu huu!!

  • @user-cc2uh3ts5i
    @user-cc2uh3ts5i Před rokem

    Jazakallahu khairan maalim shaban

  • @radhiamohaa3723
    @radhiamohaa3723 Před rokem +1

    MashaAllah mashaAllah,Amin 🤲 Amin

  • @MirajiKahema
    @MirajiKahema Před 2 měsíci

    Mashallah

  • @ramamwazembe171
    @ramamwazembe171 Před rokem

    Allah akufungulie zaidi mambo yako in shaa Allah

  • @saidmohamed2256
    @saidmohamed2256 Před rokem

    Shekh jitahidi upite muhimbili watu wanateseka sana shekh ukawasaidie kwa uwezo aliokujaalia allah

  • @abduljuma5332
    @abduljuma5332 Před rokem

    Mashaallah Allah akulipen kila la kher

  • @saddiqsaddiq6880
    @saddiqsaddiq6880 Před rokem

    Waislamu mabwege kweli kweli muongo uyooo

  • @salimurobota6947
    @salimurobota6947 Před rokem

    Mche Allah katika hili ndg yng

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania7258 Před rokem +6

    Amyn yarabiaalamyn🤲

  • @MalikMapao-hn7fy
    @MalikMapao-hn7fy Před rokem

    Masha Allah, ni kweli waislam tunaamin Qur'an tukufuu,Allahu Akbar Allahu Akibar

    • @SuhaylaMnyamani-uw4xt
      @SuhaylaMnyamani-uw4xt Před rokem

      Asalamu alaikum shekhe Mimi ninamitiani ya mwili mzima naomba dua hata kwa njia ya simu jina langu naitwa fatma y mninga naumwa sukali presha na moyo

    • @mamodelmam
      @mamodelmam Před 8 měsíci

      ⁠@@SuhaylaMnyamani-uw4xtmwenyezi mungu akuponye akujaalie shifaa na kila Hitaji la moyo wako Ameena

  • @salehemethodi
    @salehemethodi Před rokem +3

    Inshallah shekhe MUNGU akuzidishie miaka mingi

  • @samirshaffir1731
    @samirshaffir1731 Před 9 měsíci

    Assalam aleikum MAALIM,mimi ni mkenya,na derlva natafuta kazi si pati kabisa,wenzangu Wana pata,na ata watu wasio dereva kamili,Wana pewa,
    Naomba unifanyie DUAA ili niweze kuonekana niweze kupata kazi,

  • @aishaomar6960
    @aishaomar6960 Před rokem +3

    Assalamwalaykum akulipe kheri inshallah natamani na mimi nionane na ww japo njiani mana kuna kitu kinanisumbuwa sana na amini kwa uwezo wa allah kukuleta ww nitapona natamani sana

  • @J4UPro
    @J4UPro Před rokem +3

    Maashallah

  • @sasamama7934
    @sasamama7934 Před rokem +2

    Allah akuhifadhi inshallah. Njo na kuwetu 🇴🇲🇴🇲🇴🇲

  • @fatemasalem9677
    @fatemasalem9677 Před rokem

    Mashaa Allah , Allah akujalie kheri inshaa Allah

  • @africantz3323
    @africantz3323 Před rokem +1

    Ameeni nimeona shee

  • @ahmedymasimba1096
    @ahmedymasimba1096 Před rokem +2

    Muogope Mungu Wewe

  • @NiyonkuruSiyaba-ff1wu

    Subhana llah

  • @swariotibi6134
    @swariotibi6134 Před rokem

    Mashaallah tabarika allah

  • @ibnuomar1770
    @ibnuomar1770 Před rokem +2

    Baarakallah

  • @abdallahmohammed6079
    @abdallahmohammed6079 Před rokem +2

    Huo usanii tunaujuwa hao watu ni wenzako umekuja nao wacha uongo, hizo dua za rukya Mtume sala llahu alyhi wa salam, alikua akiwafundisha masahaba

  • @wacanaden2706
    @wacanaden2706 Před rokem

    ManshaAllah BarakaAllah Ndugu🥰

  • @SharifuAlbughul-ls4mw

    Duh khtr san

  • @maryammnyishanga1054
    @maryammnyishanga1054 Před rokem +9

    Asalam alaykum warahmatullahi, kama ni kwelii tunaomba basi uende wodini ili uwasomee wagojwa .

