Kufuatia kifo cha aliekuwa Rais wa Tanzania Magufuli, Rais wa Burundi ametangaza maombolezo yasiku 7
Vložit
- čas přidán 17. 03. 2021
- Kufuatia kifo cha aliekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania John Pombe Magufuli, Rais wa Burundi Evariste Ndayishimiye ametangaza maombolezo ya siku saba (7). Aidha, hadi siku ya mazishi, bendera zitapandishwa nusu mlingoti kote nchini na kote katika balozi za Burundi.
☆☆☆ Kwa masikitiko makubwa tuna poteza mtuu wa maana sana katika Africa, alikua wa umuhimu saana kwa bara yetu.☆☆☆ tuna toa pole kwa watanzania wote na East Africa kwa ujumla. I am encouraging our leaders to follow and lead as Magufuli. Man with no fear, a true pan Africanist. Together as one we will cross over. We are proud of you too your excellence Evariste Ndayishimiye keep your good and hard works. You are doing great. May God bless Burundi and Tanzania, the true Brothers countries. Stay connected!!! 🇧🇮&🇹🇿. You will raise East Africa to an other level.
Asantesana mutama
Asante sana mkuu
Pôle sana wa Tanzania ndugu zetu . Tunamkosa Raisi sujaa katika afrika nzima. Burundi tunakosa Babu wetu wa Pili alikuwa akitupangusha machozi ya mueshimiwa Raisi marehemu Pierre Nkururunziza
We’ll done ✅ Mr Genaral Evariste Ndayishimiye our Beloved President of Burundi 🇧🇮
🇧🇮Burundi 😭tuko pamoja na wandug zetu wa Tanzania 🇹🇿😭😭😭😭kwakum kosa rahisi watu
Nukuri birababaje pe🇧🇮
Poleni sana ndugu zetu Wa Tzt
🤝🤝🤝🤝
💔💔💔💔😭😭😭 Africa
Nivyiza kabisa
Hakika alikuwa kiongozi anayejua anachokitaka na kukipata, tutamkumbuka kwa mengi sana
Agahinda karanyishepe R I P nyagasani amwakire mubwami bwayo
R I P J.J.P.MAGUFURI IMANA NYENIMPUHWE IMUHE UBUZIMA BUDAHERA . UYU MU PRESIDENT YAFASHA ABAKENE KANDI YICISHA BUGUFI . YAMBABAJE CANE
Kagame amekufa pia.
Wabikuyehe we we gantuze sukubesha
Aca sha nikwa ku danganya
Abarundi mufite president very humble, twe abanyarwanda dufite ni ruthless kagonyori kagome.
Hhhhhhhhh ati nigahonyori ahubwo ni kagome
pole wandugu wa tanzanie