MAAJABU YA SURAT ZILZALLA || DR. OMARY BIHIZI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 24. 08. 2024

Komentáře • 4

  • @rumaukombo6415
    @rumaukombo6415 Před 5 měsíci +1

    Msamehe shekhe wangu

  • @nakundwamkubwe7823
    @nakundwamkubwe7823 Před měsícem

    Usilalamike Shekhe rizki anatoa Allah nazani unajua hilo na mti mkuu haikuwa rizki yako ni Rizki ya Shekhe Jafar ndio mana anauza sana zaidi ya zaidi ya sana. Usimchafue Shekhe Jafar rizki ni yake. Kama wewe ndio mwl wa Shekhe Jafar basi amini Mwanafunzi hampiti mwl wake . Sikio halipiti kichwa.

    • @lexygeisar8303
      @lexygeisar8303 Před měsícem

      Mti mkuu tu Hebu jaribu hiyo ngaka ndio utajua Mwalimu kamzidi mwanafuzi, ni kweli hapo Jafari Riziki ilikuwa yake. Lakini sio vizuri ufundishwe Na mtu alafu useme maiti ndio kaku fundisha. Mimi dawa zote nimetumia. Lakini nime pona sana kwa ngaka

  • @nakundwamkubwe7823
    @nakundwamkubwe7823 Před měsícem

    Nyie masjid mtoro tv ni wanafiki sana hapa mnaleta Shekhe Jafar anazungumzia mti mkuu leo mnaleta Shekhe huyu ana mponda Shekhe Jafar kuhusu mti mkuu. Nahiyo dawa ya mti mkuu ya Shekhe Jafar mnaiuza nyie hapo kariakoo ktk duka letu mimi nilikuja kununua hapo. Wanafiki wakubwa nyie.