  • @arafaSharifu-er3hw
    @arafaSharifu-er3hw Před rokem +1

    dunia imeisha watu watafta kula kupitia din ya allah

    • @bukheityomary-dh9ud
      @bukheityomary-dh9ud Před rokem +1

      Huna akiil we nani anatafuta ela😢😢😢huna adabu we atakidg kwani apo kaomb ela...

    • @binadinani0722
      @binadinani0722 Před rokem

      @@bukheityomary-dh9ud we ndo Hun adabu aooo wapiga pesa t ndugu

  • @user-bs7un1rm7k
    @user-bs7un1rm7k Před rokem

    Naomba no zako sheikh ninashida na mwanangu

  • @fatmamohammed9933
    @fatmamohammed9933 Před rokem

    Alhamdilah tunakushukuru

  • @ukhtyshuufaah
    @ukhtyshuufaah Před rokem

    Maashaallah 🙏🏻😘🙏🏻

  • @saumusaumuto4548
    @saumusaumuto4548 Před rokem +1

    masha.allah

  • @chirorophus6927
    @chirorophus6927 Před rokem

    Subhanallah

  • @foodcook3626
    @foodcook3626 Před rokem +14

    Hakuna kuigiza ila ni kweli mtupu anayesema sheikh ni muigizaji anakosea je huiamini Qur'an? Nichoweza kusema huyu sheikh ni mjasiri sababu kuna waislam wanaamini Qur'an kwa midomo lakini kimatendo hawaiamini wenyewe ukiwambia wafanye hivi wanaogopa eti watapemka ongera sheikh!!

  • @fatfat9093
    @fatfat9093 Před rokem

    Mashaallah nitakupatapi shekh mimi kwangu sieki pesa zinaibwa

  • @SaidiBakari-ce3dm
    @SaidiBakari-ce3dm Před rokem

    Alla akuzidishie shekh

  • @khadijamgambo6874
    @khadijamgambo6874 Před rokem

    Km kweli anauo uwezo asingejifungia apo mktn kuharibu sifa ya Uislam... Watu wanashida wengi kawasaidie ama ndo mnatafuta pesa kuptia Dini

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania7258 Před rokem +1

    Subuhanallah lnalillahi wainailahi rajuun

  • @qaalid738
    @qaalid738 Před rokem

    Yaaa alaaah yaaa rabi

  • @AzizaJuma-cy9mh
    @AzizaJuma-cy9mh Před rokem

    Jaman uyu xhekh ni kwel

  • @barakafondo8090
    @barakafondo8090 Před rokem

    Acha mzaha

  • @UmmuMaryam-ym1um
    @UmmuMaryam-ym1um Před rokem

    Subhanallah🥺🥺

  • @idriskinye1190
    @idriskinye1190 Před rokem

    Anaesomewa duw kavaa maneno Gani weshee acha kutuzuga mfuko umetoka wap sio kama siamin kuwa Quruan nitiba ila sio kama kivo

  • @saidinsenda954
    @saidinsenda954 Před rokem

    Kunawatu wanacheza na dini na kutafuta umarufu iyo ni riya muokope Mungu ,afu kwanini Tanzania kunavituko SN kunawanao jina ma nabi wangine mitume subhanallah

  • @salumnuhu9066
    @salumnuhu9066 Před rokem +3

    Waislaam tusomeni dini yetu hawa majahili yatawadanganya mpaka lini?

  • @eddyyellow6005
    @eddyyellow6005 Před rokem +10

    Kaka kutibu kwa kutumia Qur-an ni vizuri sana, lkn tunakuomba matibabu yako fanya nje ya Miskiti sio ndani ya Miskiti kwanza tunafaham hao ulowasomea wote umepanga nao mana tunashangaa mara zote wenzetu nyinyi siku zote mnakua na miujiza nyinyi tu wakati kuna mashekhe wakubwa wachaMungu hawajapata uwezo huo mnapata nyinyi tu mlosoma kidoogo kwa ajili ya kutafuta pesa na sio kwa ajili ya Allah, jirekebishen Uislam sio dini ya biashara chafu

    • @kopaulipe7
      @kopaulipe7 Před rokem +1

      Mwenyenzi Mungu ndiye kuhukumu

    • @khadidjasuleiman8006
      @khadidjasuleiman8006 Před rokem

      😂😂😂😂 Allah atuongoze sote 🤲

    • @harountaslima2949
      @harountaslima2949 Před rokem +1

      Kweli huu ni mtihani hawa wetu nao wanaiga mapastor jamani kwa kulaghai watu kwa miujiza,,,,innalillah wainnaileh rajiun

    • @ayubushukuru2556
      @ayubushukuru2556 Před rokem

      Acha tu ndugu yangu mambo haya yanakua mengi sikuhizi ,tulizoea kuana mambo haya upande ule mwengine taratibu yanaanza kuingia kwetu,mambo ya dini biashara nadhani likemewe maramoja

    • @A.Hassan3434
      @A.Hassan3434 Před rokem +1

      Kweli kama kasema Qur'an ni dawa hiyo inajulikan kam ni dawa na mweny kuponya ni Mungu sasa nyinyi hacheni ku muukumu Sheikh wala wala masheikh kwa sabubu hujuw niya yake. Chakufany tu Muachiye mungu Kwa sabubu yeye njo Al-Hakaam , Al-Rahman.

  • @aishandayishimiye5127
    @aishandayishimiye5127 Před rokem +7

    Inshaallah nendeni mahospitalini 😊

  • @ibrahimabdullah1887
    @ibrahimabdullah1887 Před rokem

    Mahallah

  • @adriandanford208
    @adriandanford208 Před rokem +2

    Yesu tu ndio anaponya😂😂 mara Moja tu umwitapo Kwa iman

    • @mustrech
      @mustrech Před rokem

      😂

    • @adiajuma9487
      @adiajuma9487 Před rokem

      Muogope Allah wewe upo kibiashara utaanza kusema viwete watatembea acha kuuchafua uislamu.

    • @adriandanford208
      @adriandanford208 Před rokem

      @@adiajuma9487 nimeuchafuaje 😁?

  • @ramadhanitindwa4820
    @ramadhanitindwa4820 Před rokem

    Sport pesa inatangazwa ndani ya nyumba ya Allah

  • @rayaali7551
    @rayaali7551 Před rokem +1

    Daaah huu ni utapeli. Kwanini unalazimisha ulipwee Kiujanjaaa

  • @fatumabakari1798
    @fatumabakari1798 Před rokem

    Asalamu alaiku

  • @NiyonkuruSiyaba-ff1wu

    Tukifata kupitiya sim setup tunatibika?

  • @MustafahMustafah-ml7wd

    Shukuran

  • @hashakishabani4896
    @hashakishabani4896 Před rokem

    Mh haya mambo mashekhe kemeeni.huo mtindo wa kuuchafua uislam kuwen makin

  • @abdiaden5237
    @abdiaden5237 Před rokem

    M,a

  • @leilamsafiri8320
    @leilamsafiri8320 Před rokem

    PIGWA na kitu kizito utapeli mpaka nyumba munazoita Miskiti.mambo ya turkimanistan,pakistan,na Afghanistan,mumeleta huku.kama ni kuponya kupitia Mungu kila mtu ajiombee mwenyewe .Mungu ni wetu sote.hicho kiarabu ndio mwalaghai nacho watu.

  • @ungaghali3485
    @ungaghali3485 Před rokem

    Hivi ndio wakristo wamepotea

  • @THE.END.GAME.
    @THE.END.GAME. Před rokem

    Let's not commercialize our deen for worldly gains. Did our beloved prophet do the same in mosques? creating innovations to our already complete deen is a big sin and Allah knows best

  • @kiemenasensey8407
    @kiemenasensey8407 Před rokem +1

    Nenda huko mpumbavuwewe taperi humuogipi hata mungu

    • @faudhiasaidi3669
      @faudhiasaidi3669 Před rokem

      Kwanza amefanya kibaya kipi?
      Yeye amemsomea Qur'an kisha amemuuliza unajisikiaje, sasa kama ni uongo so angesema sijapona? Na kama humwamini so uende ukajalibu wewe?

  • @fatmamohammed9933
    @fatmamohammed9933 Před rokem

    Shehe tupo nambari zako za simu tuna. Matatizo me gi biashara haziendi hata. Kidogo

  • @salummzee9739
    @salummzee9739 Před rokem

    Unatafuta kula kwa njia ya Uislamu Ww mganga ila Allah hapendi Mtu anaye fanya biaashara au mazungumzo yk ktk msikiti,,unafanya kiini macho kwa wasio jua ujanja wa kutafuta kula ila dhambi tumuogope Allah

  • @emmymajula5164
    @emmymajula5164 Před rokem

    🙏🙏🙏

  • @ibrahimmboya767
    @ibrahimmboya767 Před rokem +2

    Tunaomba tepe tuweke kwwa redio tusiojua kiisilaamu ibrahim mboya

  • @YahidysaidySemnaro-vz6yk

    Shekh namba namba

  • @hassanchiwambo687
    @hassanchiwambo687 Před rokem

    Ninachoelewa sheikh afundishe watu jinsi ya kujitibu kwa kutumia Qur'an na sunna na sio yeye kujifanya mtibuji. Kwa kuwa Allah ni waote na anapokea dua kwa wote isipokuwa watu wafundishwe namna ya kuomba hizo dua. Ila anafanya mwenyewe ili iwe ajila kwake ndio mashaka huwa yanapatikana hapo wangine huwa wanaongeza na vitu vyao.

  • @veronicatemu4579
    @veronicatemu4579 Před rokem

    Sheh niombee mm na afya yangu sielew sehemu zangu za siri ziwe salama kuna Uchafu unatoka sielewi naomba uniombee

  • @husseinmaula4965
    @husseinmaula4965 Před rokem

    Tunaletewa usanii katika dini sasa kuna Marazi yanayoitaji dawa na Marazi yanayoitaji dua msiparanganye mambo.

  • @biddii1972
    @biddii1972 Před rokem +1

    Weeee weee miujiza iyoo mi langu jicho

  • @bongomixsabarere6056
    @bongomixsabarere6056 Před rokem

    Shekh acha uongooo unazingua

  • @zakariadesha2707
    @zakariadesha2707 Před rokem +1

    Kama ingekuwa nikweli mngenda maosipitalini mkawasaidiya waliolazwahuko siomuongelee miskitini na makanisani

  • @nikkimbishiunju2402
    @nikkimbishiunju2402 Před rokem

    Filimasoni ndio nini?

  • @denisnjaila2182
    @denisnjaila2182 Před rokem +2

    Uwongo wa mchana kweupeeee

    • @J4UPro
      @J4UPro Před rokem

      Mnataka yale maji ndiyo itakuwa kweli siyo.

    • @mwanaidmagasa3082
      @mwanaidmagasa3082 Před rokem

      Wakifanya makafiri manabii wa uongo mnasema haleluya acheni ushamba